Waziri Kindiki atoa majina na picha za magaidi

Ойын-сауық

Wizara ya Usalama imetangaza majina na kuchapisha picha za watu thelathini na watano wanaoaminika kuhusika na kundi la kigaidi la Alshabaab ambalo limekuwa likifanya mashambulizi lamu na katika msitu wa boni. waziri wa usalama Kithure Kindiki amesema watu hao wanahushwa na mabomu ya kutegwa ardhini yaliyowaua raia kando na kushambulia kambi ya kijeshi ya manda mwaka 2020

Пікірлер: 56

  • @mikedaniels1922
    @mikedaniels19228 ай бұрын

    One tirelessly working cs, may you serve kenyans accordingly

  • @ekudamekimombasa461
    @ekudamekimombasa4618 ай бұрын

    Good job 👏

  • @athmanhamid9578
    @athmanhamid95788 ай бұрын

    Halo watanzania tukipata ..Tupeni sisi raiaaa tuwafanye vibaya

  • @salimhassan3369
    @salimhassan33698 ай бұрын

    Mungu ata kusaidia

  • @handofjustice999
    @handofjustice9998 ай бұрын

    The moment he started talking....sijui nacheka kwa nini 😂😂

  • @tumaabby2172
    @tumaabby21728 ай бұрын

    Good work

  • @Lorinekavai
    @Lorinekavai8 ай бұрын

    Kazi safii 0:09

  • @SSs-fn4hs
    @SSs-fn4hs8 ай бұрын

    Hawa watu walianza kutangazwa kitambo sana since 😂 2013 Westgate haya bado dusit wakatangazwa tena leo😂😂😂😂

  • @partohkym
    @partohkym8 ай бұрын

    2:19 Kidiki turning to Liam Neeson AKA Bryan Mills in Taken movie series

  • @johnbrown3235

    @johnbrown3235

    8 ай бұрын

    valid observation. UDA is a bunch of thieves and tricksters.

  • @Mtu445
    @Mtu4458 ай бұрын

    The names are from one ....R

  • @anointedking6960
    @anointedking69608 ай бұрын

    Kindiki is joking 😅😅😅 Eti criminals to surrender to the nearest police station 😅😅😅

  • @DavidMungai-hx7sz

    @DavidMungai-hx7sz

    8 ай бұрын

    😂😂

  • @victorseda8979

    @victorseda8979

    8 ай бұрын

    😂😂😂

  • @victormutava6868

    @victormutava6868

    8 ай бұрын

    😂😂anadhani hao ni wezi wa kuku

  • @augustinejesino1416
    @augustinejesino14168 ай бұрын

    Good work CS kindiki 💥🇰🇪🇰🇪🇰🇪⚡

  • @augustinejesino1416

    @augustinejesino1416

    8 ай бұрын

    🔱

  • @johnbrown3235

    @johnbrown3235

    8 ай бұрын

    you still believe UDA thieves and tricksters???....."nikiweka bibilia chini tu hivi", bei ya mafuta chini, bei ya unga chini, gharama ya maisha chini....

  • @dafinesmailo1984
    @dafinesmailo19848 ай бұрын

    Heri wangetafutwa tu pole pole bila kutangaza.vile mnatangaza ndivyo wanapata njia ya kuhepa.hamtawahi wapata.

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058
    @mutalemwamarcelventure.mae20588 ай бұрын

    Hatpendi wa Tz wahusiswe ata majina hayana rangi wala kabila na aangaliaaa tu

  • @johnaviha2441
    @johnaviha24418 ай бұрын

    The named people are merely empty heads.Why cant they find something valuable to do.Why would a normal person want to destroy lives or property.The society does not need such people.

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu62228 ай бұрын

    Anika wote

  • @nathanfrancisondieki6586
    @nathanfrancisondieki65868 ай бұрын

    Good work Hon kindiki

  • @johnbrown3235

    @johnbrown3235

    8 ай бұрын

    good work for empty stories of UDA govt of thieves and tricksters.

  • @rodgersjuma633
    @rodgersjuma6338 ай бұрын

    Awa, awa wakitambo ndio wanatangazwa tena?!

  • @richiemuraya3853
    @richiemuraya38538 ай бұрын

    Siungewatafuta bila kutangaza

  • @hazeljelimo5995
    @hazeljelimo59958 ай бұрын

    Good work kindiki

  • @johnbrown3235

    @johnbrown3235

    8 ай бұрын

    how is the bottoms up economic model working for you and your like minded assholers aka hasoras???

  • @Lorinekavai
    @Lorinekavai8 ай бұрын

    Hi

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir39268 ай бұрын

    @newupdates rudi utujuze shaka hola ni vipi au uuwaji wa shaka hola uuwaji wao ni wa new mordal pili serekali imalize haya mwanzo awachane na story ya haiti

  • @newupdates6063
    @newupdates60638 ай бұрын

    Watu wa Allah wana shida😮😮😮😮😅😅

  • @raiyaaaraiyaa6054

    @raiyaaaraiyaa6054

    8 ай бұрын

    Msenge mkubwa. Israel waleta vita hao ni musilims, Urusi na Ukraine wapigana mpaka Leo hao ni musilims, kumamako

  • @gilbertnyiro2672
    @gilbertnyiro26728 ай бұрын

    That good kindiki

  • @johnbrown3235
    @johnbrown32358 ай бұрын

    story za uongo from UDA govt of thieves and tricksters to divert attention from zakayo's empty promises.

  • @saudaumar3354
    @saudaumar33548 ай бұрын

    Uliwaona?wata uzembee.ukiwa uliwaona mbona hukuripoti atauwongo wako usitukue majina kwa somali government utakufa utawekwa motoni

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir39268 ай бұрын

    Kindiki wachekesha sana eti raiya walete taarifa kisha mtampa pesa hiyi ni ndoto mwanzo atakae leta taarifa hyo maswali na mtakavyo mfanyia ni bora hyo taarifa abakie nayo mwenyewe

  • @footballchannel1378

    @footballchannel1378

    8 ай бұрын

    Ata wenye ,wanipeana habari kuhusu wenye walikuwa wamehepa kamiti sidhani walipewa kitu

  • @judymoraamachongo99
    @judymoraamachongo998 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂Eeeeiiish nearest what, be serious at once mbona atangaze badala mngewashughulikia mwanzo,, wameenda uganda bci

  • @samweliemanuelisir5311
    @samweliemanuelisir53118 ай бұрын

    Muslims!!!! Puhhh!!!

  • @raiyaaaraiyaa6054

    @raiyaaaraiyaa6054

    8 ай бұрын

    Pumbavu mkubwa msenge wewe. Israel saa yote vita ni musilims, Urusi na Ukraine wapigana mpaka Leo ni musilims. Kumamako

  • @zacharychacha416
    @zacharychacha4168 ай бұрын

    Kama jina zao n ngumu hvyo hadi kwa msomaji....kupatikana je?0

  • @user-cg3vf2bl6b

    @user-cg3vf2bl6b

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂 mbinguni utaionea Kwa viusasa 😅😅

  • @victormutava6868

    @victormutava6868

    8 ай бұрын

    Hawa watu walisomwa ata five years ago 😂this are old pics na hawa watu saa hii wamegrow

  • @raiyaaaraiyaa6054

    @raiyaaaraiyaa6054

    8 ай бұрын

    ​.. Hio ni ukweli kindiki wamechukua picha zilizotokewa na matia'ng

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b8 ай бұрын

    Osama bin Laden, alipatikana aje?ulizieni wazungu,sio rahisi,mnatnani ni pombe

  • @alvinkiplimo28
    @alvinkiplimo288 ай бұрын

    Execution si wamepata picha

  • @leochemkoros1595
    @leochemkoros15958 ай бұрын

    Kina Bashir,Ali Mohamed...........kwani watu waliwakosea mini. Your religion is misleading you. No to terrorists.

  • @eddyomuko6523
    @eddyomuko65238 ай бұрын

    He forgot to put his name in the list his the first terrorist.

  • @michaelmwiti3037
    @michaelmwiti30378 ай бұрын

    Mtu kutoka Ethiopia,uingereza anajuaje boni forest?watu si wajinga ... Wanatafuta nini huko mashambani

  • @rachaelw580
    @rachaelw5808 ай бұрын

    Haha terrorists ajipeane police kweli not easy

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa60548 ай бұрын

    Serikali ya uongo ni ya ruto na watu wake. Majina yote mliotoa. Yalisomwa na vyombo vya habar Kenya hii. Hayo majina yalitolewa na serikali ya Uhuru na matia'ng. Wakenya sio wajinga km mnavyofikiria. Kz hamuwezi ni ubabe na kifua na waizi wa mifugo wamewashinda

  • @shadrackmaswi7241
    @shadrackmaswi72418 ай бұрын

    Ati terrorist wajisalimishe umeshindwa na kazi wewe

Келесі