WANA WAKE HAWATA INGIA MBINGUNI? EV PASCHAL CASSIAN

Ойын-сауық

#0766998994 #call0688199370 #0788871769

Пікірлер: 32

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9zАй бұрын

    Pamoja na kuwepo kwa vizazi potovu vya uovu "kuna kizazi cha wenye adili: Wanaomcha Mungu, wanaotenda mapenzi yake. Psalms 112:1 hallelujah; heri mtu yule amchaye Bwana. Apendezwaye sana na maagizo yake. Wazao wake watakuwa hodari duniani; kizazi kitakachobarikiwa na Bwana. Wanawake wenye wapo kwa kizazi cha nyoka mbingu hawatakaribia wakati wao ni huu wamgeukie Kristo awaokoe ili wawe kizazi cha watu waadilifu. Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi. Matendo 2:40 Watu wote duniani hakuna haja ya kuendelea kutangatanga na huu ulimwengu tena unyakuo umekaribia njoo kwa Yesu uokolewe. Asante mtumishi Mungu akutunze

  • @martinahlighare6495
    @martinahlighare6495Ай бұрын

    Amina, chakula ni mtego, na sio kila chakula kinatoka kwa Mungu. Danieli alijua chakula cha ikulu kina hila japo kinavutia ndipo akaomba maarifa kutoka kwa Mungu kujua chakula chenya hila, kisije kikamtenga naye. Mungu atusaidie tuwe kama Danieli, tutofautishe kibaya na kizuri tusije kuingia majaribuni.

  • @lydiabenjaminmgalula6189
    @lydiabenjaminmgalula61894 күн бұрын

    Sema baba tupone 🙏🤝🤝

  • @user-bw3pz6vf2n
    @user-bw3pz6vf2nАй бұрын

    Wanawake hawataingia mbinguni, labda wamche Mungu. Akili za wanawake zinatawaliwa na majini

  • @Pendopasilika
    @PendopasilikaАй бұрын

    Ooooh kweli mtumishi tumekula sana na vinapendwa sana MUNGU atusaidie kweli kabisa Tena wanakua haraka mmmh Ee BWANA tuhurumie

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591Ай бұрын

    Amena

  • @RizikiWisongata
    @RizikiWisongataАй бұрын

    Amen

  • @FloraNyalusi
    @FloraNyalusi23 күн бұрын

    Mchungaji acha uongo huo basi mkibaki wanaume watupu dunia itakuaje

  • @Saidi1581
    @Saidi1581Ай бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana, hila nilikuwa napendekeza iwe live kwenye Facebook , Instagram, KZread.

  • @paschalcassianoriginal9411

    @paschalcassianoriginal9411

    Ай бұрын

    Sawa ❤❤

  • @user-rj2sh1hg4f
    @user-rj2sh1hg4fАй бұрын

    Ameen 🙏🙏🙏

  • @FestoJemsi-lr8pw
    @FestoJemsi-lr8pwАй бұрын

    Ubarikiwe

  • @furahag3098
    @furahag3098Ай бұрын

    Hallelujah

  • @user-dz8qh6yb2x
    @user-dz8qh6yb2xАй бұрын

    Amen 🙏

  • @NgoshaJames
    @NgoshaJamesАй бұрын

    Endelea kufundishia mtumishi wengi watajifunza na utakuwa umenawa

  • @osanamgallah4297
    @osanamgallah4297Ай бұрын

    Bwana wa majeshi aendeleze huduma hii kwa jina la Yesu

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116Ай бұрын

    Ameni

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xoАй бұрын

    Ila mtumishi usiseme hawaingii mbinguni hauwezi kujua yupi ataingia hata wale wanaosali sana hakuna anayejua kama ataingia mbinguni kikubwa tusiwachukie wote sisi ni waovu wakubwa hakuna aliyekamilika

  • @FestoJemsi-lr8pw

    @FestoJemsi-lr8pw

    Ай бұрын

    Ungetoa neno kama ushuhuda tunge kwelewa unaongea imladitu mpigie sm what'sap akweleweshe Hana shida

  • @FestoJemsi-lr8pw

    @FestoJemsi-lr8pw

    Ай бұрын

    Umesahau kama anatumia bibli wewe unatumia kichwa mwenzako Ana loho MTAKATIFU anamwongoza

  • @Moja1mbili2
    @Moja1mbili219 күн бұрын

    Lakini mwinjilist huyo ni dini gani

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8kАй бұрын

    Poster mimi Nauliza naweza kutuma sadaka vipi kwasababu mimi nko kenya na sijui nitatuma vp

  • @paschalcassianoriginal9411

    @paschalcassianoriginal9411

    Ай бұрын

    Tumia mpesa 0766998994

  • @medsonsanga4813
    @medsonsanga4813Ай бұрын

    Amen 🎉

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8kАй бұрын

    Mwenye anajuwa venye mtu anatuma pesa kutoka kenya kwenda Tanzania 🇹🇿 aniambie please

  • @diana56-lorient

    @diana56-lorient

    Ай бұрын

    Mpese

  • @diana56-lorient

    @diana56-lorient

    Ай бұрын

    From kenya you can use mpesa to TZ

  • @user-ii1qk9xn9z

    @user-ii1qk9xn9z

    Ай бұрын

    Ulifanikiwa kutuma? Uko na Mpesa app, click mpesa global Click send to mobile, select country.......... ukishidwa toka hapo uniambie nitakuelekeza mpaka mwisho

  • @ishannybeatrice1636

    @ishannybeatrice1636

    Ай бұрын

    TUMIA GLOBAL TRANSFER

  • @user-xr9wc7sn7h
    @user-xr9wc7sn7hАй бұрын

    Mungu mjalie ekima na mahalifa

  • @gilbertndayishimiye7808
    @gilbertndayishimiye7808Ай бұрын

    Mungu akubariki sana. Na naomba somo hili lirudiwe kwa undani zaidi, ukiliambatanisha na Mathayo16:4. Je hii zinaa inayozungumuzwa hapa ilitoka wapi? Nani mwanzilishi?

  • @dicksonmangah1648
    @dicksonmangah164826 күн бұрын

    Tuma kwa namba zinazopita hapo chini ya picha

Келесі