Wenyeji wa Gachie wavamia kituo cha polisi na kudai chakula cha msaada kilikuwa kimehifadhiwa hapo

Wenyeji wa Gachie katika eneo bunge la Kiambaa walivamia kituo cha polisi cha GACHIE na kudai chakula cha msaada ambacho kilikuwa kimehifadhiwa hapo kwa miezi kadhaa.
Serikali ilitoa chakula na vifaa vingine kupitia Shirika la Ustawi wa Watoto, ambalo limejitolea kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Пікірлер: 3

  • @tambokavz
    @tambokavz20 күн бұрын

    I think we need a pause as a country Too much is happening

  • @mauriceshilabula4574
    @mauriceshilabula457419 күн бұрын

    guess kihara ni kwa nani😂😂😂

  • @akababenjamin355
    @akababenjamin35519 күн бұрын

    Fear is gone everywhere. Tugeges are now conscious