WAZEE UJIJI ''Hatutaki Guest wala bar, zilikuwepo zikabomoka kama Uarabuni"
Ujiji ni kati ya Miji ya kale zaidi Tanzania, Leo AyoTV na millardayo.com imetembelea katika Mji huo ulioko Mkoani Kigoma baada ya kusikia sifa zake mbalimbali mojawapo ni kutokuwepo kwa nyumba za kulala wageni.
Пікірлер: 210
kama umemuelewa sana mzee wa mwisho kama mimi gonga like
Uyu mzee wa mwisho kaongea point sana wengine wameongea pumbaaa
Uyo Mzee wamwisho nimemuelewa vzuli sana ao wengine wanabwabwaja tu,,
Nawatoto wa ujiji ndio wanaongoza kwa umalaya na midomo mixer umbea sasa kuzuia guest kuna maana gani subirin miaka mitano mbele mtaona uchawi sio dili
@vannillahabdallahmarandava1815
4 жыл бұрын
Wee acha umama ww huna mdomo unalia nn usitutusi
@mataamiry6720
4 жыл бұрын
kila sehemu na utamaduni wake we shoga unafosi au msenge wewe
Huyo mzee wa mwisho kaongea point sana 👍
@fransiskahaule3343
5 жыл бұрын
Wazeee hawa wanauelewa kushinda vijana..kwani vijana wa ujiji mnanini lakini hahahaaa adi wazeee wanawashinda mitazamo daaah..vijana wanawaza guest kwa ngono kumbe guest inamatumizi mengi zaidi ya mtazamo wao awa vijana ndio waharibifu wa ujiji
@ashleykipuge1246
5 жыл бұрын
Hahaaa yan wanamawazo mgando sana
@f.a6043
5 жыл бұрын
@@fransiskahaule3343 kweli kabisa
@f.a6043
5 жыл бұрын
@@ashleykipuge1246 🤣🤣🤣
Mzee nendeleeni nahao kwasababu mabaa.namagesti yinaharimu vijana sana wanakunywa pombe nauvutaji wambange kwahio msikubali hongereni wazee kwa kuihifadhi dini nayusilamu inchallah mbarikiwe
Hawa wazee walijua kitakacho wakuta vijana wa sasa 😪😪😪🤗👍🏽
Hongerenii sanaaaaaaa
Mash'Allah Allah awaongoze mwisho mwema na msimamo wenu Insha'Allah
Sawa sawa mzee mungu awa baliki
Jamani Guest Na dini wapi na wapi guest kama lilivyo neno lake ni nyumba ya wageni
Masha Allh
Huyo wa mwisho ndio kaongea ukweli pamoja na Kintu Buhoro.
Mashaallah
Geust house maana yake nyumba ya wageni sasa wageni wakifika hapo watalala wapi watu ndio hutumia kwa kufanya mambo machafu wanaenda wenyeji wa humohumo kufanya zinaa neno nyumba ya wageni inageuka kuwa nyumba ya wenyeji
Safi sana 👍🏿👍🏿
Niliwahi kufika hapo,eneo la kumbukumbu hilo Ujiji!Ila mnatakiwa kuadilika!Gest siyo kwaajili ya ngono tu!
@SafariMsafi-um1pz
3 ай бұрын
Kajenge kwenu kama unajali
Swadaqta kaka Abdallah Muhuza, umeongea vyema. Vilabu vya pombe msikubali kabisa viwepo katika mji wetu, lakini nyumba za wageni sio haramu kuwepo, sababu sio wageni wote ni waovu.
@tawakalikubilazuber7545
4 жыл бұрын
Mohamed Kazema
Guest ni kwaajili ya wageni wanaokuja kutalii au safari za kikazi sasa ninyi mnawaza kuwa guest watu wakienda ni ngono tu. Mbona hamkatazi watu waache uchawi
@vivianlenard3618
5 жыл бұрын
Si watalii kisha waludi kulala sehemu zenye ma guest kulala.
@erastomazela8962
5 жыл бұрын
@@vivianlenard3618 try to be logical
Safi sana nimepapenda Allah azidi kuwalinden
@hamzamwilaphy2902
3 жыл бұрын
Guest ni dhambi?
kwaiyo uko ujiji wanaishi waislam tu pumbavu zenu piteni kushuto na tabia zenu za udini
we jamaa tunaomba hii makala iendelee,,,
Mashaalla mwenyezi mungu. Awabarki
@allyanyingisemalabeja6551
3 жыл бұрын
Nivizuli lakini tatizo kwa wAgeni ambao hawana ndugu mnazani watafikia wapi.nawatalala wapi mfano wakija
Wafanye Kimarekani, hapa Maarekani ukitaka kutumia guests, lazima ulipe karo ya 24 hours! Hakuna kulipa saa chache maana hiyo ni kama unataka kufanya dhambi ya ngono tu!
Safi sana kabisa
huyu mzee wa mwisho anajielewa na naamini amewahi kaa sehemu nje na ujiji au kigoma
uchawi tuu mmmekalia na hakuna maendeleo ukooo
Wow mila azitupwi kweli 🙌🙌
Mimi mtalii wa ndani. Sasa Kigoma ujiji siji. Hasara kwenu
@fransiskahaule3343
5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaaaa
@mohamedkazema6381
5 жыл бұрын
Wewe si bure, ulikuwa unataka kufanya utalii wa ngono.
Safi sana
Mzee umeongea vizuri kwa ufafanuzi zaidi
Kwani nn maana ya Guest house,, watu wakisikia Guest wanafikiria ujinga! Kwani huko huwa hawapati wageni ? Hamuezi kuwa na maendeleo, tafuta hao wazee wafyekeni!
Daaah mbadilike! Guest ni kwaajili ya wageni sijui kwanini mnatafsiri vinginevyo
Huyo jamaa wa kwanza Anaongea kama Baba Level
Mtaishi kwa shida sana maendeleo mtayasikia kwenye redio maana gesti sio tu kwa ngono bali hata wageni wanaotoka sehemu mbali mbali wanafikia shubaaaamitttiiiii
@moyolameck555
5 жыл бұрын
Nyie ndio mkija dar mnapata ukimwi mapema sana
@man.lule.585
5 жыл бұрын
Maendeleo ni Peponi Firdaus sio Duniani, hapa Duniani kila Nafasi itaonja Umaut.
Safi sanaaa
Kigoma yetu naipenda sana
Maamuz sahihi 💯
busara nzuri
Mji wa kiarabu hup husiokuwa na gest uku wapo ma hotel kila kona na watu wanafanya hufusuka zaman ndio kurikua hakuna lkn sasaiv we usipime kunasitare wara huwamin kama upo huwarabun
Allah awajarie muzipige vita vikari zipotee kabisaa
Munafunga guest kwenu lakini maasi munaenda kufanyia Mwanga kweli Mungu anachezewa kweli kweli.
ukiwa mgeni unalala wapi? mbona mtihani sana
@vedastusnestory6060
3 жыл бұрын
Kigoma mjini zipo .Maana Manispaa imeundwa na miji ya Kigoma na Ujiji.
Hahaha hiyo ujiji yenyewe choka mbaya mbadilike ndugu zangu
Tatizo watu wa kigoma mmejaa ushamba mtu mnawaza tu ngono KWAN NANI KASEMA GUEST NI KWAAJIRI YA NGONO nyie wawapi
@lewiskinoni1507
5 жыл бұрын
Wakigoma
hata bangi kali inasemekana inaptikana ujiji
Ndio maana pamedumaa mnamambo ya kizamani sana inaonekana hata mzunguko wa pesa apo hakuna...kazi ya kuiga warabu wakati wenzenu huko uarabuni kwenyewe gest zipo. nyie mnajifanya kuiga warabu wakati wenzenu wanaishi kwa kutegemea mafuta?!... mimi hapo siwezi kuishi pana maisha ya kikoloni sana
Ndio maana hata maendeleo maeneo hayo hakuna mnakaa Kama kijiji
Ni shidaaa
Dini ya kieslamu ndo itaki maendeleo ya Kigoma Ujiji. Tume kuwa paskistan sisi?
Mzee uko vzr
Wanaopenda pombe na uzinzi lazima watawatusi wazee kwa kuwaita wachawi ,lakini lengo la wazee ilikua kulinda maadili ya vijana wao na imaniyao ya kiisimu
Kwahio wao wanafikiri ni sifa,hajui wanajikomoa wenyewe mfano wageni katika mji huo watalala kwenye hizohizo nyumba zao.
Omani zipo nyumba za wageni bwana hiyo sijui nyinyi mawazoyenu
Mbona mnapashambulia kwetu bhna !
ndo maana hamuendelei gesti ni nyumba ya wageni so wageni walale kwenye vbanda vyenu?
@hassanmaulidi8068
4 жыл бұрын
wewe unanini??
Mzee wa mwisho kanena aisee!!! Ninachokiona hao wengine hawajui maana ya GUESTHOUSE wanadhani ni sehemu ya kufanyia maovu.
Sio kweli matunda gest
Guest house si danguro kwa kiswahili ni nyumba ya wageni
lkn wazinzi na walevi wengi wanatoka ujiji,kwendeni zenu na uchawi wenu
@ashwajeshi1558
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
ss c ni wanakuwa watu waliofichwa hivyo wakija oneshwa mambo pahala yalipo, hulipuka na ndo huitwa malimbukeni
Ndio maana mji wa ujiji hauendelei kwa sababu watu bado wanawazo ya kizamani sana. Guest House ni nyumba ya wageni. Ujiji is supposed to be a historic town but hata watalii wakifika hapo hawana pa kufikia.
@hassanlikwenangu8471
Жыл бұрын
Kwa mtazamo wako uzinzi na ulevi ndio maendeleo!!
Mnapinga haramu kwa haramu...ati ukifungua bar usubui unakuta vyungu...ss hapo ni 1-1=0
Kumbe huko wachawi sana kuliko sumba wanga
Ni hatari yani hiyo ndiyo umaskini kwakweli
Tukalale wapi Wageni!
@munamuna414
5 жыл бұрын
Kwa mjumbe ha ha ha
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Muna muna daadeki..
@hatibuahmadi7237
4 жыл бұрын
Sio kwamba kigoma nzima hakuna gest hapana Bali Kuna sehem maalum ambayo ukienda unapata huduma zote kuanzia gest avingi nevyo yaani mjini hapo Pana itwa mwanga nakuendelea
nimefurahi kuiona ujiji yetu nisiku nyingi sijaiona
Duuu! Wageni mnawalaza wapi? Guest sio nyumba za kufanyia umalaza. Vinginevyo wageni waonyeshe vyeti vya ndoa.
Acheni ushamba pia uchawi ndomana amuendelei mimi nakuja naweka tuone sasa kama mtaweza kuiwaingia
Ujiji ni wachawi na ndio Mana wageni hawakai mgeni akiingia Ana hela wanamuua au anafukuzwa acwazid uwezo kwa gest hawezi kuwepo
Wapili ila hapo hakuna gesti vijana wanaenda kufanya uchafu kwingine nn mezuia?
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Dennis Kiango utawaweza!
@denniskiango6901
5 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 nauliza wamezuia nn kwan vijana waeleza wanaenda kwingine kufanya starehe,hawaoni wananyima maendeleo tu ya eneo lao
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Dennis Kiango ndo akwambia twarudishana nyuma kwa sababu zisizokuwa na maufaa
@denniskiango6901
5 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 weachatu
Dada zangu wamezalia nyumbani nipo ujji comment
Nomaa sana
@zenomnali5784
5 жыл бұрын
Aizack Wa:10:y94
@AizackWay
5 жыл бұрын
@@zenomnali5784 napaelewa huko home
@marygaspar6429
5 жыл бұрын
Ndiyo maana kumechoka mbaya!
@marygaspar6429
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@marygaspar6429
5 жыл бұрын
Huyu mzee aliyesema dunia inavyokwenda yupo sahihi! acheni uzamani Gest cyo usinzi tuu zina kazi nyingi ikiwemo wapumzike waleta maendeleo!
Ile gest ipo jirani na posta ..mtaa wa rusimbi ..imekuwa ikihudumu kwa miaka mingi na yenyewe ilifungwa? Msizingizie gest zipo mwanga na ujiji zipo tunazijuwa ..tena za wazawa wa hapo hapo ujiji..ongeeni haki...
Sasa hamtaki guest ila uchawi/ushirikina mnaukubali ndoo kitu gani ?
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Kibila Wazebanga utawaweza hao!
@hassanmaulidi8068
4 жыл бұрын
uchawi kwenu mpuuzi wee
Tukipata nanii au mambo yetu..🤣🤣🤣 mambo gani sasa
Uislam unakuwa rohoni siyo kulazimishana
Nyumba Ya Wageni?
Huyo mzee wa koti la Jinse Mkongomani
imuhila nyumban ni nyumban
Sababu ya kutokuwa na Guest House Ujiji ni kukosa wateja!!!!!!
Eti uislam...uislam au uchawi..hiyo dini yenu inanitiaga mashaka sana..
@brotherjab7773
5 жыл бұрын
uislamu upo mbali na uchawi ukiosoma utaelewa na ndio dini pekee yenye maandiko makali kuhusiana na ushirikina lakini cha kusikitisha wanaojinasibisha nayo hawaisomi matokeo yake ndo hayo unayoyasikia Kwa vijana hao
@jumaalmasy4336
5 жыл бұрын
Acha ubwege dini yetu ni dini ya ustarabu huwezi Kuingia mchafu km we.
Wageni watafikia wapi?
Hii ni Tanzania endeleeni na yenu
Asa tour za ujiji kumbe ni ufala ulale wapi sasa kama hamna guest
Mtangazaji anauliza maswali ya kitoto
Kama hamtaki ivo vitu kwa nn mnaenda uko kwingine sheria na malufuku ifate mkondo wake msiende ata kwingine hapo ndo uislamu uislamu wakwenda kwingine co kabisa
Sasa kama hakuna guest naendaje ujiji kwa mfano! c watanilaza juu ya mti hawa,siendi ujiji mm.
Kwani gesti ni za watu kuzini tu?je kwa wageni wanaokuja hapo ujiji watalala wapi?..na kuna Sheria ipi ya nchi inayozuia biashara ya gesti?acheni kujitungia kanuni ambazo ni kinyume na sheria za nchi
@fransiskahaule3343
5 жыл бұрын
Ivi mbunge wao ni nani kwani mbona haelimishi watu wake
@fredmushendwa357
3 жыл бұрын
Nimecheka sana,Ujinga tu ,ni vituko vitupu.maana kama ni dini haizuii nyumba za wageni ila wao wametafsiri vibaya maana ya guest house au nyumba ya wageni. Sasa dini isiopenda wageni sijawai kusikia,uisilamu unapenda wageni. Dubai imejegwa ili kuvutia wageni,na ni mji wa kiislam pia. Hao wana ajenda nyingine,kwanza elimu pili uchawi lakini wasisingizie dini. Dunia inavyoenda hizo nyumba za wageni zitajengwa tu ila watakuwa wamejichelewesha tu sana.Hawana ubavu wa kuzuia maendeleo,ujinga utawatoka muda sio mrefu. Na wachawi wengi watakua wamekufa. Zamani baadhi ya maeneo ya Tanga ukijenga nyumba ya bati unakufa.Sasa hivi watu wameelimika , wazee wa zamani wachawi wamekufa kaone sasa hiyo mijumba ya mabati ya msauz yanavyoshushwa hapo Tanza. Ndio maana nimeangalia nikachwka sana maana najua ni ujinga tu umewajaa.
Aki wa mwisho ameongea point na ako na maono
Mbona uchawi umetamalaki au nao ni utamaduni wa kiislamu?
Wengine pumba tuuuuu! Mzeee wa mwisho kauwa kaongea Fact tupuuuu
"Ukiweka Kahawa Baba Utatoboa"
Eti nchi zetu za kiarabu? Mshenzi wewe uarabu toka lini ukawa wenu? Acheni ushamba nyie guest house ni nyumba ya wageni sasa kama mgeni kashukia hapo na hana mwenyeji kwa shughuli za kibiashara? Ndio maana ni masikini wa kutupwa
@MrMPUTO
5 жыл бұрын
Mbona una chuki na mihemko ya kishamba hvo ndugu, wacha chuki
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
yusuph mohamedi chuki zip
@fredjoel1350
2 жыл бұрын
Eti nchi zetu za kiarabu,jamani waafrika tuna nini lakini?waarabu huko waliko wakiona huu upuuzi wanajivunia utumwa wenu!
Kweli wa so uongo
Sasa wageni wanalala wapi.
Mzee wa mwisho ana akili. Akigombea ubunge ANASHINDA
Nyiee wasengee
wabuhoro Ohaaaa kamanaiona mrumbani
Sasa ao waze mbona wote wana majina ya kirundi?
Mzee uliemalizia umeeleweka labda tungeanzia hapo nini tufanye