Mama amesubiri alidhani huenda atabadilika lakini kila siku zikisonga mbele inakua kheri Jana kuliko leo.anazidi kibri.tena hakuna mtu kwenye familia alowahi hata kumkemea.
@fatmasaid70933 жыл бұрын
MashaAllah Allah barik
@kassimali5113 жыл бұрын
Maash-Allah.
@abullahkabaka87743 жыл бұрын
MASHA ALLAH ALEIK
@mrbanina21183 жыл бұрын
MashaAllh
@aslamswalah78523 жыл бұрын
Kisaa cha sahaba al juleibib,alikataliwa nyumba ngapi na alikua amemtuma R S W
@shamunkhamis56843 жыл бұрын
Assalam alaikum.shukran sheikh.mimi mama yangu alikubali mdogo wangu aowe mwanamke amtakae.lakini binti hamkubali mama wa mume wake.akienda kuwatembelea hampatii hata glass ya maji ya kunjwa.mume akienda kwa mama yake mke hataki kwenda kwa mkwe wake.mama amevumilia mpaka ameshachoka.maana hakuna kosa lililotokea.jee?hapa sheikh mama hatakua na haki ya kumwambia mtoto wake amiache mke.
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Mashallah 🤣
@aishamaulid23583 жыл бұрын
Mimi nimeolewa miaka sita na mpaka leo sijapewa mahari yangu...je nifanye nini na sio kama Mme wangu hana uwezo.
@fatmasaid7093
3 жыл бұрын
Mithihani wallah 🙄🙄🤔
@halimahussein917
3 жыл бұрын
Hata usione ajabu ni wengi tu napitia mm hata sisemi
@muniraramadhan7987
3 жыл бұрын
MAHARI NI LAZIMA HAKUNA NDOA YA INSTALLMENT
@muniraramadhan7987
3 жыл бұрын
@@halimahussein917 MAHARI NI LAZIMA ALIPE LABDA WW UMSAMEHE MWENYEWE
@muniraramadhan7987
3 жыл бұрын
@@halimahussein917 MAHARI NI LAZIMA ALIPE LABDA WW UMSAMEHE MWENYEWE
Пікірлер: 31
Mashaallah Habiby😊
Mama amesubiri alidhani huenda atabadilika lakini kila siku zikisonga mbele inakua kheri Jana kuliko leo.anazidi kibri.tena hakuna mtu kwenye familia alowahi hata kumkemea.
MashaAllah Allah barik
Maash-Allah.
MASHA ALLAH ALEIK
MashaAllh
Kisaa cha sahaba al juleibib,alikataliwa nyumba ngapi na alikua amemtuma R S W
Assalam alaikum.shukran sheikh.mimi mama yangu alikubali mdogo wangu aowe mwanamke amtakae.lakini binti hamkubali mama wa mume wake.akienda kuwatembelea hampatii hata glass ya maji ya kunjwa.mume akienda kwa mama yake mke hataki kwenda kwa mkwe wake.mama amevumilia mpaka ameshachoka.maana hakuna kosa lililotokea.jee?hapa sheikh mama hatakua na haki ya kumwambia mtoto wake amiache mke.
Mashallah 🤣
Mimi nimeolewa miaka sita na mpaka leo sijapewa mahari yangu...je nifanye nini na sio kama Mme wangu hana uwezo.
@fatmasaid7093
3 жыл бұрын
Mithihani wallah 🙄🙄🤔
@halimahussein917
3 жыл бұрын
Hata usione ajabu ni wengi tu napitia mm hata sisemi
@muniraramadhan7987
3 жыл бұрын
MAHARI NI LAZIMA HAKUNA NDOA YA INSTALLMENT
@muniraramadhan7987
3 жыл бұрын
@@halimahussein917 MAHARI NI LAZIMA ALIPE LABDA WW UMSAMEHE MWENYEWE
@muniraramadhan7987
3 жыл бұрын
@@halimahussein917 MAHARI NI LAZIMA ALIPE LABDA WW UMSAMEHE MWENYEWE