YOUNG LUNYA AFUNGUKA KUHUSU YOUNG KILLER/ FID Q na JOH MAKINI HAWAWEZI

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 98

  • @user-qw3vx3pl2z
    @user-qw3vx3pl2z16 күн бұрын

    Nashukuru kwa kutambua heshma ya regends poa dogo umetisha

  • @micmac7035
    @micmac703516 күн бұрын

    Alafu huu jamaa akiwa na dread locks kama Carter Wayne vile🧐

  • @Davida-vi7ef
    @Davida-vi7ef14 күн бұрын

    Namkubar lunya coz stayle yake yakuimba kujikubar kuwachana masnichi nataka kumfananisha na Mick mill 🎉

  • @husseinmkungu1166
    @husseinmkungu116617 күн бұрын

    Kila mtu na style yake yakuchana acheni majungu lunya anajua ❤❤❤

  • @chimbwara4140

    @chimbwara4140

    16 күн бұрын

    kalibia ana left group

  • @emmanuellaurent-uw7ym
    @emmanuellaurent-uw7ym12 күн бұрын

    acapela ni sifur ila huwa anabebwa na biti

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza492612 күн бұрын

    Watangazaji wengi mic 🎤 chache studio duh!Presenters liangalieni hili

  • @mzingtingofficial7401
    @mzingtingofficial740116 күн бұрын

    Huyu ndio rappa tunatambua global🇰🇪hawa marapa wengine warudi shule wanaimba ufala

  • @LotFta
    @LotFta13 күн бұрын

    Daaah pole mwanang bola ungekaa kimya jam mjinga

  • @PauloBarton
    @PauloBarton7 күн бұрын

    Young lunya wewe ni Noma ndio raper Bora hivi sasa hakuna ushindani wewe ni namba moja

  • @Lionboi600
    @Lionboi60017 күн бұрын

    Youngking🔥🔥🔥

  • @HenrySebastian-uf3zj
    @HenrySebastian-uf3zj17 күн бұрын

    Mbuzi International rapper🙌🏻🔥

  • @StevenKagaruki

    @StevenKagaruki

    10 күн бұрын

    Hakuna raper hapo mwambie aache kelele

  • @GreenGhama
    @GreenGhama13 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤too much love brother

  • @waitinmboto8716
    @waitinmboto871617 күн бұрын

    mbwa mwitu ina inspiration mtaani bro💪

  • @kleenheart
    @kleenheart16 күн бұрын

    Inspiration .the G.O.A.T

  • @shadrackjasson
    @shadrackjasson15 күн бұрын

    Mbwa mwitu❤❤❤❤❤ mbuziiiii

  • @adammayogho300
    @adammayogho30014 күн бұрын

    Kama una mpenda young lunya gonga like hapa

  • @user-vz4xj2ci2w
    @user-vz4xj2ci2w16 күн бұрын

    wanamchuka mtu alofanikiwa sahivi wamemtafutia mpinzani samata kuwa msuva ndo mkali, mondi wanasema kiba mkali, mwakinyo wanasema mkali ni kiduku ila ukweli tunajua wote lunya nw ndo mkali labda useme mtu kama darasa na mtu kama jay moe hao wanaweza kuachia jiwe ata kesho ila nw kina killer wamepotea

  • @cbegram6161

    @cbegram6161

    15 күн бұрын

    Umeongea ukweli mtupu 😂😂

  • @hamzasanga1038
    @hamzasanga103817 күн бұрын

    Safii kak

  • @dismanManota
    @dismanManota5 күн бұрын

    Bro nyimbo zake kali sana

  • @AthumaniChalamila
    @AthumaniChalamila16 күн бұрын

    Oya uyo namba moja tu

  • @EvaDonasian
    @EvaDonasian16 күн бұрын

    Baba wa kambo🎉

  • @Daniel_89_89
    @Daniel_89_8916 күн бұрын

    Watangazaji wanaongea haraka kama wana tongue twist au Muda ni mchache??

  • @Sumambish
    @Sumambish15 күн бұрын

    @##Mbuzi kamambuzi🎉🎉hamatiki

  • @richkaja3317
    @richkaja331716 күн бұрын

    Dogo anajua sanaa sema minyama sanaa

  • @user-qw3vx3pl2z
    @user-qw3vx3pl2z16 күн бұрын

    Lunya ni Lil Wayne wa bongo naye Hana kidevu kama wiz wa USA Ila mbuzi mnyama Ana kidevu hapo imekaaje

  • @CHOPPERMASNII
    @CHOPPERMASNII17 күн бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-uw7er1ec3v
    @user-uw7er1ec3v15 күн бұрын

    Nyinyi mafala acheni kumsema mtuvibaya . Kama kuna noma nawe . Mfate mwambie

  • @DotoMsangi
    @DotoMsangi7 күн бұрын

    Hatuna rapper hapa kulinganisha na mistar ya msodok namakelele hayo Bado mno

  • @bongetimwa4948
    @bongetimwa49489 күн бұрын

    Sony wameuziwa mbuzi kwenye guni

  • @ramamabrok2523
    @ramamabrok252317 күн бұрын

    Msodoki 👑🏆

  • @hamzasanga1038

    @hamzasanga1038

    17 күн бұрын

    Pole

  • @CharlesMasanja-rb6ke
    @CharlesMasanja-rb6ke10 күн бұрын

    Msodoki❤❤

  • @rodriguekalubandika535
    @rodriguekalubandika53516 күн бұрын

    Still Moja kama nkombe😂

  • @Davida-vi7ef
    @Davida-vi7ef14 күн бұрын

    Sura imaetakata kama naogea maziwa😂

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster537810 күн бұрын

    #uyu aimbii bari anabwata

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla57729 күн бұрын

    Mjomba bado kila mkorofi hata sauti yake ina ladha ya kuimba tatizo wewe ni kelele nyingi na kutunga mistari bado

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona763811 күн бұрын

    Kama sijaelewa 😂😂😂😂😂

  • @NassibuKassimu
    @NassibuKassimu9 күн бұрын

    Hahahaahhahahha hv tenah kmbeee lunyaaa jingaaaa kwl😢

  • @mhogomchungu7882
    @mhogomchungu788216 күн бұрын

    Huyu shoga tu…hamna rapper hapa

  • @richlord22634

    @richlord22634

    13 күн бұрын

    Unaweza mchukia mtu lakini jaribu kumaintain respect kwa huyo mtu, itakusaidia sana kwenye maisha kuliko kuropoka mambo kama f*la.

  • @abuubaqr5808

    @abuubaqr5808

    10 күн бұрын

    Shoga kwanini? Kwajili kafanikiwa au?

  • @mhogomchungu7882

    @mhogomchungu7882

    9 күн бұрын

    @@richlord22634 we unamuona kabx jamaa ni wakiume??…”kuwa fahari kwa wenzio michezo ya namna hiyo hatuikubali ni ya kidemu,ni sawa na kusema we ni mkali wakat na radio zinakupa promo ya hatar unaua game…🎶

  • @mhogomchungu7882

    @mhogomchungu7882

    9 күн бұрын

    @@abuubaqr5808 jamaa analiwa kinyeo..afu sio kwamb nmemdharau ..jamaa kashazoea kwaio sio shidah

  • @GodfreyTumaini-gf7sc
    @GodfreyTumaini-gf7sc11 күн бұрын

    Msodokiiii🎉🎉🎉🎉

  • @rodriguekalubandika535
    @rodriguekalubandika53516 күн бұрын

    Chid Benz oyee our legend

  • @rodriguekalubandika535
    @rodriguekalubandika53516 күн бұрын

    Msodoki👑🤴🏻

  • @oscarhenry451
    @oscarhenry4515 күн бұрын

    Toka zama za mangwea sjawai muona mbuzi mwenye mashavu yaliolegea

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi861017 күн бұрын

    Oiii kelele nyingi hana jipya huyu amefula nini vile ngoja nimuulize toxic😂😂😂😂😂😂

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Fanya ww ambae hupigi kelele

  • @oscarhenry451
    @oscarhenry4515 күн бұрын

    Pumzi zamkata hamna kitu hata ywanyongwa na mate

  • @josephphilipo5213
    @josephphilipo521316 күн бұрын

    Mna maswali ya kiwaki.uyo meneja angepewa muda angetupa madini mengi

  • @user-qw3vx3pl2z
    @user-qw3vx3pl2z16 күн бұрын

    Usipomdiss killer wewe huna jipya unyama wako ni kumdiss imba na maisha

  • @user-qw3vx3pl2z
    @user-qw3vx3pl2z16 күн бұрын

    Acha zako wewe huwa muda mwingi unamuwaza young killer

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa684217 күн бұрын

    Storytellers Rapcha, pc the MC, kontawa, young killer na wengne. 😅

  • @ibraaahmwanyello6233
    @ibraaahmwanyello623315 күн бұрын

    Wala huyu sio mkali sana sema ni managment yake ina mbeba

  • @user-xp4re6tv8l
    @user-xp4re6tv8l15 күн бұрын

    Bado msodoki king❤

  • @japhsam_simulator
    @japhsam_simulator14 күн бұрын

    mpeni definition ya mbuzi kwanza anaonekana hajui maana ya hilo neno

  • @manwoka4078
    @manwoka407816 күн бұрын

    Huyu ni Rapper tu kwenye HipHop hausiki kabisa.fake ,sioni meseji anayoileta kwa mitaa zaidi ya majigambo

  • @jomiAfrica
    @jomiAfrica17 күн бұрын

    Makelele kama generator 😂😂😂

  • @AllyBabu-kr6lg

    @AllyBabu-kr6lg

    17 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-rd3nh3ho8q

    @user-rd3nh3ho8q

    17 күн бұрын

    😂

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Toa yk ambayo haina kelele

  • @jomiAfrica

    @jomiAfrica

    16 күн бұрын

    Andika Jomi Africa song makopo uone tunavyoandika idea

  • @user-rp1ly4xc8k
    @user-rp1ly4xc8k16 күн бұрын

    Una kipaji bro ila hujui kubadirika kulingana na nyakati hebu jaribu kujifunza kwa OG maana nae alianza hivihivi lakini alikua anajua anachokifanya badae akachange na sas ukimsikiliza unaelewa anachozungumza

  • @FahadAli-ni5eu
    @FahadAli-ni5eu15 күн бұрын

    Ana free style nyimbo zke hawezi kuzungumzia ata cheni yke huyu rapa gani sasa

  • @ginimbifamily3995
    @ginimbifamily399515 күн бұрын

    Huyu ajuw chochote..anacho kiimba akieleweki 😂😂😂😂

  • @zachaamaster5378

    @zachaamaster5378

    10 күн бұрын

    Yani mavi matupu

  • @GeorgeEdward-mu1xg
    @GeorgeEdward-mu1xg17 күн бұрын

    Akashindane na gigy money ao sio type yake kbc ten kma fd atoboi kbc

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Hip hop ni majigambo ww mtoto wa 2000 na k2 nn

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg17 күн бұрын

    Uyu anafosi bifu na msodoki

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Kila mtu na zama zake

  • @magga_v
    @magga_v12 күн бұрын

    Kurap anajua ila free stail uwongo

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb17 күн бұрын

    Young killer ft Aumuwezi

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Kila mtu na zama zake

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi861017 күн бұрын

    Kashindane na gigy boya sana huna lolote,ukizungumzia mwalimu wako ni p the mc kelele nyingi

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Lunya ni mkal bt mti wa matunda unapigwa mawe

  • @mstarabubeats2165
    @mstarabubeats216515 күн бұрын

    promo za kishamba mbona mziki wetu hauendi kokote huyu anatumiwa na mabossi2 mda wake ukiisha mtamuona msanii anachana utumbo mtupu😂😂😂

  • @nomineetz255
    @nomineetz25512 күн бұрын

    Live hana pumzi 😂jamaa

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding16 күн бұрын

    Kinachokuharibia nikuwa shoga tu pale Ramada na ushahid upo

  • @cbegram6161

    @cbegram6161

    15 күн бұрын

    Uko wapi?

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu294217 күн бұрын

    Hunalolotewewe mbweha2

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Ww mwenye lolote toa ngoma yk tuone

  • @agnessnkandi5229
    @agnessnkandi522916 күн бұрын

    Anapiga sana kelele uyu boya

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Fanya ww ambae hupigi kelele

  • @user-bm4ln5jc6j
    @user-bm4ln5jc6j17 күн бұрын

    Huyu boy hata sijui demu wake anamsifia saangap😂

  • @eliudeliakayela9598
    @eliudeliakayela959812 күн бұрын

    Pumzi pumzi pumzi pumzi hamna Mate yamejaa kwenye maiki

  • @user-zj5ei1kl6p
    @user-zj5ei1kl6p17 күн бұрын

    Msodokiiiii

  • @godsson5954
    @godsson595417 күн бұрын

    HIPHOP IS DEAD

  • @MembaGenius-yt5fj

    @MembaGenius-yt5fj

    16 күн бұрын

    Hip hop never died

Келесі