KWAYA YA NYAKATO NI KWAYA YA KIINJILISTI INAFANYA KAZI MAZINGIA YEYOTE LENGO KUU KUMTANGAZA YESU KRISTO NA MAREJEO YAKE YA MARA YA PILI..MATHAYO 28.
HIVYO USISITE KUTUARIKA POPOTE PALE TUNAKUJA NA INJILI ITAHUBIRIWA BARIKIWA KWA NYIMBO ZETU NA NA HUDUMA YETU UTAIFURAHIA
Пікірлер
❤
Ujumbe mzuri Sana halleluya
Tunabarikiwa na mahubir yanayoendelea hapo maboto lakin lakin anayehutubu kaya na familia anamàneno na vicheko vingi kuliko neno tupandishien kiwango
Bwana awabariki sana kwaya ya vijana Nyakato,, hakika nimebarikiwa na wimbo wa Elishadai always he forgive us,, sifa na utukufu zimurudie Yeye.
Ameen,,, barikiwa sana kwa huduma nzuri mnayoitoa
Nabarikiwa Sana kutokea pande za 6.8297° S, 38.5270° E
Nimeipenda program na Tumaini mbarikiwe
Nawapata kwauzuri kabisa nikiwa sengerema mmi elia enock
Vipindi vizuri❤
Mbarikiwe
Raha kubwa sana
Mbarikiwe
Amen 🙏
Hamjambo Wapendwa mimi nitwa John naishi Nchini Rwanda Nawapenda sanaaa! Nyakato mnanifulahisha sanaa lakini mnanyimbo nzuri sanaa zikora kwenye Album1 Ile ya WATEULE WATASIMAMAMA zile nyimbo zilikuwa na ujumbe! lakini sijui sababu kwenye KZread Hazipo! Basi mtazituekea kwenye KZread lini? Tunazihitaji kanisa Nawomba msamaha kabisa Nawasihi wapenda Mtutendee tendo hilo, Mbalikiwe sana.
Love you 😂🎉. calming music.Glory to God
❤ barikiwa sana
kuna nyimbo za album ya ILIMPASA hazijawekwa KZread 1. Neno huniburudisha. 2. Kanisa zipakueni
kuna nyimbo za album ya ILIMPASA hazijawekwa KZread 1. Neno huniburudisha. 2. Kanisa zipakueni
Barikiwa sanaaa👍
Amina
Asante kwa ujumbe mzuri
Amen
Ilikua siku nzur na ujumbe mzuri,Utaishi ukitazama
Mbarikiwe Sana Wana Nyakato🎉🎉
Nanyenyekezwa sana na wimbo huu mbarikiwe sana Nyakato church
Huzuni itakoma nifikapo juu❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥
Thanks
❤nyakato
Asanteni,tunawakumbuka hapa Kigali
Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤
Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤
Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤
Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤
Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana
Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤
Nyakato choir tunawakumbuka hapa Kigali Bibare sda tuna wapenda sana❤❤❤❤
❤❤Nabarikiwa kila nisikilizapo hu wimbo
Hakika Tayari Mungu amejibu maombi yangu
Bwana awatumie na awabariki sana
Mbarikiwe
May God bless you people
Hakuna sauti
Hakuna saiti
Amina sana
Ntatua mizigo nifikapo juu kwa Baba
Ahimidiwe baba wambinguni jina li kheri sifa na utukufu zimrudie yeye aliyeziumba mbingu na nchi na wanadamu wote pamoja
Aminaaaaaaaaa nimebarikiwaaaa sanaaaaa kweli jina la Yesu li herii ,
Mbarikiwe
Amen❤❤