MashaAllah Mola awabarik machozi yamenitoka kwa furaha na pia Mola akubariki raisi Mwinyi umeeka tarehe isiosahaulika mpaka kuondoka kwako tutakukumbuka Mola akubarik na nyote mlohudhuria na sisi ingawa tuko mbali tunashuhudia Alhamdulillah
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Naipenda din yangu ya kiislamu❤❤❤❤❤
@aseelaisaa428 Жыл бұрын
Pemba hongereni ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ na dr hussein mwinyi ❤❤ Allah atakujaza na kukupa agya zaid na imani na busara ❤.
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Hongera sana Kwa hatua hii Ila nitoe angalizo kuwa Uislam ni zaidi ya kusherehekea mwaka!!
@rasadsaid1818 Жыл бұрын
Kazi nzuri Sheikh Rashid!! ALLAH akubaarik
@mrsjj8804 Жыл бұрын
Wallah nimefurah kumuona mtu ambae na skia tu sauti yake ktk maelezo baada ya Habari raha Sana kwa kweli I'm proud to be muslim love you all
@saidalreyami6748 Жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الرحمن الله يبارك فيكم جميعا
@waheedaw1953 Жыл бұрын
MashaAllah tabaraka Rahman iyo ADHIM sana kwa kizazi cha mbele
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
*Very BEAUTIFUL!* ❤😊
@nuhubamanya3346 Жыл бұрын
Maa Sha Allah Rais Mwinyi Allah S.W akuzidishie hekma
@mrishongwikwi6448 Жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu mhe. Rais wetu Dr Hussein Ally Mwinyi.
@shuwekhaalsheiban9366 Жыл бұрын
Mashaallah Allah ajaalie aendelee kila utakapofika mwaka mpya wa kiislam, hiii ni neema adhimu sana kwa waislam, Alhamdulillah.
@ngenzitigana5344 Жыл бұрын
Kazi nzuri sn Ilove you islam ❤❤❤❤❤❤❤
@misbahukhalifa3216 Жыл бұрын
ما شاء الله تبارك الله بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا. اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم تسليما. MashaAllah Mungu awabariki jambo zuri sana
@murattywamuratty9778 Жыл бұрын
Allah ajae iwe yenye kuendeea love u all Muslims
@fatmasaid9765 Жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الرحمن جميل جداً
@hamadmohamed3056 Жыл бұрын
سنة جديدة سعيدة لكل مسلمين ❤
@artisthusnatalal3099
Жыл бұрын
👍
@rashaadislamicgroup4213 Жыл бұрын
بارك الله فيكم
@taliatakhalifa8303 Жыл бұрын
Mashaallah kullu aam waantum bikhair
@Safreenfeen Жыл бұрын
Aaaamin…..Allah azidi kumuonesha njia na amkinge na kila hasada baya aone baya na Aliache
@chimilasaid447 Жыл бұрын
mashallah pemba mume songa mbele kidni ustadhi walai Ntka machozi kenya kwale akuna vitu kama hivi aki n nthamani nasi pyi kenya tuwe n sku Malum y kusherkea mwezi w kwanza w kislamu njua itakuwa vigumu mno lakin kwa yye mwenyew jabri atalwzsha inshaallah wbilah taufq❤
@swah555suhayl8 Жыл бұрын
MashaAllah jazakallahu Khair
@azzaalhabsi1505 Жыл бұрын
Mashaallah .كل عام وانتم ب خير.
@user-xe9uu6wu3z Жыл бұрын
Mashallah Allah azidi kutuunganisha nakutushikamanisha waislam,,Hadi Raha WALLAHY
@faizanassor6336 Жыл бұрын
ALLAH AKBAR MASHA ALLAH
@ShuwekhaAbdullah-ez2un Жыл бұрын
Mashallah Mashallah Allah atupe upendo zaid
@saadaalhabsi2517 Жыл бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمن ❤❤❤❤❤❤❤❤
@huss668 Жыл бұрын
Ma Shaa Allah ❤❤❤
@izdihaarsleyum3643 Жыл бұрын
Maa shaa Allah tabaarakallah
@asiyasule5513 Жыл бұрын
Ma sha Allah Hongere znz
@sinangoarashid504 Жыл бұрын
Mashaallah 😍
@zahorsalum4976 Жыл бұрын
Allah atuzidishie kher waislam wt
@safiamohamed635 Жыл бұрын
Mashallah tabarakk Allah Allah ajaalie iwe daima asante mungu
@aseelaisaa428 Жыл бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HassanAli-eq8ko Жыл бұрын
Mashaallah jazakumllah kheri
@ramlazubery1682 Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah. ALLAH KARIM ATUJALIE ifike na nchi nyingine. INSHAALLAH
@MwanajumaAbdi-ku6bp Жыл бұрын
Masha allah jazaka allahu kheir
@hebamuhammad7278 Жыл бұрын
Na mm dini yangu ya wisilam na ipenda sana
@asharamadhan710 Жыл бұрын
Mashaallah 😘😘
@user-qo8uj1ym4m Жыл бұрын
Masha Allah tabarqa llah kwa kufurahia mwaka wa kiislam Allah aujalie uwe na khery nyingi,mwaka huu wa 1445hijria
@mufydal-harousy5939 Жыл бұрын
Maa shaa llah
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Mashallah alhamdulillah
@abuufarha6562 Жыл бұрын
Bida'a mpya hio poleni sana
@KhubeybJandaal-uz4oo Жыл бұрын
Upuuz wenu,waislam haurusi,mambo ya kikafir ole wenu
@user-xf4rc1sx9c Жыл бұрын
Mashaallah ❤
@salma0000 Жыл бұрын
Mashaallah❤
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Maa shaa Allah
@DR.SAIFILLAH.5363 Жыл бұрын
MAA SHAA ALLAH
@user-cv3ey6gv2t Жыл бұрын
Mashallah Mola awalinde ktk imani
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
Mashalla Allah ❤❤❤❤
@lilyali319 Жыл бұрын
Mashallah. Allah ampe umri tawili Rais wetu.
@user-nw7tb7hv2x Жыл бұрын
Masha Allah rahaaa❤
@anwaryabdallah7782 Жыл бұрын
MASHA ALLAH wazanzibar mshukuruni sana ALLAH kwaneema hiyo ktk nchi yenu sisitunatamani Tanzania bara lkn ndiohaiwezekani
@salminijuma7746 Жыл бұрын
Mashaa allah
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@ahmadseif7241 Жыл бұрын
Maasha allah
@noot-oe2mw Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@ramsonramadhan4156 Жыл бұрын
❤MashaAllah
@anwaryabdallah7782 Жыл бұрын
MASHA ALLAH
@nasrimswaki4824 Жыл бұрын
Maashallah
@ChuuFilm_Qaswida Жыл бұрын
Maasha Allah
@Debabaz1673 Жыл бұрын
Mashallah ❤❤
@mwangazamwangaza1234 Жыл бұрын
Masha Allah
@asmahchongoe1117 Жыл бұрын
Masha allah alhamdulillah
@nassorahmed7956 Жыл бұрын
Alhamdulilah kwakuwa muislam wakuzaliwa
@zuhura.suleimanmwamwari3083 Жыл бұрын
Asante sheikh wetu kutuwakilisha huko uliko
@ahmadseif7241 Жыл бұрын
ماشاءاللہ
@dalilasaliim2819 Жыл бұрын
Mashallah
@saidjuma25 Жыл бұрын
Masha allah
@abdullahmanalex2306 Жыл бұрын
Mashaallah
@issabakar8470 Жыл бұрын
Nafurahi kuzaliwa pemba
@user-qw2cz8rp6v Жыл бұрын
mashaAllah
@kazoletv9991 Жыл бұрын
Mungu atuwafikishe
@yusufuurungu-ht1sk Жыл бұрын
M/MUNGU Atuzidishie kheir
@bakarirutengwe3036 Жыл бұрын
MASHALLAH ❤️ ❤️❤️
@user-ed3uh6pt8b Жыл бұрын
Allah aqbar
@muhammedbakari2867 Жыл бұрын
Mashallah 😁😁
@ayoubharoub5807 Жыл бұрын
ماسة الله يسلمك يا رب العالمين
@fardoshnassor7847 Жыл бұрын
🥰🥰🥰
@mohamedimohamedi58 Жыл бұрын
❤❤❤😢
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Hebu acheni uzishi kwenye din
@nailamohd7693 Жыл бұрын
Shukran ❤
@mohamedmrisho4403 Жыл бұрын
Tusibeze mambo si kila lililozushwa kwamba halifai. Hiyo tareikh ya Kiislamu pia haikuwepo Wakati wa Mtume ameianzisha Sayyidna Omar bin Khatwab . Tukisema kila linalofanywa hata kama la kheri ni uzushi tunaweza tukafika mbali tukawaita mpaka Makhalifa wazushi maana kila khalifa anayo aloyaanzisha ambayo hayakuepo, (kusali kwa Jamaa) Tarawekhe misikitini na mengineyo. Allah atuongoze katika hakki.Amin.
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Amyn yarabiaalamyn. Waislam waliyosoma ndiyo wanapotoshawatu kwanihatamwakampya aturuhusiwikusheleekea je hawa wanaukalibisha. Masufi mtuhami Alllah atuongoze
@fatmaalyahyai1700 Жыл бұрын
MaashaaAlla mungu aibarik amiin kwa mwaka wakkiislam
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Mwaka mpya basi ubadilishe hali yetu mbaya ya kiuchumi tuliyonayo uwe mwaka pia muendelezo wa mabadiliko wa sisi tunaoufurahia kwa maandamano, uongozi basi utuhurumie kutusaidia sera itakayotuwezesha neema kiuchumi Tuletewe DP WORLD ambayo wenzetu wanaikataaa
@alijumes35806 ай бұрын
Co dini
@salma0000 Жыл бұрын
Anaekereka na aende akajinyonge basi
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Mkono kwa mkono Hadi peponi
@aliomari5254 Жыл бұрын
Vizur ila hawachelewi kusema bidaa zile kanzu fupi
@dengemuhidinimuhidini3230 Жыл бұрын
Kwa kweli Sina la zaidi kwa raisi mpendwa WA Zanzibar , huyu ndiye raisi was pekee anaepa had hi yake , Amakweli mwinyi neema tumtunze na yéyé atutunze Allah Akbar
@rajabjuma277
Жыл бұрын
Wacha kutuletea siasa ccm wewe nakujuwa km mavi kafanya nn cha mana angeliwafata wanyonge mitaan akawapa chakula na madawa kashindwa misikitin ataweza mitaan
@mwanamkemuislamutv9369 Жыл бұрын
Hatupingi alolifanya ni jema ama yeye kwa wema hanao ,, Hakuna kiongozi anaekaa madarqkani kwa dhula na kwa wizi na kuto kupata ridhaa za raia wake ikisha akawa mwema.. Hamuwezi tu kusema kwamba alofanya ni jema ama yeye wema hanao.
@abdallahselemani6423
Жыл бұрын
Wewe. Mwenyewe una uhakika msafi?
@mwanamkemuislamutv9369
Жыл бұрын
@abdallahselemani6423 Hakuna mwenye uhakika ila kuna makosa ya mja kwa mola wake na akiomba msamaha Allah anasamehe...ila kuna makosa ya dhula ya waja na kubwa zaidi ni kumwaka damu ya Muislamu Ana sema Allah katika hadithi al-qudusiy (hakika mimi nimeiharamisha dhula juu ya nafsi yangu basi musidhulumiane) na akasema kwenye Qur-aan tukufu (32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.) Na mtume swalla llahu alayhi wasallam anasema katika hadithi ya Abii Hurayrah «من أعان على قتل مؤمن بشطر كلمة؛ لقي الله عز وجل مكتوب بين عينيه: آيس من رحمة الله» (MWENYE KUSAIDIA KATIKA KUWAGIGA DAMU YA MUISLAMU JAPO KWA NUSU YA NENO TU; BASI ATAKUTANA NA ALLAH HALI AMEANDIKWA BAINA YA MACHO YAKE : AMEKATA TAMAA NA REHEMA YA ALLA) Sasa nambie uongozi aloupata ameuoataje na je ameomba radhi lini kwa raia wake juu ya uovo olowafanyia na jee kuna dalili zozote za kujutia na kuto kufanya tena hili? Au anajipanga kwa 2025 kuja yafanya tena haya haya. Na dalili zaonesha wazi kuwa bado hajajutia juu ya damu za waislamu zilizo mwagika kwa sababu yake bado amemchaguwa tena yule yule alikuwa sababu ya maumivu ya wazanzibari kuwa tena mwenye kiti wa tume ya uchaguzi lengo lake ni lipi? Kwa hiyo msafi kwa asilimia %100 hayupo ila kuna mambo mwanadamu akiyafanya lazima alaumiwe na kuuwa ni katika madhambi makubwa amabyo kama hakutubia kwa Allah na kuwataka radhi walio poteza familia zao kwa sababu yake yeye na walokuwa vilema basi jambo hilo lina wajibisha Moto. Kwa hiyo Hajawa mwema kwa kuidhinisha sherehe za mwaka mpya wa kiislamu wakati Uislamu kwenye moyo wake unamatatizo.
@wahdabintabilha3643 Жыл бұрын
Kichwa cha habari ingependeza kama mungeandika Zanzibar. Kwenye maelezo ndio mungefafanua kama maadhimisho hayo ya Kitaifa yamefanyika kisiwani Pemba.
@noffalsalim
Жыл бұрын
Zanzibar si unguja tu Pemba ni pemba tu ,maaa izo ndo kauli zao .
@wahdabintabilha3643
Жыл бұрын
Wewe usiwe mpumbavu kama wao. Zanzibar ni Unguja na Pemba.
@noffalsalim
Жыл бұрын
@@wahdabintabilha3643 jidanganye tu
@mohamedali-ur6ri
Жыл бұрын
Wazanzibar wenyewe tushaelewa ; akili yako Unguja ndio Zanzibar wakati Zanzibar ni Unguja na Pemba ....
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Sasa hapo Pemba etii aseme zanzibar vipi na hapo pemba na kasema wananchi Wa pemba
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Kweli dini ina mambo mumezusha maulid na leo mwazusha jengine huu uzushi umeanza mwaka huuu daaa allah waongoze masufi kwwnye haki
@alhudhaify7810
Жыл бұрын
Hujielewi
@issanassor6795
Жыл бұрын
Msng
@hasbaallamaa749
Жыл бұрын
Na ww akuongoze usiwe mtu wa kuleta farka katika Uislam na usiwe mtu wa kutumia na mayahudi waliokwisha laaniwa na Bwana Mlezi
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Haikuwa dini wakati wa mtume yupo jee Leo iwe dini musitudanganye sisi sio watoto wadogo bna
@Muhammad-el9iz
Жыл бұрын
Unakusudia Nn kusema hvo?
@salma0000
Жыл бұрын
Lazima uinue kidole chako tukuone, kajinyonge basi kama umeumia😏
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Wazushi wamejaa zamahizi mtihanj
@Muhammad-el9iz
Жыл бұрын
Kwani umesahau kuwa dini hii ilkuwa na nguvu hlaf ikakosa nguvu baadae itarudi Tena kuwa na nguvu ndyo maandko ynavyosema. Ssa uslete Manno kma hyo" haikuwa dini wkti wa mtume yupo jee Leo iwe dini " Yan mm kma sjkuelewa hasa nini kimekukasrisha hpo!? Wacha siasa kwenye dini niushauri tu.
@khalfanshahabakar7439 Жыл бұрын
Kwa kweli Rais wetu anafanya mambo mazuri kila uchao.kwa ķila nyanja Mungu ampe kila la kheri.Amin
@rajabjuma277
Жыл бұрын
kalisha watu au kafanya nn kuna nn kipya hapo cha ajabu ngamia au faras wacha uccm
@aliali-gw5pq Жыл бұрын
BIDAA MPYA UZUSHI KATIKA DINI YA ALLAH KAMA KHERI WANGEANZISHA KUADHIMISHA WEMA/MASAHABA NA WALIOTANGULIA
@rajabjuma277
Жыл бұрын
Watu wanafata mkumbo maulidi yalianza taratibu mpaka imefikia pahali wanakata mauno subiri utakuja kuona mengi hapo
@kichachu6391 Жыл бұрын
Inasikitisha kujivunia kuwa ni watu wa mwazo walioanzia uzushi wa kudhimisha siku ya mwaka mpya wa kisilamu kwani mtume عليه الصلاة والسلام ameshautuambia kuwa kila linalozushwa ktk dini ni upotovu na kila upotovu malipo yake ni moto wa JAHANAM
@khatibabass3106
Жыл бұрын
Kwani hakuna mwaka mpya wa kiislam ? Binaadam kwakweli
@kichachu6391
Жыл бұрын
@@khatibabass3106 Mwaka mpya wa kiislamu upo lkn kuadhimisha ni uzushi ambao hauna dalili ktk sheria
@omarhaji2621
Жыл бұрын
Assalam alaikum hili limefanikiwa ila na swala la wanawake kutembea uchi lifikiriwe
@nassiralli9304
Жыл бұрын
Kwanini tunapenda kupinga mambo ambayo yanapelekea kushajihisha vizazi na vizazi daima kuweza kujuwa historia ya uislam...kuwakumbusha juu ya uwepo wa imani ya kweli ya Allah... Kukumbushana ni moja kati ya kheri kubwa na sifa kubwa za umma huu...sasa kukumbushana tarekh ya uislam katika stail kama hii hatuoni kama itapelekea kuutangaza zaidi uislam nchini na duniani..ni kama ukumbusho... Sasa hili suala la kusema uzushi linatokea wapi... Wenzetu wamekuwa wabunifu kuharibu ulimwengu...sisi tukianzisha mbinu za kuhuisha dini yetu unasikia bidaa... Hebu tuacheni hizi dini Za siasa.
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@kichachu6391Brother mbona nchi za kiarabu ambapo asilimia kubwa ya watu wake ni waislamu wanaandhimisha na huwa ni holiday katika nchi zao ?
Пікірлер: 142
MashaAllah Mola awabarik machozi yamenitoka kwa furaha na pia Mola akubariki raisi Mwinyi umeeka tarehe isiosahaulika mpaka kuondoka kwako tutakukumbuka Mola akubarik na nyote mlohudhuria na sisi ingawa tuko mbali tunashuhudia Alhamdulillah
Naipenda din yangu ya kiislamu❤❤❤❤❤
Pemba hongereni ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ na dr hussein mwinyi ❤❤ Allah atakujaza na kukupa agya zaid na imani na busara ❤.
Hongera sana Kwa hatua hii Ila nitoe angalizo kuwa Uislam ni zaidi ya kusherehekea mwaka!!
Kazi nzuri Sheikh Rashid!! ALLAH akubaarik
Wallah nimefurah kumuona mtu ambae na skia tu sauti yake ktk maelezo baada ya Habari raha Sana kwa kweli I'm proud to be muslim love you all
ماشاءالله تبارك الرحمن الله يبارك فيكم جميعا
MashaAllah tabaraka Rahman iyo ADHIM sana kwa kizazi cha mbele
*Very BEAUTIFUL!* ❤😊
Maa Sha Allah Rais Mwinyi Allah S.W akuzidishie hekma
Allah ampe umri mrefu mhe. Rais wetu Dr Hussein Ally Mwinyi.
Mashaallah Allah ajaalie aendelee kila utakapofika mwaka mpya wa kiislam, hiii ni neema adhimu sana kwa waislam, Alhamdulillah.
Kazi nzuri sn Ilove you islam ❤❤❤❤❤❤❤
ما شاء الله تبارك الله بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا. اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم تسليما. MashaAllah Mungu awabariki jambo zuri sana
Allah ajae iwe yenye kuendeea love u all Muslims
ماشاء الله تبارك الرحمن جميل جداً
سنة جديدة سعيدة لكل مسلمين ❤
@artisthusnatalal3099
Жыл бұрын
👍
بارك الله فيكم
Mashaallah kullu aam waantum bikhair
Aaaamin…..Allah azidi kumuonesha njia na amkinge na kila hasada baya aone baya na Aliache
mashallah pemba mume songa mbele kidni ustadhi walai Ntka machozi kenya kwale akuna vitu kama hivi aki n nthamani nasi pyi kenya tuwe n sku Malum y kusherkea mwezi w kwanza w kislamu njua itakuwa vigumu mno lakin kwa yye mwenyew jabri atalwzsha inshaallah wbilah taufq❤
MashaAllah jazakallahu Khair
Mashaallah .كل عام وانتم ب خير.
Mashallah Allah azidi kutuunganisha nakutushikamanisha waislam,,Hadi Raha WALLAHY
ALLAH AKBAR MASHA ALLAH
Mashallah Mashallah Allah atupe upendo zaid
ما شاء الله تبارك الرحمن ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ma Shaa Allah ❤❤❤
Maa shaa Allah tabaarakallah
Ma sha Allah Hongere znz
Mashaallah 😍
Allah atuzidishie kher waislam wt
Mashallah tabarakk Allah Allah ajaalie iwe daima asante mungu
Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah jazakumllah kheri
Mashaallah Mashaallah. ALLAH KARIM ATUJALIE ifike na nchi nyingine. INSHAALLAH
Masha allah jazaka allahu kheir
Na mm dini yangu ya wisilam na ipenda sana
Mashaallah 😘😘
Masha Allah tabarqa llah kwa kufurahia mwaka wa kiislam Allah aujalie uwe na khery nyingi,mwaka huu wa 1445hijria
Maa shaa llah
Mashallah alhamdulillah
Bida'a mpya hio poleni sana
Upuuz wenu,waislam haurusi,mambo ya kikafir ole wenu
Mashaallah ❤
Mashaallah❤
Maa shaa Allah
MAA SHAA ALLAH
Mashallah Mola awalinde ktk imani
Mashalla Allah ❤❤❤❤
Mashallah. Allah ampe umri tawili Rais wetu.
Masha Allah rahaaa❤
MASHA ALLAH wazanzibar mshukuruni sana ALLAH kwaneema hiyo ktk nchi yenu sisitunatamani Tanzania bara lkn ndiohaiwezekani
Mashaa allah
Mashaallah mashaallah
Maasha allah
Mashaallah Mashaallah
❤MashaAllah
MASHA ALLAH
Maashallah
Maasha Allah
Mashallah ❤❤
Masha Allah
Masha allah alhamdulillah
Alhamdulilah kwakuwa muislam wakuzaliwa
Asante sheikh wetu kutuwakilisha huko uliko
ماشاءاللہ
Mashallah
Masha allah
Mashaallah
Nafurahi kuzaliwa pemba
mashaAllah
Mungu atuwafikishe
M/MUNGU Atuzidishie kheir
MASHALLAH ❤️ ❤️❤️
Allah aqbar
Mashallah 😁😁
ماسة الله يسلمك يا رب العالمين
🥰🥰🥰
❤❤❤😢
Hebu acheni uzishi kwenye din
Shukran ❤
Tusibeze mambo si kila lililozushwa kwamba halifai. Hiyo tareikh ya Kiislamu pia haikuwepo Wakati wa Mtume ameianzisha Sayyidna Omar bin Khatwab . Tukisema kila linalofanywa hata kama la kheri ni uzushi tunaweza tukafika mbali tukawaita mpaka Makhalifa wazushi maana kila khalifa anayo aloyaanzisha ambayo hayakuepo, (kusali kwa Jamaa) Tarawekhe misikitini na mengineyo. Allah atuongoze katika hakki.Amin.
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Amyn yarabiaalamyn. Waislam waliyosoma ndiyo wanapotoshawatu kwanihatamwakampya aturuhusiwikusheleekea je hawa wanaukalibisha. Masufi mtuhami Alllah atuongoze
MaashaaAlla mungu aibarik amiin kwa mwaka wakkiislam
Mwaka mpya basi ubadilishe hali yetu mbaya ya kiuchumi tuliyonayo uwe mwaka pia muendelezo wa mabadiliko wa sisi tunaoufurahia kwa maandamano, uongozi basi utuhurumie kutusaidia sera itakayotuwezesha neema kiuchumi Tuletewe DP WORLD ambayo wenzetu wanaikataaa
Co dini
Anaekereka na aende akajinyonge basi
Mkono kwa mkono Hadi peponi
Vizur ila hawachelewi kusema bidaa zile kanzu fupi
Kwa kweli Sina la zaidi kwa raisi mpendwa WA Zanzibar , huyu ndiye raisi was pekee anaepa had hi yake , Amakweli mwinyi neema tumtunze na yéyé atutunze Allah Akbar
@rajabjuma277
Жыл бұрын
Wacha kutuletea siasa ccm wewe nakujuwa km mavi kafanya nn cha mana angeliwafata wanyonge mitaan akawapa chakula na madawa kashindwa misikitin ataweza mitaan
Hatupingi alolifanya ni jema ama yeye kwa wema hanao ,, Hakuna kiongozi anaekaa madarqkani kwa dhula na kwa wizi na kuto kupata ridhaa za raia wake ikisha akawa mwema.. Hamuwezi tu kusema kwamba alofanya ni jema ama yeye wema hanao.
@abdallahselemani6423
Жыл бұрын
Wewe. Mwenyewe una uhakika msafi?
@mwanamkemuislamutv9369
Жыл бұрын
@abdallahselemani6423 Hakuna mwenye uhakika ila kuna makosa ya mja kwa mola wake na akiomba msamaha Allah anasamehe...ila kuna makosa ya dhula ya waja na kubwa zaidi ni kumwaka damu ya Muislamu Ana sema Allah katika hadithi al-qudusiy (hakika mimi nimeiharamisha dhula juu ya nafsi yangu basi musidhulumiane) na akasema kwenye Qur-aan tukufu (32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.) Na mtume swalla llahu alayhi wasallam anasema katika hadithi ya Abii Hurayrah «من أعان على قتل مؤمن بشطر كلمة؛ لقي الله عز وجل مكتوب بين عينيه: آيس من رحمة الله» (MWENYE KUSAIDIA KATIKA KUWAGIGA DAMU YA MUISLAMU JAPO KWA NUSU YA NENO TU; BASI ATAKUTANA NA ALLAH HALI AMEANDIKWA BAINA YA MACHO YAKE : AMEKATA TAMAA NA REHEMA YA ALLA) Sasa nambie uongozi aloupata ameuoataje na je ameomba radhi lini kwa raia wake juu ya uovo olowafanyia na jee kuna dalili zozote za kujutia na kuto kufanya tena hili? Au anajipanga kwa 2025 kuja yafanya tena haya haya. Na dalili zaonesha wazi kuwa bado hajajutia juu ya damu za waislamu zilizo mwagika kwa sababu yake bado amemchaguwa tena yule yule alikuwa sababu ya maumivu ya wazanzibari kuwa tena mwenye kiti wa tume ya uchaguzi lengo lake ni lipi? Kwa hiyo msafi kwa asilimia %100 hayupo ila kuna mambo mwanadamu akiyafanya lazima alaumiwe na kuuwa ni katika madhambi makubwa amabyo kama hakutubia kwa Allah na kuwataka radhi walio poteza familia zao kwa sababu yake yeye na walokuwa vilema basi jambo hilo lina wajibisha Moto. Kwa hiyo Hajawa mwema kwa kuidhinisha sherehe za mwaka mpya wa kiislamu wakati Uislamu kwenye moyo wake unamatatizo.
Kichwa cha habari ingependeza kama mungeandika Zanzibar. Kwenye maelezo ndio mungefafanua kama maadhimisho hayo ya Kitaifa yamefanyika kisiwani Pemba.
@noffalsalim
Жыл бұрын
Zanzibar si unguja tu Pemba ni pemba tu ,maaa izo ndo kauli zao .
@wahdabintabilha3643
Жыл бұрын
Wewe usiwe mpumbavu kama wao. Zanzibar ni Unguja na Pemba.
@noffalsalim
Жыл бұрын
@@wahdabintabilha3643 jidanganye tu
@mohamedali-ur6ri
Жыл бұрын
Wazanzibar wenyewe tushaelewa ; akili yako Unguja ndio Zanzibar wakati Zanzibar ni Unguja na Pemba ....
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Sasa hapo Pemba etii aseme zanzibar vipi na hapo pemba na kasema wananchi Wa pemba
Kweli dini ina mambo mumezusha maulid na leo mwazusha jengine huu uzushi umeanza mwaka huuu daaa allah waongoze masufi kwwnye haki
@alhudhaify7810
Жыл бұрын
Hujielewi
@issanassor6795
Жыл бұрын
Msng
@hasbaallamaa749
Жыл бұрын
Na ww akuongoze usiwe mtu wa kuleta farka katika Uislam na usiwe mtu wa kutumia na mayahudi waliokwisha laaniwa na Bwana Mlezi
Haikuwa dini wakati wa mtume yupo jee Leo iwe dini musitudanganye sisi sio watoto wadogo bna
@Muhammad-el9iz
Жыл бұрын
Unakusudia Nn kusema hvo?
@salma0000
Жыл бұрын
Lazima uinue kidole chako tukuone, kajinyonge basi kama umeumia😏
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Wazushi wamejaa zamahizi mtihanj
@Muhammad-el9iz
Жыл бұрын
Kwani umesahau kuwa dini hii ilkuwa na nguvu hlaf ikakosa nguvu baadae itarudi Tena kuwa na nguvu ndyo maandko ynavyosema. Ssa uslete Manno kma hyo" haikuwa dini wkti wa mtume yupo jee Leo iwe dini " Yan mm kma sjkuelewa hasa nini kimekukasrisha hpo!? Wacha siasa kwenye dini niushauri tu.
Kwa kweli Rais wetu anafanya mambo mazuri kila uchao.kwa ķila nyanja Mungu ampe kila la kheri.Amin
@rajabjuma277
Жыл бұрын
kalisha watu au kafanya nn kuna nn kipya hapo cha ajabu ngamia au faras wacha uccm
BIDAA MPYA UZUSHI KATIKA DINI YA ALLAH KAMA KHERI WANGEANZISHA KUADHIMISHA WEMA/MASAHABA NA WALIOTANGULIA
@rajabjuma277
Жыл бұрын
Watu wanafata mkumbo maulidi yalianza taratibu mpaka imefikia pahali wanakata mauno subiri utakuja kuona mengi hapo
Inasikitisha kujivunia kuwa ni watu wa mwazo walioanzia uzushi wa kudhimisha siku ya mwaka mpya wa kisilamu kwani mtume عليه الصلاة والسلام ameshautuambia kuwa kila linalozushwa ktk dini ni upotovu na kila upotovu malipo yake ni moto wa JAHANAM
@khatibabass3106
Жыл бұрын
Kwani hakuna mwaka mpya wa kiislam ? Binaadam kwakweli
@kichachu6391
Жыл бұрын
@@khatibabass3106 Mwaka mpya wa kiislamu upo lkn kuadhimisha ni uzushi ambao hauna dalili ktk sheria
@omarhaji2621
Жыл бұрын
Assalam alaikum hili limefanikiwa ila na swala la wanawake kutembea uchi lifikiriwe
@nassiralli9304
Жыл бұрын
Kwanini tunapenda kupinga mambo ambayo yanapelekea kushajihisha vizazi na vizazi daima kuweza kujuwa historia ya uislam...kuwakumbusha juu ya uwepo wa imani ya kweli ya Allah... Kukumbushana ni moja kati ya kheri kubwa na sifa kubwa za umma huu...sasa kukumbushana tarekh ya uislam katika stail kama hii hatuoni kama itapelekea kuutangaza zaidi uislam nchini na duniani..ni kama ukumbusho... Sasa hili suala la kusema uzushi linatokea wapi... Wenzetu wamekuwa wabunifu kuharibu ulimwengu...sisi tukianzisha mbinu za kuhuisha dini yetu unasikia bidaa... Hebu tuacheni hizi dini Za siasa.
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@kichachu6391Brother mbona nchi za kiarabu ambapo asilimia kubwa ya watu wake ni waislamu wanaandhimisha na huwa ni holiday katika nchi zao ?
Mashallah 💗
Maashallah
Mashaallah