Mwenyezi mungu akulipe kila la kheri kwa mada yako nzuri. Naomba uje na muleba kagera ututembelee.
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
3 жыл бұрын
@@latwifsued3316 amina yarabi kwa sote pia
@shabanijuma20852 жыл бұрын
Wakati umefika lakini Kama viongozi wetu hawatojua kwanini Sasa mawaiza ni harakati tupu.We will not achieve the goal.
@abdallahsaid1968 Жыл бұрын
Dah jamaa alikuwa naakida ya kweli lakini kwa sasa sjui nini kimemsibu
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Profesa Hilal Shaweji Makarani
@user-pd5yz7ju1c Жыл бұрын
Maneno mazuur taabu kubwa tunataka tufe vitandani
@mdoekibai50633 жыл бұрын
shekh lkn umeacha kuhandac? Au umezipotezea aya nyingine? At amuruna nnac bintakuwa watansauna amfusakum
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
Hata kama ni kweli ana handac,si vyema kumtia aibu muislamu mwenzio mbele za watu,hatkama kweli anazo
@jumaaally2461
2 жыл бұрын
Umemuona natakisima au
@antarsangali4456
Ай бұрын
Na wewe mbona yako huyasemi au wewe umeshatakasika? Acha kumpekua binadamu wa Mungu
@mussaissa67962 жыл бұрын
Kwa hiyo huyo Sheikh hapo ni muongo Mkubwa
@michakazojet1146
2 жыл бұрын
Toa ukweli wako
@ednamachocho3059
2 жыл бұрын
Mbona useme ni muongo Sheikh Shaweji
@mussaissa67962 жыл бұрын
Kwa hiyo huyu jamaa anataka kutuambia kuwa masheikh wote wa kikao cha kutowa fat,waa wa saudia ni washirikina na hawajui tauhidi Kwa huko kuhalalisha huko kuandika kombe na kunywesha watu!!;; Huyu mtu ni muongo mkubwa
@michakazojet1146
2 жыл бұрын
Sema ukweli wako!tuambie km mtume au maawahaba waliandika makombe
@franciscahsoko104
2 жыл бұрын
@@michakazojet1146 tuwe makini katika kuelewa
@hakbilalbilal1071
2 жыл бұрын
Warab wengi wao niwashilikina hata cor'an imewazungumzia kuusu ukafili wao
@abdihassan7355
2 жыл бұрын
@mussa hautojua mpaka upate kusoma historia y wahabi n serikali y Saudi namna walivyo usaliti qurani n sunna (British spy in arabia)
@gustavofiston9346
2 жыл бұрын
Ni wongo kwahiyo yeye haendi kucheki afya yake kuwa ana maleria
Пікірлер: 65
Mashalaa shek kipozeo twaoba darasa zako zengene tuzeate mitandaon nikidoko zeleyopo
Shekh kapiga kwenye mshono pale pale Safi sana Hakuna haja ya kuficha majambo Allah akulipe kwa hili
Umetoka mbali shekhe maashaallah. UNGEENDELEA HIVI MPAKA LEO! Au labda umri.Allah akupe MWISHO mwema.
Mashah Allah, Allah atuhifadh tusiwe miongoni mwa washirikina
Allah akupe umri mrefu sheikh!
Mashaallah
Aslm alkm ww.... Shukran sana Sheikh kipozeo. Jazakallah kheir 🙏
Daaaah
MISKITI YETU INGEZINGATIA HAYA MAMBO YANGEKUA MAZURI SANA
Apo kweli shekhe wangu
Safi saana mpendwa.
Maasha Allah Kipozeo wa zamani
@antarsangali4456
Ай бұрын
Acha wewe;huna uwezo wa kumjua yupi wa sasa na yupi wa zamani. Muachie ALLAH ndiye mwenye kujua usichukue dhamana ya kuhukumu
Allah anatisha saiz kipozeo anaandikia watu makombe na watu wanakunywa
@seiframadhan1254
Жыл бұрын
Allah asizibadilishe nyoyo zetu wallahi maana kabadilika kabisa Kama sio yeye
Mashallah
Jazakallah kheir masheikh wote
Mashaallah tabalakallah shekh nimeelewa maana sadaka na dhaka
@jumamohamed5525
2 жыл бұрын
Labda kwa uchache wa I'ilmu (علم) neno dhaka ni nini ktk dini ?
@salimkassim6020
2 жыл бұрын
Thui900000000
@AbdulAbdul-pr9qe
2 жыл бұрын
@@jumamohamed5525 zaka ina kima chake au kiwango maalum tofauti na sadaka ambayo unatoa kiasi chochote kile unachoamua au kujisikia
Allah atakulipa tuambie ukweli na tubadilike
Mashallah jazakAllah kher
mashallah
MashaAlla
Nime penda Sana kuskia habar ya miskiti kuhifadhi silaha!
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
Kaa ukijua Uisilamu ndiyo dini ya haki na amani , haitikiswi na dini zote zingine . Koma kunyanyasa waislamu duniani .
Jazakallah
Jazakallahu
Huyo ndio Kipozeo alivyokuaga zamani lakini Kipozeo wa sasa hana jeuri ya kuyazungumza hayo maana na yeye ameshakamatika
@mohamedkilemile3058
3 жыл бұрын
Dah umesema kweli, Kipozeo huyu kapetea kabisa..
@abdullhamidnanga1267
2 жыл бұрын
Dah yaani nacheka mwenyewe kipozeo kadondokea mule mule alipo kua anapiga vita kweli kabla hujafa haujakamilika
@michakazojet1146
2 жыл бұрын
Toa nawe ishahidi km yye anachokiongea sio sahihi
@AbdulAbdul-pr9qe
2 жыл бұрын
@@michakazojet1146 umedandia gari kwa mbele ndugu, hebu fatilia tunaongelea nini alafu ndio urudi tena
@abdulrazakhassanor498
2 жыл бұрын
Sikweli
Shekhe shukran sana leo nimejifunza mambo 2 combe na zakka
Jazakallah khairan sheikh..."mugabo hagarara" maana'ke "mwanaume simama".
@chibwanaubainifu74
2 жыл бұрын
allah atuongoze
Mashaa Allah shukran shekhe
@latwifsued3316
3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulipe kila la kheri kwa mada yako nzuri. Naomba uje na muleba kagera ututembelee.
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
3 жыл бұрын
@@latwifsued3316 amina yarabi kwa sote pia
Wakati umefika lakini Kama viongozi wetu hawatojua kwanini Sasa mawaiza ni harakati tupu.We will not achieve the goal.
Dah jamaa alikuwa naakida ya kweli lakini kwa sasa sjui nini kimemsibu
Profesa Hilal Shaweji Makarani
Maneno mazuur taabu kubwa tunataka tufe vitandani
shekh lkn umeacha kuhandac? Au umezipotezea aya nyingine? At amuruna nnac bintakuwa watansauna amfusakum
@adamjutto5849
3 жыл бұрын
Hata kama ni kweli ana handac,si vyema kumtia aibu muislamu mwenzio mbele za watu,hatkama kweli anazo
@jumaaally2461
2 жыл бұрын
Umemuona natakisima au
@antarsangali4456
Ай бұрын
Na wewe mbona yako huyasemi au wewe umeshatakasika? Acha kumpekua binadamu wa Mungu
Kwa hiyo huyo Sheikh hapo ni muongo Mkubwa
@michakazojet1146
2 жыл бұрын
Toa ukweli wako
@ednamachocho3059
2 жыл бұрын
Mbona useme ni muongo Sheikh Shaweji
Kwa hiyo huyu jamaa anataka kutuambia kuwa masheikh wote wa kikao cha kutowa fat,waa wa saudia ni washirikina na hawajui tauhidi Kwa huko kuhalalisha huko kuandika kombe na kunywesha watu!!;; Huyu mtu ni muongo mkubwa
@michakazojet1146
2 жыл бұрын
Sema ukweli wako!tuambie km mtume au maawahaba waliandika makombe
@franciscahsoko104
2 жыл бұрын
@@michakazojet1146 tuwe makini katika kuelewa
@hakbilalbilal1071
2 жыл бұрын
Warab wengi wao niwashilikina hata cor'an imewazungumzia kuusu ukafili wao
@abdihassan7355
2 жыл бұрын
@mussa hautojua mpaka upate kusoma historia y wahabi n serikali y Saudi namna walivyo usaliti qurani n sunna (British spy in arabia)
@gustavofiston9346
2 жыл бұрын
Ni wongo kwahiyo yeye haendi kucheki afya yake kuwa ana maleria
Maashaallah