Zitto: Nimeachiwa Huru, Naisubiri Serikali Mahakamani

Subscribe / uwazi1
Zitto Aachiwa kwa Dhamana, Aisubiri Serikali Mahakamani
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameachiwa kwa dhamana leo Jumanne jioni baada ya kushikiliwa na polisi akihojiwa jijini Dar es Salaam.
Zitto baada ya kuhojiwa katika Kituo cha Polisi cha Chang’ombe mkoani Temeke sasa alihamishiwa Kituo Kikuu cha Polisi cha Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Ado Shaibu amesema baada ya Zitto kuhojiwa kuhusu aliyozungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani zilizofanyika Kijichi Jumapili Oktoba 29,2017 aliachiwa kwa dhamana.
Shaibu amesema Zitto aliyewakilishwa na wanasheria Venance Msebo na Steven Mwakibolwa alidhaminiwa na watu wawili na alitakiwa kurudi kituoni hapo Jumatatu Novemba 6,2017. Hata hivyo, amesema alikamatwa tena.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM:

Пікірлер: 41

  • @user-gi1ez6fc1y
    @user-gi1ez6fc1y6 жыл бұрын

    Naichukua sana siasa ktk maisha yangu ila napenda kiongozi yoyote yule anayefanya vzr ktk kazi za ujenzi wa taifa bila kujali chama chake wanasiasa kazi kwenu

  • @dennisollomy401
    @dennisollomy4016 жыл бұрын

    Mungu mbariki Zitto

  • @jisephmaganiko3859
    @jisephmaganiko38596 жыл бұрын

    Pambana kwa sasa tunakutengemea kwa upizan huku tukisubili jembe letu liimalike

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu67626 жыл бұрын

    pole zito

  • @sunzuhasani3709
    @sunzuhasani37096 жыл бұрын

    Dah nihatali jamani m yangu macho zitto usiludi nyuma endelea mbele

  • @thomasmhindi1469
    @thomasmhindi14696 жыл бұрын

    watz bna, ,,, saiv n hongera kwa zto yakimpata magum zaid , apambane na hali yake...... ,,,,,politician mkiskiliza maneno ya waandshi wa habar mtaumbuka

  • @babsule8904
    @babsule89046 жыл бұрын

    Aisee

  • @zeelamipango
    @zeelamipango6 жыл бұрын

    Tanzania eeeee nchi yanguuu

  • @katulitsajacob1107
    @katulitsajacob11076 жыл бұрын

    Viva Zitto Zuberi Kabwe wewe ni Mshindi tu kaka

  • @obedwilliam5906
    @obedwilliam59066 жыл бұрын

    Saf zitto hata sisi wananchi tunalaani vikali mambo yanayofanywa na serikali ya sasa.mungu akutie nguvu

  • @wilbroadsiyonga5889
    @wilbroadsiyonga58896 жыл бұрын

    Taifa la watu wasio hoji limekufa!

  • @nestorymalekela1823
    @nestorymalekela18236 жыл бұрын

    sio Kama hivyo

  • @lukasmaige5575
    @lukasmaige55756 жыл бұрын

    lakini mimi toka nimeanza kusikia kutazama haya mambo mbona wa chama tawala hawakamatwi nahuwa wanamakosa tu

  • @nicholausnchimbi1599
    @nicholausnchimbi15996 жыл бұрын

    KUIWA NA UFUNGUZI WA MIRADI YA KIMAENDELEO CAMELA ZA KUHESABU,LAKINI KWENYE USHILAWADU HAPATOSHI NANI KATULOGA WTZ.

  • @victorienadebayor818
    @victorienadebayor8185 жыл бұрын

    Acha nikae kimya

  • @shufaamohameed2603
    @shufaamohameed26036 жыл бұрын

    Pambana kaka

  • @wilhemmwashambwa1065
    @wilhemmwashambwa10656 жыл бұрын

    Pambana Hall yako zto unabwabwanga nn mdomon mwako kazi kuongea uongo tu.

  • @shaurikiyanga6033
    @shaurikiyanga60336 жыл бұрын

    usikwamishwe mheshimiwa ni mbinu tu za kukuogopesha

  • @santyhassan4186
    @santyhassan41866 жыл бұрын

    Nimekuona kilungi Emili kilungi

  • @christophersimon823
    @christophersimon8236 жыл бұрын

    zitto usirudi nyuma pambana nimechoka udkiteta

Келесі