WAZEE UJIJI ''Hatutaki Guest wala bar, zilikuwepo zikabomoka kama Uarabuni"

Ujiji ni kati ya Miji ya kale zaidi Tanzania, Leo AyoTV na millardayo.com imetembelea katika Mji huo ulioko Mkoani Kigoma baada ya kusikia sifa zake mbalimbali mojawapo ni kutokuwepo kwa nyumba za kulala wageni.

Пікірлер: 210

  • @barakamoya430
    @barakamoya4305 жыл бұрын

    kama umemuelewa sana mzee wa mwisho kama mimi gonga like

  • @jasminomary2225
    @jasminomary22255 жыл бұрын

    Uyu mzee wa mwisho kaongea point sana wengine wameongea pumbaaa

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope95285 жыл бұрын

    Uyo Mzee wamwisho nimemuelewa vzuli sana ao wengine wanabwabwaja tu,,

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20675 жыл бұрын

    Nawatoto wa ujiji ndio wanaongoza kwa umalaya na midomo mixer umbea sasa kuzuia guest kuna maana gani subirin miaka mitano mbele mtaona uchawi sio dili

  • @vannillahabdallahmarandava1815

    @vannillahabdallahmarandava1815

    4 жыл бұрын

    Wee acha umama ww huna mdomo unalia nn usitutusi

  • @mataamiry6720

    @mataamiry6720

    4 жыл бұрын

    kila sehemu na utamaduni wake we shoga unafosi au msenge wewe

  • @ashleykipuge1246
    @ashleykipuge12465 жыл бұрын

    Huyo mzee wa mwisho kaongea point sana 👍

  • @fransiskahaule3343

    @fransiskahaule3343

    5 жыл бұрын

    Wazeee hawa wanauelewa kushinda vijana..kwani vijana wa ujiji mnanini lakini hahahaaa adi wazeee wanawashinda mitazamo daaah..vijana wanawaza guest kwa ngono kumbe guest inamatumizi mengi zaidi ya mtazamo wao awa vijana ndio waharibifu wa ujiji

  • @ashleykipuge1246

    @ashleykipuge1246

    5 жыл бұрын

    Hahaaa yan wanamawazo mgando sana

  • @f.a6043

    @f.a6043

    5 жыл бұрын

    @@fransiskahaule3343 kweli kabisa

  • @f.a6043

    @f.a6043

    5 жыл бұрын

    @@ashleykipuge1246 🤣🤣🤣

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77023 жыл бұрын

    Mzee nendeleeni nahao kwasababu mabaa.namagesti yinaharimu vijana sana wanakunywa pombe nauvutaji wambange kwahio msikubali hongereni wazee kwa kuihifadhi dini nayusilamu inchallah mbarikiwe

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha16875 жыл бұрын

    Hawa wazee walijua kitakacho wakuta vijana wa sasa 😪😪😪🤗👍🏽

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool42355 жыл бұрын

    Hongerenii sanaaaaaaa

  • @mkongomanidrc849
    @mkongomanidrc8492 жыл бұрын

    Mash'Allah Allah awaongoze mwisho mwema na msimamo wenu Insha'Allah

  • @amananassor524
    @amananassor5245 жыл бұрын

    Sawa sawa mzee mungu awa baliki

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba28625 жыл бұрын

    Jamani Guest Na dini wapi na wapi guest kama lilivyo neno lake ni nyumba ya wageni

  • @NiniOman-lx5lg
    @NiniOman-lx5lg7 ай бұрын

    Masha Allh

  • @halimaramadhanimwevi2472
    @halimaramadhanimwevi24725 жыл бұрын

    Huyo wa mwisho ndio kaongea ukweli pamoja na Kintu Buhoro.

  • @khadijaally5233
    @khadijaally52334 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @ukhtyashurasakinamnyoti1786
    @ukhtyashurasakinamnyoti17865 жыл бұрын

    Geust house maana yake nyumba ya wageni sasa wageni wakifika hapo watalala wapi watu ndio hutumia kwa kufanya mambo machafu wanaenda wenyeji wa humohumo kufanya zinaa neno nyumba ya wageni inageuka kuwa nyumba ya wenyeji

  • @masoudzanzibarali9994
    @masoudzanzibarali99945 жыл бұрын

    Safi sana 👍🏿👍🏿

  • @february2866
    @february28665 жыл бұрын

    Niliwahi kufika hapo,eneo la kumbukumbu hilo Ujiji!Ila mnatakiwa kuadilika!Gest siyo kwaajili ya ngono tu!

  • @SafariMsafi-um1pz

    @SafariMsafi-um1pz

    3 ай бұрын

    Kajenge kwenu kama unajali

  • @mohamedkazema6381
    @mohamedkazema63815 жыл бұрын

    Swadaqta kaka Abdallah Muhuza, umeongea vyema. Vilabu vya pombe msikubali kabisa viwepo katika mji wetu, lakini nyumba za wageni sio haramu kuwepo, sababu sio wageni wote ni waovu.

  • @tawakalikubilazuber7545

    @tawakalikubilazuber7545

    4 жыл бұрын

    Mohamed Kazema

  • @erastomazela8962
    @erastomazela89625 жыл бұрын

    Guest ni kwaajili ya wageni wanaokuja kutalii au safari za kikazi sasa ninyi mnawaza kuwa guest watu wakienda ni ngono tu. Mbona hamkatazi watu waache uchawi

  • @vivianlenard3618

    @vivianlenard3618

    5 жыл бұрын

    Si watalii kisha waludi kulala sehemu zenye ma guest kulala.

  • @erastomazela8962

    @erastomazela8962

    5 жыл бұрын

    @@vivianlenard3618 try to be logical

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya71665 жыл бұрын

    Safi sana nimepapenda Allah azidi kuwalinden

  • @hamzamwilaphy2902

    @hamzamwilaphy2902

    3 жыл бұрын

    Guest ni dhambi?

  • @janesuma2193
    @janesuma21935 жыл бұрын

    kwaiyo uko ujiji wanaishi waislam tu pumbavu zenu piteni kushuto na tabia zenu za udini

  • @ramadhanzmlay1331
    @ramadhanzmlay13315 жыл бұрын

    we jamaa tunaomba hii makala iendelee,,,

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed40724 жыл бұрын

    Mashaalla mwenyezi mungu. Awabarki

  • @allyanyingisemalabeja6551

    @allyanyingisemalabeja6551

    3 жыл бұрын

    Nivizuli lakini tatizo kwa wAgeni ambao hawana ndugu mnazani watafikia wapi.nawatalala wapi mfano wakija

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 Жыл бұрын

    Wafanye Kimarekani, hapa Maarekani ukitaka kutumia guests, lazima ulipe karo ya 24 hours! Hakuna kulipa saa chache maana hiyo ni kama unataka kufanya dhambi ya ngono tu!

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul68245 жыл бұрын

    Safi sana kabisa

  • @ludwickernest3588
    @ludwickernest35885 жыл бұрын

    huyu mzee wa mwisho anajielewa na naamini amewahi kaa sehemu nje na ujiji au kigoma

  • @emanuelmoshama1747
    @emanuelmoshama17475 жыл бұрын

    uchawi tuu mmmekalia na hakuna maendeleo ukooo

  • @esterkarine5780
    @esterkarine57805 жыл бұрын

    Wow mila azitupwi kweli 🙌🙌

  • @gemkachar
    @gemkachar5 жыл бұрын

    Mimi mtalii wa ndani. Sasa Kigoma ujiji siji. Hasara kwenu

  • @fransiskahaule3343

    @fransiskahaule3343

    5 жыл бұрын

    Hahahaaaaaaaaaa

  • @mohamedkazema6381

    @mohamedkazema6381

    5 жыл бұрын

    Wewe si bure, ulikuwa unataka kufanya utalii wa ngono.

  • @zwinsalhabsu264
    @zwinsalhabsu2645 жыл бұрын

    Safi sana

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63655 жыл бұрын

    Mzee umeongea vizuri kwa ufafanuzi zaidi

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma45465 жыл бұрын

    Kwani nn maana ya Guest house,, watu wakisikia Guest wanafikiria ujinga! Kwani huko huwa hawapati wageni ? Hamuezi kuwa na maendeleo, tafuta hao wazee wafyekeni!

  • @hamzamwilaphy2902
    @hamzamwilaphy29023 жыл бұрын

    Daaah mbadilike! Guest ni kwaajili ya wageni sijui kwanini mnatafsiri vinginevyo

  • @hervemani9600
    @hervemani96005 жыл бұрын

    Huyo jamaa wa kwanza Anaongea kama Baba Level

  • @moyolameck555
    @moyolameck5555 жыл бұрын

    Mtaishi kwa shida sana maendeleo mtayasikia kwenye redio maana gesti sio tu kwa ngono bali hata wageni wanaotoka sehemu mbali mbali wanafikia shubaaaamitttiiiii

  • @moyolameck555

    @moyolameck555

    5 жыл бұрын

    Nyie ndio mkija dar mnapata ukimwi mapema sana

  • @man.lule.585

    @man.lule.585

    5 жыл бұрын

    Maendeleo ni Peponi Firdaus sio Duniani, hapa Duniani kila Nafasi itaonja Umaut.

  • @marimuhamis3471
    @marimuhamis34715 жыл бұрын

    Safi sanaaa

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa72155 жыл бұрын

    Kigoma yetu naipenda sana

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51925 жыл бұрын

    Maamuz sahihi 💯

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih28155 жыл бұрын

    busara nzuri

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Жыл бұрын

    Mji wa kiarabu hup husiokuwa na gest uku wapo ma hotel kila kona na watu wanafanya hufusuka zaman ndio kurikua hakuna lkn sasaiv we usipime kunasitare wara huwamin kama upo huwarabun

  • @Saniamunguatujaliyemwishomwema
    @Saniamunguatujaliyemwishomwema5 жыл бұрын

    Allah awajarie muzipige vita vikari zipotee kabisaa

  • @ashaali7154
    @ashaali71545 жыл бұрын

    Munafunga guest kwenu lakini maasi munaenda kufanyia Mwanga kweli Mungu anachezewa kweli kweli.

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba28625 жыл бұрын

    ukiwa mgeni unalala wapi? mbona mtihani sana

  • @vedastusnestory6060

    @vedastusnestory6060

    3 жыл бұрын

    Kigoma mjini zipo .Maana Manispaa imeundwa na miji ya Kigoma na Ujiji.

  • @shindanopapaya2084
    @shindanopapaya20845 жыл бұрын

    Hahaha hiyo ujiji yenyewe choka mbaya mbadilike ndugu zangu

  • @starvista823
    @starvista8235 жыл бұрын

    Tatizo watu wa kigoma mmejaa ushamba mtu mnawaza tu ngono KWAN NANI KASEMA GUEST NI KWAAJIRI YA NGONO nyie wawapi

  • @lewiskinoni1507

    @lewiskinoni1507

    5 жыл бұрын

    Wakigoma

  • @kassimuramadhani6615
    @kassimuramadhani66155 жыл бұрын

    hata bangi kali inasemekana inaptikana ujiji

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole56632 жыл бұрын

    Ndio maana pamedumaa mnamambo ya kizamani sana inaonekana hata mzunguko wa pesa apo hakuna...kazi ya kuiga warabu wakati wenzenu huko uarabuni kwenyewe gest zipo. nyie mnajifanya kuiga warabu wakati wenzenu wanaishi kwa kutegemea mafuta?!... mimi hapo siwezi kuishi pana maisha ya kikoloni sana

  • @nkatakulimamkuwa4872
    @nkatakulimamkuwa48725 жыл бұрын

    Ndio maana hata maendeleo maeneo hayo hakuna mnakaa Kama kijiji

  • @mahsenabbasss4079
    @mahsenabbasss40795 жыл бұрын

    Ni shidaaa

  • @tewenjohn5343
    @tewenjohn53434 жыл бұрын

    Dini ya kieslamu ndo itaki maendeleo ya Kigoma Ujiji. Tume kuwa paskistan sisi?

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya485 жыл бұрын

    Mzee uko vzr

  • @salehjambo4075
    @salehjambo40755 жыл бұрын

    Wanaopenda pombe na uzinzi lazima watawatusi wazee kwa kuwaita wachawi ,lakini lengo la wazee ilikua kulinda maadili ya vijana wao na imaniyao ya kiisimu

  • @imanmwakalinga410
    @imanmwakalinga4105 жыл бұрын

    Kwahio wao wanafikiri ni sifa,hajui wanajikomoa wenyewe mfano wageni katika mji huo watalala kwenye hizohizo nyumba zao.

  • @zalfaoman9799
    @zalfaoman97993 жыл бұрын

    Omani zipo nyumba za wageni bwana hiyo sijui nyinyi mawazoyenu

  • @abdulnondo1146
    @abdulnondo11465 жыл бұрын

    Mbona mnapashambulia kwetu bhna !

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84555 жыл бұрын

    ndo maana hamuendelei gesti ni nyumba ya wageni so wageni walale kwenye vbanda vyenu?

  • @hassanmaulidi8068

    @hassanmaulidi8068

    4 жыл бұрын

    wewe unanini??

  • @paulmkhoi8144
    @paulmkhoi81442 жыл бұрын

    Mzee wa mwisho kanena aisee!!! Ninachokiona hao wengine hawajui maana ya GUESTHOUSE wanadhani ni sehemu ya kufanyia maovu.

  • @bwizayasini2153
    @bwizayasini21535 жыл бұрын

    Sio kweli matunda gest

  • @soudabdulrahman9359
    @soudabdulrahman93592 жыл бұрын

    Guest house si danguro kwa kiswahili ni nyumba ya wageni

  • @sundaystanley5459
    @sundaystanley54595 жыл бұрын

    lkn wazinzi na walevi wengi wanatoka ujiji,kwendeni zenu na uchawi wenu

  • @ashwajeshi1558

    @ashwajeshi1558

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    ss c ni wanakuwa watu waliofichwa hivyo wakija oneshwa mambo pahala yalipo, hulipuka na ndo huitwa malimbukeni

  • @WJShadrack
    @WJShadrack5 жыл бұрын

    Ndio maana mji wa ujiji hauendelei kwa sababu watu bado wanawazo ya kizamani sana. Guest House ni nyumba ya wageni. Ujiji is supposed to be a historic town but hata watalii wakifika hapo hawana pa kufikia.

  • @hassanlikwenangu8471

    @hassanlikwenangu8471

    Жыл бұрын

    Kwa mtazamo wako uzinzi na ulevi ndio maendeleo!!

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16505 жыл бұрын

    Mnapinga haramu kwa haramu...ati ukifungua bar usubui unakuta vyungu...ss hapo ni 1-1=0

  • @raphaelgadau2783
    @raphaelgadau27835 жыл бұрын

    Kumbe huko wachawi sana kuliko sumba wanga

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika61733 жыл бұрын

    Ni hatari yani hiyo ndiyo umaskini kwakweli

  • @jumafandey707
    @jumafandey7075 жыл бұрын

    Tukalale wapi Wageni!

  • @munamuna414

    @munamuna414

    5 жыл бұрын

    Kwa mjumbe ha ha ha

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    Muna muna daadeki..

  • @hatibuahmadi7237

    @hatibuahmadi7237

    4 жыл бұрын

    Sio kwamba kigoma nzima hakuna gest hapana Bali Kuna sehem maalum ambayo ukienda unapata huduma zote kuanzia gest avingi nevyo yaani mjini hapo Pana itwa mwanga nakuendelea

  • @hasanshaf2323
    @hasanshaf23235 жыл бұрын

    nimefurahi kuiona ujiji yetu nisiku nyingi sijaiona

  • @rashidabeid172
    @rashidabeid1724 жыл бұрын

    Duuu! Wageni mnawalaza wapi? Guest sio nyumba za kufanyia umalaza. Vinginevyo wageni waonyeshe vyeti vya ndoa.

  • @frankfrank2600
    @frankfrank26003 жыл бұрын

    Acheni ushamba pia uchawi ndomana amuendelei mimi nakuja naweka tuone sasa kama mtaweza kuiwaingia

  • @jumannejumanne2258
    @jumannejumanne22585 жыл бұрын

    Ujiji ni wachawi na ndio Mana wageni hawakai mgeni akiingia Ana hela wanamuua au anafukuzwa acwazid uwezo kwa gest hawezi kuwepo

  • @denniskiango6901
    @denniskiango69015 жыл бұрын

    Wapili ila hapo hakuna gesti vijana wanaenda kufanya uchafu kwingine nn mezuia?

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    Dennis Kiango utawaweza!

  • @denniskiango6901

    @denniskiango6901

    5 жыл бұрын

    @@mnzavachris5423 nauliza wamezuia nn kwan vijana waeleza wanaenda kwingine kufanya starehe,hawaoni wananyima maendeleo tu ya eneo lao

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    Dennis Kiango ndo akwambia twarudishana nyuma kwa sababu zisizokuwa na maufaa

  • @denniskiango6901

    @denniskiango6901

    5 жыл бұрын

    @@mnzavachris5423 weachatu

  • @michaelmika3844
    @michaelmika38445 жыл бұрын

    Dada zangu wamezalia nyumbani nipo ujji comment

  • @AizackWay
    @AizackWay5 жыл бұрын

    Nomaa sana

  • @zenomnali5784

    @zenomnali5784

    5 жыл бұрын

    Aizack Wa:10:y94

  • @AizackWay

    @AizackWay

    5 жыл бұрын

    @@zenomnali5784 napaelewa huko home

  • @marygaspar6429

    @marygaspar6429

    5 жыл бұрын

    Ndiyo maana kumechoka mbaya!

  • @marygaspar6429

    @marygaspar6429

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @marygaspar6429

    @marygaspar6429

    5 жыл бұрын

    Huyu mzee aliyesema dunia inavyokwenda yupo sahihi! acheni uzamani Gest cyo usinzi tuu zina kazi nyingi ikiwemo wapumzike waleta maendeleo!

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi77544 жыл бұрын

    Ile gest ipo jirani na posta ..mtaa wa rusimbi ..imekuwa ikihudumu kwa miaka mingi na yenyewe ilifungwa? Msizingizie gest zipo mwanga na ujiji zipo tunazijuwa ..tena za wazawa wa hapo hapo ujiji..ongeeni haki...

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga74555 жыл бұрын

    Sasa hamtaki guest ila uchawi/ushirikina mnaukubali ndoo kitu gani ?

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    Kibila Wazebanga utawaweza hao!

  • @hassanmaulidi8068

    @hassanmaulidi8068

    4 жыл бұрын

    uchawi kwenu mpuuzi wee

  • @huku-sweden
    @huku-sweden5 жыл бұрын

    Tukipata nanii au mambo yetu..🤣🤣🤣 mambo gani sasa

  • @fantsonmpango7502
    @fantsonmpango75023 жыл бұрын

    Uislam unakuwa rohoni siyo kulazimishana

  • @benardmartine244
    @benardmartine2445 жыл бұрын

    Nyumba Ya Wageni?

  • @magdalenatunguhole3284
    @magdalenatunguhole32843 жыл бұрын

    Huyo mzee wa koti la Jinse Mkongomani

  • @deustutu1162
    @deustutu11625 жыл бұрын

    imuhila nyumban ni nyumban

  • @thedeo472
    @thedeo4725 жыл бұрын

    Sababu ya kutokuwa na Guest House Ujiji ni kukosa wateja!!!!!!

  • @christianmarijani104
    @christianmarijani1045 жыл бұрын

    Eti uislam...uislam au uchawi..hiyo dini yenu inanitiaga mashaka sana..

  • @brotherjab7773

    @brotherjab7773

    5 жыл бұрын

    uislamu upo mbali na uchawi ukiosoma utaelewa na ndio dini pekee yenye maandiko makali kuhusiana na ushirikina lakini cha kusikitisha wanaojinasibisha nayo hawaisomi matokeo yake ndo hayo unayoyasikia Kwa vijana hao

  • @jumaalmasy4336

    @jumaalmasy4336

    5 жыл бұрын

    Acha ubwege dini yetu ni dini ya ustarabu huwezi Kuingia mchafu km we.

  • @hadija846
    @hadija8465 жыл бұрын

    Wageni watafikia wapi?

  • @ndegeyaernest3101
    @ndegeyaernest31015 жыл бұрын

    Hii ni Tanzania endeleeni na yenu

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto5 жыл бұрын

    Asa tour za ujiji kumbe ni ufala ulale wapi sasa kama hamna guest

  • @drtobias_
    @drtobias_5 жыл бұрын

    Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida13784 ай бұрын

    Kama hamtaki ivo vitu kwa nn mnaenda uko kwingine sheria na malufuku ifate mkondo wake msiende ata kwingine hapo ndo uislamu uislamu wakwenda kwingine co kabisa

  • @DIweni
    @DIweni5 жыл бұрын

    Sasa kama hakuna guest naendaje ujiji kwa mfano! c watanilaza juu ya mti hawa,siendi ujiji mm.

  • @emmanueltarimo892
    @emmanueltarimo8925 жыл бұрын

    Kwani gesti ni za watu kuzini tu?je kwa wageni wanaokuja hapo ujiji watalala wapi?..na kuna Sheria ipi ya nchi inayozuia biashara ya gesti?acheni kujitungia kanuni ambazo ni kinyume na sheria za nchi

  • @fransiskahaule3343

    @fransiskahaule3343

    5 жыл бұрын

    Ivi mbunge wao ni nani kwani mbona haelimishi watu wake

  • @fredmushendwa357

    @fredmushendwa357

    3 жыл бұрын

    Nimecheka sana,Ujinga tu ,ni vituko vitupu.maana kama ni dini haizuii nyumba za wageni ila wao wametafsiri vibaya maana ya guest house au nyumba ya wageni. Sasa dini isiopenda wageni sijawai kusikia,uisilamu unapenda wageni. Dubai imejegwa ili kuvutia wageni,na ni mji wa kiislam pia. Hao wana ajenda nyingine,kwanza elimu pili uchawi lakini wasisingizie dini. Dunia inavyoenda hizo nyumba za wageni zitajengwa tu ila watakuwa wamejichelewesha tu sana.Hawana ubavu wa kuzuia maendeleo,ujinga utawatoka muda sio mrefu. Na wachawi wengi watakua wamekufa. Zamani baadhi ya maeneo ya Tanga ukijenga nyumba ya bati unakufa.Sasa hivi watu wameelimika , wazee wa zamani wachawi wamekufa kaone sasa hiyo mijumba ya mabati ya msauz yanavyoshushwa hapo Tanza. Ndio maana nimeangalia nikachwka sana maana najua ni ujinga tu umewajaa.

  • @lucypeter6662
    @lucypeter66625 жыл бұрын

    Aki wa mwisho ameongea point na ako na maono

  • @fredjoel1350
    @fredjoel13502 жыл бұрын

    Mbona uchawi umetamalaki au nao ni utamaduni wa kiislamu?

  • @lucaswilliams5761
    @lucaswilliams57615 жыл бұрын

    Wengine pumba tuuuuu! Mzeee wa mwisho kauwa kaongea Fact tupuuuu

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa8825 жыл бұрын

    "Ukiweka Kahawa Baba Utatoboa"

  • @christmasmachele5589
    @christmasmachele55895 жыл бұрын

    Eti nchi zetu za kiarabu? Mshenzi wewe uarabu toka lini ukawa wenu? Acheni ushamba nyie guest house ni nyumba ya wageni sasa kama mgeni kashukia hapo na hana mwenyeji kwa shughuli za kibiashara? Ndio maana ni masikini wa kutupwa

  • @MrMPUTO

    @MrMPUTO

    5 жыл бұрын

    Mbona una chuki na mihemko ya kishamba hvo ndugu, wacha chuki

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    yusuph mohamedi chuki zip

  • @fredjoel1350

    @fredjoel1350

    2 жыл бұрын

    Eti nchi zetu za kiarabu,jamani waafrika tuna nini lakini?waarabu huko waliko wakiona huu upuuzi wanajivunia utumwa wenu!

  • @zainabubakari5963
    @zainabubakari59634 жыл бұрын

    Kweli wa so uongo

  • @allykhatibu2359
    @allykhatibu23594 жыл бұрын

    Sasa wageni wanalala wapi.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa86995 жыл бұрын

    Mzee wa mwisho ana akili. Akigombea ubunge ANASHINDA

  • @amospetro8789
    @amospetro87892 жыл бұрын

    Nyiee wasengee

  • @abdulkarimkarume6813
    @abdulkarimkarume68135 жыл бұрын

    wabuhoro Ohaaaa kamanaiona mrumbani

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul68245 жыл бұрын

    Sasa ao waze mbona wote wana majina ya kirundi?

  • @imanmwakalinga410
    @imanmwakalinga4105 жыл бұрын

    Mzee uliemalizia umeeleweka labda tungeanzia hapo nini tufanye