WOLPER KUHUSU WEMA "ANAONA ATAANDIKWA MWENYEWE HAJAZAA, MIMBA ILITOKA, SIJAWAHI KUTAFUTA MTOTO"

Mwigizaji Jacquline Wolper amejibu swali kuhusu mwigizaji mwenzake Wema Sepetu na ishu ya kupata mtoto ikiwa ni baada ya Wolper kujifungua moja ya watu waliompongeza na kupost kwenye page zao za Instagram alikuwa ni pamoja na Wema Sepetu, sasa Jack amefunguka haya. PLAY kutazama

Пікірлер: 19

  • @irenejames3459
    @irenejames34593 жыл бұрын

    Mungu atampa asijali tunamwombea

  • @abuusahya6130
    @abuusahya61302 жыл бұрын

    Muongo sana hili Dada

  • @laylatmlacha4729
    @laylatmlacha47293 жыл бұрын

    Mbn kuna mtu alisema anakupa fetlbooster tena alikuwa status afu we unasema hujawahi kutumia dawa

  • @neemanziku5403
    @neemanziku540311 ай бұрын

    Ww ni mwongo ulikuwa hupati tu mtoto ww sema tu Mungu amenipa,hivi wanaume wote ulio tembea nao usinge pata mimba? Na unasema hujawahi tumia uzazi wa mpango? Wadanganye watoto wadogo

  • @kulway4669
    @kulway46693 жыл бұрын

    Hii

  • @veronicaefrahim6864
    @veronicaefrahim68643 жыл бұрын

    😘❤️

  • @frankmpanda5850
    @frankmpanda58503 жыл бұрын

    Kazaa na nan sasa

  • @kiri5807
    @kiri58072 жыл бұрын

    Wema hilo uterus / fuko analo ? kuna watu hutoa mimba mpaka wakaathirika mauterus ikisha wanashuhulisha wanamzulia Mungu kuwa hajawajaalia kumbe kashauwa sana huko nyuma .

  • @neemanziku5403
    @neemanziku540311 ай бұрын

    Sasa unasema hujawahi tumia uzazi wa mpango kwa hiyo ujawahi deti na harmonise je na ulijuaje kama huwezi kupata mimba? Je unge beba mimba ya hamo hakuwa mtu sahihi kwako?

  • @neemanyerere5160
    @neemanyerere51603 жыл бұрын

    Duuuh

  • @abuusahya6130
    @abuusahya61302 жыл бұрын

    Kakojoe ulale

  • @epifaniasawaki3315
    @epifaniasawaki33153 жыл бұрын

    Kwani mayai yake amekaangiaa chipsi uzeeni anataka mtotooo .....wanawake tunatumia ujana vbya ukifika mda unaitaji mtoto unataka watu wakuhurumieee tupunguze kutoa mimbaaaa ili tuwe na mwisho mwemaa kuzaa kunaraha atakama mwanaume atamkana mtotoo

  • @tiamo726

    @tiamo726

    3 жыл бұрын

    Who r u to judge her we mwenyewe unaweza uwe na mabaya mbele ya mungu muombe mwanamke mwenzio mabaya yake.mama naseeb si Ali flash mwanake daimond do huyo mungu husamehe binadamu shida

  • @epifaniasawaki3315

    @epifaniasawaki3315

    3 жыл бұрын

    @@tiamo726 nimjudge naniii wasanii maisha yao tu ni fake waushi kiuhalisia tutaacha kuwajudgeee..mungu anaruhusu abortion kwann wasizae wanakimbilia ujanaaaaaa ambao aunamaanaa

  • @tiamo726

    @tiamo726

    3 жыл бұрын

    @@epifaniasawaki3315 mama kila mtu ana thambi...na mungu huwasemahe...hata mapastor wengi shuhuda zao zatisha.hata malaya huolewq na malaya ndio alim annoint yesu...hata mimi ulama wangu ulikuwa ubaya lqkini nimebadilika nlkua naishi na mume bila ndoa...thambi ni thambi ila kama mtu anabadilika basi muombe huyu wema haujui usiku ye anaemia nini mwaona ya inje mungu ywaona ndani let's respect people's journey.she will be a mother one day...na mummy just because mtu amezaa ama hajafanya abortion haimanishihuyo mtu ndio better wengine hata na watoto bado umalaya

  • @epifaniasawaki3315

    @epifaniasawaki3315

    3 жыл бұрын

    @@tiamo726 naonaa unakazana kumuweka mungu ktk kitu ambacho sijazungumzaa kuhusu mungu mm hapoo naongeaa kuhusu kitu tunachofanyaaa wasichanaa soma comment yngu vizuri utaeleewa tupunguze kutoa mimbaa usichanaaa wetu ili tujetufurahie uzao wetu naona unakazanaa kucommrnt vitu visivyokuwepoo

  • @nurukwilabya2790

    @nurukwilabya2790

    Жыл бұрын

    ​@@epifaniasawaki3315alikua anazitoa ili aendelee kula ujana, walikua wanamcheka Zari anatimu ya mpira 😂😂, Hamisa pia anaakili alijizaliaga mapema anakua na wanae wanakua safiii

  • @arleneakimana9681
    @arleneakimana96813 жыл бұрын

    Wema. Ni mzee.

  • @kulway4669
    @kulway46693 жыл бұрын

    Hii