Watu hawa hawafai kuongoza Misikiti. Sh. Kipozeo

Omar Bakari Almasi online tv

Пікірлер: 65

  • @user-qm1gv9is4t
    @user-qm1gv9is4tАй бұрын

    Mashalaa shek kipozeo twaoba darasa zako zengene tuzeate mitandaon nikidoko zeleyopo

  • @khalidomary4916
    @khalidomary49163 жыл бұрын

    Shekh kapiga kwenye mshono pale pale Safi sana Hakuna haja ya kuficha majambo Allah akulipe kwa hili

  • @neemafatu471
    @neemafatu4712 жыл бұрын

    Umetoka mbali shekhe maashaallah. UNGEENDELEA HIVI MPAKA LEO! Au labda umri.Allah akupe MWISHO mwema.

  • @ayoubali8996
    @ayoubali89962 жыл бұрын

    Mashah Allah, Allah atuhifadh tusiwe miongoni mwa washirikina

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56742 жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu sheikh!

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q6 ай бұрын

    Mashaallah

  • @afric01
    @afric012 жыл бұрын

    Aslm alkm ww.... Shukran sana Sheikh kipozeo. Jazakallah kheir 🙏

  • @user-gu7vd1iu6e
    @user-gu7vd1iu6e6 ай бұрын

    Daaaah

  • @khamisissa252
    @khamisissa2523 жыл бұрын

    MISKITI YETU INGEZINGATIA HAYA MAMBO YANGEKUA MAZURI SANA

  • @thinkwriterke9987
    @thinkwriterke99873 жыл бұрын

    Apo kweli shekhe wangu

  • @zitomomade930
    @zitomomade9303 жыл бұрын

    Safi saana mpendwa.

  • @kabangekabange1522
    @kabangekabange1522 Жыл бұрын

    Maasha Allah Kipozeo wa zamani

  • @antarsangali4456

    @antarsangali4456

    Ай бұрын

    Acha wewe;huna uwezo wa kumjua yupi wa sasa na yupi wa zamani. Muachie ALLAH ndiye mwenye kujua usichukue dhamana ya kuhukumu

  • @MohamedSaid-my1qx
    @MohamedSaid-my1qx2 жыл бұрын

    Allah anatisha saiz kipozeo anaandikia watu makombe na watu wanakunywa

  • @seiframadhan1254

    @seiframadhan1254

    Жыл бұрын

    Allah asizibadilishe nyoyo zetu wallahi maana kabadilika kabisa Kama sio yeye

  • @ronaldreagan7772
    @ronaldreagan77722 жыл бұрын

    Mashallah

  • @legend9805
    @legend98052 жыл бұрын

    Jazakallah kheir masheikh wote

  • @mariamsudi8845
    @mariamsudi88453 жыл бұрын

    Mashaallah tabalakallah shekh nimeelewa maana sadaka na dhaka

  • @jumamohamed5525

    @jumamohamed5525

    2 жыл бұрын

    Labda kwa uchache wa I'ilmu (علم) neno dhaka ni nini ktk dini ?

  • @salimkassim6020

    @salimkassim6020

    2 жыл бұрын

    Thui900000000

  • @AbdulAbdul-pr9qe

    @AbdulAbdul-pr9qe

    2 жыл бұрын

    @@jumamohamed5525 zaka ina kima chake au kiwango maalum tofauti na sadaka ambayo unatoa kiasi chochote kile unachoamua au kujisikia

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe4862 жыл бұрын

    Allah atakulipa tuambie ukweli na tubadilike

  • @1958mos
    @1958mos3 жыл бұрын

    Mashallah jazakAllah kher

  • @hamzaminangu1053
    @hamzaminangu1053 Жыл бұрын

    mashallah

  • @shahaabedy2368
    @shahaabedy23682 жыл бұрын

    MashaAlla

  • @lesedilekgetho8606
    @lesedilekgetho86063 жыл бұрын

    Nime penda Sana kuskia habar ya miskiti kuhifadhi silaha!

  • @abdulhakimhasan7673

    @abdulhakimhasan7673

    2 жыл бұрын

    Kaa ukijua Uisilamu ndiyo dini ya haki na amani , haitikiswi na dini zote zingine . Koma kunyanyasa waislamu duniani .

  • @mohamudmohamed7245
    @mohamudmohamed72452 жыл бұрын

    Jazakallah

  • @hamidhamis7515
    @hamidhamis75152 жыл бұрын

    Jazakallahu

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын

    Huyo ndio Kipozeo alivyokuaga zamani lakini Kipozeo wa sasa hana jeuri ya kuyazungumza hayo maana na yeye ameshakamatika

  • @mohamedkilemile3058

    @mohamedkilemile3058

    3 жыл бұрын

    Dah umesema kweli, Kipozeo huyu kapetea kabisa..

  • @abdullhamidnanga1267

    @abdullhamidnanga1267

    2 жыл бұрын

    Dah yaani nacheka mwenyewe kipozeo kadondokea mule mule alipo kua anapiga vita kweli kabla hujafa haujakamilika

  • @michakazojet1146

    @michakazojet1146

    2 жыл бұрын

    Toa nawe ishahidi km yye anachokiongea sio sahihi

  • @AbdulAbdul-pr9qe

    @AbdulAbdul-pr9qe

    2 жыл бұрын

    @@michakazojet1146 umedandia gari kwa mbele ndugu, hebu fatilia tunaongelea nini alafu ndio urudi tena

  • @abdulrazakhassanor498

    @abdulrazakhassanor498

    2 жыл бұрын

    Sikweli

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын

    Shekhe shukran sana leo nimejifunza mambo 2 combe na zakka

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba11133 жыл бұрын

    Jazakallah khairan sheikh..."mugabo hagarara" maana'ke "mwanaume simama".

  • @chibwanaubainifu74

    @chibwanaubainifu74

    2 жыл бұрын

    allah atuongoze

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын

    Mashaa Allah shukran shekhe

  • @latwifsued3316

    @latwifsued3316

    3 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akulipe kila la kheri kwa mada yako nzuri. Naomba uje na muleba kagera ututembelee.

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079

    @nooraallahuakibarumwenyeez3079

    3 жыл бұрын

    @@latwifsued3316 amina yarabi kwa sote pia

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma20852 жыл бұрын

    Wakati umefika lakini Kama viongozi wetu hawatojua kwanini Sasa mawaiza ni harakati tupu.We will not achieve the goal.

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Жыл бұрын

    Dah jamaa alikuwa naakida ya kweli lakini kwa sasa sjui nini kimemsibu

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56742 жыл бұрын

    Profesa Hilal Shaweji Makarani

  • @user-pd5yz7ju1c
    @user-pd5yz7ju1c Жыл бұрын

    Maneno mazuur taabu kubwa tunataka tufe vitandani

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai50633 жыл бұрын

    shekh lkn umeacha kuhandac? Au umezipotezea aya nyingine? At amuruna nnac bintakuwa watansauna amfusakum

  • @adamjutto5849

    @adamjutto5849

    3 жыл бұрын

    Hata kama ni kweli ana handac,si vyema kumtia aibu muislamu mwenzio mbele za watu,hatkama kweli anazo

  • @jumaaally2461

    @jumaaally2461

    2 жыл бұрын

    Umemuona natakisima au

  • @antarsangali4456

    @antarsangali4456

    Ай бұрын

    Na wewe mbona yako huyasemi au wewe umeshatakasika? Acha kumpekua binadamu wa Mungu

  • @mussaissa6796
    @mussaissa67962 жыл бұрын

    Kwa hiyo huyo Sheikh hapo ni muongo Mkubwa

  • @michakazojet1146

    @michakazojet1146

    2 жыл бұрын

    Toa ukweli wako

  • @ednamachocho3059

    @ednamachocho3059

    2 жыл бұрын

    Mbona useme ni muongo Sheikh Shaweji

  • @mussaissa6796
    @mussaissa67962 жыл бұрын

    Kwa hiyo huyu jamaa anataka kutuambia kuwa masheikh wote wa kikao cha kutowa fat,waa wa saudia ni washirikina na hawajui tauhidi Kwa huko kuhalalisha huko kuandika kombe na kunywesha watu!!;; Huyu mtu ni muongo mkubwa

  • @michakazojet1146

    @michakazojet1146

    2 жыл бұрын

    Sema ukweli wako!tuambie km mtume au maawahaba waliandika makombe

  • @franciscahsoko104

    @franciscahsoko104

    2 жыл бұрын

    @@michakazojet1146 tuwe makini katika kuelewa

  • @hakbilalbilal1071

    @hakbilalbilal1071

    2 жыл бұрын

    Warab wengi wao niwashilikina hata cor'an imewazungumzia kuusu ukafili wao

  • @abdihassan7355

    @abdihassan7355

    2 жыл бұрын

    @mussa hautojua mpaka upate kusoma historia y wahabi n serikali y Saudi namna walivyo usaliti qurani n sunna (British spy in arabia)

  • @gustavofiston9346

    @gustavofiston9346

    2 жыл бұрын

    Ni wongo kwahiyo yeye haendi kucheki afya yake kuwa ana maleria

  • @abdirahimjari1118
    @abdirahimjari11182 жыл бұрын

    Maashaallah