Zari awachana wanao mtukana mtandaoni "hamna hela wala furaha, mimi nina pesa na siongei sana"

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 27

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf13 күн бұрын

    Kafilisika huyo. Alie bora ni yule anaemuabudu mola wake. Akajiandaa siku atakayokutana nae. Haya ni mambo ya kidunia tuu. Allah amuongoe

  • @Bravo-or8oy

    @Bravo-or8oy

    13 күн бұрын

    Kwani wewe ndio accountant wake? wawapost hao walio bora waachane nae

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    13 күн бұрын

    Kuwa huna pesa haina maana ndio unamcha Mola ,unaweza kuwa masikini na Mola humchi kabisa ,

  • @steveanthon5523

    @steveanthon5523

    13 күн бұрын

    Kweli kabisaa!​

  • @user-id8ys3lg5d

    @user-id8ys3lg5d

    13 күн бұрын

    Tena hela za urithi kama sie mumewe hizi nyodo zote zisingekuwepo

  • @Bravo-or8oy

    @Bravo-or8oy

    13 күн бұрын

    @user-id8 Wewe huna marehemu wa kumrithi? toka mmeanza kusema urithi imepita miaka 7 hizo pesa zipo tu hadi leo? Tafuteni wengine wa kuwatukana achaneni nae kwa nini yeye?

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma970913 күн бұрын

    😂kujisifia una MAISHA bora nitabia ya roho kilicho bora mwisho mwema nyoka alikosa miguu juu ya majigambo sokwe alikosa mkia kwa kuwazomea watu chunga MAISHA mwenyezi mungu alali usingizi

  • @nightwishisthegreatestband6355
    @nightwishisthegreatestband635513 күн бұрын

    Why does she need to react to them every time?

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x13 күн бұрын

    Anamjibu lokole kisomi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly568613 күн бұрын

    Sawa😂akifa aende nazo 😅

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon156210 күн бұрын

    ❤❤❤❤️‍🔥❤️‍🔥🫶🫶🫶❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🔥ZARI forever ❤❤❤❤❤

  • @TabithaAlfred
    @TabithaAlfred12 күн бұрын

    Zari dada mm nakupenda bure nisaidie mdogo wako mtaj namm nataman kufika ulipo

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla631612 күн бұрын

    Nyote hamna pesa, alie na pesa amekaa tulii anawaangalia tu😂

  • @SandreAlhlwah-bv1cx
    @SandreAlhlwah-bv1cx13 күн бұрын

    Safi sana zari ❤❤❤❤

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d12 күн бұрын

    Kakalia kuchamba watu tu kusali aah 😂😂😂 ushungi aaah

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi223213 күн бұрын

    Safi

  • @Maryc2G
    @Maryc2G13 күн бұрын

    It’s doesn’t hurt to be nice Zari. Money is not everything, utaenda kaburini na uboss lady wako?D…… Crezy’s

  • @salomewandya7257
    @salomewandya725711 күн бұрын

    Hataree 😅😅

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo899313 күн бұрын

    Kumbe watu wana penda kiki tu kabisa ha kumbuke kifokiko hata mwenye ali bitafuta ali fariki akabihacha duniya ni mapito sote ni wakufa bitabaki bibi zari

  • @ilmoprince4655
    @ilmoprince465511 күн бұрын

    Wacha kuringa na Pesa za devil

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam249113 күн бұрын

    Hatar sn 🤣🤣🤣

Келесі