ZIJUE HAKI ZA MOLA KWA WAJA WAKE NA HAKI ZA WAJA KWA MOLA: MUHADHARA SHEIKH KISHK DODOMA TANZANIA
Muhadhara uliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Uwanja wa Jamuhuru Jijini Dodoma Tanzania Tarehe 05/05/ 2012 . Mada ikielezea Haki za Allah kwa Waja na Haki za waja kwa Mola, Je ni haki zipi hizo? Inshaallah fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Пікірлер: 15
Inshallah hongera shekhe kishki mimi si muislam lakini huwa najisikia vizuri nikisikia ukitowa hotuba zako na kutusihi tumche Allah na tumuogope Allah
Baarakallah Sheikh Kishk! Allah akuhifadhi Duniani na Akhera na akupe mwisho mwema.Aamin.
Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah
Ma sha Allah Tabaarakallah 😍 Shekh Shukran Kwa Ukumbusho mzito 🙏 🙏 Jazaakallahu khayr
Maa shaa Allah sheikh nurdn kishk Allah akuifadhi uzidi kuzindua kizaz chetu 🎉❤
Mashallah JazzakAllah kheir sheikh wangu
Mashallah
Mashallah tabaarakallah
Jazakallah kheir sheikh
Shukran jazak Allahu khairan sheikh
❤❤❤❤❤❤ mashaaallha
Alhamdulillah Shekh Kishki kazi kubwa unayofanya haina kificho Allah inshallah atakulipa kila la kheri 😂duniani na akhera.
Mashaallah ❤
mashallah
Zidi sheikh