Wakaazi na wafanyibiashara wapata afueni Mukothima
Ni afueni kwa Wakaazi na wafanyibiashara wa eneo la Mukothima kaunti ya Tharaka nithi baada ya kujengwa kwa daraja lililosombwa na maji ya mafuriko. Ujenzi wa daraja hilo ulifadhiliwa na afisi ya mwakilishi wa kike kaunti ya Tharaka Nithi Susan Ngugi.
Пікірлер: 1
Naomba Support yenu please muone videos zangu pia please 😢😂