Wenyeji wa Gachie wavamia kituo cha polisi na kudai chakula cha msaada kilikuwa kimehifadhiwa hapo
Wenyeji wa Gachie katika eneo bunge la Kiambaa walivamia kituo cha polisi cha GACHIE na kudai chakula cha msaada ambacho kilikuwa kimehifadhiwa hapo kwa miezi kadhaa.
Serikali ilitoa chakula na vifaa vingine kupitia Shirika la Ustawi wa Watoto, ambalo limejitolea kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Пікірлер: 3
I think we need a pause as a country Too much is happening
guess kihara ni kwa nani😂😂😂
Fear is gone everywhere. Tugeges are now conscious