Yammi feat Nandy - Lonely (Visualiser)
Музыка
Music Video by Yammi featuring Nandy performing "LONELY" (c) 2024 The African Princess Ltd, Audio produced by Mafeeling & Mix/Mastering by Mixing Killer.
Get it now:ziiki.media/Lonely-Yammi
All profile link Yammi:linktr.ee/yammitz
Listen to Yammi on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/yammitz
Apple Music: / yammi
Spotify:open.spotify.com/artist/6yV5H...
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
Deezer:www.deezer.com/us/album/38618...
Connect with Yammi on Social Media:
Instagram: / yammitz
Twitter: / yammi_tz
TikTok: / officialyammi
Facebook: / itsyammitz
Connect with Nandy on Social Media:
Instagram: / officialnandy
Twitter: / officialnandy
Facebook: / officialnandy
TikTok: / nandytz
+For More Information Booking Yammi:
Contact:yammymanagement@gmail.com
©2024 The African Princess Ltd.All rights reserved.
#Yammi #Nandy #Lonely
Пікірлер: 806
Mm katika nyimbo za Yammi na Nandy sijawahi pewa like naombeni kwahiyo hiyo wimbo Hata like 10 tu
@BasuleBasule
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@elchrisdenzinga6189
2 ай бұрын
wow 🇨🇩🇨🇩 njoooni muni followers jameni
@ibrah4862
2 ай бұрын
Mwanaume unaomba likes? watakushona 😂
@pesaspy_tv
2 ай бұрын
@@ibrah4862😂😂😂😂😂😂😂
@youtubepolls126
2 ай бұрын
Kwani ulisaidiaga kuandika wimbo?
Kama umeelewa ngoma ya Yammy Na Nandy gonga like hapo
@user-tm4wl5ub2o
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ goma kali sana
jaman tumpe maua yke yammy alf kwan like mnakula tuambizane bas😂😅😁😁😁😁
Nipewe zawadi jaman Nimekua wakwanza kucoment kulike na kuvew pliiz Nandy
Kawaida wakenya🇰🇪🇰🇪 tunakuaga kila mahali. Any Kenyans in the house?
@Mwandia_john147
2 ай бұрын
🙋🎉
@esthermwaivu888
2 ай бұрын
Very true
@mosesmuthuri9629
Ай бұрын
Yoooh
@user-jy4jo8xl6l
Ай бұрын
Yes we're here ❤
@slyriara
Ай бұрын
Tupewee kamnywesooo!!🍻
Kama umeeyaelewaa mashati waliyovaa nandy na yammy gonga like hapa❤
Ngoma Kali Xana Kweli The African Princess Ongereni Kwa Kazi Kubwa Kam Umehelew Hili Goma Gonga Likes Hapa❤❤🎉🎉🎉
Yani aka ka nyimbo wala akachoshi kukasikiliza nakasikiriza all time❤❤❤🤗🤗
Me nasoma comment nione maoni yenu kuhusu hii Ngoma nyiee mnaomba tu like
All the way from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪, I vybe with Yammy and Nandi combination in this song and let it be a duo forever in industry. Anyone from Kenya and Tz to drop a like to this comment and Yammy to drop a bombshell of love emoticon.❤
Goma kariiiiiiii sanaaa ila mmi na diri na comment
Mtu na Tajiri yake mmetisha 🙌
This is what we missed Pure bongo fleva
Two african princess much love from 254
Kama kuna mtu anapenda muungano wa awa watu wawili ashuke na like apo
@VictoriaJoseph-wh5jf
Ай бұрын
nawakubali san tena wametish
Wimbo mtamu san hauna matusi hata kidogo unaweza sikiliza na kucheza hata shughulini,,,ohh mashaall. ,Yammi na Nandy mmeweza aiseeeeee 💓💓🌹🌹🌹🌹🌹hongereni sana🌹🌹💓💓💓💓
Yammy killed it 🔥🔥
Nandy pokea upendo❤ kutoka kwngu mie mkenya mzalendo🙏😘
Kama unakubali ngoma kali kuliko ya zuchu raha like hapa i love you nandy ❤
@neemamashauri1043
2 ай бұрын
Sidhanii kama hii comment yako ina tija,,hakuna anyefanya mziki kw akushindana. Keki ya sanaa ni kubwa sana haina haja ya mashindano📌
@user-xc4xf9de2b
2 ай бұрын
@@neemamashauri1043m mwenyew cjamwelewa cjui zuchu katokea wap tena kwny account za watu wengn
@user-gh5zx4ro1b
2 ай бұрын
💯💯
@SportsFan-pt9jw
Ай бұрын
Another good music is from eminem, his new song houdini
baba levo saizi anajisikia aibu kipindi yammi ananza kuimba alikuwa anamcheka nakusemq hana sauti chakushangaza ,,,mtoto anasaut kali duuuu kuliko yule
Hii nyimbo nimesikiliza zaidi ya Mara 20 Nzuri Sana
@mwanaidijabale2749
Ай бұрын
Unishindi mimi nimeisikiza zaidi ya 💯
@mwanaidijabale2749
Ай бұрын
Naomba like jamani 😢
Kwani mmejuaje wengine usingle unatusulubu hukuu mtaani 😂😂 thanks love wangu Yammy and sst nandy
Yaaan hata chakusema Sina apliciate 🎉❤❤❤
Yammi ni Fundi kwel kwel nimeona tangu mwanzo sasa ni hii melody amazing sana weka like hapa zote za yammi ft nandy Lonely ❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Haka Kawimboooo🔥💯😍😍😍🙌
Haka katoto n kanajua sana ❤, Always gave a hit song
Nandy katisha dah ❤❤
Huyu mtoto anaimba!!! 🙌🙌🙌🙌🔥
Mtoto wa Motoo kwanzia muonekano mpk talent unaua sana we mdada nakupenda buree 😂😂😂😂😂
ka mwili kanafeel vibe na hili song❤❤❤❤
Nainjoi kuwa lonely
The real meaning of Bongoo frevaa ❤bhn these two really Amazing 💥🔥
Nandy and Yammi,💪🙏much love from Messi kadenge 254🇰🇪🇰🇪
This gal ❤️ Yammi is so talented.....WoW!😍
yammy amua hapa kumshinda nandy❤
Kali sana❤️
Kutoka DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipeni mahuwa yangu🎉🎉🎉
Anything Yammi touches turns to gold. African Princess never let this gem go. Perfect Combi! Love from Kenya.
Nyimbo noma sana kama unamkubali yammy nipe like
Yammy mama hii sio tyu kali bali ni kali sana nae nandy mama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuriiiiiiii sana
Nyimbo imetulia jmni tunaomkubali yammi n Nandy tujuane💖💖💖
@sophiaali5813
2 ай бұрын
Nyimbo Tamu sanaaa ❤
Mmeua Walai love from 🇰🇪🇸🇦🥰🥰🥰🥰 team strong ❤️♥️♥️
@MatyldahMkandoe
2 ай бұрын
Naenjoy kuwa lonely kadama oyeee🇰🇪🇸🇦💃🥰
Oya mamaeeeeee Ili gomaaaaaaa hatar mazeeee tuacheni unafik king'an'ga hafiki Kwa African princess Kwa verse
Ikienda , muongeze konde for a remix, it will be game over
@sophiaalnuru45
Ай бұрын
Sure thing
Wimbo nzur aisee❤️❤️❤️❤️❤️
Nasbria likes zang wapendwa🎉❤❤❤
Good job ❤❤
Beautiful Song
yammy ni fundi saaana
Nice work, love it ❤❤❤
Yammi yammi ❤❤❤❤❤
Sipendagi nyimbo za wanawake I don't ila naenjoy hii iko lonely 🎉❤
So lonely!! 💖💕💕💕💕💯😍
Ngoma tamu sana ❤❤African princinces
Laaah! @yammy tzMalizia na viuno flan hv..... Afu we African princess taratibuu 🔥 Naomba namba za zima moto cz hili songiii litateketeza bongoflavor yoteee
Go yammi 🔥💜👑🚀
kiukweli huu wimbo umenifanya nimpende tu huyu Yamm bureee kazuriii alafu kanajua kuimba.
Heri nikae lonely❤ wee
France 🇫🇷 we are here ❤️
Hili dude la kwenda
🔥🔥🔥🔥🔥🌏 #Lonely
Great song ! Issa hit 🔥🔥🔥 congratulations The African Princess
Naomba nandy atu support na sisi huku
Yammi 🥹🫶❤️ is so talented mehn!!📌😘
❤❤❤crashy wangu huyo nampenda sana ngoma kali vibe tamu ,,much loving. And appreciating🎉🎉
Ngoma Kalii Sanaa❤ ilaa...Nandy na Yammi Yangeulizana...Maana Ya MashaAllah na Alhamdhulillah...
@awatifalghanim1106
Ай бұрын
Kweli wangeulizwa maana ya Mashaallah na Alhamdulilah. Wanaitumiya lakini hawaijuwi maana yake itakuwa.
YAMMY UNSTOPABLE
Jamni naenjoy pia kua lonely wangapi wanaenjoy kama nandy na yammy❤❤❤❤
@magrethmalobola5470
2 ай бұрын
Nandy anatuongopea hayupo lonely😂😂😂
@SubiraJumangovi-dm5gu
2 ай бұрын
@@magrethmalobola5470 why dear 😂😂😂
The vocals 🙌🏾🔥 The lyrics 🔥 The voices 😩🔥🔥 maana halisi ya African princess label 🎉❤️
❤❤❤fireee
Heshima yako Yammi nimeanza kukuelewa
Duuuu hili goma kalii
Love from Rwanda 🇷🇼❤❤❤, wimbo huu unapendeza kweliii❤
Ngoma Kali.....Beat Kali kazi Nzuri kina Dada wa East Africa❤❤❤❤❤
Kaa nzur n nzur no need of talking more let's gather together and support #Yammi ,,,mine nishaipenda mara mia
Kama Kuna mtu kasikia kwa mbali biti la diamond like hapa😊😊😊
@paskalinaisaac2924
2 ай бұрын
Jeje😉
@oirishgervas6603
2 ай бұрын
Jeje ipo kaka
@keddyrichard512
2 ай бұрын
Jeje
@fatumomatano9752
2 ай бұрын
Jeje kumbe maskio yetu yaskio pamoja
Kamoyo kana feel vibe
Wimbo mzur ❤❤❤
Great song Yammi. Nimeipenda. Uku Nairobi imetufikia
Wow nilikuw nikisubiriya hii song kwa hamu ❤❤ ni kali sanaaa
Kama muziki mzuri gonga like za kutosha❤❤
Iyi song 🎵 nzuli jameni ❤
Nyimbo tamu ajab ❤❤❤ma sha ALLAH
Daah hii Ngoma hatari sana ni Ngoma Yangu bora kwa wasani wakike iliyo uwa zaidi 2024 hakuna ningine... ❤️❤️❤️
hii nyimbo inatakiwa kiba awepo itaHIT Na ataitendea haki zaidi ya hapo
Ngoma iko poa kbsa ❤❤❤
Goma kali sana uanakubali nikikubalishwa
Mbona kila mtu anaomba like kwani zanakazi gani😂😂
@KitunganoJohn-vr4zn
2 ай бұрын
Kuma wee
@JonathanMwikano-fw5zu
2 ай бұрын
😁@@KitunganoJohn-vr4zn
@davidmbaga2998
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 wanaomba Like kwa ajili ya kupikia Mandazi
@youtubepolls126
2 ай бұрын
Natafta pia comment isiyokua na "nipeeni like" nakosa
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
2 ай бұрын
@@KitunganoJohn-vr4zn😂😂😂😂ndo ume jibu
Mungu akubariki ww na kizazi chako
Burundi 🇧🇮 we are here to show love ❤️
Yami ni vile ulisema uko single🥰
Hongera Nandi ujafanya kosa kuwa na yammi❤❤❤❤❤
The Princesses 👸 hizo sauti jameni hazitakiwi kuwa single🙏👌👌
@Edward_Falu
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Hongeren sana kwa nyimbo hiyo mmetisha Sanaa
Hatariiiiiiiiiiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mafundi wa mziki mzuri wamepata🔥🔥💯
And this defines no one can beat nandy ♥️👏her voice is something else 🔥🥰🇰🇪🇰🇪🇰🇪
My favorite ❤️ yammi
Good work nandy,hiyo ndo mana ya kukuza kipaji cha msanii wako sio kumuacha❤️