Pamoja na kuwepo kwa vizazi potovu vya uovu "kuna kizazi cha wenye adili: Wanaomcha Mungu, wanaotenda mapenzi yake. Psalms 112:1 hallelujah; heri mtu yule amchaye Bwana. Apendezwaye sana na maagizo yake. Wazao wake watakuwa hodari duniani; kizazi kitakachobarikiwa na Bwana. Wanawake wenye wapo kwa kizazi cha nyoka mbingu hawatakaribia wakati wao ni huu wamgeukie Kristo awaokoe ili wawe kizazi cha watu waadilifu. Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi. Matendo 2:40 Watu wote duniani hakuna haja ya kuendelea kutangatanga na huu ulimwengu tena unyakuo umekaribia njoo kwa Yesu uokolewe. Asante mtumishi Mungu akutunze
@martinahlighare6495Ай бұрын
Amina, chakula ni mtego, na sio kila chakula kinatoka kwa Mungu. Danieli alijua chakula cha ikulu kina hila japo kinavutia ndipo akaomba maarifa kutoka kwa Mungu kujua chakula chenya hila, kisije kikamtenga naye. Mungu atusaidie tuwe kama Danieli, tutofautishe kibaya na kizuri tusije kuingia majaribuni.
@lydiabenjaminmgalula61894 күн бұрын
Sema baba tupone 🙏🤝🤝
@user-bw3pz6vf2nАй бұрын
Wanawake hawataingia mbinguni, labda wamche Mungu. Akili za wanawake zinatawaliwa na majini
@PendopasilikaАй бұрын
Ooooh kweli mtumishi tumekula sana na vinapendwa sana MUNGU atusaidie kweli kabisa Tena wanakua haraka mmmh Ee BWANA tuhurumie
@jovettedenise2591Ай бұрын
Amena
@RizikiWisongataАй бұрын
Amen
@FloraNyalusi23 күн бұрын
Mchungaji acha uongo huo basi mkibaki wanaume watupu dunia itakuaje
@Saidi1581Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana, hila nilikuwa napendekeza iwe live kwenye Facebook , Instagram, KZread.
@paschalcassianoriginal9411
Ай бұрын
Sawa ❤❤
@user-rj2sh1hg4fАй бұрын
Ameen 🙏🙏🙏
@FestoJemsi-lr8pwАй бұрын
Ubarikiwe
@furahag3098Ай бұрын
Hallelujah
@user-dz8qh6yb2xАй бұрын
Amen 🙏
@NgoshaJamesАй бұрын
Endelea kufundishia mtumishi wengi watajifunza na utakuwa umenawa
@osanamgallah4297Ай бұрын
Bwana wa majeshi aendeleze huduma hii kwa jina la Yesu
@barakaelias1116Ай бұрын
Ameni
@AMBROSIJOSEPH-qc7xoАй бұрын
Ila mtumishi usiseme hawaingii mbinguni hauwezi kujua yupi ataingia hata wale wanaosali sana hakuna anayejua kama ataingia mbinguni kikubwa tusiwachukie wote sisi ni waovu wakubwa hakuna aliyekamilika
@FestoJemsi-lr8pw
Ай бұрын
Ungetoa neno kama ushuhuda tunge kwelewa unaongea imladitu mpigie sm what'sap akweleweshe Hana shida
@FestoJemsi-lr8pw
Ай бұрын
Umesahau kama anatumia bibli wewe unatumia kichwa mwenzako Ana loho MTAKATIFU anamwongoza
@Moja1mbili219 күн бұрын
Lakini mwinjilist huyo ni dini gani
@user-cr6fc7nt8kАй бұрын
Poster mimi Nauliza naweza kutuma sadaka vipi kwasababu mimi nko kenya na sijui nitatuma vp
@paschalcassianoriginal9411
Ай бұрын
Tumia mpesa 0766998994
@medsonsanga4813Ай бұрын
Amen 🎉
@user-cr6fc7nt8kАй бұрын
Mwenye anajuwa venye mtu anatuma pesa kutoka kenya kwenda Tanzania 🇹🇿 aniambie please
@diana56-lorient
Ай бұрын
Mpese
@diana56-lorient
Ай бұрын
From kenya you can use mpesa to TZ
@user-ii1qk9xn9z
Ай бұрын
Ulifanikiwa kutuma? Uko na Mpesa app, click mpesa global Click send to mobile, select country.......... ukishidwa toka hapo uniambie nitakuelekeza mpaka mwisho
@ishannybeatrice1636
Ай бұрын
TUMIA GLOBAL TRANSFER
@user-xr9wc7sn7hАй бұрын
Mungu mjalie ekima na mahalifa
@gilbertndayishimiye7808Ай бұрын
Mungu akubariki sana. Na naomba somo hili lirudiwe kwa undani zaidi, ukiliambatanisha na Mathayo16:4. Je hii zinaa inayozungumuzwa hapa ilitoka wapi? Nani mwanzilishi?
Пікірлер: 32
Pamoja na kuwepo kwa vizazi potovu vya uovu "kuna kizazi cha wenye adili: Wanaomcha Mungu, wanaotenda mapenzi yake. Psalms 112:1 hallelujah; heri mtu yule amchaye Bwana. Apendezwaye sana na maagizo yake. Wazao wake watakuwa hodari duniani; kizazi kitakachobarikiwa na Bwana. Wanawake wenye wapo kwa kizazi cha nyoka mbingu hawatakaribia wakati wao ni huu wamgeukie Kristo awaokoe ili wawe kizazi cha watu waadilifu. Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi. Matendo 2:40 Watu wote duniani hakuna haja ya kuendelea kutangatanga na huu ulimwengu tena unyakuo umekaribia njoo kwa Yesu uokolewe. Asante mtumishi Mungu akutunze
Amina, chakula ni mtego, na sio kila chakula kinatoka kwa Mungu. Danieli alijua chakula cha ikulu kina hila japo kinavutia ndipo akaomba maarifa kutoka kwa Mungu kujua chakula chenya hila, kisije kikamtenga naye. Mungu atusaidie tuwe kama Danieli, tutofautishe kibaya na kizuri tusije kuingia majaribuni.
Sema baba tupone 🙏🤝🤝
Wanawake hawataingia mbinguni, labda wamche Mungu. Akili za wanawake zinatawaliwa na majini
Ooooh kweli mtumishi tumekula sana na vinapendwa sana MUNGU atusaidie kweli kabisa Tena wanakua haraka mmmh Ee BWANA tuhurumie
Amena
Amen
Mchungaji acha uongo huo basi mkibaki wanaume watupu dunia itakuaje
Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana, hila nilikuwa napendekeza iwe live kwenye Facebook , Instagram, KZread.
@paschalcassianoriginal9411
Ай бұрын
Sawa ❤❤
Ameen 🙏🙏🙏
Ubarikiwe
Hallelujah
Amen 🙏
Endelea kufundishia mtumishi wengi watajifunza na utakuwa umenawa
Bwana wa majeshi aendeleze huduma hii kwa jina la Yesu
Ameni
Ila mtumishi usiseme hawaingii mbinguni hauwezi kujua yupi ataingia hata wale wanaosali sana hakuna anayejua kama ataingia mbinguni kikubwa tusiwachukie wote sisi ni waovu wakubwa hakuna aliyekamilika
@FestoJemsi-lr8pw
Ай бұрын
Ungetoa neno kama ushuhuda tunge kwelewa unaongea imladitu mpigie sm what'sap akweleweshe Hana shida
@FestoJemsi-lr8pw
Ай бұрын
Umesahau kama anatumia bibli wewe unatumia kichwa mwenzako Ana loho MTAKATIFU anamwongoza
Lakini mwinjilist huyo ni dini gani
Poster mimi Nauliza naweza kutuma sadaka vipi kwasababu mimi nko kenya na sijui nitatuma vp
@paschalcassianoriginal9411
Ай бұрын
Tumia mpesa 0766998994
Amen 🎉
Mwenye anajuwa venye mtu anatuma pesa kutoka kenya kwenda Tanzania 🇹🇿 aniambie please
@diana56-lorient
Ай бұрын
Mpese
@diana56-lorient
Ай бұрын
From kenya you can use mpesa to TZ
@user-ii1qk9xn9z
Ай бұрын
Ulifanikiwa kutuma? Uko na Mpesa app, click mpesa global Click send to mobile, select country.......... ukishidwa toka hapo uniambie nitakuelekeza mpaka mwisho
@ishannybeatrice1636
Ай бұрын
TUMIA GLOBAL TRANSFER
Mungu mjalie ekima na mahalifa
Mungu akubariki sana. Na naomba somo hili lirudiwe kwa undani zaidi, ukiliambatanisha na Mathayo16:4. Je hii zinaa inayozungumuzwa hapa ilitoka wapi? Nani mwanzilishi?
Tuma kwa namba zinazopita hapo chini ya picha