Zitto Kabwe Bungeni leo kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar

April 17, 2018 Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe alisimama Bungeni Dodoma kuchangia mapendekezo yake katika hotuba ya Waziri wa nchi, ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) January Makamba ambapo alihoji sababu za bidhaa za biashara kati ya Tanzania bara na Zanzibar kuwa na vikwazo za mara kwa mara bila kutafutiwa ufumbuzi.

Пікірлер: 55

  • @khaliphasayd7709
    @khaliphasayd77096 жыл бұрын

    zito ww ni genious atakaenuna na anune tu ila ukweli ndio huo

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri6 жыл бұрын

    this is very very deep.. mnajua kama mkiangalia kwa makini everything that is going on in TZ is unfair.. inaumiza sana, sana itabidi tumwombe Mungu atufikishe ..😢

  • @abdallahabdul8684
    @abdallahabdul86846 жыл бұрын

    Kunawakati ukijiuliza kabisa atuoni maaana ya muungano,wazanzibari kuingiza bidhaa Tanzania bara et wanatozwa ushuru sasa inamanagani kua na muungano 😳😳😳

  • @michaelbigvai1199
    @michaelbigvai11996 жыл бұрын

    Huyu zito anaakuli kubwa sana anafaa kwenye utendaji me naamini anawakosoa wanaakili ndogo sana na hua hawamwelewi kabisa

  • @kasmirilamiye6991
    @kasmirilamiye69916 жыл бұрын

    sema sanaaa

  • @allymasenti8748
    @allymasenti87486 жыл бұрын

    makoiga mg hakuna msomi serikalini wakumfikia zitto hat kwa asilimia 10% hayupo na kama angelikuepo tungelikua tumeshamuona

  • @rahimali1068
    @rahimali10685 жыл бұрын

    Zitto umeongea ukweli...

  • @issajumaali4009
    @issajumaali40096 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @jensennashon6147
    @jensennashon61476 жыл бұрын

    Noted

  • @salehdybala6453
    @salehdybala64536 жыл бұрын

    Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Tanganyika na Tanzania Zanzibar SIO Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar.

  • @chishimbamwasambungu62
    @chishimbamwasambungu626 жыл бұрын

    Mbowe kumfukuza Zitto Chadema ni pigo kubwa Huyu na Bashe ndiyo Wabunge peke wanaongea point

  • @abdallahabdul8684

    @abdallahabdul8684

    6 жыл бұрын

    chishimba mwasambungu zitto ata hapo alipo anatosha kufukuzwa chadema akuja mkwaza kitu wala kuleta tatizo kwa Tanzania 🇹🇿 mana bado anaendelea kuwaelewesha viongozi wanaoganya mambo ambayo ata alieishia darasa la 4 anaona ayafai.sasakunamana gani ya muungano et akuna free trade jamn ila Zanzibar tunawanyonya sana sio mambo yakuficha haya

  • @abuuyusra3819
    @abuuyusra38196 жыл бұрын

    Fact

  • @lemmygiusbalilemwa8001
    @lemmygiusbalilemwa80016 жыл бұрын

    m.I.ll.I.r.d ayoooooooooooo,daah nimemic amplifaya npo India mtu wangu Wa nguvu damu damu milele

  • @amiajo2846

    @amiajo2846

    6 жыл бұрын

    download app ya RADIO utapata radio zote za tanzania

  • @lemmygiusbalilemwa8001

    @lemmygiusbalilemwa8001

    6 жыл бұрын

    nashukuru man

  • @hamzakassim35
    @hamzakassim356 жыл бұрын

    💯✔🔥🔥

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri6 жыл бұрын

    mm bado nalia na walimu.. FULL STOP😡

  • @isayakarori1388
    @isayakarori13886 жыл бұрын

    hakika zito kichwa

  • @bkmt6571
    @bkmt65716 жыл бұрын

    KAKA HAPO KAMA HAKUNA SERIKALI TATU BASI SIKU ZOTE NDIO ITAKUA PAPA KUMLA KIDAGAA TU NA HUO NDIO UKWELI

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid32446 жыл бұрын

    Unakusudia Zanzibar na Tanganyika!?

  • @uledimtumwa3045
    @uledimtumwa30456 жыл бұрын

    Wewe tetea hawana muda na mashirikiano wao wanataka kuuza bidhaa zao bara tu si vinginevyo.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76376 жыл бұрын

    Huwa sielewi msomi anaposema Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar...hii ndio nini? Sisi tulifundishwa na ndivyo ilivyo. Tanzania Bara na Tanzania visiwani.....

  • @namisgiggah1571

    @namisgiggah1571

    6 жыл бұрын

    Zoba kazizi Sasa hivyo visiwa havina jina au ? Acha uvuvula

  • @salehdybala6453

    @salehdybala6453

    6 жыл бұрын

    Nami cartle. Kama ukisema Tanzania Zanzibar sema pia Tanzania Tanganyika sio Tanzania Bara. Acha UYOYO

  • @namisgiggah1571

    @namisgiggah1571

    6 жыл бұрын

    Saleh Dybala basi makosa ni yao wenyewe kutotambua hilo km Tanzania bara ilipaswa iwe tanganyika. But Zanzibar bado IPO pale pale hajakosea hata akisema visiwani Bado ni Zanzibar km muelewa.

  • @manish-fp1fb

    @manish-fp1fb

    6 жыл бұрын

    Unaweza ukaita vyovyote vile.. tanganyika vs zanzibar.. tz bara vs tanzania visiwani... As long as ameeleweka anachokimaanisha.

  • @paulfrancis7143

    @paulfrancis7143

    6 жыл бұрын

    zoba kweli

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi97226 жыл бұрын

    Sawa mh zitto

  • @nassernajm5417

    @nassernajm5417

    6 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa!! Yaani nashangaa hata gari iliosajiliwa Zanzibar hairuhusuwi kuendeshwa Tanzania bara??? Wakati gari iliosajiliwa TZ bara linaruhusiwa kuendeshwa Zanzibar?? At the same time magari ya Kenya, South Africa na etc.. utayaona majiani TZ bara????! What is going ON???? MAYBE I MISSED SOMETHING??

  • @ekisuka1
    @ekisuka16 жыл бұрын

    Zito kwa kuhadaa watu hujambo. Watupeje sukari wakati haiwatoshelezi Zito angekuwepo Nyerere ungefungiwa kizuizini hoja zako hazijengi ila ni kubomoa

  • @hajikhatib8840

    @hajikhatib8840

    6 жыл бұрын

    hivi wewe jiulize mwenyew !!! Kwa akili yko hapo Tanganyika hiyo sukari inayouzwa njee ktk soko la biashara east Africa ...nyinyi unawatosha??? na kama unahis inawatosha Kwa nini iagiziwe nyengine kutoka soko la njee??? tumia akili yko ulivyojaaliwa.usiwe na maupendeleo Kwa sehem moja?????

  • @allyseif5294

    @allyseif5294

    6 жыл бұрын

    KANISANI Tv acha mawazo mgando ndugu kutosheleza ndio nini mbona sisi tunauza pamba nje ya nchi wakati haitoshelezi

  • @fatmahamad2156

    @fatmahamad2156

    5 жыл бұрын

    Mjinga kweli ww,adui wa haki ww,

  • @rastafare878

    @rastafare878

    2 жыл бұрын

    Nyinyi ndio wale kina lukuvi munataka mupate nyinyi tu Kwa kweli roho zenu kama korosho hazijanyooka hata kidogo , mungu atakulipeni hapahapa duniani kama walivyolipwa wenzenu

  • @hajibakari9942
    @hajibakari99426 жыл бұрын

    kaka zito rudi ccm uwe wazir mkuu wetu

  • @ekisuka1

    @ekisuka1

    6 жыл бұрын

    Haji Bakari hafai angalia hoja zake

  • @fatmahamad2156

    @fatmahamad2156

    5 жыл бұрын

    @@ekisuka1 hufai ww,ccm wamezoea zulma sasa itakuwaje aje mtu aso penda zulma,haitawezekana

  • @mako331
    @mako3316 жыл бұрын

    Umejaribu kuleta uchochezi kupitia report ya CAG umejibiwa, sasa unaanza kujifanya wewe mtetezi wa Wanzanzibar hamia huko basi huna hoja kabisa, kwani unafikiri wasomi wote waliopo serikalini hawayaoni hayo? Ninaamini chochote serikali inachofanya inakifanya kwa kuona mbali kupiga kelele ukiwa nje rahisi ingia hapo ndani

  • @bkmt6571

    @bkmt6571

    6 жыл бұрын

    KUSHINDANA NA UKWELI NI ZIDI YA UJINGA....NAKUKUMBUSHA TU SIKU ZOTE UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI...

  • @TheOne-fi6cs

    @TheOne-fi6cs

    6 жыл бұрын

    Dah, umeongea makini sana my! hawa viongozi wanaongozwa kwa nguvu ya pesa!

  • @godiegodie1336

    @godiegodie1336

    6 жыл бұрын

    makoiga mg Kweli serikali inaona mbali ndo maana ilijenga mradi wa mwendokasi jangwani ambo kuna maafuriko kila kipindi cha mvua

  • @ashrafallymhando7876

    @ashrafallymhando7876

    6 жыл бұрын

    Godwin umeniua aseee😂😂😂

  • @empirialmdudj3864

    @empirialmdudj3864

    6 жыл бұрын

    hujielew

  • @michaelkinga821
    @michaelkinga8216 жыл бұрын

    hueleweki kaka kwa hili huenda unaongea kwa nguvu ya FEDHA

  • @TheOne-fi6cs

    @TheOne-fi6cs

    6 жыл бұрын

    👊👊👊👍

  • @petromwinyi4955

    @petromwinyi4955

    6 жыл бұрын

    we ndo hueleweki inamaana hujaelewa nn apo ,yaani kuna mijitu yaa ajabu, zitto umeongea ukweli mtupu.

  • @empirialmdudj3864

    @empirialmdudj3864

    6 жыл бұрын

    kichwan shule hamna huwez elewa

  • @jacobmtaliki3866

    @jacobmtaliki3866

    6 жыл бұрын

    Mchumia tumbo. Tuache Manyumbu. Zito ni kaz.kigoma jifunzen msiwe kama msiba

  • @oopsm3574

    @oopsm3574

    6 жыл бұрын

    Michael Kinga : kwa sababu wewe mbumbumbu😂

Келесі