WAZIRI MKENDA Avalia Njuga Swala la Sukari, Agoma Kutoa Kibali Kwa wafanyabaishara Kuagiza
Жүктеу.....
Пікірлер: 125
@jumbemkilla95562 жыл бұрын
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
@EdwardSMsiro2 жыл бұрын
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
@edgarmbehikya81502 жыл бұрын
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
@tumsifumartine6122 жыл бұрын
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde
@bettygeyer69522 жыл бұрын
You are really true, tunaitaji wenye elimu kama wewe
@andersonjoseph84582 жыл бұрын
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu
@habibukilango7738
2 жыл бұрын
Alikuepo Magu na wakamuua na huyu nae watamuua....Mungu amlinde kwa kwel tunataka watu kama hawa
@njigecharles46902 жыл бұрын
Boss kaupiga mwingi sanaaa. Wamemvuruga. Safi sana Prof.
@johnsonkitambi30542 жыл бұрын
Kazi nzuri Prof, Mungu akusimamie tunakuombea.
@2ragosntondero303
2 жыл бұрын
Akilihuna Malawi sukari 1350 Tanzania 3000 jiulize
@ibel4lf2 жыл бұрын
Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president
@ambwenedaniel3582 жыл бұрын
Huyu rais wetu wa sasa ni fisadi mkubwa hana mpango hata kidogo
@jeffreywilliams11712 жыл бұрын
Daah, leo naona tayari Mungu anajibu maombi yetu, asante Mungu.mwengine huyu kwa nafasi ya kutuongoza wananchi tumwombe mungu awalinde hawa
@jeffreywilliams11712 жыл бұрын
Safi kaka, hongera mzalendo , mh mkenda.
@mdimimdimi42822 жыл бұрын
Huyu waziri kwakweli amenikosha xn,anapita nyayo zile zile za mfalme JPM.
@claudbusumilo39792 жыл бұрын
WEWE NI RAISI AJAE JAMANI WEWE NI MZARENDO WA KWELI
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Usitoe ng'oo.kama magu hongera kwa uzalendo
@richardmrosso9762 жыл бұрын
Mheshimiwa kweli tulikuchagua mbunge kweli kweli big up father
@peterjanuary79722 жыл бұрын
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,🙏.
@wilisonuronu18402 жыл бұрын
The real mzalendo, Umeupga mwngi mnooo.... #Congratulation
@geraldbenjamin93022 жыл бұрын
Anakuja mtu kwa mihemko anakwambia "Nonsense " Professor Mungu akutie nguvu tulijua yatakuja mambo ya hovyo tangu JPM alivyoondoka, ndo maana maelfu tulijitokeza barabarani kumsindikiza
@danieljeremia86292 жыл бұрын
Mungu akupiganie kiongoz ubalikiwe
@shabaniabdu13122 жыл бұрын
Waheshimiwa wabunge na viongozi wa juu je' Tuna watendea haki wakulima? Hapana! Wafanya biashara hao ndio bora. Kuliko mkulima? Hio ndio tz ya leo.
@ameedamilja79922 жыл бұрын
Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.
@mathayomaulid9112 жыл бұрын
Tusemee baba nkenda, nyuma yako tupo wengi sana
@johnmalambo17382 жыл бұрын
Safi sana mkuu wewe ndio kiongozi safiiii usitoe watanzania tumekuelewa usiwe mtumwa wakuteuliwa
@rabanmeshack38262 жыл бұрын
Hawa ndio maprofesa tunaowataka
@selemanikisalo5060
2 жыл бұрын
Hakika
@selemanikisalo5060
2 жыл бұрын
Huyu kweli ni Profesa
@shabbyprotus65522 жыл бұрын
Dah yaani mwanamke anasema nonsense kwa mzalendo kweli
@gracegrace62002 жыл бұрын
Mkenda you have made Tanzanians pride. We will stand with you. Tanzania belongs to all of us. The president cannot bully you.
@claudbusumilo39792 жыл бұрын
MKENDA UKIWA RAISI WA TANZANIA TUTAKUWA TUMEPATA NAKUONA UKITUKOMBOA NA KUIKOMBOA TANZANIA NAMUONA MAGUFULI NDANI YAKO
@burudatv7512 жыл бұрын
Na huyu ndo anafaa kuwa rais na sio huyu bibi aliyepata urais kwa kurithi
@barakadugange32342 жыл бұрын
Hao unaoongenao kuwa makini nao inawezekana nusu au wote wamekaa kukusikiliza kinafiki
@sixbertmwakaluwa5665
2 жыл бұрын
Tumekuwa wa hovyo watanzania kwa kuamini hivyo ukiwa muoga utaibiwa mpk chupi yk😂
@sixbertmwakaluwa5665
2 жыл бұрын
Tumekuwa wa hovyo watanzania kwa kuamini hivyo ukiwa muoga utaibiwa mpk chupi yk😂
@claudbusumilo39792 жыл бұрын
MKENDA UNAUWEZO MKUBWA SANA SANA WEWE UNAFAA KUWA RAISI WETU TUKIPATA RAISI KAMA WEWE NCHII HII TUTAKUWA TUMEPATA RAISI SAHIHI.
@nasoromvunja53352 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu endeleanamoyo huwo
@jeanmusamba84482 жыл бұрын
oooh!God!protect our new Magufuli
@ameedamilja79922 жыл бұрын
Dah! Hii jamani ina make SENSE... Sijui Rais aliamkaje juzi akasema "It was NONE SENSE". Ila tunafahamu kwanini TZ ikae karibu na Uganda kwahiyo tutafute tuu laughs nyingine ya kusema mfano tunaweza sema Uganda ni marafiki zetu hivyo tutasaidiana, ila tusitumie manero magumu kwenye ukweli. Tuweni wazalendo kulinda towanda vya TZ na pia tuongeze uzalishaji ili miaka michache ijayo basic tuuze nje maana ni Aibu kwa TZ kununua suvari Malawi na Uganda wakati ni vijinchi vidogo kabisa kwa uzalishaji kulinganisha na TZ.
@wazirisaid8326
2 жыл бұрын
Hujui kwanini Rais alipiuzia hili?Nani alitakiwa kuhakikisha sukari ya kutosha inazalishwa nchini na miwa ya Wakulima inapata soko la ndani na Kama ipo mingi zaidi aombe kibali kwa Mh. Rais Cha kuwatafutia Wakulima wetu soko la nje Kama sio Waziri wa Kilimo akishirikiana na Waziri wa Viwanda na biashara?Tatizo mnashabikia tu hamjui amekoswa wapi.Waziri amashindwa ku play part yake hadi kunakuwa na tishio la uhaba wa sukari!!Then anatafuta watu wa kuungana nao ktk kushangaa!!
@jumavuli73902 жыл бұрын
Nakuelewa sana baba mungu atatusaidia na atakulinda sana.
@bahatimihambo76392 жыл бұрын
Upo vizur mweshimiwa JPM aliacha mbegu imara na zinawasumbua kweli wapiga dili
@josephmahubemaro74062 жыл бұрын
Waziri mkenda Mimi na kuunga mkono usitoe vibari Kwel wewe ulipikwa na Marehemu JPM Hakika mungu ata kulinda
@emanuelchigolo48392 жыл бұрын
Tulikosea kwenye namna ambavyo ubinafsishwaji wa hivi viwanda ulifanyika. Pengine kwakua hatukua wazoefu wakati huo, laiti wangekuwepo watu kama kina Baghresa na Mohamed dewji tusingefika huko..
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
asante rais wetu mtarajiwa 2025
@charlesmpemba93872 жыл бұрын
Wazalendo bado wapo
@skypast24822 жыл бұрын
Mungu mrehemu makufuli nchi ishauzwa hii bado kila mtanzani kupewa chake tu
@eliudijamesi22532 жыл бұрын
Keep up bro watanzania wanaimani naww
@tumafrances5422 жыл бұрын
Mama tozo chiz kabisa profesa Shikilia hapo hapo
@stellamuyenjwamboyi75592 жыл бұрын
Mungu kwetu ni kimbilio na msaada upatikanao tele wakati wa mateso tuondolee fedheha aibu njaa wasiyofaa wasitutawale
@marwamasele44172 жыл бұрын
MUNGU akulinde sanaaaa
@reginaosward61702 жыл бұрын
Safi kiongozi
@cnm29762 жыл бұрын
Tunatupa tani 53,000 kila mwaka? Eh. Tuko pamoja kwenye mshangao Mhe Waziri
Waziri iko sahihi sana na mheshimiwa samia kama hajakuelewa atakuwa msaliti wa nchi yetu msaidieni raisi hajitabui ndio maana vitu vimepanda bei sana yy kapiga kimya tuu
@mshamyusuf63322 жыл бұрын
Daaa napenda niwenakusikia kila mara kamavile makufuli daaa kumbe viingozi wazuri mpo ila nitajiaikia vizuri kama utajihuzuru kisha nikuone bungeni
@eliudijamesi22532 жыл бұрын
Unadeserve kuwa rais wa Taifa hili kwasasa hatuna presoo
@joseeandrew73432 жыл бұрын
proffessal mzee wetu mzalendo endelea kuwa na msimamo na nchi inahitaji wasomi kama wewe wanzalendo kama wewe nchi hii ina wasomi wengi ambao sio wazalendo ni wachumia tumbo tu.barikiwa sana mzee wetu wasomi wengine wajifunze kwako
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Wenye akili za kuzaliwa
@robertmoshi21132 жыл бұрын
rais mtarajiwa
@georgechimeta60802 жыл бұрын
2nd jpm of tz
@lenardjelemia3727
2 жыл бұрын
Aise ulikuwa wp wzl
@lenardjelemia3727
2 жыл бұрын
Kaa na huo msimamo wzl hatuna laid msailit wa nch yt
@marijanimohamed88752 жыл бұрын
msimamo sahihi ndio kila kitu ukosahihi unaona mbali kiuchumi ukiagiza njesana unashusha uchumi wako unatakiwa kuzalisha ili uze nje tuna teseka sana wakulima sio wa miwa tu hata mazao mengine hii ni furusa ya uwazi ya kujua kiongozi mwenye uchungu na watu wake
@alfredmapile43412 жыл бұрын
Sasa Rais halielewi hili?
@godfreyaugustino86662 жыл бұрын
Uko sawa kiongozi japo watakuchukia ukweli unauma wanaangalia matumbo yao tu na sio watanzania
@lameckbalekere19622 жыл бұрын
Tunapenda wakweri kama wewe mkenda hatuwataki waongo kama wakina Nape na January makamba
@shabaniabdu13122 жыл бұрын
Tuna taka waziri kama huyo!
@ambwenedaniel358
2 жыл бұрын
Kabisa mkuu hujakosea
@2ragosntondero3032 жыл бұрын
Hunaakili unajijibu mwenyewe
@allyally30542 жыл бұрын
Hawa ndio viongoz tunaowahitaji
@fikiaupeo2 жыл бұрын
Hivi huyu bi tozo anakili timamu? Maana hata haeleweki. Sijawahi ona mtu mnafiki kama huyu. Anaharibu hatua nzuri za nchi tulizoanza kupiga. Sijui tumfanyaje tu daah.
@mdmachungu74242 жыл бұрын
Wazalendo msikubali kupigwa Pini teteeni Taifa hata nyerere hakuacha Taifa lichewe
@johnmalambo17382 жыл бұрын
Safi Mimi nawewe tunaweza tukaishi nyumba moja Sema kweli wewe ndio unayejua uongozi Nini
Ningekuwa napata namba yako ningekupigia kwani mwaka huu watu maamini watalima alizeti mpaka ikome nawatu ama wakulima lazima watazalisha alizeti yakutosha nahuenda na hata wasio jua kulima watalima mwaka huu
@vicentrogers94652 жыл бұрын
Big Brain
@godsonndamgoba80532 жыл бұрын
Wewe ni mzalendo
@allymadunda79312 жыл бұрын
Mbona sukari bei juu,hamsimamii majukumu sukari ilipotea halafu unaongea.tumejifunza jambo
@christinenyagiro66622 жыл бұрын
Kama hutajiuzuru basi hakikisha hutaruhusu sukari kutoka inje si Uganda, wala Nchi yo yote ile. Watanzania wako pamoja na wewe
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Ni kweli
@2ragosntondero3032 жыл бұрын
Malawi Beiyasukari ikochini waziriumesoma?
@peterremy80132 жыл бұрын
Ww ndio mtanzania halisi boss nimekuelewa
@cosmasmlelwa26212 жыл бұрын
Wewe unafaa sana
@marygaspar64292 жыл бұрын
Unaakili mingi mangii!
@joseeandrew73432 жыл бұрын
wazee wangu ninao muheshimu sana kama mzee wangu kabudi ambao ni wasomi wabonezi wa nchi hii wajifunze kwa proffessal mkenda linapo kuja jambo ambalo linakwenda kinyume na masilahi ya nchi tunaomba mutoke hadharani na mukemee kama mzee mkenda ili muweze kuliokoa taifa.kama leo matozo ya simu umeme kwenye mita na sehemu nyinginezo ndani ya nchi
@simonnick12422 жыл бұрын
Ukosawa
@imanimwashambwa64322 жыл бұрын
Kwa nn sasa Bei ni kubwa?
@2ragosntondero3032 жыл бұрын
Hiloswaliunamuulizanani mulajiaukiwanda
@japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын
Au watanzania wanatakiwa wafundishwe somo la uzalendo!!???🤔🤷😴
@mohammedmdangwe20562 жыл бұрын
Hii nchi ni ya maajabu sana umeongea ukweli watakutumbuwa tumevamiwa na mafisadi sasa hivi ni nchi ya madili
@vampire9464
2 жыл бұрын
Na wewe piga dili wacha ubwege
@halimaauthman93242 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍💯💯💯💯💯💯
@mkushiandikayakoachananaya79442 жыл бұрын
Watu wa namna hii katika utawala wa huyu mama kusalimika ni kazi sana, huyu mama ndiye alikuwa mpinzani mkuu wa Magufuli ndio maana kila leo anapiga mateke yeyote/chochote kinachoonekana kiliendana na Magufuli! Ila tunashukuru ukweli kausema tayari Mzee Nkenda!
@istambuliahmedi82032 жыл бұрын
Watanzania tuliowengi tunataka unafuu wa sukari na sio maneno mazuri mengi, pigeni kazi tuione hiyo kazi, Leo waziri Akita sukari hata kwa Bei kubwa kiasi gani haimpi shida atanunua tu ishu ipo kwa MTU wa Chini mwenye hali ngumu asiyo weza kuhimili gharama kubwa ya sukari ,kwahiyo watu wa namna hii hawana haja kujua sukari inatoka wapi Bali nafuu ya sukari iko wapi?
@christinenyagiro66622 жыл бұрын
Sasa utasema nini ikiwa mama anataka tununue sukari ya Uganda? Tuko nyuma yako
@jeniferliberatus30032 жыл бұрын
Mabaki wapo hogera sana
@mkushiandikayakoachananaya79442 жыл бұрын
Mwanaume aliongea jamani.
@barakadugange32342 жыл бұрын
😭😭😭😭
@ibrahimgwasma2352 жыл бұрын
Utaliwa kichwa Waziri
@kassembotz14212 жыл бұрын
Huu ndio UONGOZI BORA
@geopolitics942 жыл бұрын
Ina make Sense
@fredymkanza2 жыл бұрын
Waziri ana Nia njema kabisa. Tatizo ni kwamba kama sukari ya nje inakuwa Bei nafuu kuliko sukari ya ndani na Rais yuko Kwa ajili ya kutetea Wananchi wasiumie Je Waziri analisemeaje hili?
@2ragosntondero303
2 жыл бұрын
Nimekuerewa
@abdulazizmohamed28052 жыл бұрын
Adofu, weww ni, mtz, Wa damu
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@mrsalam10942 жыл бұрын
Mheshimiwa ww ni mzelendo sana ila raisi samia kapotea anaisaliti nchi yake yy anaona yuko sahihi ila mm sijui alikuwa anafanya kazi fipi na magufuli alikuwa anamsaliti asijivunie kutowa pesa za kunjenga shule akajuwa eti ndio njia ya kupita 2025 ajitafakari kwanza
@ambakisyemwakifyogo28482 жыл бұрын
Huyu yeye ni nani raisi anaagiza yeye anapinga anataka tuteseke kwa bei.mh mama samia raising wa jamhuri ya muungano huyu mrudishe kufundishe chuoni hana adabu na wote wanaomshabikiapiga chini.wahindi ni wajanja sana kuna kitu huyo mrombo .amechukia analalama yeye anasara gani? Anamaslahi gani? Piga chini.
@eliaslazaro2809
2 жыл бұрын
Wew nimvivu wakufikilia huna uwezo wowote hatawakuongoza nyumba 10.fisad mkubwa.
@jut1161
2 жыл бұрын
Kweli kabisa huna uwezo wa kufikiri kabisa. Hata dogo kama hilo bado huoni madhara ya kuingiza sukar
@paulilungu410
2 жыл бұрын
Mvivu wa fikra huyu
@japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын
Watoto wako walale njaa,halafu unajidai una upendo unagawia chakula mtoto wa jirani hilo ni jipu🤬🤬🤬😴
@wazirisaid83262 жыл бұрын
Mh. Waziri naona unajishitaki mwenyewe kwa Wananchi wenye akili.Wewe ndio ulipaswa kushirikiana na Waziri wa Biashara na Viwanda ili kuhakikisha Miwa ya wakulima inanunuliwa na sukari ya kutosha inazalishwa nchini na Kama Viwanda havina uwezo wa kununua miwa yote ya Wakulima Basi muwatagutie Wakulima soko la nje ili wauze miwa yao.Sasa huja play part yako then unawashawishi wananchi mshirikiane kutafuta wa kumshangaa!.Tunacho hitaji ni sukari nchini na Kama Hakuna iagizwe nje. Mimi nina maashaka na wewe! Kwa heshma yako ni Bora ujiuzulu ateuliwe mwenye nia na uwezo wa kumsaidia Rais ktk sector hiyo.
Пікірлер: 125
Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.
Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"
Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe
Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde
You are really true, tunaitaji wenye elimu kama wewe
Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu
@habibukilango7738
2 жыл бұрын
Alikuepo Magu na wakamuua na huyu nae watamuua....Mungu amlinde kwa kwel tunataka watu kama hawa
Boss kaupiga mwingi sanaaa. Wamemvuruga. Safi sana Prof.
Kazi nzuri Prof, Mungu akusimamie tunakuombea.
@2ragosntondero303
2 жыл бұрын
Akilihuna Malawi sukari 1350 Tanzania 3000 jiulize
Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president
Huyu rais wetu wa sasa ni fisadi mkubwa hana mpango hata kidogo
Daah, leo naona tayari Mungu anajibu maombi yetu, asante Mungu.mwengine huyu kwa nafasi ya kutuongoza wananchi tumwombe mungu awalinde hawa
Safi kaka, hongera mzalendo , mh mkenda.
Huyu waziri kwakweli amenikosha xn,anapita nyayo zile zile za mfalme JPM.
WEWE NI RAISI AJAE JAMANI WEWE NI MZARENDO WA KWELI
Usitoe ng'oo.kama magu hongera kwa uzalendo
Mheshimiwa kweli tulikuchagua mbunge kweli kweli big up father
Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,🙏.
The real mzalendo, Umeupga mwngi mnooo.... #Congratulation
Anakuja mtu kwa mihemko anakwambia "Nonsense " Professor Mungu akutie nguvu tulijua yatakuja mambo ya hovyo tangu JPM alivyoondoka, ndo maana maelfu tulijitokeza barabarani kumsindikiza
Mungu akupiganie kiongoz ubalikiwe
Waheshimiwa wabunge na viongozi wa juu je' Tuna watendea haki wakulima? Hapana! Wafanya biashara hao ndio bora. Kuliko mkulima? Hio ndio tz ya leo.
Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.
Tusemee baba nkenda, nyuma yako tupo wengi sana
Safi sana mkuu wewe ndio kiongozi safiiii usitoe watanzania tumekuelewa usiwe mtumwa wakuteuliwa
Hawa ndio maprofesa tunaowataka
@selemanikisalo5060
2 жыл бұрын
Hakika
@selemanikisalo5060
2 жыл бұрын
Huyu kweli ni Profesa
Dah yaani mwanamke anasema nonsense kwa mzalendo kweli
Mkenda you have made Tanzanians pride. We will stand with you. Tanzania belongs to all of us. The president cannot bully you.
MKENDA UKIWA RAISI WA TANZANIA TUTAKUWA TUMEPATA NAKUONA UKITUKOMBOA NA KUIKOMBOA TANZANIA NAMUONA MAGUFULI NDANI YAKO
Na huyu ndo anafaa kuwa rais na sio huyu bibi aliyepata urais kwa kurithi
Hao unaoongenao kuwa makini nao inawezekana nusu au wote wamekaa kukusikiliza kinafiki
@sixbertmwakaluwa5665
2 жыл бұрын
Tumekuwa wa hovyo watanzania kwa kuamini hivyo ukiwa muoga utaibiwa mpk chupi yk😂
@sixbertmwakaluwa5665
2 жыл бұрын
Tumekuwa wa hovyo watanzania kwa kuamini hivyo ukiwa muoga utaibiwa mpk chupi yk😂
MKENDA UNAUWEZO MKUBWA SANA SANA WEWE UNAFAA KUWA RAISI WETU TUKIPATA RAISI KAMA WEWE NCHII HII TUTAKUWA TUMEPATA RAISI SAHIHI.
Mungu akupe maisha marefu endeleanamoyo huwo
oooh!God!protect our new Magufuli
Dah! Hii jamani ina make SENSE... Sijui Rais aliamkaje juzi akasema "It was NONE SENSE". Ila tunafahamu kwanini TZ ikae karibu na Uganda kwahiyo tutafute tuu laughs nyingine ya kusema mfano tunaweza sema Uganda ni marafiki zetu hivyo tutasaidiana, ila tusitumie manero magumu kwenye ukweli. Tuweni wazalendo kulinda towanda vya TZ na pia tuongeze uzalishaji ili miaka michache ijayo basic tuuze nje maana ni Aibu kwa TZ kununua suvari Malawi na Uganda wakati ni vijinchi vidogo kabisa kwa uzalishaji kulinganisha na TZ.
@wazirisaid8326
2 жыл бұрын
Hujui kwanini Rais alipiuzia hili?Nani alitakiwa kuhakikisha sukari ya kutosha inazalishwa nchini na miwa ya Wakulima inapata soko la ndani na Kama ipo mingi zaidi aombe kibali kwa Mh. Rais Cha kuwatafutia Wakulima wetu soko la nje Kama sio Waziri wa Kilimo akishirikiana na Waziri wa Viwanda na biashara?Tatizo mnashabikia tu hamjui amekoswa wapi.Waziri amashindwa ku play part yake hadi kunakuwa na tishio la uhaba wa sukari!!Then anatafuta watu wa kuungana nao ktk kushangaa!!
Nakuelewa sana baba mungu atatusaidia na atakulinda sana.
Upo vizur mweshimiwa JPM aliacha mbegu imara na zinawasumbua kweli wapiga dili
Waziri mkenda Mimi na kuunga mkono usitoe vibari Kwel wewe ulipikwa na Marehemu JPM Hakika mungu ata kulinda
Tulikosea kwenye namna ambavyo ubinafsishwaji wa hivi viwanda ulifanyika. Pengine kwakua hatukua wazoefu wakati huo, laiti wangekuwepo watu kama kina Baghresa na Mohamed dewji tusingefika huko..
asante rais wetu mtarajiwa 2025
Wazalendo bado wapo
Mungu mrehemu makufuli nchi ishauzwa hii bado kila mtanzani kupewa chake tu
Keep up bro watanzania wanaimani naww
Mama tozo chiz kabisa profesa Shikilia hapo hapo
Mungu kwetu ni kimbilio na msaada upatikanao tele wakati wa mateso tuondolee fedheha aibu njaa wasiyofaa wasitutawale
MUNGU akulinde sanaaaa
Safi kiongozi
Tunatupa tani 53,000 kila mwaka? Eh. Tuko pamoja kwenye mshangao Mhe Waziri
Funguka mheshimiwa .Likitekelezwa tutapiga hatua. Jpm alishasema .
Waziri iko sahihi sana na mheshimiwa samia kama hajakuelewa atakuwa msaliti wa nchi yetu msaidieni raisi hajitabui ndio maana vitu vimepanda bei sana yy kapiga kimya tuu
Daaa napenda niwenakusikia kila mara kamavile makufuli daaa kumbe viingozi wazuri mpo ila nitajiaikia vizuri kama utajihuzuru kisha nikuone bungeni
Unadeserve kuwa rais wa Taifa hili kwasasa hatuna presoo
proffessal mzee wetu mzalendo endelea kuwa na msimamo na nchi inahitaji wasomi kama wewe wanzalendo kama wewe nchi hii ina wasomi wengi ambao sio wazalendo ni wachumia tumbo tu.barikiwa sana mzee wetu wasomi wengine wajifunze kwako
@maloomaalmnsj5111
2 жыл бұрын
Wenye akili za kuzaliwa
rais mtarajiwa
2nd jpm of tz
@lenardjelemia3727
2 жыл бұрын
Aise ulikuwa wp wzl
@lenardjelemia3727
2 жыл бұрын
Kaa na huo msimamo wzl hatuna laid msailit wa nch yt
msimamo sahihi ndio kila kitu ukosahihi unaona mbali kiuchumi ukiagiza njesana unashusha uchumi wako unatakiwa kuzalisha ili uze nje tuna teseka sana wakulima sio wa miwa tu hata mazao mengine hii ni furusa ya uwazi ya kujua kiongozi mwenye uchungu na watu wake
Sasa Rais halielewi hili?
Uko sawa kiongozi japo watakuchukia ukweli unauma wanaangalia matumbo yao tu na sio watanzania
Tunapenda wakweri kama wewe mkenda hatuwataki waongo kama wakina Nape na January makamba
Tuna taka waziri kama huyo!
@ambwenedaniel358
2 жыл бұрын
Kabisa mkuu hujakosea
Hunaakili unajijibu mwenyewe
Hawa ndio viongoz tunaowahitaji
Hivi huyu bi tozo anakili timamu? Maana hata haeleweki. Sijawahi ona mtu mnafiki kama huyu. Anaharibu hatua nzuri za nchi tulizoanza kupiga. Sijui tumfanyaje tu daah.
Wazalendo msikubali kupigwa Pini teteeni Taifa hata nyerere hakuacha Taifa lichewe
Safi Mimi nawewe tunaweza tukaishi nyumba moja Sema kweli wewe ndio unayejua uongozi Nini
Hongera Mheshimiwa Waziri.
@sekouturemadembwe6350
2 жыл бұрын
Safi sana mkenda mzalendo wa kweli
Bolauachie ngazi mwananchiananunuasukari 3500/=Wakatimalawi 1200/=waziri hunaishu
Kibali utoe WEWE. 👍
Ningekuwa napata namba yako ningekupigia kwani mwaka huu watu maamini watalima alizeti mpaka ikome nawatu ama wakulima lazima watazalisha alizeti yakutosha nahuenda na hata wasio jua kulima watalima mwaka huu
Big Brain
Wewe ni mzalendo
Mbona sukari bei juu,hamsimamii majukumu sukari ilipotea halafu unaongea.tumejifunza jambo
Kama hutajiuzuru basi hakikisha hutaruhusu sukari kutoka inje si Uganda, wala Nchi yo yote ile. Watanzania wako pamoja na wewe
Ni kweli
Malawi Beiyasukari ikochini waziriumesoma?
Ww ndio mtanzania halisi boss nimekuelewa
Wewe unafaa sana
Unaakili mingi mangii!
wazee wangu ninao muheshimu sana kama mzee wangu kabudi ambao ni wasomi wabonezi wa nchi hii wajifunze kwa proffessal mkenda linapo kuja jambo ambalo linakwenda kinyume na masilahi ya nchi tunaomba mutoke hadharani na mukemee kama mzee mkenda ili muweze kuliokoa taifa.kama leo matozo ya simu umeme kwenye mita na sehemu nyinginezo ndani ya nchi
Ukosawa
Kwa nn sasa Bei ni kubwa?
Hiloswaliunamuulizanani mulajiaukiwanda
Au watanzania wanatakiwa wafundishwe somo la uzalendo!!???🤔🤷😴
Hii nchi ni ya maajabu sana umeongea ukweli watakutumbuwa tumevamiwa na mafisadi sasa hivi ni nchi ya madili
@vampire9464
2 жыл бұрын
Na wewe piga dili wacha ubwege
👍👍👍👍👍👍💯💯💯💯💯💯
Watu wa namna hii katika utawala wa huyu mama kusalimika ni kazi sana, huyu mama ndiye alikuwa mpinzani mkuu wa Magufuli ndio maana kila leo anapiga mateke yeyote/chochote kinachoonekana kiliendana na Magufuli! Ila tunashukuru ukweli kausema tayari Mzee Nkenda!
Watanzania tuliowengi tunataka unafuu wa sukari na sio maneno mazuri mengi, pigeni kazi tuione hiyo kazi, Leo waziri Akita sukari hata kwa Bei kubwa kiasi gani haimpi shida atanunua tu ishu ipo kwa MTU wa Chini mwenye hali ngumu asiyo weza kuhimili gharama kubwa ya sukari ,kwahiyo watu wa namna hii hawana haja kujua sukari inatoka wapi Bali nafuu ya sukari iko wapi?
Sasa utasema nini ikiwa mama anataka tununue sukari ya Uganda? Tuko nyuma yako
Mabaki wapo hogera sana
Mwanaume aliongea jamani.
😭😭😭😭
Utaliwa kichwa Waziri
Huu ndio UONGOZI BORA
Ina make Sense
Waziri ana Nia njema kabisa. Tatizo ni kwamba kama sukari ya nje inakuwa Bei nafuu kuliko sukari ya ndani na Rais yuko Kwa ajili ya kutetea Wananchi wasiumie Je Waziri analisemeaje hili?
@2ragosntondero303
2 жыл бұрын
Nimekuerewa
Adofu, weww ni, mtz, Wa damu
.
Mheshimiwa ww ni mzelendo sana ila raisi samia kapotea anaisaliti nchi yake yy anaona yuko sahihi ila mm sijui alikuwa anafanya kazi fipi na magufuli alikuwa anamsaliti asijivunie kutowa pesa za kunjenga shule akajuwa eti ndio njia ya kupita 2025 ajitafakari kwanza
Huyu yeye ni nani raisi anaagiza yeye anapinga anataka tuteseke kwa bei.mh mama samia raising wa jamhuri ya muungano huyu mrudishe kufundishe chuoni hana adabu na wote wanaomshabikiapiga chini.wahindi ni wajanja sana kuna kitu huyo mrombo .amechukia analalama yeye anasara gani? Anamaslahi gani? Piga chini.
@eliaslazaro2809
2 жыл бұрын
Wew nimvivu wakufikilia huna uwezo wowote hatawakuongoza nyumba 10.fisad mkubwa.
@jut1161
2 жыл бұрын
Kweli kabisa huna uwezo wa kufikiri kabisa. Hata dogo kama hilo bado huoni madhara ya kuingiza sukar
@paulilungu410
2 жыл бұрын
Mvivu wa fikra huyu
Watoto wako walale njaa,halafu unajidai una upendo unagawia chakula mtoto wa jirani hilo ni jipu🤬🤬🤬😴
Mh. Waziri naona unajishitaki mwenyewe kwa Wananchi wenye akili.Wewe ndio ulipaswa kushirikiana na Waziri wa Biashara na Viwanda ili kuhakikisha Miwa ya wakulima inanunuliwa na sukari ya kutosha inazalishwa nchini na Kama Viwanda havina uwezo wa kununua miwa yote ya Wakulima Basi muwatagutie Wakulima soko la nje ili wauze miwa yao.Sasa huja play part yako then unawashawishi wananchi mshirikiane kutafuta wa kumshangaa!.Tunacho hitaji ni sukari nchini na Kama Hakuna iagizwe nje. Mimi nina maashaka na wewe! Kwa heshma yako ni Bora ujiuzulu ateuliwe mwenye nia na uwezo wa kumsaidia Rais ktk sector hiyo.