WACHEZAJI WA ZAMANI YANGA WALIVYOZUNGUMZA MBELE YA RAIS ENG. HERSI

Спорт

#daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Пікірлер: 84

  • @pungwem4306
    @pungwem4306Ай бұрын

    Salamu kwa wana Yanga wote duniani kote. Nawasalimu kutoka Sweden hongera timu kubwa ❤❤❤❤🇨🇩⚘️⚘️⚘️💯

  • @augustinemainde
    @augustinemaindeАй бұрын

    Hongera Rais wetu na viongozi wetu Mungu awabariki

  • @user-hx9no2bf8o
    @user-hx9no2bf8oАй бұрын

    1. Willy Martin 2. Willy Mtendamema 3.Athuman Chama 4. Steven Names 5. Ken Mkapa 6. Aly Mayayi 7.Thomas Kipese

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523Ай бұрын

    Namuona Mama Fatma Karume Kafurahi, Safi sana 🎉🎉🎉❤😂

  • @AgostinoRaulent
    @AgostinoRaulentАй бұрын

    Tukiendelea na mshikamano huu tutafika mbali katika mashindano ya kimataifa mungu atubariki Wana yanga wote

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6gАй бұрын

    Dah,safi sn, hii miamba nisinge ifahamu na kuwaona kama siyo leo

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wtАй бұрын

    Amazing saana 💚💛💯💥🌟⭐💫

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni427024 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko💛💚🖤💚💚💚🖤🖤💛💛💛

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977Ай бұрын

    Safi sana Babu na Baba zetu.. DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387Ай бұрын

    Safi sana ila ningeomba sana tuendelee kuimarisha timu yetu isishuke katika viwango vya kimataifa.love u yanga.daima mbele nyuma kwetu mwiko.

  • @joycembura2546

    @joycembura2546

    Ай бұрын

    😊

  • @user-sb9kt9mt4w
    @user-sb9kt9mt4wАй бұрын

    Attilio Kasuga. Nasema Bravo wananchi, sasa wameanza kusema. Sisi tutabaki kuwa sisi. AMEN!

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMririАй бұрын

    Hongereni sana kwa kubeba ubingwa Jamhuri ya TANZANIA. Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani nakuuliza hiki kinachofanyika tungeomba na kwa timu zingine Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.

  • @IsssaJafari
    @IsssaJafariАй бұрын

    Nanipenda yanga sc daima mbele nyuma mwiko wananchiiiiiiiiiiiii🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🔰🔰🔰

  • @user-hx9no2bf8o
    @user-hx9no2bf8oАй бұрын

    Simuoni Willy Mtendamema. Najua yuko dar hapo

  • @allysaidi-uy9rm
    @allysaidi-uy9rmАй бұрын

    Saf salvator edward

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3zАй бұрын

    Mungu awalinde benchi lote la yanga kila mtu kwa sekta yake

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7yАй бұрын

    Ila ally

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552Ай бұрын

    MUNGU AWALINDE VIONGOZI WETU WA YANGA PAMOJA NA BENCH LA UFUNDI NA WACHEZAJI WETU WOTE,🙏🙏🙏🙏

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani1138Ай бұрын

    Aisee Yanga nimewakubaliii kuwaita Haw wachezaj wa Zaman Hongera saaaana

  • @mrmartinipaul2464
    @mrmartinipaul2464Ай бұрын

    Mbona sijamsikia sande manara😢😢😢😢

  • @user-hx9no2bf8o
    @user-hx9no2bf8oАй бұрын

    Anwari Awardhi. Nakukumbuka niko primary ulipiga kona mechi kama mbili hivi zinaenda nyavuni moja kwa moja

  • @HenryCastuli-jz3cx

    @HenryCastuli-jz3cx

    Ай бұрын

    Anwari Awarhdi faray kayto namba ya kened mkapa

  • @AishaAisha-vf2ug
    @AishaAisha-vf2ugАй бұрын

    Huyo lunyamila alikuwa anacheza mpira hatali tunaomba michezo iwe ya amani

  • @MaikoHakimu
    @MaikoHakimuАй бұрын

    Kwel siku zinaenda hawa watu walikua hatar sna

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3gАй бұрын

    Sander manara mbona hayupo

  • @abdalakombo1595
    @abdalakombo1595Ай бұрын

    Hongereni sana Yanga lakini naomba muwakumbuke na wale wenzeti wagonjwa kama lila shomari

  • @ezekielsaid9536
    @ezekielsaid9536Ай бұрын

    Yanga bingwa mpk mwisho utawala wa engineer

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882Ай бұрын

    Edibil Jonas lunyamila👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏💯🙏🙏🙏🙏

  • @CharelesBugulo
    @CharelesBuguloАй бұрын

    Yanga haina mfano hapa tz

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455Ай бұрын

    ❤❤😮

  • @user-tb3xq2cu3o
    @user-tb3xq2cu3oАй бұрын

    Hongereni nyie wote mpenda mamy samia rais wetu mzr canaa lakini mpenda aly kamwe

  • @josiahnaftaeli7862
    @josiahnaftaeli7862Ай бұрын

    Edibil Jonas Lunyamila hii mashine mtu hatari sana

  • @idiidi-rq5gk

    @idiidi-rq5gk

    Ай бұрын

    Iunyamila wakijjn kwetu mkabogo

  • @SholaHawanga
    @SholaHawangaАй бұрын

    nimefurahishwa kumuona Anwar awadh

  • @edsonasifiwe2974
    @edsonasifiwe2974Ай бұрын

    Dah nilitaman kumuona ngasa na tegete eneo hili

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    Ай бұрын

    Umesahau alichokisema ngasa baada ya kuacha kuichezea Yanga wewe.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Ай бұрын

    lazima mtaizungumzia simba Tu

  • @hamiduomar1316
    @hamiduomar1316Ай бұрын

    Wenzetu mandundu wanawaza kufukuza uongoz waoo ss tukikutana watajuta 😂😂😂😂

  • @yusuphkiponza4542
    @yusuphkiponza4542Ай бұрын

    Safi🎉

  • @JumaDea
    @JumaDeaАй бұрын

    Ally

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763Ай бұрын

    Jamani Kenneth mkapa yuko wapi beki tatu wetu

  • @SiaRitiwi-x1w
    @SiaRitiwi-x1w29 күн бұрын

    Mwenyewe nilishawahi kuwafunga makolo

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1oАй бұрын

    Et wasifie viongozi bas jmn heshimwq haiombwi

  • @AishaAisha-vf2ug
    @AishaAisha-vf2ugАй бұрын

    Mbona mchanaji nyavu hapo hayupo

  • @kolosii4351
    @kolosii4351Ай бұрын

    Injinia waangalie hao wachezaji walioichezea yanga. Watakusaidia sana. It is very nice.

  • @hamiduomar1316

    @hamiduomar1316

    Ай бұрын

    Hii aidia ni mzr sn kuwakumbuka waasisi walioitumikia timu mpk walipostafuu ni heshima kubwa sn kwao na kujiona wanathamani kubwa ktk club

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763Ай бұрын

    Hata min ziro angekuwepo ni yanga dam jamani

  • @josephmalangalila9744
    @josephmalangalila9744Ай бұрын

    Kinye wapi

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171Ай бұрын

    😅😅😅😅mandundu oyeee

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Ай бұрын

    Hersi kumbe nae ni Mheshimiwa?

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    Ай бұрын

    Hata ww inategemea na ulpo.

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    13 күн бұрын

    Ndio ni mheshimiwa, anaongiza zaidi ya watu milioni 20, we unafikiri mchezo!!

  • @user-hx9no2bf8o
    @user-hx9no2bf8oАй бұрын

    Lunyamila 1993 uko n Kizota niliandika majina yenu kw nguo zangu

  • @benjakasiga5340
    @benjakasiga5340Ай бұрын

    duuuuuu mandundu, manyau nyau

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877Ай бұрын

    Ila Ali kamwe eti Kama alishawahi kuifunga simba😅😅😊

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887Ай бұрын

    Yuko wapi Sunday Manara na Kitwana Manara

  • @ReachOut3004
    @ReachOut3004Ай бұрын

    Kumbe wanaitwa Mandundwa sasa hivi na hata hamsemi

  • @shabanseleman3257
    @shabanseleman3257Ай бұрын

    Kwani lazima kusifia viongozi

  • @mosesmkoma6882
    @mosesmkoma6882Ай бұрын

    Kajina kapya kazuri (mandundu)

  • @Ba63828
    @Ba63828Ай бұрын

    Alikua na maana gani Ali Kamwe alipodai kuwa anafikiria jina la uwanja utakaojengwa jangwani? Je ina maama jina la kihistoria la Kaunda litabadilishwa? This is absurd and egregious.

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cxАй бұрын

    Edibil jonas lunyamila alikuwaga mwaba huyo na muhame husen chinga

  • @user-jg8bk6xh4l
    @user-jg8bk6xh4lАй бұрын

    Event ni yenu ila midomoni mwenu kilichowajaa ni Simba.

  • @matronamushi7021
    @matronamushi7021Ай бұрын

    Mandundu fc

  • @moseskamgwawa223
    @moseskamgwawa223Ай бұрын

    Yu wapi SUNDAY Manara ????#@??

  • @user-kz7nx8xe4e

    @user-kz7nx8xe4e

    Ай бұрын

    Mgonjwa

  • @moseskamgwawa223

    @moseskamgwawa223

    Ай бұрын

    Daaaah pole zangu nyingi, ikikumbushwa match ya nyamagana bila kumtaja SUNDAY tunakua hatujatenda haki

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qvАй бұрын

    ALI KAMWE ASAIVI UMEWIVA SAANA....

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3gАй бұрын

    Manara msaliti alifukuzwa

  • @moseskamgwawa223

    @moseskamgwawa223

    Ай бұрын

    What ????@@,

  • @user-vf7du4xz7x
    @user-vf7du4xz7xАй бұрын

    Yanga ni hatari

  • @AlfredEvarist
    @AlfredEvaristАй бұрын

    Hawa wazee hata wakicheza Leo na Simba ha2fungwi

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamiloАй бұрын

    Mafanikio gani wakati taarifa ya fedha inaonesha tumepata hasara zaidi ya Bilioni. Watu wanajineemesha uwanja hakuna miaka zaidi ya 80. Kuwa mabingwa Tanzania sio issu kikubwa ni uwekezaji mpya.

  • @user-tb3xq2cu3o
    @user-tb3xq2cu3oАй бұрын

    Ally kamwe

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215Ай бұрын

    kumbe wajina ABDALLAH SELEMANI yupo hahahhaa nimefurah sana 😅😅😅😅😅

  • @RaphaelStembela
    @RaphaelStembelaАй бұрын

    Naomba tutumie kauli ya yangaaaaa tuitikie mbele daima nyuma mwiko hii ya hoyee wengine. Hatuielewi maana inatumika kwenye sias za bongo

  • @josephmalangalila9744
    @josephmalangalila9744Ай бұрын

    Ngassa!

  • @JeyderNgendanyi
    @JeyderNgendanyiАй бұрын

    Unaweza ukadhani ni kikao cha ccm

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    13 күн бұрын

    Kwani ulikuwa hujui, Yanga ina ukaribu mkubwa na CCM, Kwa taarifa yako miaka Ile ya 1980s, ushangiliaji wa Yanga walipokuwa wakifunga goli walikuwa wakiimba CCM, CCM, CCM,,,,, kwahiyo redioni tulikuwa tukisikia kelele za CCM, CCM, CCM,,,tunajua tayari Yanga ishaua mtu,,,,,, kwahiyo usishangae kaka!

  • @allysaidi-uy9rm
    @allysaidi-uy9rmАй бұрын

    Hahahaha nimecheka kwa nguli wasoka shabani katwila kuwaita jiuzuli fc manyau nyau fc

  • @christianchamba7252
    @christianchamba7252Ай бұрын

    Pp

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866Ай бұрын

    sawa Muko kilele cha Mafanikio kilichobakia ni kushuka Tuu

  • @user-hb2nn6ud2d

    @user-hb2nn6ud2d

    Ай бұрын

    Kama mlivyo shuka nyie

  • @dennicekakazoba2437
    @dennicekakazoba2437Ай бұрын

    Amasha nakukubali nilibandika picha yako mlangoni kwa babu nikapigwa bakora.

Келесі