Ujue me nashangaa sana serikali yetu Kila mwenye kitengo anamganga wake anaogopa kurogwa ila haamini uchawi yaani nchi haiamini uchawi ila viongozi wa serikali wanawaganga wao aseee
Duh kazi kweli huko ni Bora wachapwe wachawi wanaharibu nguvu kazi ya taifa letu.
@OmarKibwana-dx6gu6 ай бұрын
Acheni ushirikina mrudieni mungu ALLAH ndio kila kitu.
@KenethNdingo-tm2gc11 ай бұрын
Aseee kweli mungu awajalie wamuombe mungu imani hiyo ni mbaya.itafarakinisha wananchi .
@CharlesMapua
7 ай бұрын
Oya we mwangaaaa nn
@jakobongwara30387 ай бұрын
Hahaha mpango wauzazi ndio chanzo
@JAFFARINANGUJA4 ай бұрын
Inabidi serekari ikubari wGanga wasafishe
@zulekhaa68175 ай бұрын
Dawa ya mchawi sio mchawi. Wote wa moja hao. Turudini kwa mungu Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassalm iatufundisha kinga za wachawi. Ni kujifunza
@PiiiNickson-wi1ld Жыл бұрын
Naipenda kigoma yangu
@ShabaniKakongo-gy4eb10 ай бұрын
Hao wanao shangilia na wachawi wapo apo apo😂
@christinakomba689
7 ай бұрын
😂
@AlphaMosses-vy4ed
7 ай бұрын
😢
@awadhrajabu140310 ай бұрын
Uchawi Upo Niliwai Kuona Mtu Kalukiwa Na Paka Kamkwaluza Kodogo2 Mtu Ajachukua Muda Kifo Kama Kalala Vile Uchawi Upo Mtume Muhamadi Na Yesu Wote Wanajua Uwepo Wa Uchawi Uchawi Upo Dawa Moja2 Waganga Na Wachawi Wapambane Anayeshinda Apewe Kibali Na Serikali Hata Akiwa Mchawi Apewe Kibali Na Waganga Wafutiwe Vibali Ikiwa Wachawi Watakua Na Nguvu
@mohammadoman89639 ай бұрын
Subhana Allah
@molengoodlever556111 ай бұрын
Waafrika hatuna akili wangekuja wazungu mungekubali nania ambaye haujui uchawi
@PeterYeremia7 ай бұрын
Ahaa kigoma nomaa nilikuwa nampango wakuoa uko lakini stkiii uchawii
@saidissa47419 ай бұрын
Mh! Bora hta nlikimbilia mjin mapema🤗
@FortinatusWangubo-dt3sd10 ай бұрын
Mrudieni mungu na mungu atawakomboa na kuwapumuzisha na mizigo hiyo mizito
@shabaniramadhani8891
3 ай бұрын
Kwan Mungu haioni
@yesesimoni7 ай бұрын
Mungu awahurumie wote mnao andamana mludieni Mungu na sio waganga
@Flexboy20010 ай бұрын
wachawi nao wafe.............ili sisi nasi tuweze kuendelea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@amanimanase879810 ай бұрын
Aisee watanzania wamejawa na imani mbaya sana
@mohamedaidani64778 ай бұрын
Hapo safi safisha uchafu
@user-jv4gm5qd8h6 ай бұрын
Uchawi hauwezi kukomeshwa na kamchape, kamchape na wachawi nikitukimoja, nisawa na nyani na ngedele, Ushauri wangu wananchi wa sunuka wapelekewe watumishi WA MUNGU wahubiri Injili hapo siku 7 ndiyo Dawa ya kukomesha Uchawi Bayii
@siliviamaneno29057 ай бұрын
Wana Kira a wenyewe haa mwaiposa kazi imefika kweri kigoma wanakurana
@user-ob8on5vj2s6 ай бұрын
Hongera Baba WA taifa
@mahugoramazanibenoit18437 ай бұрын
Apa congp drc mjini uvira,baraka, fizi yote ilishawahi kufanyika lakini wakuhisha .
@mrizzo-qy6gc3 ай бұрын
Wachawi wengi wana toka kongo nauchawi wao ndomaàna wachawi hawa ishi kigoma
@FrolahRimo-cm3tu6 ай бұрын
Badala mlete watumish WA mungu nnaleta washirik wenzao
Jamani SI mnge mwita mtumishi WA mungu mwamposa WA chawi waokoke
@stanslausmteme8455
9 ай бұрын
Akikanyaga tu hiyo ardhi anakufa yeye
@shabaniramadhani8891
3 ай бұрын
Dar kuna wachawi wangap mwamposa hawajawashika . Mwamposa anawafanya vipofu waone mbona shule za vipofu zinaongezeka mzee tumia akili
@alistidesrugazia468010 ай бұрын
Tanzania BDO sana sijui kama tutafuka salama, police mnasimamia Hilo zoezi kweli, serikali siahamini uchawi imekuwaje waungwana?
@user-vz8if8nd6m Жыл бұрын
Waje na huku tumechoka mtu kuugua kichwa na kufariki
@rubenigaudence4940
9 ай бұрын
Ni wapi huko kwenu
@EphataPallangyo7 ай бұрын
Usiache mwanamke mchaw ahish neno last mungo linasema😂
@jakobongwara30387 ай бұрын
Hao wachawi waende vitani yukreni
@user-xo9nu9qr4q9 ай бұрын
Mmm uchawi safali hii
@davisjavan28926 ай бұрын
Mambo... poa
@MobigoMobigo-io5re2 ай бұрын
Dada anaongea huyo nakumbuka nilisoma naye sunuka sec.
@sylvestercameo626310 ай бұрын
Safi sana Mkuu wa wilaya kwa msimamo thabiti usiyoyumba!
@khajisokoni3790
6 ай бұрын
Wee utakuwa mchawii
@MohdMwigongo8 ай бұрын
Uchawi upo ila hao waganga walikosea kupita nyumba Hadi nyumba hao wachawi niwakutegatu sehemu ukawatia Aibu
@user-ny7yi6dq2p7 ай бұрын
Ni kweli wanatutesa Sana na znz waje 8:53
@mswakisaid232010 ай бұрын
Usiombe yakupate yaliyowapata watu wako
@user-ph9od1ug1g11 ай бұрын
Nimetaman kijijin kwetu tatizo ni hilo tu uchawi.mimi ni nimezaliwa hapo niesomea hapo
@AminaLibisa9 ай бұрын
Mashujaa oyeeeeee 😂😂
@user-ny7yi6dq2p7 ай бұрын
Ni kweli ata znz yapo na huku waje
@nicolauselias90845 ай бұрын
Likikujumba ndio utajua mbichi au mbivh
@OnesmoDenis3 ай бұрын
We unajua tu ila sema unasimamia sheria
@fredrickyakobo11 ай бұрын
Mtumaini Mungu aliye hai,, ndiye mokozi wet na ni mweza wa vyote acheni kuamin Imani za kishirikina.. MUNGU YUPO
@HappynesJames7 ай бұрын
Hao waganga nataka wafike kwetu mwanza watu wa mwanza nao wameshindikana kwa mambo ya uchawi
@FRANKGOLIATH7 ай бұрын
Serikali yetu iamini tu kama uchawi upo
@fastonsambo-du4rd8 ай бұрын
Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake ufalme wake utakiwa umefitinika.
@user-ej5xy8kb2t10 ай бұрын
Jamani naombanije nitoe msada na mm
@venitarugemalila92909 ай бұрын
Hatari 🔥
@user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын
Hawa wapo karne ya ngapi ninyi huo ni umasini tu unawasumbua mpe Yesu maisha yenu muone wataroga nina
@user-ob8on5vj2s6 ай бұрын
Hawana ukweli matapeli tu
@kennedyjohn890011 ай бұрын
Je? Mmewezaje kuwasaidia wanaofanyiwa huo uchawi ? Hatakama serikali haiamini uchawi mnawasaidiaje hao wanaologwa
@user-qk6xi8fb9d8 ай бұрын
Mungu atuhurumie
@kajorogang10 ай бұрын
Naipenda Kigoma yangu
@NASSORRAMADHANI
Ай бұрын
Oy kajorogong
@kajorogang
Ай бұрын
@@NASSORRAMADHANI niaje man
@nelliejerotiich55110 ай бұрын
Hapo hakuna uchawi. Kama wapi hebu Zima kipasa sauti/ mike au sitima ndo tuwatambue. We pray for you people of Kigoma. May u know the true and only savoir Jesus.
@user-mk9mq7us5y6 ай бұрын
Hakuna tofauti ya mchawi na mganga hiyo ni sekta moja dawa yenu ni kuokoka tu. Yesu alikuja kwajili ya hayo. Selikali haiamini uchawi wala uganga. Matapeli. Huo ni uchonganishi mkubwa. 12:18
@shabaniramadhani8891
3 ай бұрын
Kama yesu alikuja kwa ajili ya hayo mbona Bado yapo mzee
@user-ok5cv2ux2z8 ай бұрын
Wachapwe
@Pastorsteverotali10 ай бұрын
ILI KUKOMESHA UCHAWI NI KUOKOKA NA KUMWAMINI YESU NGUVU ZA UCHAWI ZITAKOMA, UKIMCHUKUA MCHAWI MKUBWA UTATULIZA TU ILA WOTE HAO NI WACHAWI, TOFAUTI YA MAKABILA YA KICHAWI TU. OKOKENI OKOKENI
@YorandaBonephas4 ай бұрын
Et selekali haiamini uchawi wakati hata wao niwashirikina baazi yao wanashinda kwa wanganga
@RUKAIYAHEMEDI-sf5oo10 ай бұрын
Hao waganga tunaomba wafike kwetu jamn mkoa wakilimanjaro wilaya yamwanga vijana hatuendelei makopera kama yote
@omarymwenebatu7 ай бұрын
Tatizo serekali ahiwezi ikakubaliana nahilo kwasababu wanaohilinda serekali nihaohao wachawi kwanza kabla yakuja huyo mkuu wa wilaya amepitia kwao ili wamtengeneze unasema yakwamba amlitambui nikweli nilazima usemehivo kwasababu nyie ndio wachawi wakwanza imeona likiendelea litawafikia nanyie bora mlikataze.
@user-dh8zf3ky3v9 ай бұрын
Waha ni kiboko
@FRANKGOLIATH7 ай бұрын
Waje na huku
@mudhihirugara88458 ай бұрын
Kigoma Bado tukonyuma sanna ushirikina time endekeza niwapi ambapo watuhawafi
@sabatosabibi8791 Жыл бұрын
Acha watumbuliwe wachawi wapo hata biblia inakubali uchawi upo baraki na balam
@lazarousmk-ck6pz8 ай бұрын
Kama sijakosea Kuna mwaka mkuu wa nchi aliruhusu lambalamba kukamata hiyo mizigo kutoka kwa wachawi nime miss yule raisi angekuwepo mabo yangekuwa sawa
@khajisokoni37906 ай бұрын
Selikali bwana
@consolatamedard659311 ай бұрын
Kiboko ya uchawi ni Yesu tu mim naamin watumish Wa Mungu wapo huko Mpeni Yesu Maisha Yenu hao waganga na hao wachawi jambo lao nimoja ucku wanakutana kuwaloga vizur
@Simonirafael-wt4lc
10 ай бұрын
Sasa Hawa wanasumbuka bure mchawi na mganga nihaohao yesu pekeyake ndiemganga yesu nimwanga uangazao
@kapingalucy2707
9 ай бұрын
En YESU Ndie kimbilio Leto ,Maana Imeandikwa Akuna uganga Juu ya Israel Wala Hakuna Uchawi Juu ya Israel.
@abeliantony708510 ай бұрын
Mnaokataa uchawi wakati wa sungusungu mlikuwa bado wadogo? Wachawi walikuwa wanachapwa hadi wanafata matunguli yao halafu nyie mnasema uchawi haupo?
@user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын
Juzi tumerudi kutoka kin'gombe rukwa hukohuko kijiji kizima kilitaharuki mhangaika na kamchape ndo wachawi haohao chukua namba tunakuja tupo dar
@FilbertKalembe-fy4oq11 ай бұрын
Kwani hao viongozi hawatoki miongoni mwa hawa wananchi hawajui uchawi wa ache ujinga
@mussabuhe888111 ай бұрын
mrogeni na huyu mama wachawi oyeeee anzeni na huyu mama nawapenda sana wachawi
@kasimkassam9565
10 ай бұрын
We noma wachawi oyeeeeeee
@VioletNamz-tq4tg9 ай бұрын
Jamani!!!.
@samoramussa533610 ай бұрын
Naomba niwaulize ngugu zangu hivi mchawi anaweza kutoa mchawi? poleni sana MUNGU pekee ndie anaweza kutoa nakukomesha uchawi kabisa hiyo ndio dawa pekee ya uchawi. Mpole bhatama.
@jestonelazaro654311 ай бұрын
Mwampoza akienda huku atarudi hata benk mzigo umehama
@Zepequeno-ln1ot8 ай бұрын
nyinyi mnazuia ujingaa kama hayo mambo yangeyakuteni nyie
@RichardJailo-pp7kj11 ай бұрын
Yan watanzania du
@user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын
Hata kala tumeenda pale kasante jpili watu wanatoka kwenye misa wanapitq kwenye mkutano wetu wananguka mapepo kijiji kizima hekaheka waulize kala rambaramba ni matapeli wenye viini macho tu
@bolingodominic11 ай бұрын
Watu wanatolewa wameshaharibika unawaona kabisa, harafu unasema ushirikina. Hiyo ni sayansi acheni ujinga
@user-pe2vl2sv9y10 ай бұрын
Njia kuu ya kushindana nanguvu za giza na uchawi ni jina la YESU Bwana wa majeshi MUNGU kabila la simba wa Yuda
@fitinabwashi84878 ай бұрын
Sunuka papaya kweli
@user-gr9wc7bc2m10 ай бұрын
Hawa hawataki Mungu wanataka shetani
@michaelmaja-16999 ай бұрын
Huyo mkuu wa wilaya ni wa kutom... kwanza ataaminitu kwamba uchawi upo.
Inatakiwa wachapwe hawo ndiyo wanafanya mambo yasiende
@BaruaniAlly9 ай бұрын
Au Kati ya wa
@kisakanzotah58616 ай бұрын
Je shetani aweza kumtoa shetani???Soma Marko.Mtu asiwadanganye
@DamasAmos-ue2gh7 ай бұрын
Kwaiyo wewe unapenda kufatu
@manyotamussa132811 ай бұрын
Achane kutetea ushirikna hao askar wanakupendeni
@awadhrajabu140310 ай бұрын
Polisi Acheni Kubabaisha Watu Uchawi Upo Sema Waganga Waanze Na Mkuu Wa Wilaya Asiwepo Serikalini Wenda Ndio Mwanga Mwenywe Wa Wilaya Kwanini Azuie Mila Za Kaline Na Kaline
@SA-xj8hc
10 ай бұрын
😂😂😂 dope
@fridagustaphmwenda6658
10 ай бұрын
Na ukiona mtu anatetea mchawi ujue kundi moja
@erastoshulitse586511 ай бұрын
Hujalogwa
@thomasmmoka488411 ай бұрын
Tatizo kubwa ni ukosefu wa elimu katika wilaya ya Uvinza.Watoto wengi hawapati elimu ya shule ya Msingi na sekondari.Shule za Msingi na sekondari ni chache sana ukilinganisha na idadi ya watoto.Kwa mfano, kata moja yenye vijiji 7 vikubwa ina sekondari moja tu. Napendekeza njia hizi ili kuondoa au kupunguza ushirikina na uchawi wilayani Uvinza na Kigoma kwa ujumla:1. Kujengwa shule za Msingi na sekondari nyingi 2. Kuhamasisha watoto kusoma shule za Msingi na sekondari 3.Viongozi wa Dini kuhubiri na kukemea sana Imani za ushirikina na uchawi.4.serikali ya wilaya kufanya vikao na wazee mbalimbali katika kata katika kupinga Imani za ushirikina na uchawi.
@modestusmayowa-vc4gj
9 ай бұрын
Uko sahih kabsa.....!! 🙌
@awadhrajabu140310 ай бұрын
Watu Wanakesha Kwa Waganga Kukatwa Chale Kisa Uchawi
@JumaLaiza10 ай бұрын
Wasomi wengi ndiyo wachawi wakubwa sana
@barakaalfonce11 ай бұрын
Hauwezi kuzuia giga kwa Giza Bali Bali utaishinda kwa Nuru mwamposa yupo kigoma nendeni kawakamate waganga na wachawi
@kajorogang
10 ай бұрын
Anaogopa kufa, wew unasema yu kwa kuwa hayajawahi kukukuta. Me nilitoroka nyumbani, vijana wenzangu wote wameshafariki
@KawezaSeleman-fq6nl11 ай бұрын
Haiamini rakini mnawaganga wenu sasa kwawezenu ndio haijui uchawi
Пікірлер: 184
Ujue me nashangaa sana serikali yetu Kila mwenye kitengo anamganga wake anaogopa kurogwa ila haamini uchawi yaani nchi haiamini uchawi ila viongozi wa serikali wanawaganga wao aseee
@zuhurankoma6099
Жыл бұрын
Uchwi upoo serekali inaamini uchawi sema inavunga tuuu nawenyewe wachawiii
@sundaystanley5322
10 ай бұрын
Umeongea point sana
@michaelmaja-1699
9 ай бұрын
😂😂😂😂 inashangaza sana
@zainabuyassini3095
8 ай бұрын
Ni swala la mtu bonfi
Duh kazi kweli huko ni Bora wachapwe wachawi wanaharibu nguvu kazi ya taifa letu.
Acheni ushirikina mrudieni mungu ALLAH ndio kila kitu.
Aseee kweli mungu awajalie wamuombe mungu imani hiyo ni mbaya.itafarakinisha wananchi .
@CharlesMapua
7 ай бұрын
Oya we mwangaaaa nn
Hahaha mpango wauzazi ndio chanzo
Inabidi serekari ikubari wGanga wasafishe
Dawa ya mchawi sio mchawi. Wote wa moja hao. Turudini kwa mungu Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassalm iatufundisha kinga za wachawi. Ni kujifunza
Naipenda kigoma yangu
Hao wanao shangilia na wachawi wapo apo apo😂
@christinakomba689
7 ай бұрын
😂
@AlphaMosses-vy4ed
7 ай бұрын
😢
Uchawi Upo Niliwai Kuona Mtu Kalukiwa Na Paka Kamkwaluza Kodogo2 Mtu Ajachukua Muda Kifo Kama Kalala Vile Uchawi Upo Mtume Muhamadi Na Yesu Wote Wanajua Uwepo Wa Uchawi Uchawi Upo Dawa Moja2 Waganga Na Wachawi Wapambane Anayeshinda Apewe Kibali Na Serikali Hata Akiwa Mchawi Apewe Kibali Na Waganga Wafutiwe Vibali Ikiwa Wachawi Watakua Na Nguvu
Subhana Allah
Waafrika hatuna akili wangekuja wazungu mungekubali nania ambaye haujui uchawi
Ahaa kigoma nomaa nilikuwa nampango wakuoa uko lakini stkiii uchawii
Mh! Bora hta nlikimbilia mjin mapema🤗
Mrudieni mungu na mungu atawakomboa na kuwapumuzisha na mizigo hiyo mizito
@shabaniramadhani8891
3 ай бұрын
Kwan Mungu haioni
Mungu awahurumie wote mnao andamana mludieni Mungu na sio waganga
wachawi nao wafe.............ili sisi nasi tuweze kuendelea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aisee watanzania wamejawa na imani mbaya sana
Hapo safi safisha uchafu
Uchawi hauwezi kukomeshwa na kamchape, kamchape na wachawi nikitukimoja, nisawa na nyani na ngedele, Ushauri wangu wananchi wa sunuka wapelekewe watumishi WA MUNGU wahubiri Injili hapo siku 7 ndiyo Dawa ya kukomesha Uchawi Bayii
Wana Kira a wenyewe haa mwaiposa kazi imefika kweri kigoma wanakurana
Hongera Baba WA taifa
Apa congp drc mjini uvira,baraka, fizi yote ilishawahi kufanyika lakini wakuhisha .
Wachawi wengi wana toka kongo nauchawi wao ndomaàna wachawi hawa ishi kigoma
Badala mlete watumish WA mungu nnaleta washirik wenzao
Kwa kweli, Mungu amsaidie jamani.
Na mimi ntakuja kutoa we ngoja
Achen wachape jmn tumechoka kufungiwa liziki nawachawi tumechoka kurogwa hao wanao kata wakinakamchape hawajarogwa ndomaana mnasema😏sublin mrogwe ndo mtawakumbuka wakina kamchape😁😁wengine ndugu zao wachawi wanakata aibu ndomaana wanapinga maswara yakuchap😂😂mbuz nyinyi wakiangaz😂
Jamani SI mnge mwita mtumishi WA mungu mwamposa WA chawi waokoke
@stanslausmteme8455
9 ай бұрын
Akikanyaga tu hiyo ardhi anakufa yeye
@shabaniramadhani8891
3 ай бұрын
Dar kuna wachawi wangap mwamposa hawajawashika . Mwamposa anawafanya vipofu waone mbona shule za vipofu zinaongezeka mzee tumia akili
Tanzania BDO sana sijui kama tutafuka salama, police mnasimamia Hilo zoezi kweli, serikali siahamini uchawi imekuwaje waungwana?
Waje na huku tumechoka mtu kuugua kichwa na kufariki
@rubenigaudence4940
9 ай бұрын
Ni wapi huko kwenu
Usiache mwanamke mchaw ahish neno last mungo linasema😂
Hao wachawi waende vitani yukreni
Mmm uchawi safali hii
Mambo... poa
Dada anaongea huyo nakumbuka nilisoma naye sunuka sec.
Safi sana Mkuu wa wilaya kwa msimamo thabiti usiyoyumba!
@khajisokoni3790
6 ай бұрын
Wee utakuwa mchawii
Uchawi upo ila hao waganga walikosea kupita nyumba Hadi nyumba hao wachawi niwakutegatu sehemu ukawatia Aibu
Ni kweli wanatutesa Sana na znz waje 8:53
Usiombe yakupate yaliyowapata watu wako
Nimetaman kijijin kwetu tatizo ni hilo tu uchawi.mimi ni nimezaliwa hapo niesomea hapo
Mashujaa oyeeeeee 😂😂
Ni kweli ata znz yapo na huku waje
Likikujumba ndio utajua mbichi au mbivh
We unajua tu ila sema unasimamia sheria
Mtumaini Mungu aliye hai,, ndiye mokozi wet na ni mweza wa vyote acheni kuamin Imani za kishirikina.. MUNGU YUPO
Hao waganga nataka wafike kwetu mwanza watu wa mwanza nao wameshindikana kwa mambo ya uchawi
Serikali yetu iamini tu kama uchawi upo
Shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake ufalme wake utakiwa umefitinika.
Jamani naombanije nitoe msada na mm
Hatari 🔥
Hawa wapo karne ya ngapi ninyi huo ni umasini tu unawasumbua mpe Yesu maisha yenu muone wataroga nina
Hawana ukweli matapeli tu
Je? Mmewezaje kuwasaidia wanaofanyiwa huo uchawi ? Hatakama serikali haiamini uchawi mnawasaidiaje hao wanaologwa
Mungu atuhurumie
Naipenda Kigoma yangu
@NASSORRAMADHANI
Ай бұрын
Oy kajorogong
@kajorogang
Ай бұрын
@@NASSORRAMADHANI niaje man
Hapo hakuna uchawi. Kama wapi hebu Zima kipasa sauti/ mike au sitima ndo tuwatambue. We pray for you people of Kigoma. May u know the true and only savoir Jesus.
Hakuna tofauti ya mchawi na mganga hiyo ni sekta moja dawa yenu ni kuokoka tu. Yesu alikuja kwajili ya hayo. Selikali haiamini uchawi wala uganga. Matapeli. Huo ni uchonganishi mkubwa. 12:18
@shabaniramadhani8891
3 ай бұрын
Kama yesu alikuja kwa ajili ya hayo mbona Bado yapo mzee
Wachapwe
ILI KUKOMESHA UCHAWI NI KUOKOKA NA KUMWAMINI YESU NGUVU ZA UCHAWI ZITAKOMA, UKIMCHUKUA MCHAWI MKUBWA UTATULIZA TU ILA WOTE HAO NI WACHAWI, TOFAUTI YA MAKABILA YA KICHAWI TU. OKOKENI OKOKENI
Et selekali haiamini uchawi wakati hata wao niwashirikina baazi yao wanashinda kwa wanganga
Hao waganga tunaomba wafike kwetu jamn mkoa wakilimanjaro wilaya yamwanga vijana hatuendelei makopera kama yote
Tatizo serekali ahiwezi ikakubaliana nahilo kwasababu wanaohilinda serekali nihaohao wachawi kwanza kabla yakuja huyo mkuu wa wilaya amepitia kwao ili wamtengeneze unasema yakwamba amlitambui nikweli nilazima usemehivo kwasababu nyie ndio wachawi wakwanza imeona likiendelea litawafikia nanyie bora mlikataze.
Waha ni kiboko
Waje na huku
Kigoma Bado tukonyuma sanna ushirikina time endekeza niwapi ambapo watuhawafi
Acha watumbuliwe wachawi wapo hata biblia inakubali uchawi upo baraki na balam
Kama sijakosea Kuna mwaka mkuu wa nchi aliruhusu lambalamba kukamata hiyo mizigo kutoka kwa wachawi nime miss yule raisi angekuwepo mabo yangekuwa sawa
Selikali bwana
Kiboko ya uchawi ni Yesu tu mim naamin watumish Wa Mungu wapo huko Mpeni Yesu Maisha Yenu hao waganga na hao wachawi jambo lao nimoja ucku wanakutana kuwaloga vizur
@Simonirafael-wt4lc
10 ай бұрын
Sasa Hawa wanasumbuka bure mchawi na mganga nihaohao yesu pekeyake ndiemganga yesu nimwanga uangazao
@kapingalucy2707
9 ай бұрын
En YESU Ndie kimbilio Leto ,Maana Imeandikwa Akuna uganga Juu ya Israel Wala Hakuna Uchawi Juu ya Israel.
Mnaokataa uchawi wakati wa sungusungu mlikuwa bado wadogo? Wachawi walikuwa wanachapwa hadi wanafata matunguli yao halafu nyie mnasema uchawi haupo?
Juzi tumerudi kutoka kin'gombe rukwa hukohuko kijiji kizima kilitaharuki mhangaika na kamchape ndo wachawi haohao chukua namba tunakuja tupo dar
Kwani hao viongozi hawatoki miongoni mwa hawa wananchi hawajui uchawi wa ache ujinga
mrogeni na huyu mama wachawi oyeeee anzeni na huyu mama nawapenda sana wachawi
@kasimkassam9565
10 ай бұрын
We noma wachawi oyeeeeeee
Jamani!!!.
Naomba niwaulize ngugu zangu hivi mchawi anaweza kutoa mchawi? poleni sana MUNGU pekee ndie anaweza kutoa nakukomesha uchawi kabisa hiyo ndio dawa pekee ya uchawi. Mpole bhatama.
Mwampoza akienda huku atarudi hata benk mzigo umehama
nyinyi mnazuia ujingaa kama hayo mambo yangeyakuteni nyie
Yan watanzania du
Hata kala tumeenda pale kasante jpili watu wanatoka kwenye misa wanapitq kwenye mkutano wetu wananguka mapepo kijiji kizima hekaheka waulize kala rambaramba ni matapeli wenye viini macho tu
Watu wanatolewa wameshaharibika unawaona kabisa, harafu unasema ushirikina. Hiyo ni sayansi acheni ujinga
Njia kuu ya kushindana nanguvu za giza na uchawi ni jina la YESU Bwana wa majeshi MUNGU kabila la simba wa Yuda
Sunuka papaya kweli
Hawa hawataki Mungu wanataka shetani
Huyo mkuu wa wilaya ni wa kutom... kwanza ataaminitu kwamba uchawi upo.
Mienamini,kua uchawi,upo.wanaichiwacheniwafanyekaziyawo.umumeogopakuwanadaniyaviyogazikupatikanawachaw?
Wachawi wahame acha msako uenderee ttz naviongozi wawilaya mnaogopa kulogwa ndomaana mme onakama hiyo opreshni nitatz jeee wakisidi kuuwawa wananchi kishirikina nawananchi wakagoma kua wanazika mtafanyaje maana wamechoka kuzika migomba nawewe unae wakingia kifua wachawi endapo wamekufa wananchi wote utamwongoza nani
Wachawi mligeni mkuu was wilaya ajue uchawi upo
Inatakiwa wachapwe hawo ndiyo wanafanya mambo yasiende
Au Kati ya wa
Je shetani aweza kumtoa shetani???Soma Marko.Mtu asiwadanganye
Kwaiyo wewe unapenda kufatu
Achane kutetea ushirikna hao askar wanakupendeni
Polisi Acheni Kubabaisha Watu Uchawi Upo Sema Waganga Waanze Na Mkuu Wa Wilaya Asiwepo Serikalini Wenda Ndio Mwanga Mwenywe Wa Wilaya Kwanini Azuie Mila Za Kaline Na Kaline
@SA-xj8hc
10 ай бұрын
😂😂😂 dope
@fridagustaphmwenda6658
10 ай бұрын
Na ukiona mtu anatetea mchawi ujue kundi moja
Hujalogwa
Tatizo kubwa ni ukosefu wa elimu katika wilaya ya Uvinza.Watoto wengi hawapati elimu ya shule ya Msingi na sekondari.Shule za Msingi na sekondari ni chache sana ukilinganisha na idadi ya watoto.Kwa mfano, kata moja yenye vijiji 7 vikubwa ina sekondari moja tu. Napendekeza njia hizi ili kuondoa au kupunguza ushirikina na uchawi wilayani Uvinza na Kigoma kwa ujumla:1. Kujengwa shule za Msingi na sekondari nyingi 2. Kuhamasisha watoto kusoma shule za Msingi na sekondari 3.Viongozi wa Dini kuhubiri na kukemea sana Imani za ushirikina na uchawi.4.serikali ya wilaya kufanya vikao na wazee mbalimbali katika kata katika kupinga Imani za ushirikina na uchawi.
@modestusmayowa-vc4gj
9 ай бұрын
Uko sahih kabsa.....!! 🙌
Watu Wanakesha Kwa Waganga Kukatwa Chale Kisa Uchawi
Wasomi wengi ndiyo wachawi wakubwa sana
Hauwezi kuzuia giga kwa Giza Bali Bali utaishinda kwa Nuru mwamposa yupo kigoma nendeni kawakamate waganga na wachawi
@kajorogang
10 ай бұрын
Anaogopa kufa, wew unasema yu kwa kuwa hayajawahi kukukuta. Me nilitoroka nyumbani, vijana wenzangu wote wameshafariki
Haiamini rakini mnawaganga wenu sasa kwawezenu ndio haijui uchawi