WEMA SEPETU MCHAWI SHABIUSI❤️ PART 1
Фильм және анимация
BONGO MOVIE New Film SHABIUSI Part One Full HD video OG...Washiriki KOKO BYANKO WEMA SEPETU BUMPU KIMAZI,JAQLINE WOLPER,MAMA KANUMBA Na wakali wengine wengi wamo ktk Film Hiii Ya SHABIUS pata uhondo Kwa Maumivu ya mapenzi,Ubaguzi Na Siri Za WACHAWI na MAJINI Na ROHOI Za Watenda Mabaya kufichuliwa na ECHUPEE MTU WA MUNGU Katika FILAM Hii Ya SHABIUSI ENJOY👍👍👍🔥🔥🔥 from Tanzania vijana wa magufulu For More Cont: +255718458457 +255652724436 or +255657862080 ,Email Sunzukoko@gmail.com INSTAGRAM KOKO_BYANKO,FACEBOOK KOKO BYANKO PII
Пікірлер: 1 200
Jamani kumbe na mama kanumba anakipaji cha uigizaji kama mwane kanumba hongeara sana mama kanumba gonga like
Kiukweli wema na wolper mpo vizuri sana kwa mwendo huu 2tafika mbàl kàma uñakubaliana na mm like japo
walper amsha dude kwa hii move Tuzo upewe nimenjifuza sana kupitia hii move love u walper umeitendea haki.
Kwenye sinema za kiswahili wabongo hoye eeeeeeeh .😍😍
@ramadhanimaulidi5073
4 жыл бұрын
Kuusu sauti nijinga la bingo movie
Sijui nimechekewa wap daa hui muvi kali sana mashallah ♥ 💖 😍 ❤
Kama upo hapa for Madam Sepetu, gonga like....... From 255+
Kweli wachawi wanakazi aiseee.. Yan uyo anafurahia kuwanga zis iz so fantastic
Wolpa umeniliza kwa kwel siwez kujizuia hii movie ni kali mno imetisha hongeren sana kumbe na sisi bongo tunaweza yaan imekua kama movie ya marehem Kanumba
@sabrinaboss5881
5 жыл бұрын
Same to me
@meddynoela5128
5 жыл бұрын
fatma chamb
Jamani namkubali @koko👍🏼, @wolper❣,@wema❣na wengine muko poa movie 👍🏼👍🏼👍🏼
Movie nzuri tokea kanumba afariki hii ndo ya kwanza kuangalia Mungu awaongoze mzidi kutupa mafundisho mema yatakayotujenga kitabia
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
ahsante sana
@deeyryah5722
5 жыл бұрын
Kweli kabis
Kama umeikubali hii muvi gonga like tujuane jooooh
nimempenda uyo mama anaemfokea mwanae kala ela ya chuo yani kaect vzr kabisa kavaa huusika vzr
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
Celine Samson asante sana kwaniaba yake
Worpa ukiwa na mimba unapendeza sana 😍😍 gonga like kama unakubaliana na mimi
@amosemmanuel6812
5 жыл бұрын
Nina
@amosemmanuel6812
5 жыл бұрын
N
@aboubakarali2227
5 жыл бұрын
Good boy
@SharifMustafa
5 жыл бұрын
Wolper mzuri sana. Big up nakupenda bure mama
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
Eisher Mohamedi asante kwaniaba yake
Km unaona sio vzr kuwadharau maskin na km unaona usiku ni mida ya wanga gonga like LA nguvu hap
Hujawahi kosea wolper nimependa sana kazi hii
Walper umetisha Sana gonga like Kama muvi umeipenda
Jomon saut au mm ndo inazingua kama na ww saut inakta kata weka like
@husnamubarack7644
5 жыл бұрын
Tuko weng
@allykihiyo8709
5 жыл бұрын
Ndio sauti inakata sana hapo ndoutagundua jasili haachi asili
@Cultureupdates
4 жыл бұрын
Support me kzread.info/dash/bejne/ioxqw8V6fbjQgaw.html
@saudaissa7397
4 жыл бұрын
Ah saut inakata tuu hata mm
@antfaridaarsen2941
4 жыл бұрын
nikweli kabxa move zuri lakini haina sauti raha ya move sauti
Ohh mashallah kumbe wolper kajistiri zamani ❤
Iko Powa Sana hongereni San wasanii wetu Umeanza vizuri imeisha vizuri pia tumejifunza mengi kupitia hii maana wengine wanajidai wachamungu wachungaji na mashekhe wakubwa kwenye nyumba za Ibadan Kumbe wao ndo wanaingoza kumkufuru Mungu,, leteni nyingine nzuri Kama hii naamin soko la bongo litapendwa zaid kuliko za nje
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
ahsante sana kwa maoni yako mazuri yanayo niongezea ujuzi zaidi wa kuandika stori zitakazo kuchimbua matatizo yanayo zunguka ktk jamii zetu
Mama sakina woyeee👏👏😁 anafaa ashirikishwe kwa kila bongo movie
Yaani koko unaweza Mungu akuinue zaidi tumepata kanumba mwingine jamani
mama sakina kanogesha sana move much love😁😁😂😂😙😍😍
@samwelisam2097
5 жыл бұрын
يحيى السناني dy
Wema na Jack fikieni alipofikia marehemu kanumba kazi nzuri sana jitahidi muinue ile talent yenye imepotea kwa MDA mrefu naona mpaka mama kanumba hapo hongereni
@yvetteniyonzima3374
5 жыл бұрын
Tyeu Hsvsy kbs hongera san
@sazacomplexkinwas4936
5 жыл бұрын
Daaah aseeee neipendaa
@anandesumary9092
4 жыл бұрын
aina saut
@ellydeus1018
4 жыл бұрын
Tyeu Hsvsy ongela Dada wema nimependa
Dah movie nzur sana...endeleen kutoa kaz nzur zenye uhalisia zaid
@fortunatamjengi4603
5 жыл бұрын
Mjomba mbaya sanaaaa
Kwakweli muv nzuri saan
Siangalii movie mpk nisome comments..nikisikia nzuri .... Ngoma ina tambaaA,,,,,bravo all the actors.my god....awafikishe mbali
@alfarsiali2779
5 жыл бұрын
😂😂 kumbe tupo weng wa kusoma comment kabla ya kutazama movie yenyew.
@irenejerrylugose996
5 жыл бұрын
Tupo wengi kkkkkk
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
ok thanks
@milkapaul4308
4 жыл бұрын
Yaani ww mwenzangu kbs
@issamaganga5136
4 жыл бұрын
Munapendeza dana
Mama sakina nakukubali sanaaaa
@paulinamwalongo975
5 жыл бұрын
Nimeupenda imenupa fundisho kubwa Sana
wapedwa ombeni bila kuchoka kuna watu wana tembea usiku na mchana kutuangamiza . hii move ina mafunzo sana.🙇🙇🙇mjifunze kupitia hii move ushawi sai ni kila mahali tujifiche kwa maombi kila wakati
@edibilsolomon9508
5 жыл бұрын
Amen
@abbymahia2044
5 жыл бұрын
Amina mpendwa
@judithansigar7614
5 жыл бұрын
Nikweli kabixa
@hpdesamiel3898
4 жыл бұрын
Ameen
@arafatchadiairakoze33
4 жыл бұрын
Sasa iyo sauti jamani nihatari
wolper jaman unapendezaa ukiwa na mimba mpenz your s swety
@rachellasway5215
4 жыл бұрын
.
Mkenya nimeikubali hii...imeweza
@joycetiba1963
5 жыл бұрын
Jossy Josphin
Sauti wanafunga kusudi watu wasizum wakaiba lakini bonge la mchezo sijaona movie kama hii bongo kisha mashallah nimelia Sana inaumiza kweli mchawi so binadam kabisaa na wapo katika maisha yetu kila siku mungu awauwe
Jacky amependeza na hiyo mimba kweli..+971 watching
safi sana koko kwa rudisha bongo muvi tena endeleeni kukaza
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
freditto official ahsante kaka
Hii move nimeipenda kama nawe umeipenda gonga like twende p1
@stellahlewiceasantekwauaha4164
4 жыл бұрын
Mwana Idd ninzuri ila sauti hamna
@abdullahalowimari9595
3 жыл бұрын
Zuli kweli
@pesspesa6202
3 жыл бұрын
Saut inakata
@kassimahmadi9988
3 жыл бұрын
Nimeipenda sana
Nzuri nakupenda WOLPER
mama sakin jicho 😂😂😂daah mov nzr sana ila 😭😭😭😭😭😭melia sana 😢😢😢😢jamn wachaw wakoje eet ooh lord plz prtct us 🙏🙏🙏😖😖😖😖
@UlimboTV
5 жыл бұрын
bonge LA kazi brother
@nurfatabdul9460
4 жыл бұрын
Stawa Paul mama sakina ninoma 😂😂😂😂
mama sakina umenongesha Sana hongera
wolper umetisha umecheza uzuri
Mama sakina maneno yake😂😂nice movie jamani
@sakinamwalimu8273
4 жыл бұрын
Mama hayuko ivo jaman
Nasomaga comment kwanza mwenzenu
kama upendi wachawi nipe like basi tujuane.
@jordanfromyt2861
5 жыл бұрын
Josephine Makungu wachawi nonsense useless ppl
@zainabhassan4511
5 жыл бұрын
Josephine Makungu mi nawachukia sanaaaa hata ningekua na uwezo ningewatokomezea mbali
@allylugome1762
5 жыл бұрын
Sipendi uchawi san
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Ya Josephine wajina wa dada yangu siwapendi wachawi kwasababu wanaludisha nyuma maendeleo
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Mama sakina anavyosema hivyo amekuwa mama eti maisha yanichanganye na wewe unichanganye
nimeipenda na inamafunzo mazuri asante washiliki
Koko nakupenda bule 💛💛💛👍👍
Nakupenda mama sakina mama koko mama kanumba wolper ..koko..mjomba yani dah picha qaliiii sana hii😜😜
@rehemataimu7225
3 жыл бұрын
🌹
Cjawah kuipita movie ya wema bila kuangalia....who's one else ?😘😘😘😘😘
@maryamuomary8581
5 жыл бұрын
Nic moov
Mgonjwa anaumwa alaf unasimamisha gari ujinga ulioje....apa ndo mnafeli kabisaaa.....movie kali cjawah kuangalia bongo movie muda kaz nzuri vitu vidogovidogo sana umenishawisha tena kuanza kuangalia bongo muvi
Koko amekubali kwa nguvu oyeeee pole sana koko
Jackline wolper my favorite actor ❤️❤️❤️❤️❤️😍😍😍😍
@kaylaminani5296
5 жыл бұрын
John Mwangi actress 😊😊😊😊
@johnmwangi2435
5 жыл бұрын
@@kaylaminani5296 sawa msomi
@latipherhussein2260
5 жыл бұрын
John Mwangi wew sio actor hahahaaaah
@johnmwangi2435
5 жыл бұрын
@@latipherhussein2260 sawa msomi
@sarahwanzaa6272
5 жыл бұрын
Sio Actor ni Actress
Love wema Sepetu love jackirine Worlper love mama kanumba mmetuletea kitu kizuri xana
@aminaabrahamani531
5 жыл бұрын
Elasto Maluko
@mathildemwangaza109
3 жыл бұрын
Watumie kakitu kwa simu
@rizikladyherson8451
2 жыл бұрын
@@mathildemwangaza109 😁😁😁😁
daaah!hii movie Kali sana tangu afe kanumba hii ni movie ya kwanza ambayo ni Kali nawapenda sana
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
ahsante sana kwa kunipa moyo
wolper bonge las star huyu dem noma balaaa
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
mohamed jimia asante kwaniaba yake
Move nzuri kweli nmempenda mama sakina saana
mme jitahidi San Kama Jackline worp nampenda Sana una igiza vizuli sana
Kazi.safiiiiiiiii
atimae leo nimeiyona 😘😘😘😘😍😘😍😘😍😘😍😘😍😘😘😍😍
Daah movie tamu bongo movie imefufuka ongereni sana wapendwa
Nalia nasijamaluza niko katikati....wooiii machozi itaniisha ..good actress WOLPER
Kazi nzuriii hongereni sanaaaa nawapenda bure
Duu nimejikuta nalia Hongera sana wolper
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
Khadija Hussen asante kwa niaba yake
Muvi nzr sana shida sauti jamani.
Nimelia jaman hii move inamafunzo san nimejifunza mengi
I lyk dis muv to de maximum
Gud job Wema ake ni bonge la movie kwan ni maisha yetu hasa na wengi yametukuta haya ktk familia zetu hawa viumbe hawakosekan ni kucmama tu kwa Mungu wallahi
bonge moja La movie sio mchezo
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
thanks bro
*Movie nzuri Sana*
Daaah tumezungukwa namabaya mengi il kwa uwezo wa Mungu tunaishiii
Nice movie from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩👈❤️🔐
Mashallah zuri kweli
Yaan bongo movie me apo tu axa ndege imetoka ethiopia ad tz inamaana hyo ndege ilimbeba mtu mmoja tu au apa mmepoteza kwakwel😀😀😀😀😀
@rwegakagimbo3456
4 жыл бұрын
Mi ndo naangalia nimejixemea hizi bongo muv nazo puuuu
@AminaAmina-sx1jn
4 жыл бұрын
Yaani hapo ndo ujue bongo movie hatarii
@suzanfelix8857
4 жыл бұрын
Ongea wew mi shamaliza
Kumbe mnaweza bado afu mnaleta poziii nice move......
Nzuriiiii aiseeee I like it
Nzuri kweli lakini kwanini gabo akucheza umujamani mi nimekumiss❤️❤️❤️❤️ sana kwenye movie kama izi
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
huu ni mwanzo tuu usijali wote utawaina kwenye kazi zinazo zinazo kuja
@marrymarry7574
5 жыл бұрын
Koko Byanko Official Asante kaka yangu nitashukuru sana
leooo nimeona wabongo wanaweza Ina mafunzo sana like tujuane hum
I like this movie good I like wolper
Bongo movie zetu........ 😍😍😍😍
hahahahah😂😂😂navua nguo mm navuaaaaaaa😂😂😂ataki vuaaaaa🤣😃😃
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
Partiedo Joshua hahahahaaaa
ongera kaka mungu akufikishe mbali zaidi
Daaaaaah hii movie nzuri ilakuliponiboa niinakata sauti
@Kokomediagroup
3 жыл бұрын
👍👍👍👍
aaaaaaah nimekukubali xn Cct wema I like it
Mamake kanumba....nampenda mie bure tu
@zenajuma5632
3 жыл бұрын
Movie ni nzuri sana tatizo ni sauti inakatika katika
Nimeipenda sana wema na jack wamejua kunifurahisha gonga like kama umeipenda
Nipeni like za watu wa Dubai. Muko wapi
Kama na we umeguswa na hii move like bac
Koko the star love u much fro Kenya
@Kokomediagroup
5 жыл бұрын
thanks
Mtoto anafurahia kuwanga
konk Bonge LA Move
Izo ndo movie ninazo tafuta kweli ohhh 🙏 Asante sana from Canada 🇨🇦🇹🇿🇨🇩🔥🙏🙏
@vaneesavaneesa6340
5 жыл бұрын
Unafanya nini huko
@deborahjm8890
5 жыл бұрын
Vaneesa Vaneesa ndo kwenye naishi uku
@didahassanhassan687
5 жыл бұрын
Hi
@deborahjm8890
5 жыл бұрын
@@didahassanhassan687 hey Sister
@stellahlewiceasantekwauaha4164
4 жыл бұрын
Deborah Jm kwakweri hii filam ninzuri tena inafunzi mema nimeipenda bule jaman
Love wolper daaa nkupenda bure
Like za watu wa Saudi Arabia + 254 Ziko wapi..... Inauma ila nakumbuka nikuingiza natulia roho
@sumesume7928
5 жыл бұрын
Tuko kama kawa ka movie kametulia sauti iko poa kila kitu poa hongereni nyote mloshiriki naburudika nikuwa saudi lkn ni +254 halisi
@aminasaid8311
5 жыл бұрын
Ndio naianza
@nasrakhamisi9525
5 жыл бұрын
✌🏼
@halimayusuf617
5 жыл бұрын
Nizuri
@labumua8656
5 жыл бұрын
Na wa Qatar watangonga wapi like zao
Moves iko bomba leke kama umekubari
@Kokomediagroup
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
vipi tena sauti bwana
naisi itakua tamu ngoja niangalie
Looo cjapata Ona muv kama hii....Nimelia hataree! Jaman Dahhh yapo kabisa hayo
daah! movie zuri sana hongera jameni
Jamani Mungu atuongoze kuchagua mchumba linataka moyo ushauri mwingine unakutoa pazuri na kukuweka pabaya
Nafurai kumuona mama kanumba jamani
asante uzazi😀️😀️😀️mama atari sana
Mama sakina yuko sawa😂😂😂
Jaman mama Sakina anaongea
@elizabethkimari6224
5 жыл бұрын
Mussa Jangwa 😀😀😀😀😀kanaongea hakooo
👏👏👏👏👏 hii movie ni 5star⭐⭐⭐⭐⭐. Big up