''Wazanzibari 39,999'' yataka muungano uvunjwe
Kundi la 'Wazanzibari 39,999' limefikisha shauri katika mahakama ya Afrika Mashariki, kupinga muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Awali, mahakama ililikataa shauri hilo kwa hoja kuwa halikufuata utaratibu wa kisheria.
Пікірлер: 15
Hatutaki muungano tumechoka nahii miungano
Hatuutaki muungano
Inshaallah
muungano hatuutakiiiiiii
Ha2taki muungano znz inaharibika vibaya hatuutak
@rastafare878
2 жыл бұрын
Ni kweli mi nahisi wagelitutajia maendeleo Gani yamefanyika Zanzibar , katika miaka yote hiyo zaidi ya kuimarisha kwao Tanganyika , ninaloliona Zanzibar ni kuongezeka Kwa makanisa Na mabaa, Na Wenda uchi kutoka huko kwao
Muungano ni batili uvunjwe2 hauna masrahi kwa Zanzibar na wazanzibar
Muungano lazima utavunjika tu inshaallaah
@habibkhamis4705
3 жыл бұрын
amiiin
@kinglast9507
2 жыл бұрын
inshallah
Muungano hatuutaki (n'goooooo) we don't want Tz (union).
Nyie wanzanzibar amjielewi kabisa kila siku mnalalamika nyie 2 kwa sasa ma Rais wote ni wenu kwanin msiuvunje uwo muungano 2me kuchokeni naizo polojo polojo zenu
@alialamoudi9729
2 жыл бұрын
Yarabi akuifathi inshalla tupate mamlaka kamili hatutaki muongano tuliulewa kama nzige
hatutaki muungano
Hatutaki muungano