Brother mim nimewatika hiyo imara f1 nipo songea, naomba msaada wako nitumie njia gan ili nitakapohamishia shamban isipatwe na mnyauko kabisa?🙏
@macotv21972 күн бұрын
Hongera boss, Ili kuhamisha miche ya nyanya kwenye shamba na kuzuia mnyauko, fuata hatua hizi: 1. Tayarisha Shamba: - Hakikisha udongo una rutuba ya kutosha kwa kuongeza mbolea ya samadi au mbolea ya kemikali kama DAP. - Fanya matuta au mashimo yenye kina cha kutosha ili miche ipate nafasi nzuri ya kukua. 2. Chagua Wakati Sahihi**: - Hamisha miche asubuhi au jioni ili kuepuka joto kali la mchana. - Kagua hali ya hewa na epuka kuhamisha wakati kuna jua kali au upepo mkali. 3. Mwagilia Miche Kabla ya Kuhamisha: - Mwagilia miche vizuri masaa machache kabla ya kuhamisha ili iwe na unyevu wa kutosha. - Hii husaidia miche kushikamana na udongo mpya kwa urahisi. 4. Ondoa Miche kwa Uangalifu - Tumia koleo au kijiko kidogo kutoa miche bila kuharibu mizizi. - Hakikisha unaondoa miche pamoja na kiasi kidogo cha udongo ulioshikamana na mizizi. 5. Panda kwa Kina Sahihi: - Hakikisha miche inapandwa kwenye kina sawa na kile ilichokuwa ikikua kwenye kitalu. - Finyanga udongo kwa upole karibu na mizizi kuhakikisha hakuna hewa inayoingia. 6. Mwagilia Mara Baada ya Kupanda: - Mwagilia miche mara moja baada ya kupanda ili kupunguza mshtuko na kusaidia mizizi kushika vizuri. 7. Kingamizi Mnyauko: - Funika miche kwa kivuli kwa siku chache za kwanza baada ya kuhamisha ili kupunguza upotevu wa maji. - Tumia mbinu kama mulching ili kuhifadhi unyevu kwenye udongo. 8. **Kuhudumia Miche Baada ya Kupanda**: - Endelea kumwagilia mara kwa mara, hasa wakati wa asubuhi na jioni. - Fuatilia afya ya miche na tumia dawa za kuua wadudu na magonjwa inapobidi. Kwa kufuata hatua hizi, utaweza kuhamisha miche ya nyanya kwenye shamba bila kupatwa na mnyauko na kuhakikisha inakua vizuri.
@mosesmtweve56473 күн бұрын
Umetumia umbali gani upandaji?
@macotv21972 күн бұрын
Umbali wa kupanda miche ya nyanya ni muhimu ili kuhakikisha miche inapata nafasi ya kutosha kwa ajili ya kukua vizuri. Hii inasaidia pia kupunguza mashindano ya virutubisho, maji, na mwanga wa jua. Umbali unaopendekezwa ni kama ifuatavyo: 1. Umbali kati ya Mche na Mche (Plant Spacing): - Panda miche ya nyanya kwa umbali wa sentimita 45-60 kati ya mche na mche. 2. Umbali kati ya Mstari na Mstari (Row Spacing): - Acha umbali wa sentimita 75-90 kati ya mstari na mstari. Kupanda kwa umbali huu kunasaidia: - Kuruhusu mwanga wa jua kupenya vizuri kwa kila mmea. - Kuboresha mzunguko wa hewa kati ya miche, hivyo kupunguza uwezekano wa magonjwa ya fangasi. - Kutoa nafasi ya kutosha kwa ajili ya palizi, kumwagilia, na matunzo mengine muhimu. Kwa kuzingatia umbali huu, utaweza kuhakikisha miche yako inakua vizuri na kutoa mazao bora.
@mosesmtweve5647Күн бұрын
@@macotv2197 sawa kaka🙏
@VenaEliki3 күн бұрын
Kwanza umelima mbegu gani alafu kama nyanya inatoa matunda ni mbolea gani inahitajika kwa wakati huo
@macotv21972 күн бұрын
Mbegu ni imara f1, na mbolea zinazofaa ni nitrabo, CAN zinafaa wakati wa matunda, na pia nimezitaja kwenye video hii ungetizama mpaka mwisho ,zipo humu, karibu
@ezekielshija925111 күн бұрын
Kijana unaharibu uwasilishi wa mada nzuri. Kingereza cha kuchomekachomeka kinaboa sana. Ongea tu kiswahili tutaelewa tu
@macotv219710 күн бұрын
Tumelichukua hili boss!
@andrixmwema806413 күн бұрын
This is just a mere joke... Prepare for something presentable
@macotv219713 күн бұрын
We are working on that, apologize!
@godlovemalekela1713 күн бұрын
🎉
@godlovemalekela1713 күн бұрын
Kampun ya boss sh ngap
@macotv219713 күн бұрын
Bei boss inategemea na size ya pump, ila kama hii iliyopo apa Ina horsepower 7, na inches 3, na bei yake ni 480000
@user-ls2uj3fl1o13 күн бұрын
Ungeelekeza toka kupanda mpaka kuvuna
@user-ls2uj3fl1o13 күн бұрын
Naomba no yako
@user-ls2uj3fl1o13 күн бұрын
Hongera
@hodaneymujib662114 күн бұрын
Uko vzr je hiki kifaa kinauzwa au😊
@macotv219714 күн бұрын
Bado ni prototype, hazijaingia sokon Bado Kuna ishu za usajiri , IP then kitaizwa mkuu
@erickphilipo383315 күн бұрын
Naoamba namba yasm
@erickphilipo383315 күн бұрын
Maomba namba yasmu
@macotv219714 күн бұрын
0750406919
@LIBERATUSNSEKELA16 күн бұрын
Taarifa za mwinuko zinapatikana wapi? Yaani, nikitaka kujua taarifa za mwinuko katika shamba flani hasa mahali ambapo mimi nimeenda kukodi mashamba nikiwa siyo mwenyeji wa mkoa huo.
@macotv219717 күн бұрын
Guys, unaweza uliza swali, uka comment, na kutoa ushauri, ama tupigie cm 0750406919
@mosesmtweve5647Күн бұрын
@@macotv2197 shukrani🙏
@PrinceKelvin-ht2hm18 күн бұрын
Hongera sana ndugu kiongozi
@AlbinusSamson27 күн бұрын
Gharama ni sh ngapi
@macotv219726 күн бұрын
Million 7 , boss
@user-yq2eg3xg7r27 күн бұрын
Jambo zuri sana. Hongereni Sana kwa hizo hatua mlizo fikia. Nineona hapo PCB ( printed circuit board) je mnaprint Kama mtu ame design schematic?
@macotv219725 күн бұрын
Syeah, hyo huduma ipo, mkuu karibu sua
@AlexKing-yg2cc28 күн бұрын
Mnapatikana wapi?
@macotv219727 күн бұрын
Morogoro
@user-jm5xs2mj3s28 күн бұрын
JE HII MBEGU INASITAWI KWENYE HALI YA AINA GANI
@macotv219727 күн бұрын
Mahindi yanahitaji mazingira maalum ili kustawi vizuri. Hapa kuna mambo muhimu kuhusu hali inayofaa kwa ustawi wa mahindi: 1. **Hali ya hewa**: Mahindi yanahitaji hali ya joto kwa ajili ya kukua vizuri. Hali bora ni kati ya nyuzi joto 18°C hadi 27°C. Mahindi yanaweza kuathirika na baridi kali na ukame. 2. **Udongo**: Mahindi yanapendelea udongo wenye rutuba, wenye madini na mboji. Udongo wa mfinyanzi mchanga wenye uwezo mzuri wa kupitisha maji ni bora zaidi. pH ya udongo inapaswa kuwa kati ya 5.8 na 7.0. 3. **Maji**: Mahindi yanahitaji maji ya kutosha hasa wakati wa kukua na wakati wa kutunga punje. Umwagiliaji au mvua ya kutosha ni muhimu. 4. **Nuru ya Jua**: Mahindi yanahitaji mwanga wa kutosha wa jua kwa saa 6 hadi 8 kila siku. Sehemu yenye mwanga wa kutosha wa jua itasaidia mimea kukua vizuri. 5. **Mbolea**: Mahindi yanahitaji virutubisho vingi kutoka kwenye udongo. Mbolea za Nitrojeni, Fosforasi, na Potasiamu (NPK) zinahitajika kwa kiasi kikubwa. Ni muhimu kutumia mbolea wakati wa kupanda na wakati wa ukuaji. Kwa kuzingatia mambo haya, mahindi yatakuwa na nafasi nzuri ya kustawi na kutoa mavuno mazuri.
@AnthonyMarkos-uq2dp28 күн бұрын
Bei gani iyo pamp
@macotv219727 күн бұрын
Pump hii boss ni 7m
@eddyrich.331228 күн бұрын
Inaelekea ulikuwa hujajipanga kuelezea uzuri ubora wa hiyo pump ya diezel.
@macotv219727 күн бұрын
sorry:
@SaidKondo-rw8wb29 күн бұрын
Hawa ndio watu tunaowataka,hongereni sana sana,Sasa mashamba yataongea ,safi saaaana,mungu wabariki Hawa jamaaaaaa
@RuthRenatusАй бұрын
Safi sana Kwa kutupa elimu hiyo,naomba uniandikie biambata vya viwatilifu ulivyovitaja tafadhali
@macotv219727 күн бұрын
Hapa kuna orodha ya viwatilifu na majina: 1. Herbiside: - Glyphosate: Hii ni herbisidi inayotumika kuua magugu na hutumika sana katika kilimo cha mahindi. - Atrazine: Hii ni herbisidi inayotumika kudhibiti magugu katika mashamba ya mahindi. 2. Insecticide: - Permethrin: Hii ni insektisidi inayotumika kudhibiti wadudu mbalimbali wanaoshambulia mahindi. - Chlorpyrifos: Hii ni insektisidi inayotumika sana kudhibiti wadudu wa majani na mizizi ya mahindi. 3. Fungisidi: - Mancozeb: Hii ni fungisidi inayotumika kudhibiti magonjwa yanayosababishwa na fangasi kwenye mahindi. - Propiconazole: Hii ni fungisidi inayotumika kudhibiti magonjwa ya majani na mashina ya mahindi. 4. Nematicide: - Carbofuran: Hii ni nematicide inayotumika kudhibiti nematodi katika udongo ambao unaweza kuathiri mizizi ya mahindi. - Fenamiphos: Hii ni nematicide inayotumika kudhibiti nematodi katika udongo. kwa ufupi vipo viwatilifu vingi lakini hivi vitakusaidia
@user-kr9xi9lo3zАй бұрын
Ongera brother
@abumuhammad9615Ай бұрын
Naomba namba zako mtaalamu
@macotv2197Ай бұрын
Tupigie cm namba 0750406919
@adsoncharles7335Ай бұрын
Npo mbeya nataka kulima viaz mviringo na tangawiz jumla heka kumi inatakiwa niandae shingap pesa ya mfumo mzima wa drip
@macotv2197Ай бұрын
Tunapofunga mfumo wa umwagiliaji Kuna factor mabalimbali tunazingatia kama chanzo Cha maji, hali ya shamba(mwinuko /blonde au tambalale) Kwa hyo kikupa jibu la moja kwa moja haitakuwa sahihi sana : tupigie 0750406919 , Kwa maelezo zaidi mkuu
@Dox-gb4kgАй бұрын
well done engn.
@robybernard2326Ай бұрын
🔥🔥
@ntemilulyalya6830Ай бұрын
Congratulations engineer
@jamaliadam5845Ай бұрын
Excellent Engineer 😮
@nangela04Ай бұрын
Hii inalimika Sumbawanga?
@macotv2197Ай бұрын
Guys hawa watu wapo sua@ epal laboratory kama ungenda kujionea ama kujaribubkifaa unaweza fika sua morogoro , au piga simu 0750406919
@miscellaneous98Ай бұрын
Nzuri Sana hii
@AlexKing-yg2ccАй бұрын
Unapatikana wilaya gani?
@macotv2197Ай бұрын
Morogoro manispaaa
@richardchepkurgor7506Ай бұрын
Nothing heard,lots of music
@macotv2197Ай бұрын
Sorry, you may look for other videos on our channel, with the similar contents as this with no distractions, apologize!!!!!
@malila4582Ай бұрын
Mashaallah Mashaallah bei gani iyo kiongozi
@macotv2197Ай бұрын
Hyo mkuu, inapatikana Kwa 7m boss, Ina 4 inches boss
@Agrostem-Vet_IrrigationАй бұрын
A center pivot cannot be used and is not allowed at all for tomato crops because tomatoes are among the crops that are easily attacked by diseases, especially those that spread through water. The center pivot method sprays water, which can significantly increase the likelihood of many diseases in tomatoes. Therefore, it is better to use a drip irrigation system.
@osmundmtavanguАй бұрын
Pia ungeweza kutumia mtiririko wa DAP kwa Kupandia+(Urea+CAN) kwa kukuzia ni nzuri pia
@macotv2197Ай бұрын
Karibuni saana Kwa huduma ama ushari pia , tupo morogoro: Kwa maoni na ushauri pia unaweza tuandikia apa chini. Love you all.
@simaivuwai1221Ай бұрын
Mbegu nataka naipataje nipo Zanzibar
@macotv2197Ай бұрын
Habari, mbegu znapatikana kwenye agro vet, kwahyo fika kaulizie pale
@mashaainsuranceagency5925Ай бұрын
ZA LEO HUJATOA NAMBA YA SIMU ,TUNAOMBA TAFAFHALI
@macotv2197Ай бұрын
0750406919
@RosemarysodperterKidubi2 ай бұрын
naweza kupata namba zenu
@macotv21972 ай бұрын
0620511969
@gabriellaizer99252 ай бұрын
Tusaidie pia na utaratibu kwanzia kumwaga mbegu mpaka kuanza kuchuma na ina kaa mda gani mpaka kungoa
@EzekielKabura2 ай бұрын
Tupe number yenu
@macotv21972 ай бұрын
0620511969
@user-td2qt3km9h2 ай бұрын
Nilijaribu kulima hii mwendo kasi jamani karobo heka ila nilipata pesa kuna muda zinakuwaga dili sana
@macotv21972 ай бұрын
Ni kweli, ilimradi ujue soko lako vizuri, unapiga hela
@user-td2qt3km9h2 ай бұрын
@@macotv2197 lakini naskia kuna kampong huwa zinanunua hizi pilipili tusaidiane connection za masoko jamani mana kuna muds huwa tunazimwaga sokoni
@user-fj4sg6yq5k2 ай бұрын
Kaz nzuri san
@macotv21972 ай бұрын
Karibu saana
@jacksonmiyumo42012 ай бұрын
Naomba kujua kilimo cha mahindi ktk mafuta shambani.
@macotv21972 ай бұрын
Habari, swali lako ungeliweka vizuri , cjalielewa
@jacksonmiyumo42012 ай бұрын
Matuta km ya mihogo kwa mahindi yaweje ?
@sanchdenchiyiki20242 ай бұрын
Nachokumbuka huyu jamaa alisema anapenda investment ya kilimo ,ko kweli kaivaa sasa tumzingatie
@FeruziIsa-nc5vo2 ай бұрын
We sio mkulima bhana unaonekana ni mjanja wa mjini
Пікірлер
Brother mim nimewatika hiyo imara f1 nipo songea, naomba msaada wako nitumie njia gan ili nitakapohamishia shamban isipatwe na mnyauko kabisa?🙏
Hongera boss, Ili kuhamisha miche ya nyanya kwenye shamba na kuzuia mnyauko, fuata hatua hizi: 1. Tayarisha Shamba: - Hakikisha udongo una rutuba ya kutosha kwa kuongeza mbolea ya samadi au mbolea ya kemikali kama DAP. - Fanya matuta au mashimo yenye kina cha kutosha ili miche ipate nafasi nzuri ya kukua. 2. Chagua Wakati Sahihi**: - Hamisha miche asubuhi au jioni ili kuepuka joto kali la mchana. - Kagua hali ya hewa na epuka kuhamisha wakati kuna jua kali au upepo mkali. 3. Mwagilia Miche Kabla ya Kuhamisha: - Mwagilia miche vizuri masaa machache kabla ya kuhamisha ili iwe na unyevu wa kutosha. - Hii husaidia miche kushikamana na udongo mpya kwa urahisi. 4. Ondoa Miche kwa Uangalifu - Tumia koleo au kijiko kidogo kutoa miche bila kuharibu mizizi. - Hakikisha unaondoa miche pamoja na kiasi kidogo cha udongo ulioshikamana na mizizi. 5. Panda kwa Kina Sahihi: - Hakikisha miche inapandwa kwenye kina sawa na kile ilichokuwa ikikua kwenye kitalu. - Finyanga udongo kwa upole karibu na mizizi kuhakikisha hakuna hewa inayoingia. 6. Mwagilia Mara Baada ya Kupanda: - Mwagilia miche mara moja baada ya kupanda ili kupunguza mshtuko na kusaidia mizizi kushika vizuri. 7. Kingamizi Mnyauko: - Funika miche kwa kivuli kwa siku chache za kwanza baada ya kuhamisha ili kupunguza upotevu wa maji. - Tumia mbinu kama mulching ili kuhifadhi unyevu kwenye udongo. 8. **Kuhudumia Miche Baada ya Kupanda**: - Endelea kumwagilia mara kwa mara, hasa wakati wa asubuhi na jioni. - Fuatilia afya ya miche na tumia dawa za kuua wadudu na magonjwa inapobidi. Kwa kufuata hatua hizi, utaweza kuhamisha miche ya nyanya kwenye shamba bila kupatwa na mnyauko na kuhakikisha inakua vizuri.
Umetumia umbali gani upandaji?
Umbali wa kupanda miche ya nyanya ni muhimu ili kuhakikisha miche inapata nafasi ya kutosha kwa ajili ya kukua vizuri. Hii inasaidia pia kupunguza mashindano ya virutubisho, maji, na mwanga wa jua. Umbali unaopendekezwa ni kama ifuatavyo: 1. Umbali kati ya Mche na Mche (Plant Spacing): - Panda miche ya nyanya kwa umbali wa sentimita 45-60 kati ya mche na mche. 2. Umbali kati ya Mstari na Mstari (Row Spacing): - Acha umbali wa sentimita 75-90 kati ya mstari na mstari. Kupanda kwa umbali huu kunasaidia: - Kuruhusu mwanga wa jua kupenya vizuri kwa kila mmea. - Kuboresha mzunguko wa hewa kati ya miche, hivyo kupunguza uwezekano wa magonjwa ya fangasi. - Kutoa nafasi ya kutosha kwa ajili ya palizi, kumwagilia, na matunzo mengine muhimu. Kwa kuzingatia umbali huu, utaweza kuhakikisha miche yako inakua vizuri na kutoa mazao bora.
@@macotv2197 sawa kaka🙏
Kwanza umelima mbegu gani alafu kama nyanya inatoa matunda ni mbolea gani inahitajika kwa wakati huo
Mbegu ni imara f1, na mbolea zinazofaa ni nitrabo, CAN zinafaa wakati wa matunda, na pia nimezitaja kwenye video hii ungetizama mpaka mwisho ,zipo humu, karibu
Kijana unaharibu uwasilishi wa mada nzuri. Kingereza cha kuchomekachomeka kinaboa sana. Ongea tu kiswahili tutaelewa tu
Tumelichukua hili boss!
This is just a mere joke... Prepare for something presentable
We are working on that, apologize!
🎉
Kampun ya boss sh ngap
Bei boss inategemea na size ya pump, ila kama hii iliyopo apa Ina horsepower 7, na inches 3, na bei yake ni 480000
Ungeelekeza toka kupanda mpaka kuvuna
Naomba no yako
Hongera
Uko vzr je hiki kifaa kinauzwa au😊
Bado ni prototype, hazijaingia sokon Bado Kuna ishu za usajiri , IP then kitaizwa mkuu
Naoamba namba yasm
Maomba namba yasmu
0750406919
Taarifa za mwinuko zinapatikana wapi? Yaani, nikitaka kujua taarifa za mwinuko katika shamba flani hasa mahali ambapo mimi nimeenda kukodi mashamba nikiwa siyo mwenyeji wa mkoa huo.
Guys, unaweza uliza swali, uka comment, na kutoa ushauri, ama tupigie cm 0750406919
@@macotv2197 shukrani🙏
Hongera sana ndugu kiongozi
Gharama ni sh ngapi
Million 7 , boss
Jambo zuri sana. Hongereni Sana kwa hizo hatua mlizo fikia. Nineona hapo PCB ( printed circuit board) je mnaprint Kama mtu ame design schematic?
Syeah, hyo huduma ipo, mkuu karibu sua
Mnapatikana wapi?
Morogoro
JE HII MBEGU INASITAWI KWENYE HALI YA AINA GANI
Mahindi yanahitaji mazingira maalum ili kustawi vizuri. Hapa kuna mambo muhimu kuhusu hali inayofaa kwa ustawi wa mahindi: 1. **Hali ya hewa**: Mahindi yanahitaji hali ya joto kwa ajili ya kukua vizuri. Hali bora ni kati ya nyuzi joto 18°C hadi 27°C. Mahindi yanaweza kuathirika na baridi kali na ukame. 2. **Udongo**: Mahindi yanapendelea udongo wenye rutuba, wenye madini na mboji. Udongo wa mfinyanzi mchanga wenye uwezo mzuri wa kupitisha maji ni bora zaidi. pH ya udongo inapaswa kuwa kati ya 5.8 na 7.0. 3. **Maji**: Mahindi yanahitaji maji ya kutosha hasa wakati wa kukua na wakati wa kutunga punje. Umwagiliaji au mvua ya kutosha ni muhimu. 4. **Nuru ya Jua**: Mahindi yanahitaji mwanga wa kutosha wa jua kwa saa 6 hadi 8 kila siku. Sehemu yenye mwanga wa kutosha wa jua itasaidia mimea kukua vizuri. 5. **Mbolea**: Mahindi yanahitaji virutubisho vingi kutoka kwenye udongo. Mbolea za Nitrojeni, Fosforasi, na Potasiamu (NPK) zinahitajika kwa kiasi kikubwa. Ni muhimu kutumia mbolea wakati wa kupanda na wakati wa ukuaji. Kwa kuzingatia mambo haya, mahindi yatakuwa na nafasi nzuri ya kustawi na kutoa mavuno mazuri.
Bei gani iyo pamp
Pump hii boss ni 7m
Inaelekea ulikuwa hujajipanga kuelezea uzuri ubora wa hiyo pump ya diezel.
sorry:
Hawa ndio watu tunaowataka,hongereni sana sana,Sasa mashamba yataongea ,safi saaaana,mungu wabariki Hawa jamaaaaaa
Safi sana Kwa kutupa elimu hiyo,naomba uniandikie biambata vya viwatilifu ulivyovitaja tafadhali
Hapa kuna orodha ya viwatilifu na majina: 1. Herbiside: - Glyphosate: Hii ni herbisidi inayotumika kuua magugu na hutumika sana katika kilimo cha mahindi. - Atrazine: Hii ni herbisidi inayotumika kudhibiti magugu katika mashamba ya mahindi. 2. Insecticide: - Permethrin: Hii ni insektisidi inayotumika kudhibiti wadudu mbalimbali wanaoshambulia mahindi. - Chlorpyrifos: Hii ni insektisidi inayotumika sana kudhibiti wadudu wa majani na mizizi ya mahindi. 3. Fungisidi: - Mancozeb: Hii ni fungisidi inayotumika kudhibiti magonjwa yanayosababishwa na fangasi kwenye mahindi. - Propiconazole: Hii ni fungisidi inayotumika kudhibiti magonjwa ya majani na mashina ya mahindi. 4. Nematicide: - Carbofuran: Hii ni nematicide inayotumika kudhibiti nematodi katika udongo ambao unaweza kuathiri mizizi ya mahindi. - Fenamiphos: Hii ni nematicide inayotumika kudhibiti nematodi katika udongo. kwa ufupi vipo viwatilifu vingi lakini hivi vitakusaidia
Ongera brother
Naomba namba zako mtaalamu
Tupigie cm namba 0750406919
Npo mbeya nataka kulima viaz mviringo na tangawiz jumla heka kumi inatakiwa niandae shingap pesa ya mfumo mzima wa drip
Tunapofunga mfumo wa umwagiliaji Kuna factor mabalimbali tunazingatia kama chanzo Cha maji, hali ya shamba(mwinuko /blonde au tambalale) Kwa hyo kikupa jibu la moja kwa moja haitakuwa sahihi sana : tupigie 0750406919 , Kwa maelezo zaidi mkuu
well done engn.
🔥🔥
Congratulations engineer
Excellent Engineer 😮
Hii inalimika Sumbawanga?
Guys hawa watu wapo sua@ epal laboratory kama ungenda kujionea ama kujaribubkifaa unaweza fika sua morogoro , au piga simu 0750406919
Nzuri Sana hii
Unapatikana wilaya gani?
Morogoro manispaaa
Nothing heard,lots of music
Sorry, you may look for other videos on our channel, with the similar contents as this with no distractions, apologize!!!!!
Mashaallah Mashaallah bei gani iyo kiongozi
Hyo mkuu, inapatikana Kwa 7m boss, Ina 4 inches boss
A center pivot cannot be used and is not allowed at all for tomato crops because tomatoes are among the crops that are easily attacked by diseases, especially those that spread through water. The center pivot method sprays water, which can significantly increase the likelihood of many diseases in tomatoes. Therefore, it is better to use a drip irrigation system.
Pia ungeweza kutumia mtiririko wa DAP kwa Kupandia+(Urea+CAN) kwa kukuzia ni nzuri pia
Karibuni saana Kwa huduma ama ushari pia , tupo morogoro: Kwa maoni na ushauri pia unaweza tuandikia apa chini. Love you all.
Mbegu nataka naipataje nipo Zanzibar
Habari, mbegu znapatikana kwenye agro vet, kwahyo fika kaulizie pale
ZA LEO HUJATOA NAMBA YA SIMU ,TUNAOMBA TAFAFHALI
0750406919
naweza kupata namba zenu
0620511969
Tusaidie pia na utaratibu kwanzia kumwaga mbegu mpaka kuanza kuchuma na ina kaa mda gani mpaka kungoa
Tupe number yenu
0620511969
Nilijaribu kulima hii mwendo kasi jamani karobo heka ila nilipata pesa kuna muda zinakuwaga dili sana
Ni kweli, ilimradi ujue soko lako vizuri, unapiga hela
@@macotv2197 lakini naskia kuna kampong huwa zinanunua hizi pilipili tusaidiane connection za masoko jamani mana kuna muds huwa tunazimwaga sokoni
Kaz nzuri san
Karibu saana
Naomba kujua kilimo cha mahindi ktk mafuta shambani.
Habari, swali lako ungeliweka vizuri , cjalielewa
Matuta km ya mihogo kwa mahindi yaweje ?
Nachokumbuka huyu jamaa alisema anapenda investment ya kilimo ,ko kweli kaivaa sasa tumzingatie
We sio mkulima bhana unaonekana ni mjanja wa mjini