Ndoa yangu - Bongo movie Irene uwoya, wema sepetu na gabo zigamba bongo movies latest swahili movies
Ndoa yangu - Bongo movie Irene uwoya, wema sepetu na gabo zigamba bongo movies latest swahili movies - gabo zigamba amekuwa akiandaa movies na wema sepetu bongo movies ila na irene uwoya pia bongo movies anafanya vizuri saana
Пікірлер: 71
2023 twende saw like ❤️
Eeeeee Erick Hamed kumbe unajua kuongea Lingala eeeee happy to hear your Lingala
Huyu mtoto Wang nimemzaa mwenyewe 😂😂😂😂
é muito bom😊😊❤ .. essa história é muito boa ph
Erick asante kwa music na dance nime like sana
Bongo tabu kweli part 2 vp
Baba amka wende kazini I like the girl
Hemed tumekualika kwetu Congo ukuje u dance nyimbo za Lingala
Mwenye kiti naogopa kulala pekeangu😂😂😂😂😂
Nmeumia sana dah wanawake sisi sio poa jaman maziku ana angaika na mtoto
Wooow so nice! Part 2 iko wap?
Maduuu jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤
Nzuri
😭😭😭I can't help myself. hii ni ukweli wa maisha mola atustiri
@mariamissa4765
3 жыл бұрын
Kwel
Majeneza 😂😂😂😂
Haha huy jamaa namkubali sana nataka mke wangu mwenyekit
Nice
😂😂😂😂😂lado huwa unanipa furaha sana jazba zako
@ReymerMchilo
11 ай бұрын
Mwenyekiti mi namtaka mke wangu😅😅
Patcho na Queen hatuwasikii tena sauti imepotea hapo mukiwa out muna kula
❤❤❤❤❤❤
Shukurani
Weka part two au ndio mmemaliza hivyo
Mwenye kiti na mtaka mkewangu
Ndoa yangu
Mmmh 🙄 sijaielewa vzur labda prt2 yake itakua nzur
Hiyo nyimbo ni nyoko umemaliza hii movie.
Hahaaaa wivu.maduhu huna lolote
Haha yani michezo ya zamn haish ham
Gabo wapi na wema jamani
Mchezo upo vizuri sana namtaka Mke wangu lkn wanawake ni mashetani sisi
@gloryshimi9644
4 жыл бұрын
Kambi Boy shetani niwewe tu mwenzangu
@ayshaothman3995
3 жыл бұрын
@@gloryshimi9644 😂😂😂
@gloryshimi9644
3 жыл бұрын
@@ayshaothman3995 niache uko🤨🤨
part two vipi?
Noma
movie nzur sana
ipo vibya
Hahhahaha eti mkiwa chenye hzi jeneza zenu mko n kiburi
Mama kimbo duh
Jamani 2??
Hii movie yaitwaje?
Nimemiss kwetu kuokota kuni
Femi jaman
Inayo fatia
Where is gabo?
Movie iko poa meendelezo uko wapi?
Julius jembe yexu
J
Bwana masiku ww 🤣🤣🤣unaogopa kulala pekeako jinsi unavyompenda mkeo paka watu wa tv wanataka kuja kukuhoji 🤣🤣🤣🤣
@kararaera8161
Жыл бұрын
😃😃😃😃😃jamani
Patcho wewe umenimba trop
Heti we mwanadume waogopa kulala peke yako 😛😛😛
@mkazahamisi8508
3 жыл бұрын
hatali
Hivi Mimi nauliza jamani hili swala la kichwa Cha habari kinaandikwa muvi fulani waliochezà mfano unaambiwa kacheza gabo na wema halafu unakuta tofauti jamani ni hii ni haki kweli huu si wizi wa kimtàndao pia mana kiukweli Mimi hili swala linauma Sana
@jumasaimon8652
3 жыл бұрын
Xo hakki
@FXPIPSKILLER
3 жыл бұрын
Mi pia wananikela
@madamboss348
3 жыл бұрын
Wajinga sana
@chutieeve1546
2 жыл бұрын
😂😂😂
@rebecajoseph8585
2 жыл бұрын
Mbna wema sjamuona et
Eti mwenyekiti naogopa kulala pekeyangu?
@giovannajohnson2469
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaa
Baba Beka jomonii Mwambie laiyawako mke Achungwi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Nice
Julius jembe yexu
@juliasjembelayexu6482
4 жыл бұрын
Haleluya watu mungu