Salamu kwa wana Yanga wote duniani kote. Nawasalimu kutoka Sweden hongera timu kubwa ❤❤❤❤🇨🇩⚘️⚘️⚘️💯
@augustinemaindeАй бұрын
Hongera Rais wetu na viongozi wetu Mungu awabariki
@user-hx9no2bf8oАй бұрын
1. Willy Martin 2. Willy Mtendamema 3.Athuman Chama 4. Steven Names 5. Ken Mkapa 6. Aly Mayayi 7.Thomas Kipese
@husseynomar9523Ай бұрын
Namuona Mama Fatma Karume Kafurahi, Safi sana 🎉🎉🎉❤😂
@AgostinoRaulentАй бұрын
Tukiendelea na mshikamano huu tutafika mbali katika mashindano ya kimataifa mungu atubariki Wana yanga wote
@user-bp2cc9eo6gАй бұрын
Dah,safi sn, hii miamba nisinge ifahamu na kuwaona kama siyo leo
@PanchoValentino-wh7wtАй бұрын
Amazing saana 💚💛💯💥🌟⭐💫
@godfreysimoni427024 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko💛💚🖤💚💚💚🖤🖤💛💛💛
@zulfikakalumba1977Ай бұрын
Safi sana Babu na Baba zetu.. DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI
@ukuvukiland2387Ай бұрын
Safi sana ila ningeomba sana tuendelee kuimarisha timu yetu isishuke katika viwango vya kimataifa.love u yanga.daima mbele nyuma kwetu mwiko.
@joycembura2546
Ай бұрын
😊
@user-sb9kt9mt4wАй бұрын
Attilio Kasuga. Nasema Bravo wananchi, sasa wameanza kusema. Sisi tutabaki kuwa sisi. AMEN!
@AbdilahiMririАй бұрын
Hongereni sana kwa kubeba ubingwa Jamhuri ya TANZANIA. Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani nakuuliza hiki kinachofanyika tungeomba na kwa timu zingine Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
Mungu awalinde benchi lote la yanga kila mtu kwa sekta yake
@user-kr2zi7du7yАй бұрын
Ila ally
@godlistengodlisten7552Ай бұрын
MUNGU AWALINDE VIONGOZI WETU WA YANGA PAMOJA NA BENCH LA UFUNDI NA WACHEZAJI WETU WOTE,🙏🙏🙏🙏
@happymarchiusnjungani1138Ай бұрын
Aisee Yanga nimewakubaliii kuwaita Haw wachezaj wa Zaman Hongera saaaana
@mrmartinipaul2464Ай бұрын
Mbona sijamsikia sande manara😢😢😢😢
@user-hx9no2bf8oАй бұрын
Anwari Awardhi. Nakukumbuka niko primary ulipiga kona mechi kama mbili hivi zinaenda nyavuni moja kwa moja
@HenryCastuli-jz3cx
Ай бұрын
Anwari Awarhdi faray kayto namba ya kened mkapa
@AishaAisha-vf2ugАй бұрын
Huyo lunyamila alikuwa anacheza mpira hatali tunaomba michezo iwe ya amani
@MaikoHakimuАй бұрын
Kwel siku zinaenda hawa watu walikua hatar sna
@user-cu8dm6eh3gАй бұрын
Sander manara mbona hayupo
@abdalakombo1595Ай бұрын
Hongereni sana Yanga lakini naomba muwakumbuke na wale wenzeti wagonjwa kama lila shomari
@ezekielsaid9536Ай бұрын
Yanga bingwa mpk mwisho utawala wa engineer
@amisamaurid1882Ай бұрын
Edibil Jonas lunyamila👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏💯🙏🙏🙏🙏
@CharelesBuguloАй бұрын
Yanga haina mfano hapa tz
@unclegmihale455Ай бұрын
❤❤😮
@user-tb3xq2cu3oАй бұрын
Hongereni nyie wote mpenda mamy samia rais wetu mzr canaa lakini mpenda aly kamwe
@josiahnaftaeli7862Ай бұрын
Edibil Jonas Lunyamila hii mashine mtu hatari sana
@idiidi-rq5gk
Ай бұрын
Iunyamila wakijjn kwetu mkabogo
@SholaHawangaАй бұрын
nimefurahishwa kumuona Anwar awadh
@edsonasifiwe2974Ай бұрын
Dah nilitaman kumuona ngasa na tegete eneo hili
@GibsonNtamamilo
Ай бұрын
Umesahau alichokisema ngasa baada ya kuacha kuichezea Yanga wewe.
@kassidpandu866Ай бұрын
lazima mtaizungumzia simba Tu
@hamiduomar1316Ай бұрын
Wenzetu mandundu wanawaza kufukuza uongoz waoo ss tukikutana watajuta 😂😂😂😂
@yusuphkiponza4542Ай бұрын
Safi🎉
@JumaDeaАй бұрын
Ally
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Jamani Kenneth mkapa yuko wapi beki tatu wetu
@SiaRitiwi-x1w29 күн бұрын
Mwenyewe nilishawahi kuwafunga makolo
@user-yf1zj1vo1oАй бұрын
Et wasifie viongozi bas jmn heshimwq haiombwi
@AishaAisha-vf2ugАй бұрын
Mbona mchanaji nyavu hapo hayupo
@kolosii4351Ай бұрын
Injinia waangalie hao wachezaji walioichezea yanga. Watakusaidia sana. It is very nice.
@hamiduomar1316
Ай бұрын
Hii aidia ni mzr sn kuwakumbuka waasisi walioitumikia timu mpk walipostafuu ni heshima kubwa sn kwao na kujiona wanathamani kubwa ktk club
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Hata min ziro angekuwepo ni yanga dam jamani
@josephmalangalila9744Ай бұрын
Kinye wapi
@salemarahbi9171Ай бұрын
😅😅😅😅mandundu oyeee
@kassidpandu866Ай бұрын
Hersi kumbe nae ni Mheshimiwa?
@user-uo8xw9kr4b
Ай бұрын
Hata ww inategemea na ulpo.
@jumakapilima7295
13 күн бұрын
Ndio ni mheshimiwa, anaongiza zaidi ya watu milioni 20, we unafikiri mchezo!!
@user-hx9no2bf8oАй бұрын
Lunyamila 1993 uko n Kizota niliandika majina yenu kw nguo zangu
@benjakasiga5340Ай бұрын
duuuuuu mandundu, manyau nyau
@nuruelmada2877Ай бұрын
Ila Ali kamwe eti Kama alishawahi kuifunga simba😅😅😊
@rashidmohammed4887Ай бұрын
Yuko wapi Sunday Manara na Kitwana Manara
@ReachOut3004Ай бұрын
Kumbe wanaitwa Mandundwa sasa hivi na hata hamsemi
@shabanseleman3257Ай бұрын
Kwani lazima kusifia viongozi
@mosesmkoma6882Ай бұрын
Kajina kapya kazuri (mandundu)
@Ba63828Ай бұрын
Alikua na maana gani Ali Kamwe alipodai kuwa anafikiria jina la uwanja utakaojengwa jangwani? Je ina maama jina la kihistoria la Kaunda litabadilishwa? This is absurd and egregious.
@HenryCastuli-jz3cxАй бұрын
Edibil jonas lunyamila alikuwaga mwaba huyo na muhame husen chinga
@user-jg8bk6xh4lАй бұрын
Event ni yenu ila midomoni mwenu kilichowajaa ni Simba.
@matronamushi7021Ай бұрын
Mandundu fc
@moseskamgwawa223Ай бұрын
Yu wapi SUNDAY Manara ????#@??
@user-kz7nx8xe4e
Ай бұрын
Mgonjwa
@moseskamgwawa223
Ай бұрын
Daaaah pole zangu nyingi, ikikumbushwa match ya nyamagana bila kumtaja SUNDAY tunakua hatujatenda haki
@KS-iw7qvАй бұрын
ALI KAMWE ASAIVI UMEWIVA SAANA....
@user-cu8dm6eh3gАй бұрын
Manara msaliti alifukuzwa
@moseskamgwawa223
Ай бұрын
What ????@@,
@user-vf7du4xz7xАй бұрын
Yanga ni hatari
@AlfredEvaristАй бұрын
Hawa wazee hata wakicheza Leo na Simba ha2fungwi
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Mafanikio gani wakati taarifa ya fedha inaonesha tumepata hasara zaidi ya Bilioni. Watu wanajineemesha uwanja hakuna miaka zaidi ya 80. Kuwa mabingwa Tanzania sio issu kikubwa ni uwekezaji mpya.
@user-tb3xq2cu3oАй бұрын
Ally kamwe
@abdallahkambangwa7215Ай бұрын
kumbe wajina ABDALLAH SELEMANI yupo hahahhaa nimefurah sana 😅😅😅😅😅
@RaphaelStembelaАй бұрын
Naomba tutumie kauli ya yangaaaaa tuitikie mbele daima nyuma mwiko hii ya hoyee wengine. Hatuielewi maana inatumika kwenye sias za bongo
@josephmalangalila9744Ай бұрын
Ngassa!
@JeyderNgendanyiАй бұрын
Unaweza ukadhani ni kikao cha ccm
@jumakapilima7295
13 күн бұрын
Kwani ulikuwa hujui, Yanga ina ukaribu mkubwa na CCM, Kwa taarifa yako miaka Ile ya 1980s, ushangiliaji wa Yanga walipokuwa wakifunga goli walikuwa wakiimba CCM, CCM, CCM,,,,, kwahiyo redioni tulikuwa tukisikia kelele za CCM, CCM, CCM,,,tunajua tayari Yanga ishaua mtu,,,,,, kwahiyo usishangae kaka!
@allysaidi-uy9rmАй бұрын
Hahahaha nimecheka kwa nguli wasoka shabani katwila kuwaita jiuzuli fc manyau nyau fc
@christianchamba7252Ай бұрын
Pp
@kassidpandu866Ай бұрын
sawa Muko kilele cha Mafanikio kilichobakia ni kushuka Tuu
@user-hb2nn6ud2d
Ай бұрын
Kama mlivyo shuka nyie
@dennicekakazoba2437Ай бұрын
Amasha nakukubali nilibandika picha yako mlangoni kwa babu nikapigwa bakora.
Пікірлер: 84
Salamu kwa wana Yanga wote duniani kote. Nawasalimu kutoka Sweden hongera timu kubwa ❤❤❤❤🇨🇩⚘️⚘️⚘️💯
Hongera Rais wetu na viongozi wetu Mungu awabariki
1. Willy Martin 2. Willy Mtendamema 3.Athuman Chama 4. Steven Names 5. Ken Mkapa 6. Aly Mayayi 7.Thomas Kipese
Namuona Mama Fatma Karume Kafurahi, Safi sana 🎉🎉🎉❤😂
Tukiendelea na mshikamano huu tutafika mbali katika mashindano ya kimataifa mungu atubariki Wana yanga wote
Dah,safi sn, hii miamba nisinge ifahamu na kuwaona kama siyo leo
Amazing saana 💚💛💯💥🌟⭐💫
Daima mbele nyuma mwiko💛💚🖤💚💚💚🖤🖤💛💛💛
Safi sana Babu na Baba zetu.. DAIMA MBELE NYUMA MWIKO WANANCHI
Safi sana ila ningeomba sana tuendelee kuimarisha timu yetu isishuke katika viwango vya kimataifa.love u yanga.daima mbele nyuma kwetu mwiko.
@joycembura2546
Ай бұрын
😊
Attilio Kasuga. Nasema Bravo wananchi, sasa wameanza kusema. Sisi tutabaki kuwa sisi. AMEN!
Hongereni sana kwa kubeba ubingwa Jamhuri ya TANZANIA. Hongera sana Mhe Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani Madamu Rais mpenzi wangu jamani nakuuliza hiki kinachofanyika tungeomba na kwa timu zingine Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani mke wangu jamani mpenzi wangu.
Nanipenda yanga sc daima mbele nyuma mwiko wananchiiiiiiiiiiiii🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🔰🔰🔰
Simuoni Willy Mtendamema. Najua yuko dar hapo
Saf salvator edward
Mungu awalinde benchi lote la yanga kila mtu kwa sekta yake
Ila ally
MUNGU AWALINDE VIONGOZI WETU WA YANGA PAMOJA NA BENCH LA UFUNDI NA WACHEZAJI WETU WOTE,🙏🙏🙏🙏
Aisee Yanga nimewakubaliii kuwaita Haw wachezaj wa Zaman Hongera saaaana
Mbona sijamsikia sande manara😢😢😢😢
Anwari Awardhi. Nakukumbuka niko primary ulipiga kona mechi kama mbili hivi zinaenda nyavuni moja kwa moja
@HenryCastuli-jz3cx
Ай бұрын
Anwari Awarhdi faray kayto namba ya kened mkapa
Huyo lunyamila alikuwa anacheza mpira hatali tunaomba michezo iwe ya amani
Kwel siku zinaenda hawa watu walikua hatar sna
Sander manara mbona hayupo
Hongereni sana Yanga lakini naomba muwakumbuke na wale wenzeti wagonjwa kama lila shomari
Yanga bingwa mpk mwisho utawala wa engineer
Edibil Jonas lunyamila👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏💯🙏🙏🙏🙏
Yanga haina mfano hapa tz
❤❤😮
Hongereni nyie wote mpenda mamy samia rais wetu mzr canaa lakini mpenda aly kamwe
Edibil Jonas Lunyamila hii mashine mtu hatari sana
@idiidi-rq5gk
Ай бұрын
Iunyamila wakijjn kwetu mkabogo
nimefurahishwa kumuona Anwar awadh
Dah nilitaman kumuona ngasa na tegete eneo hili
@GibsonNtamamilo
Ай бұрын
Umesahau alichokisema ngasa baada ya kuacha kuichezea Yanga wewe.
lazima mtaizungumzia simba Tu
Wenzetu mandundu wanawaza kufukuza uongoz waoo ss tukikutana watajuta 😂😂😂😂
Safi🎉
Ally
Jamani Kenneth mkapa yuko wapi beki tatu wetu
Mwenyewe nilishawahi kuwafunga makolo
Et wasifie viongozi bas jmn heshimwq haiombwi
Mbona mchanaji nyavu hapo hayupo
Injinia waangalie hao wachezaji walioichezea yanga. Watakusaidia sana. It is very nice.
@hamiduomar1316
Ай бұрын
Hii aidia ni mzr sn kuwakumbuka waasisi walioitumikia timu mpk walipostafuu ni heshima kubwa sn kwao na kujiona wanathamani kubwa ktk club
Hata min ziro angekuwepo ni yanga dam jamani
Kinye wapi
😅😅😅😅mandundu oyeee
Hersi kumbe nae ni Mheshimiwa?
@user-uo8xw9kr4b
Ай бұрын
Hata ww inategemea na ulpo.
@jumakapilima7295
13 күн бұрын
Ndio ni mheshimiwa, anaongiza zaidi ya watu milioni 20, we unafikiri mchezo!!
Lunyamila 1993 uko n Kizota niliandika majina yenu kw nguo zangu
duuuuuu mandundu, manyau nyau
Ila Ali kamwe eti Kama alishawahi kuifunga simba😅😅😊
Yuko wapi Sunday Manara na Kitwana Manara
Kumbe wanaitwa Mandundwa sasa hivi na hata hamsemi
Kwani lazima kusifia viongozi
Kajina kapya kazuri (mandundu)
Alikua na maana gani Ali Kamwe alipodai kuwa anafikiria jina la uwanja utakaojengwa jangwani? Je ina maama jina la kihistoria la Kaunda litabadilishwa? This is absurd and egregious.
Edibil jonas lunyamila alikuwaga mwaba huyo na muhame husen chinga
Event ni yenu ila midomoni mwenu kilichowajaa ni Simba.
Mandundu fc
Yu wapi SUNDAY Manara ????#@??
@user-kz7nx8xe4e
Ай бұрын
Mgonjwa
@moseskamgwawa223
Ай бұрын
Daaaah pole zangu nyingi, ikikumbushwa match ya nyamagana bila kumtaja SUNDAY tunakua hatujatenda haki
ALI KAMWE ASAIVI UMEWIVA SAANA....
Manara msaliti alifukuzwa
@moseskamgwawa223
Ай бұрын
What ????@@,
Yanga ni hatari
Hawa wazee hata wakicheza Leo na Simba ha2fungwi
Mafanikio gani wakati taarifa ya fedha inaonesha tumepata hasara zaidi ya Bilioni. Watu wanajineemesha uwanja hakuna miaka zaidi ya 80. Kuwa mabingwa Tanzania sio issu kikubwa ni uwekezaji mpya.
Ally kamwe
kumbe wajina ABDALLAH SELEMANI yupo hahahhaa nimefurah sana 😅😅😅😅😅
Naomba tutumie kauli ya yangaaaaa tuitikie mbele daima nyuma mwiko hii ya hoyee wengine. Hatuielewi maana inatumika kwenye sias za bongo
Ngassa!
Unaweza ukadhani ni kikao cha ccm
@jumakapilima7295
13 күн бұрын
Kwani ulikuwa hujui, Yanga ina ukaribu mkubwa na CCM, Kwa taarifa yako miaka Ile ya 1980s, ushangiliaji wa Yanga walipokuwa wakifunga goli walikuwa wakiimba CCM, CCM, CCM,,,,, kwahiyo redioni tulikuwa tukisikia kelele za CCM, CCM, CCM,,,tunajua tayari Yanga ishaua mtu,,,,,, kwahiyo usishangae kaka!
Hahahaha nimecheka kwa nguli wasoka shabani katwila kuwaita jiuzuli fc manyau nyau fc
Pp
sawa Muko kilele cha Mafanikio kilichobakia ni kushuka Tuu
@user-hb2nn6ud2d
Ай бұрын
Kama mlivyo shuka nyie
Amasha nakukubali nilibandika picha yako mlangoni kwa babu nikapigwa bakora.