WAGANGA 10 WA JADI WATUA KIGOMA KUPAMBANA NA UCHAWI SUGU

Ойын-сауық

#kigoma

Пікірлер: 184

  • @user-uq4ju9ou7x
    @user-uq4ju9ou7x Жыл бұрын

    Ujue me nashangaa sana serikali yetu Kila mwenye kitengo anamganga wake anaogopa kurogwa ila haamini uchawi yaani nchi haiamini uchawi ila viongozi wa serikali wanawaganga wao aseee

  • @zuhurankoma6099

    @zuhurankoma6099

    Жыл бұрын

    Uchwi upoo serekali inaamini uchawi sema inavunga tuuu nawenyewe wachawiii

  • @sundaystanley5322

    @sundaystanley5322

    10 ай бұрын

    Umeongea point sana

  • @michaelmaja-1699

    @michaelmaja-1699

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂 inashangaza sana

  • @zainabuyassini3095

    @zainabuyassini3095

    8 ай бұрын

    Ni swala la mtu bonfi

  • @josephnchunga4229
    @josephnchunga422910 ай бұрын

    Duh kazi kweli huko ni Bora wachapwe wachawi wanaharibu nguvu kazi ya taifa letu.

  • @OmarKibwana-dx6gu
    @OmarKibwana-dx6gu6 ай бұрын

    Acheni ushirikina mrudieni mungu ALLAH ndio kila kitu.

  • @KenethNdingo-tm2gc
    @KenethNdingo-tm2gc11 ай бұрын

    Aseee kweli mungu awajalie wamuombe mungu imani hiyo ni mbaya.itafarakinisha wananchi .

  • @CharlesMapua

    @CharlesMapua

    7 ай бұрын

    Oya we mwangaaaa nn

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara30387 ай бұрын

    Hahaha mpango wauzazi ndio chanzo

  • @JAFFARINANGUJA
    @JAFFARINANGUJA4 ай бұрын

    Inabidi serekari ikubari wGanga wasafishe

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa68175 ай бұрын

    Dawa ya mchawi sio mchawi. Wote wa moja hao. Turudini kwa mungu Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassalm iatufundisha kinga za wachawi. Ni kujifunza

  • @PiiiNickson-wi1ld
    @PiiiNickson-wi1ld Жыл бұрын

    Naipenda kigoma yangu

  • @ShabaniKakongo-gy4eb
    @ShabaniKakongo-gy4eb10 ай бұрын

    Hao wanao shangilia na wachawi wapo apo apo😂

  • @christinakomba689

    @christinakomba689

    7 ай бұрын

    😂

  • @AlphaMosses-vy4ed

    @AlphaMosses-vy4ed

    7 ай бұрын

    😢

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu140310 ай бұрын

    Uchawi Upo Niliwai Kuona Mtu Kalukiwa Na Paka Kamkwaluza Kodogo2 Mtu Ajachukua Muda Kifo Kama Kalala Vile Uchawi Upo Mtume Muhamadi Na Yesu Wote Wanajua Uwepo Wa Uchawi Uchawi Upo Dawa Moja2 Waganga Na Wachawi Wapambane Anayeshinda Apewe Kibali Na Serikali Hata Akiwa Mchawi Apewe Kibali Na Waganga Wafutiwe Vibali Ikiwa Wachawi Watakua Na Nguvu

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman89639 ай бұрын

    Subhana Allah

  • @molengoodlever5561
    @molengoodlever556111 ай бұрын

    Waafrika hatuna akili wangekuja wazungu mungekubali nania ambaye haujui uchawi

  • @PeterYeremia
    @PeterYeremia7 ай бұрын

    Ahaa kigoma nomaa nilikuwa nampango wakuoa uko lakini stkiii uchawii

  • @saidissa4741
    @saidissa47419 ай бұрын

    Mh! Bora hta nlikimbilia mjin mapema🤗

  • @FortinatusWangubo-dt3sd
    @FortinatusWangubo-dt3sd10 ай бұрын

    Mrudieni mungu na mungu atawakomboa na kuwapumuzisha na mizigo hiyo mizito

  • @shabaniramadhani8891

    @shabaniramadhani8891

    3 ай бұрын

    Kwan Mungu haioni

  • @yesesimoni
    @yesesimoni7 ай бұрын

    Mungu awahurumie wote mnao andamana mludieni Mungu na sio waganga

  • @Flexboy200
    @Flexboy20010 ай бұрын

    wachawi nao wafe.............ili sisi nasi tuweze kuendelea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @amanimanase8798
    @amanimanase879810 ай бұрын

    Aisee watanzania wamejawa na imani mbaya sana

  • @mohamedaidani6477
    @mohamedaidani64778 ай бұрын

    Hapo safi safisha uchafu

  • @user-jv4gm5qd8h
    @user-jv4gm5qd8h6 ай бұрын

    Uchawi hauwezi kukomeshwa na kamchape, kamchape na wachawi nikitukimoja, nisawa na nyani na ngedele, Ushauri wangu wananchi wa sunuka wapelekewe watumishi WA MUNGU wahubiri Injili hapo siku 7 ndiyo Dawa ya kukomesha Uchawi Bayii

  • @siliviamaneno2905
    @siliviamaneno29057 ай бұрын

    Wana Kira a wenyewe haa mwaiposa kazi imefika kweri kigoma wanakurana

  • @user-ob8on5vj2s
    @user-ob8on5vj2s6 ай бұрын

    Hongera Baba WA taifa

  • @mahugoramazanibenoit1843
    @mahugoramazanibenoit18437 ай бұрын

    Apa congp drc mjini uvira,baraka, fizi yote ilishawahi kufanyika lakini wakuhisha .

  • @mrizzo-qy6gc
    @mrizzo-qy6gc3 ай бұрын

    Wachawi wengi wana toka kongo nauchawi wao ndomaàna wachawi hawa ishi kigoma

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu6 ай бұрын

    Badala mlete watumish WA mungu nnaleta washirik wenzao

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg9 ай бұрын

    Kwa kweli, Mungu amsaidie jamani.

  • @officialmrangi5517
    @officialmrangi55177 ай бұрын

    Na mimi ntakuja kutoa we ngoja

  • @user-gu7mh7cz7x
    @user-gu7mh7cz7x7 ай бұрын

    Achen wachape jmn tumechoka kufungiwa liziki nawachawi tumechoka kurogwa hao wanao kata wakinakamchape hawajarogwa ndomaana mnasema😏sublin mrogwe ndo mtawakumbuka wakina kamchape😁😁wengine ndugu zao wachawi wanakata aibu ndomaana wanapinga maswara yakuchap😂😂mbuz nyinyi wakiangaz😂

  • @user-ze5yc9fl2z
    @user-ze5yc9fl2z10 ай бұрын

    Jamani SI mnge mwita mtumishi WA mungu mwamposa WA chawi waokoke

  • @stanslausmteme8455

    @stanslausmteme8455

    9 ай бұрын

    Akikanyaga tu hiyo ardhi anakufa yeye

  • @shabaniramadhani8891

    @shabaniramadhani8891

    3 ай бұрын

    Dar kuna wachawi wangap mwamposa hawajawashika . Mwamposa anawafanya vipofu waone mbona shule za vipofu zinaongezeka mzee tumia akili

  • @alistidesrugazia4680
    @alistidesrugazia468010 ай бұрын

    Tanzania BDO sana sijui kama tutafuka salama, police mnasimamia Hilo zoezi kweli, serikali siahamini uchawi imekuwaje waungwana?

  • @user-vz8if8nd6m
    @user-vz8if8nd6m Жыл бұрын

    Waje na huku tumechoka mtu kuugua kichwa na kufariki

  • @rubenigaudence4940

    @rubenigaudence4940

    9 ай бұрын

    Ni wapi huko kwenu

  • @EphataPallangyo
    @EphataPallangyo7 ай бұрын

    Usiache mwanamke mchaw ahish neno last mungo linasema😂

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara30387 ай бұрын

    Hao wachawi waende vitani yukreni

  • @user-xo9nu9qr4q
    @user-xo9nu9qr4q9 ай бұрын

    Mmm uchawi safali hii

  • @davisjavan2892
    @davisjavan28926 ай бұрын

    Mambo... poa

  • @MobigoMobigo-io5re
    @MobigoMobigo-io5re2 ай бұрын

    Dada anaongea huyo nakumbuka nilisoma naye sunuka sec.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo626310 ай бұрын

    Safi sana Mkuu wa wilaya kwa msimamo thabiti usiyoyumba!

  • @khajisokoni3790

    @khajisokoni3790

    6 ай бұрын

    Wee utakuwa mchawii

  • @MohdMwigongo
    @MohdMwigongo8 ай бұрын

    Uchawi upo ila hao waganga walikosea kupita nyumba Hadi nyumba hao wachawi niwakutegatu sehemu ukawatia Aibu

  • @user-ny7yi6dq2p
    @user-ny7yi6dq2p7 ай бұрын

    Ni kweli wanatutesa Sana na znz waje 8:53

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid232010 ай бұрын

    Usiombe yakupate yaliyowapata watu wako

  • @user-ph9od1ug1g
    @user-ph9od1ug1g11 ай бұрын

    Nimetaman kijijin kwetu tatizo ni hilo tu uchawi.mimi ni nimezaliwa hapo niesomea hapo

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa9 ай бұрын

    Mashujaa oyeeeeee 😂😂

  • @user-ny7yi6dq2p
    @user-ny7yi6dq2p7 ай бұрын

    Ni kweli ata znz yapo na huku waje

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias90845 ай бұрын

    Likikujumba ndio utajua mbichi au mbivh

  • @OnesmoDenis
    @OnesmoDenis3 ай бұрын

    We unajua tu ila sema unasimamia sheria

  • @fredrickyakobo
    @fredrickyakobo11 ай бұрын

    Mtumaini Mungu aliye hai,, ndiye mokozi wet na ni mweza wa vyote acheni kuamin Imani za kishirikina.. MUNGU YUPO

  • @HappynesJames
    @HappynesJames7 ай бұрын

    Hao waganga nataka wafike kwetu mwanza watu wa mwanza nao wameshindikana kwa mambo ya uchawi

  • @FRANKGOLIATH
    @FRANKGOLIATH7 ай бұрын

    Serikali yetu iamini tu kama uchawi upo

  • @fastonsambo-du4rd
    @fastonsambo-du4rd8 ай бұрын

    Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake ufalme wake utakiwa umefitinika.

  • @user-ej5xy8kb2t
    @user-ej5xy8kb2t10 ай бұрын

    Jamani naombanije nitoe msada na mm

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila92909 ай бұрын

    Hatari 🔥

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын

    Hawa wapo karne ya ngapi ninyi huo ni umasini tu unawasumbua mpe Yesu maisha yenu muone wataroga nina

  • @user-ob8on5vj2s
    @user-ob8on5vj2s6 ай бұрын

    Hawana ukweli matapeli tu

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn890011 ай бұрын

    Je? Mmewezaje kuwasaidia wanaofanyiwa huo uchawi ? Hatakama serikali haiamini uchawi mnawasaidiaje hao wanaologwa

  • @user-qk6xi8fb9d
    @user-qk6xi8fb9d8 ай бұрын

    Mungu atuhurumie

  • @kajorogang
    @kajorogang10 ай бұрын

    Naipenda Kigoma yangu

  • @NASSORRAMADHANI

    @NASSORRAMADHANI

    Ай бұрын

    Oy kajorogong

  • @kajorogang

    @kajorogang

    Ай бұрын

    @@NASSORRAMADHANI niaje man

  • @nelliejerotiich551
    @nelliejerotiich55110 ай бұрын

    Hapo hakuna uchawi. Kama wapi hebu Zima kipasa sauti/ mike au sitima ndo tuwatambue. We pray for you people of Kigoma. May u know the true and only savoir Jesus.

  • @user-mk9mq7us5y
    @user-mk9mq7us5y6 ай бұрын

    Hakuna tofauti ya mchawi na mganga hiyo ni sekta moja dawa yenu ni kuokoka tu. Yesu alikuja kwajili ya hayo. Selikali haiamini uchawi wala uganga. Matapeli. Huo ni uchonganishi mkubwa. 12:18

  • @shabaniramadhani8891

    @shabaniramadhani8891

    3 ай бұрын

    Kama yesu alikuja kwa ajili ya hayo mbona Bado yapo mzee

  • @user-ok5cv2ux2z
    @user-ok5cv2ux2z8 ай бұрын

    Wachapwe

  • @Pastorsteverotali
    @Pastorsteverotali10 ай бұрын

    ILI KUKOMESHA UCHAWI NI KUOKOKA NA KUMWAMINI YESU NGUVU ZA UCHAWI ZITAKOMA, UKIMCHUKUA MCHAWI MKUBWA UTATULIZA TU ILA WOTE HAO NI WACHAWI, TOFAUTI YA MAKABILA YA KICHAWI TU. OKOKENI OKOKENI

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas4 ай бұрын

    Et selekali haiamini uchawi wakati hata wao niwashirikina baazi yao wanashinda kwa wanganga

  • @RUKAIYAHEMEDI-sf5oo
    @RUKAIYAHEMEDI-sf5oo10 ай бұрын

    Hao waganga tunaomba wafike kwetu jamn mkoa wakilimanjaro wilaya yamwanga vijana hatuendelei makopera kama yote

  • @omarymwenebatu
    @omarymwenebatu7 ай бұрын

    Tatizo serekali ahiwezi ikakubaliana nahilo kwasababu wanaohilinda serekali nihaohao wachawi kwanza kabla yakuja huyo mkuu wa wilaya amepitia kwao ili wamtengeneze unasema yakwamba amlitambui nikweli nilazima usemehivo kwasababu nyie ndio wachawi wakwanza imeona likiendelea litawafikia nanyie bora mlikataze.

  • @user-dh8zf3ky3v
    @user-dh8zf3ky3v9 ай бұрын

    Waha ni kiboko

  • @FRANKGOLIATH
    @FRANKGOLIATH7 ай бұрын

    Waje na huku

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara88458 ай бұрын

    Kigoma Bado tukonyuma sanna ushirikina time endekeza niwapi ambapo watuhawafi

  • @sabatosabibi8791
    @sabatosabibi8791 Жыл бұрын

    Acha watumbuliwe wachawi wapo hata biblia inakubali uchawi upo baraki na balam

  • @lazarousmk-ck6pz
    @lazarousmk-ck6pz8 ай бұрын

    Kama sijakosea Kuna mwaka mkuu wa nchi aliruhusu lambalamba kukamata hiyo mizigo kutoka kwa wachawi nime miss yule raisi angekuwepo mabo yangekuwa sawa

  • @khajisokoni3790
    @khajisokoni37906 ай бұрын

    Selikali bwana

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard659311 ай бұрын

    Kiboko ya uchawi ni Yesu tu mim naamin watumish Wa Mungu wapo huko Mpeni Yesu Maisha Yenu hao waganga na hao wachawi jambo lao nimoja ucku wanakutana kuwaloga vizur

  • @Simonirafael-wt4lc

    @Simonirafael-wt4lc

    10 ай бұрын

    Sasa Hawa wanasumbuka bure mchawi na mganga nihaohao yesu pekeyake ndiemganga yesu nimwanga uangazao

  • @kapingalucy2707

    @kapingalucy2707

    9 ай бұрын

    En YESU Ndie kimbilio Leto ,Maana Imeandikwa Akuna uganga Juu ya Israel Wala Hakuna Uchawi Juu ya Israel.

  • @abeliantony7085
    @abeliantony708510 ай бұрын

    Mnaokataa uchawi wakati wa sungusungu mlikuwa bado wadogo? Wachawi walikuwa wanachapwa hadi wanafata matunguli yao halafu nyie mnasema uchawi haupo?

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын

    Juzi tumerudi kutoka kin'gombe rukwa hukohuko kijiji kizima kilitaharuki mhangaika na kamchape ndo wachawi haohao chukua namba tunakuja tupo dar

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын

    Kwani hao viongozi hawatoki miongoni mwa hawa wananchi hawajui uchawi wa ache ujinga

  • @mussabuhe8881
    @mussabuhe888111 ай бұрын

    mrogeni na huyu mama wachawi oyeeee anzeni na huyu mama nawapenda sana wachawi

  • @kasimkassam9565

    @kasimkassam9565

    10 ай бұрын

    We noma wachawi oyeeeeeee

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg9 ай бұрын

    Jamani!!!.

  • @samoramussa5336
    @samoramussa533610 ай бұрын

    Naomba niwaulize ngugu zangu hivi mchawi anaweza kutoa mchawi? poleni sana MUNGU pekee ndie anaweza kutoa nakukomesha uchawi kabisa hiyo ndio dawa pekee ya uchawi. Mpole bhatama.

  • @jestonelazaro6543
    @jestonelazaro654311 ай бұрын

    Mwampoza akienda huku atarudi hata benk mzigo umehama

  • @Zepequeno-ln1ot
    @Zepequeno-ln1ot8 ай бұрын

    nyinyi mnazuia ujingaa kama hayo mambo yangeyakuteni nyie

  • @RichardJailo-pp7kj
    @RichardJailo-pp7kj11 ай бұрын

    Yan watanzania du

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын

    Hata kala tumeenda pale kasante jpili watu wanatoka kwenye misa wanapitq kwenye mkutano wetu wananguka mapepo kijiji kizima hekaheka waulize kala rambaramba ni matapeli wenye viini macho tu

  • @bolingodominic
    @bolingodominic11 ай бұрын

    Watu wanatolewa wameshaharibika unawaona kabisa, harafu unasema ushirikina. Hiyo ni sayansi acheni ujinga

  • @user-pe2vl2sv9y
    @user-pe2vl2sv9y10 ай бұрын

    Njia kuu ya kushindana nanguvu za giza na uchawi ni jina la YESU Bwana wa majeshi MUNGU kabila la simba wa Yuda

  • @fitinabwashi8487
    @fitinabwashi84878 ай бұрын

    Sunuka papaya kweli

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын

    Hawa hawataki Mungu wanataka shetani

  • @michaelmaja-1699
    @michaelmaja-16999 ай бұрын

    Huyo mkuu wa wilaya ni wa kutom... kwanza ataaminitu kwamba uchawi upo.

  • @karimabdall5322
    @karimabdall53228 ай бұрын

    Mienamini,kua uchawi,upo.wanaichiwacheniwafanyekaziyawo.umumeogopakuwanadaniyaviyogazikupatikanawachaw?

  • @imaniabubakari6351
    @imaniabubakari63519 ай бұрын

    Wachawi wahame acha msako uenderee ttz naviongozi wawilaya mnaogopa kulogwa ndomaana mme onakama hiyo opreshni nitatz jeee wakisidi kuuwawa wananchi kishirikina nawananchi wakagoma kua wanazika mtafanyaje maana wamechoka kuzika migomba nawewe unae wakingia kifua wachawi endapo wamekufa wananchi wote utamwongoza nani

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti504010 ай бұрын

    Wachawi mligeni mkuu was wilaya ajue uchawi upo

  • @user-rh7lv6hp4k
    @user-rh7lv6hp4k7 ай бұрын

    Inatakiwa wachapwe hawo ndiyo wanafanya mambo yasiende

  • @BaruaniAlly
    @BaruaniAlly9 ай бұрын

    Au Kati ya wa

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah58616 ай бұрын

    Je shetani aweza kumtoa shetani???Soma Marko.Mtu asiwadanganye

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh7 ай бұрын

    Kwaiyo wewe unapenda kufatu

  • @manyotamussa1328
    @manyotamussa132811 ай бұрын

    Achane kutetea ushirikna hao askar wanakupendeni

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu140310 ай бұрын

    Polisi Acheni Kubabaisha Watu Uchawi Upo Sema Waganga Waanze Na Mkuu Wa Wilaya Asiwepo Serikalini Wenda Ndio Mwanga Mwenywe Wa Wilaya Kwanini Azuie Mila Za Kaline Na Kaline

  • @SA-xj8hc

    @SA-xj8hc

    10 ай бұрын

    😂😂😂 dope

  • @fridagustaphmwenda6658

    @fridagustaphmwenda6658

    10 ай бұрын

    Na ukiona mtu anatetea mchawi ujue kundi moja

  • @erastoshulitse5865
    @erastoshulitse586511 ай бұрын

    Hujalogwa

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka488411 ай бұрын

    Tatizo kubwa ni ukosefu wa elimu katika wilaya ya Uvinza.Watoto wengi hawapati elimu ya shule ya Msingi na sekondari.Shule za Msingi na sekondari ni chache sana ukilinganisha na idadi ya watoto.Kwa mfano, kata moja yenye vijiji 7 vikubwa ina sekondari moja tu. Napendekeza njia hizi ili kuondoa au kupunguza ushirikina na uchawi wilayani Uvinza na Kigoma kwa ujumla:1. Kujengwa shule za Msingi na sekondari nyingi 2. Kuhamasisha watoto kusoma shule za Msingi na sekondari 3.Viongozi wa Dini kuhubiri na kukemea sana Imani za ushirikina na uchawi.4.serikali ya wilaya kufanya vikao na wazee mbalimbali katika kata katika kupinga Imani za ushirikina na uchawi.

  • @modestusmayowa-vc4gj

    @modestusmayowa-vc4gj

    9 ай бұрын

    Uko sahih kabsa.....!! 🙌

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu140310 ай бұрын

    Watu Wanakesha Kwa Waganga Kukatwa Chale Kisa Uchawi

  • @JumaLaiza
    @JumaLaiza10 ай бұрын

    Wasomi wengi ndiyo wachawi wakubwa sana

  • @barakaalfonce
    @barakaalfonce11 ай бұрын

    Hauwezi kuzuia giga kwa Giza Bali Bali utaishinda kwa Nuru mwamposa yupo kigoma nendeni kawakamate waganga na wachawi

  • @kajorogang

    @kajorogang

    10 ай бұрын

    Anaogopa kufa, wew unasema yu kwa kuwa hayajawahi kukukuta. Me nilitoroka nyumbani, vijana wenzangu wote wameshafariki

  • @KawezaSeleman-fq6nl
    @KawezaSeleman-fq6nl11 ай бұрын

    Haiamini rakini mnawaganga wenu sasa kwawezenu ndio haijui uchawi

Келесі