Nyakato SDA Church

Nyakato SDA Church

KWAYA YA NYAKATO NI KWAYA YA KIINJILISTI INAFANYA KAZI MAZINGIA YEYOTE LENGO KUU KUMTANGAZA YESU KRISTO NA MAREJEO YAKE YA MARA YA PILI..MATHAYO 28.

HIVYO USISITE KUTUARIKA POPOTE PALE TUNAKUJA NA INJILI ITAHUBIRIWA BARIKIWA KWA NYIMBO ZETU NA NA HUDUMA YETU UTAIFURAHIA

Makambi Alhamisi Asubuhi

Makambi Alhamisi Asubuhi

MAKAMBI J5 JIONI

MAKAMBI J5 JIONI

MAKAMBI J4 ASUBUHI

MAKAMBI J4 ASUBUHI

MAKAMBI NYAKATO SIKU YA 3

MAKAMBI NYAKATO SIKU YA 3

Пікірлер

  • @LeticiaGeorge-n1e
    @LeticiaGeorge-n1e14 күн бұрын

  • @MagdalenaObed-d8d
    @MagdalenaObed-d8d19 күн бұрын

    Ujumbe mzuri Sana halleluya

  • @user-ef2up8he3d
    @user-ef2up8he3d24 күн бұрын

    Tunabarikiwa na mahubir yanayoendelea hapo maboto lakin lakin anayehutubu kaya na familia anamàneno na vicheko vingi kuliko neno tupandishien kiwango

  • @edakshenifrancis6120
    @edakshenifrancis612026 күн бұрын

    Bwana awabariki sana kwaya ya vijana Nyakato,, hakika nimebarikiwa na wimbo wa Elishadai always he forgive us,, sifa na utukufu zimurudie Yeye.

  • @KelvinNyaitara
    @KelvinNyaitara27 күн бұрын

    Ameen,,, barikiwa sana kwa huduma nzuri mnayoitoa

  • @VladimirMichael-c4k
    @VladimirMichael-c4k27 күн бұрын

    Nabarikiwa Sana kutokea pande za 6.8297° S, 38.5270° E

  • @chabeztv3156
    @chabeztv315628 күн бұрын

    Nimeipenda program na Tumaini mbarikiwe

  • @StevenFesto-hi1xw
    @StevenFesto-hi1xwАй бұрын

    Nawapata kwauzuri kabisa nikiwa sengerema mmi elia enock

  • @chabeztv3156
    @chabeztv3156Ай бұрын

    Vipindi vizuri❤

  • @JudithGeorge-f2t
    @JudithGeorge-f2tАй бұрын

    Mbarikiwe

  • @RetisiaRamadhani
    @RetisiaRamadhaniАй бұрын

    Raha kubwa sana

  • @MichaelSteven-ke4lm
    @MichaelSteven-ke4lm2 ай бұрын

    Mbarikiwe

  • @masaluleonardrobert57
    @masaluleonardrobert573 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @nyiringabojohn1320
    @nyiringabojohn13203 ай бұрын

    Hamjambo Wapendwa mimi nitwa John naishi Nchini Rwanda Nawapenda sanaaa! Nyakato mnanifulahisha sanaa lakini mnanyimbo nzuri sanaa zikora kwenye Album1 Ile ya WATEULE WATASIMAMAMA zile nyimbo zilikuwa na ujumbe! lakini sijui sababu kwenye KZread Hazipo! Basi mtazituekea kwenye KZread lini? Tunazihitaji kanisa Nawomba msamaha kabisa Nawasihi wapenda Mtutendee tendo hilo, Mbalikiwe sana.

  • @excelpioneers7324
    @excelpioneers73243 ай бұрын

    Love you 😂🎉. calming music.Glory to God

  • @GenivevaEmmanuel
    @GenivevaEmmanuel4 ай бұрын

    ❤ barikiwa sana

  • @zachariamtobesya5605
    @zachariamtobesya56054 ай бұрын

    kuna nyimbo za album ya ILIMPASA hazijawekwa KZread 1. Neno huniburudisha. 2. Kanisa zipakueni

  • @zachariamtobesya5605
    @zachariamtobesya56054 ай бұрын

    kuna nyimbo za album ya ILIMPASA hazijawekwa KZread 1. Neno huniburudisha. 2. Kanisa zipakueni

  • @user-dk3ds6px8z
    @user-dk3ds6px8z4 ай бұрын

    Barikiwa sanaaa👍

  • @estherkibajiro3480
    @estherkibajiro34804 ай бұрын

    Amina

  • @FaustajaphetSingano-tq9uu
    @FaustajaphetSingano-tq9uu4 ай бұрын

    Asante kwa ujumbe mzuri

  • @lutemahindiakaje5046
    @lutemahindiakaje50464 ай бұрын

    Amen

  • @yusuph1547
    @yusuph15474 ай бұрын

    Ilikua siku nzur na ujumbe mzuri,Utaishi ukitazama

  • @josephinekawooya
    @josephinekawooya4 ай бұрын

    Mbarikiwe Sana Wana Nyakato🎉🎉

  • @mjunguladislaus2954
    @mjunguladislaus29545 ай бұрын

    Nanyenyekezwa sana na wimbo huu mbarikiwe sana Nyakato church

  • @agnesmkumba7588
    @agnesmkumba75885 ай бұрын

    Huzuni itakoma nifikapo juu❤❤

  • @agnesmkumba7588
    @agnesmkumba75885 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fijjiarts254
    @fijjiarts2545 ай бұрын

    Thanks

  • @michaelsilas1063
    @michaelsilas10636 ай бұрын

    ❤nyakato

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Asanteni,tunawakumbuka hapa Kigali

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤

  • @user-mu6ct5js9z
    @user-mu6ct5js9z6 ай бұрын

    Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤

  • @bonimanyama3614
    @bonimanyama36146 ай бұрын

    ❤❤Nabarikiwa kila nisikilizapo hu wimbo

  • @GraceDeus26
    @GraceDeus266 ай бұрын

    Hakika Tayari Mungu amejibu maombi yangu

  • @frediekawooyaartistics7753
    @frediekawooyaartistics77536 ай бұрын

    Bwana awatumie na awabariki sana

  • @frediekawooyaartistics7753
    @frediekawooyaartistics77536 ай бұрын

    Mbarikiwe

  • @judithmulunga5038
    @judithmulunga50386 ай бұрын

    May God bless you people

  • @peninasnyamhanga4860
    @peninasnyamhanga48606 ай бұрын

    Hakuna sauti

  • @peninasnyamhanga4860
    @peninasnyamhanga48606 ай бұрын

    Hakuna saiti

  • @michaelsilas1063
    @michaelsilas10636 ай бұрын

    Amina sana

  • @user-km2ni3rz6o
    @user-km2ni3rz6o7 ай бұрын

    Ntatua mizigo nifikapo juu kwa Baba

  • @user-km2ni3rz6o
    @user-km2ni3rz6o7 ай бұрын

    Ahimidiwe baba wambinguni jina li kheri sifa na utukufu zimrudie yeye aliyeziumba mbingu na nchi na wanadamu wote pamoja

  • @kulolamasanyiwa3683
    @kulolamasanyiwa36837 ай бұрын

    Aminaaaaaaaaa nimebarikiwaaaa sanaaaaa kweli jina la Yesu li herii ,

  • @user-ki7yy4ud3t
    @user-ki7yy4ud3t7 ай бұрын

    Mbarikiwe

  • @josephinekawooya
    @josephinekawooya7 ай бұрын

    Amen❤❤