Wyckliffe Kane aliuwawa wakati wa maandamano

Familia moja eneo la Kangemi, Nairobi inalilia haki baada ya jamaa yao kufariki katika njia tata wakati wa maandamano ya wiki iliyopita. Familia ya wycliffe kane aliyekuwa mhudumu wa boda boda inasema jamaa yao aligongwa na kifaa butu huku kukiwa na madai kuwa huenda aligongwa na kitoa machozi kabla ya kupoteza mwelekeo na kuanguka na pikipiki.

Пікірлер: 9

  • @user-cs5bs8xd8r
    @user-cs5bs8xd8r27 күн бұрын

    Woiye hangeenda kazi hiyo siku.

  • @josephkinyanjui8399
    @josephkinyanjui839920 күн бұрын

    Any place where there is chaos is better to avoid if you are not a participant anything can can happen...

  • @justinebakora
    @justinebakora27 күн бұрын

    😢😢am soo painfully hurt with that story, it's the kenya we don't want.

  • @corazonmdesh5282
    @corazonmdesh528227 күн бұрын

    So sad 😢

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or27 күн бұрын

    Maandamano deaths stories are not over? I think people have taken too much advantage of this situation..

  • @alisoncarol8504

    @alisoncarol8504

    27 күн бұрын

    What do you mean taking advantage?

  • @sophiezakaria

    @sophiezakaria

    27 күн бұрын

    Enda kunywa maziwa bangi ishuke 😏😏😏

  • @AzimioWalianguka

    @AzimioWalianguka

    27 күн бұрын

    Dinywa umbwa wewe.

  • @danielmnuvi7
    @danielmnuvi725 күн бұрын

    Wacha wachawi wakufe kwani kunanini