Zanzibar Town Mlandege Malindi Saateni Mwembeladu Mikunguni....
#discoverzanzibar #zanzibartown #NaanzajeDiamond
Жүктеу.....
Пікірлер: 30
@AnwarAli-vs9mp Жыл бұрын
ASALAM ALIEKUM mashallah location s nzuri hizo muziq ndio umeharabu weka nyimbo za kitamaduni wakizanzibari bro
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
W. Salam ahsante kwa comment bro video zote za sasa hatuweki music kabisa.
@bizamanachirack3649 Жыл бұрын
Ata miziki uloweka haiyendani na asili ya Zanzibar eta taarab zetu za znz sio bongo fleva wala nyengine uone kama Ata kama umechemsha basi utakubalika Kwa nyimbo na utamaduni wetu pole sana
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
Ahsante angalau kwa kunipa pole
@user-dg4zc2un1y
2 ай бұрын
😂😂😂
@omarkapula5887 ай бұрын
nyuma ya bwawani hoteli ya zamani
@omarkapula5887 ай бұрын
kibanda maiti umeisahau
@ahmadhamid11382 жыл бұрын
Mjiii safiii
@omarkapula5887 ай бұрын
ni Rasil Khema sio malindi
@discoverzanzibar
7 ай бұрын
Sawa kaka shukran
@aminaali19072 жыл бұрын
Wow so neci
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thank you
@aulidriver31022 жыл бұрын
home sweety home
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Karibu
@bizamanachirack3649 Жыл бұрын
Wewe ndo Kwanza unajifunza mji haunzii hapo pole Sana etilist ungeanza Ata soko la darajani kidogo au ston town forodhan umeona b o t ndo mji au umeona jumba kubwa kwako uloanza kuliona pole Sana acha zako au mbara ww umekula Zanzibar mzalia hasa hawezi kusema mji kuazia apo
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
Sawa ntaendelea kujifunza angalau nimekuelewa kuwa mji unaanzia darajani
@elsonkibasindila7526
Жыл бұрын
Wewe ni mshamba bila shaka kama unaona Zanzibar ni mji mkubwa 🤣🤣
@mohamedfaris30002 жыл бұрын
Dah Braza ulipopita apo malindi umeniumiza moyo wng kidogo mana kuna mali yangu apo niliipenda sn na bado naipenda sn, nilipokuja Zanzibar nilikuja apo kumtafuta lkn sikumuona ni mwaka wa nne sasa sijamuona Nitazidi kuitazama hii video ili nione nyumva yao tena na tena Asnte mzee baba
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Hahaha kaka mali umeiacha muda mrefu bila uangalizi.
@mohamedfaris3000
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar dah wee acha2 kk, mali kali sn mtt mzuri sn Mashaa Allah na sijui kapotelea wapi na bht mbaya kwao hawanijui mana niliku naona uvivu kushuka garini kwenda kwao
@sadakhamis1261
2 жыл бұрын
Hujafahamisha vizuri tukafaham
@user-dg4zc2un1y
2 ай бұрын
Pole yako kaka imekula kwako iyo
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Naona kumebadilika kama kuna vumbi na camera yako sio safi
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Kweli kuna vumbi kdg dada sehem nyingi tunatengeneza mji
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Lakini pia tunashkuru kwa kuona
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ahsante na ww kwa kuangalia
@fatmasaid9765
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar tunafurahi kuona mandhari ya kwetu
@calvingao79662 жыл бұрын
Mji mbona umechoka Sana,halafu haujajengeka kwaujumla sio kuzur wala hkuvutii.
Пікірлер: 30
ASALAM ALIEKUM mashallah location s nzuri hizo muziq ndio umeharabu weka nyimbo za kitamaduni wakizanzibari bro
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
W. Salam ahsante kwa comment bro video zote za sasa hatuweki music kabisa.
Ata miziki uloweka haiyendani na asili ya Zanzibar eta taarab zetu za znz sio bongo fleva wala nyengine uone kama Ata kama umechemsha basi utakubalika Kwa nyimbo na utamaduni wetu pole sana
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
Ahsante angalau kwa kunipa pole
@user-dg4zc2un1y
2 ай бұрын
😂😂😂
nyuma ya bwawani hoteli ya zamani
kibanda maiti umeisahau
Mjiii safiii
ni Rasil Khema sio malindi
@discoverzanzibar
7 ай бұрын
Sawa kaka shukran
Wow so neci
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thank you
home sweety home
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Karibu
Wewe ndo Kwanza unajifunza mji haunzii hapo pole Sana etilist ungeanza Ata soko la darajani kidogo au ston town forodhan umeona b o t ndo mji au umeona jumba kubwa kwako uloanza kuliona pole Sana acha zako au mbara ww umekula Zanzibar mzalia hasa hawezi kusema mji kuazia apo
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
Sawa ntaendelea kujifunza angalau nimekuelewa kuwa mji unaanzia darajani
@elsonkibasindila7526
Жыл бұрын
Wewe ni mshamba bila shaka kama unaona Zanzibar ni mji mkubwa 🤣🤣
Dah Braza ulipopita apo malindi umeniumiza moyo wng kidogo mana kuna mali yangu apo niliipenda sn na bado naipenda sn, nilipokuja Zanzibar nilikuja apo kumtafuta lkn sikumuona ni mwaka wa nne sasa sijamuona Nitazidi kuitazama hii video ili nione nyumva yao tena na tena Asnte mzee baba
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Hahaha kaka mali umeiacha muda mrefu bila uangalizi.
@mohamedfaris3000
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar dah wee acha2 kk, mali kali sn mtt mzuri sn Mashaa Allah na sijui kapotelea wapi na bht mbaya kwao hawanijui mana niliku naona uvivu kushuka garini kwenda kwao
@sadakhamis1261
2 жыл бұрын
Hujafahamisha vizuri tukafaham
@user-dg4zc2un1y
2 ай бұрын
Pole yako kaka imekula kwako iyo
Naona kumebadilika kama kuna vumbi na camera yako sio safi
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Kweli kuna vumbi kdg dada sehem nyingi tunatengeneza mji
Lakini pia tunashkuru kwa kuona
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ahsante na ww kwa kuangalia
@fatmasaid9765
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar tunafurahi kuona mandhari ya kwetu
Mji mbona umechoka Sana,halafu haujajengeka kwaujumla sio kuzur wala hkuvutii.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Saivi tunajenga usijali tumezungusha mabati baadae mtaona suprise hahaha
@calvingao7966
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar sawasaw kikubw tnataka tuone Zanzibar ikiwa juu kwamaana Zanzibar haitakiw iwe hvyo coz nimji mkongwe na wakihistoria.