Dinho umetisha sana maua yako pokea🌹🌹🌹🌹 vita ya kichaa🔥🔥🔥❤❤❤🎉🎉🎉
@josephswana7286Ай бұрын
Dinho sikumoja ata kuzibua usisau kama nimtego🎉🎉❤❤
@user-pr7ij3fx1lАй бұрын
Dah moto wakuotea bali huyu recho
@user-ck7fi3bh3iАй бұрын
Kwa asiyemjuwa recho ni dada flan yupo poa tuu na anaejiamn🥰hapo yupo kazn tuu na ameamuwa kuvaa uhalisia alotakiwa awe,,,ila hayupo ivo ni dada flan yupo charming kbsaa ila tu muongeaj na anpnda kucheka 😂hpo naic baada ya kipigo cha dinho lzma acheke kdg ndo sine iendeleee🤭💃🏼💃🏼💃🏼tunakupnda dada bila ww movie isingenogaa😍
@user-ck7fi3bh3i
Ай бұрын
Alfu kwny icho kiberit mbna nmemuona gumba jmn au anausika na kitu cha uhalifu kwny maisha ya dinho😢
@user-ck7fi3bh3i
Ай бұрын
Cha 3 alogunduwa mwnywe nyumba atkuwa anafnya kaz kwny kiwanda cha tyliz gonga like😂😂😂maana ckwa tyliz izo🤣
@user-tv6wt4rl7i
28 күн бұрын
nampenda uyudada anauhalisia frani hivi eti nitakutia mikofi kama mndengereko
@cleophassinde1359Ай бұрын
Huyu mwanamke roho mbaya kweli...
@fatmaalghafri6087Ай бұрын
Recho kukudondosha akudondoshe mtu mwingine kibao umpige dinyo maskini ya mungu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤭💔
@RizikiZiki
Ай бұрын
Dinho kava bala kukutana na recho hadi asira yani😂
@makkamakka9171Ай бұрын
Nan anaamini dinho sio kichaa ni mtego
@fatimauwesso7490
Ай бұрын
Tunaomba muendelezo wa mchumba dinho 😢😢😢
@user-di4ci3mr4d
Ай бұрын
Mimi hapa
@rosemarenga832
Ай бұрын
At mm nahis hivy
@user-xo7ns7bc8c
Ай бұрын
Inaonekana hivyo
@user-pz5pw8lu6s
Ай бұрын
Mimi najua dinyo sio chizi
@MishoohАй бұрын
Recho mungu anakuona 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
@SaidaSalim-sf5gpАй бұрын
Safi sana umetisha dinho umeutendea haki uhusika wako
@ashamwanganzi6400Ай бұрын
Hiki kicheko cha Rachel kinanikera wallah 🤬😡😞unafiki2
@Maokototv100Ай бұрын
Team #dinho mwanzo mzuri kaka , saf sana 💥💥💥💥💥
@mwanamisimwapula8392Ай бұрын
Recho wewe moto sana😂😂😂
@Aminahlamranl420-hw2ie27 күн бұрын
Daaah yako hayo mateso tunayaona😮
@EvodiaDominicАй бұрын
Recho kama recho hupoi wala huboi
@BINTmohammed-fu9gpАй бұрын
Tuleteeni mchumba haijaisha jamani ....naenjoy nikiwa kenya
@Dinhoactor
Ай бұрын
Mchumba imeisha ep4 final
@BINTmohammed-fu9gp
Ай бұрын
@@Dinhoactor ok fine si mbaya broh big up mah nigger msicheleweshe hii ya 3basi
@subbyraibrahimu250
Ай бұрын
ishaishaaa kitambo hukuangalia labda ilkuw fupi tu
@samsonilukosi580429 күн бұрын
Dinho 😂😂😂 wametega na kaka ake
@salmahoperi9783Ай бұрын
From Pakistan Recho utakuja umbuka
@EmmannuelMasangiaАй бұрын
Like 2 Kwa dinho wake😂😂😂😂😂😂
@LoiceMapenzikengaАй бұрын
Punguza roho mbaya recho
@user-yl4bj7yi2vАй бұрын
Hongera sanaaaaaaa dinhoooo kazi nzur sanaaaaaaa jaman vita ya kichaaa ni zaid ya vitaaaaaa❤all dah best dinho
@Dinhoactor
Ай бұрын
❤❤❤
@HasnatyMuhinaАй бұрын
Like kwakichaa dinho fast one
@user-ck9pt2ct9cАй бұрын
Recho anashanga ndoivo kbs😂😂😂😂😂😂😂😂
@WinifridaKisingaАй бұрын
Umtusimamia Hapo mbele Kama mwenyekiti wa vikoba 😂😂
@EmmannuelMasangiaАй бұрын
Huyu kaka Ake na dinho anaonekana ni muuaji wa wawazaz wa dinho
@mahirmahir2407Ай бұрын
Yaan dinyo anavyo jua kuekti ulemav😅😅😅😅
@user-my1vi6wv9hАй бұрын
Kam unamkubali recho mpe🎉🎉🎉🎉 yake
@Jacklinejohn7Ай бұрын
Recho una roho mbaya ata kawaida adi sura inaonesha😊
@user-jf9pt8bu5j
Ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikisam6481
Ай бұрын
Alafu kawa mweusi sijui kapatwa na nini😂😂
@user-qr6fd5vc2i
Ай бұрын
😂😂
@Jacklinejohn7
Ай бұрын
@@user-qr6fd5vc2i yani huyu binti apana kwanza anaonekana mchonganishi 😂
@Jacklinejohn7
Ай бұрын
@@rizikisam6481 nahisi wamemtema kule kwakina Bairam afu kumbe mbaya hivi bora arudie mkorogo angalau ila hana mvuto
@ExauceKabeyАй бұрын
Da Rachel unaenda ku feli Dili yako twende kazi msichelewe
@saumodzumbo9671Ай бұрын
😂😂😂😂 rechol 😂😂😂 kweli ww kiboko yaooo
@user-sx7vx4hf8bАй бұрын
Kazi nzuri sana
@evelnjuma1834Ай бұрын
Nzuri sana ❤🇹🇿
@user-jc4yf7ee2lАй бұрын
Recho kweli jini la kibongo kicheko chako hakiachi maan utaelewa tu km ni unafki aw dharau
@user-qd7ey5cp5sАй бұрын
Dinho si unyonge tu huyo rachael hadi akuogope😂😂😂anakera😢
Gumbo umeyakanyaga una vichaa wawili ndani 😂 dinho anapenda tambi kama mimi nimejikuta nalia aisee ndugu yako ata awe kichaa au awe vipi lazma umpende tu na kumjali
@najmamohamediАй бұрын
Nice
@YudaEzekiel-bp3onАй бұрын
Ule wimbo wa bestinaso up sahihi wanawake wabaya
@user-rp4qz5xs2tАй бұрын
Uyu recho kiwalisia yuaonyesha ako na roho mbaya kweli
@asiamwiru137228 күн бұрын
funzo kwa wanaume wanaoacha watoto wadogo na mama zao wakambo au kama hivi dinho
@SafiaKezakimanaАй бұрын
Namipia nimewah leo jaman nipeni mauwa yang❤❤❤❤
@user-yd9ni1lt3lАй бұрын
Mm pia niliwaza hivyo ni mtego😅😅
@user-rf2cg9tv3uАй бұрын
Yani hii mv nimeipenda sana sana mzuri
@user-xs9ij6zi3xАй бұрын
Dinyo Hadi muvi iishe ushanenepa Kwa makofi😂😂😂
@Dinhoactor
Ай бұрын
😂😂😂😂
@halemasuliman-js8ug28 күн бұрын
Lete vituu dinjoo
@cloviskambale126Ай бұрын
Unacheza vizuri shida unamaliza vipande kidogo juyanini ivi
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Haya repua nyumba dinyo😂😂😂😂tuone recho mwanaharamu ataiba nn na uizi wake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Dinhoactor
Ай бұрын
Nimecheka kwanguvu 😂😂😂
@user-ss8zw7ep1zАй бұрын
Daa Kila movie akiingiya Rachel ana haribu kabisa big love from 🇸🇦 to 🇰🇪
@EmmyMoАй бұрын
Ila harmonize😂😂😂😂🎉🎉 Ndo dihno ss😂😂😂
@MremboKevooАй бұрын
Mbona hamtoi mwendelezo
@user-pq4rv4jm3jАй бұрын
Hongelen good work🎉
@Dinhoactor
Ай бұрын
Thank you! Cheers!
@user-ib9ix2gc7rАй бұрын
Jaman ww dada wewee
@user-xo7ns7bc8cАй бұрын
Kumekucha na makucha yake Recho anacheka kama mwanga vile 🤣🤣🤣
@habibasungur9375Ай бұрын
Jamani dihno ataungua wee recho wewe
@NuruNdegwa-yg2bmАй бұрын
Mwenye anahisi dhino alifanywa dondocha ni kakake atumike kuleta mali wakue matajiri😮 😢
@magdalenew.mwanyota5901Ай бұрын
Recho anacheka kama huwa anakula ugoro 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂juu afungui mdomo ,staki mtu anguse my comment l come in peace ✌️ 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@habibasungur9375Ай бұрын
Mmh huyu recho jamani mmh
@liylahahmed829Ай бұрын
Kaziiiii ipoooooo🎬
@gracemwingwa-jx7yyАй бұрын
Ndugu ushauli Tu msipende kuapia jina la mungu bure jamani recho anapenda sana kutaja jina la mungu bure
Пікірлер: 275
Dinho umetisha sana maua yako pokea🌹🌹🌹🌹 vita ya kichaa🔥🔥🔥❤❤❤🎉🎉🎉
Dinho sikumoja ata kuzibua usisau kama nimtego🎉🎉❤❤
Dah moto wakuotea bali huyu recho
Kwa asiyemjuwa recho ni dada flan yupo poa tuu na anaejiamn🥰hapo yupo kazn tuu na ameamuwa kuvaa uhalisia alotakiwa awe,,,ila hayupo ivo ni dada flan yupo charming kbsaa ila tu muongeaj na anpnda kucheka 😂hpo naic baada ya kipigo cha dinho lzma acheke kdg ndo sine iendeleee🤭💃🏼💃🏼💃🏼tunakupnda dada bila ww movie isingenogaa😍
@user-ck7fi3bh3i
Ай бұрын
Alfu kwny icho kiberit mbna nmemuona gumba jmn au anausika na kitu cha uhalifu kwny maisha ya dinho😢
@user-ck7fi3bh3i
Ай бұрын
Cha 3 alogunduwa mwnywe nyumba atkuwa anafnya kaz kwny kiwanda cha tyliz gonga like😂😂😂maana ckwa tyliz izo🤣
@user-tv6wt4rl7i
28 күн бұрын
nampenda uyudada anauhalisia frani hivi eti nitakutia mikofi kama mndengereko
Huyu mwanamke roho mbaya kweli...
Recho kukudondosha akudondoshe mtu mwingine kibao umpige dinyo maskini ya mungu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤭💔
@RizikiZiki
Ай бұрын
Dinho kava bala kukutana na recho hadi asira yani😂
Nan anaamini dinho sio kichaa ni mtego
@fatimauwesso7490
Ай бұрын
Tunaomba muendelezo wa mchumba dinho 😢😢😢
@user-di4ci3mr4d
Ай бұрын
Mimi hapa
@rosemarenga832
Ай бұрын
At mm nahis hivy
@user-xo7ns7bc8c
Ай бұрын
Inaonekana hivyo
@user-pz5pw8lu6s
Ай бұрын
Mimi najua dinyo sio chizi
Recho mungu anakuona 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
Safi sana umetisha dinho umeutendea haki uhusika wako
Hiki kicheko cha Rachel kinanikera wallah 🤬😡😞unafiki2
Team #dinho mwanzo mzuri kaka , saf sana 💥💥💥💥💥
Recho wewe moto sana😂😂😂
Daaah yako hayo mateso tunayaona😮
Recho kama recho hupoi wala huboi
Tuleteeni mchumba haijaisha jamani ....naenjoy nikiwa kenya
@Dinhoactor
Ай бұрын
Mchumba imeisha ep4 final
@BINTmohammed-fu9gp
Ай бұрын
@@Dinhoactor ok fine si mbaya broh big up mah nigger msicheleweshe hii ya 3basi
@subbyraibrahimu250
Ай бұрын
ishaishaaa kitambo hukuangalia labda ilkuw fupi tu
Dinho 😂😂😂 wametega na kaka ake
From Pakistan Recho utakuja umbuka
Like 2 Kwa dinho wake😂😂😂😂😂😂
Punguza roho mbaya recho
Hongera sanaaaaaaa dinhoooo kazi nzur sanaaaaaaa jaman vita ya kichaaa ni zaid ya vitaaaaaa❤all dah best dinho
@Dinhoactor
Ай бұрын
❤❤❤
Like kwakichaa dinho fast one
Recho anashanga ndoivo kbs😂😂😂😂😂😂😂😂
Umtusimamia Hapo mbele Kama mwenyekiti wa vikoba 😂😂
Huyu kaka Ake na dinho anaonekana ni muuaji wa wawazaz wa dinho
Yaan dinyo anavyo jua kuekti ulemav😅😅😅😅
Kam unamkubali recho mpe🎉🎉🎉🎉 yake
Recho una roho mbaya ata kawaida adi sura inaonesha😊
@user-jf9pt8bu5j
Ай бұрын
😂😂😂😂
@rizikisam6481
Ай бұрын
Alafu kawa mweusi sijui kapatwa na nini😂😂
@user-qr6fd5vc2i
Ай бұрын
😂😂
@Jacklinejohn7
Ай бұрын
@@user-qr6fd5vc2i yani huyu binti apana kwanza anaonekana mchonganishi 😂
@Jacklinejohn7
Ай бұрын
@@rizikisam6481 nahisi wamemtema kule kwakina Bairam afu kumbe mbaya hivi bora arudie mkorogo angalau ila hana mvuto
Da Rachel unaenda ku feli Dili yako twende kazi msichelewe
😂😂😂😂 rechol 😂😂😂 kweli ww kiboko yaooo
Kazi nzuri sana
Nzuri sana ❤🇹🇿
Recho kweli jini la kibongo kicheko chako hakiachi maan utaelewa tu km ni unafki aw dharau
Dinho si unyonge tu huyo rachael hadi akuogope😂😂😂anakera😢
@RizikiZiki
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
DINHO sio taila recho kitakuramba😂😂😂😂 masikini wa😂 mungu. Atikumekuja na makuja yake😂😂😂😂recho,recho recho😂 nimekuita marangapi
Kama kawaida from 🇰🇪🇰🇪 jameni niombeni likes zangu 😅
Recho❤❤❤naenjot kukuona kwenye move
Sema hiyi movie mumesheza vizuri Sana ❤❤ Dinho na kaka yako hongeleni 🎉🎉🎉 Tku pamoja mwazo hadi mwisho napenda Sana kaz zako kaka Dinho kutoka Malawi
@Dinhoactor
Ай бұрын
❤❤❤
Recho wewe mungu anakuona 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Lakin lecho sio kicheko icho sema nikiwa miss sana Toka wake wenza ndo naanza tenan naa mini itakua nzuri ka ile ya wake wenza
Hongera dinho kazi nzuri
Daaar
Best movie kazi nzuri dihno
Mbona mnatuzingua jmn sio kw kutucheleweshea huko kaz umezingua
Round iii Dinho wamekuweza 😂😂😂much ❤❤❤ from kenya
We dinho ww uko vizuri
Dinho bwana😂😂😂 ila umeufaa usika fizuri sana 😂😂😂 much love from kenya
😂😂😂😂 mwenye kit wa vikoba
Huyu recho sio kuigiza tuu yani hata uhalisia inaonyesha yuko hivi..mbona kila movie mpka aigize roho mbaya😢😢😢
@user-gt6qt6yu8b
Ай бұрын
Jaman ndo kitu Pekee ambacho anakipatia san
Jamani kwani hi move imeishia mbo hakuna mwenderezo
Kumekucha uku na makucha yake😮 yani Rachel we ni mwehu sana😂#safi sana team dinho kazi imesoma hii 👏
Rachel wacha kusema uwongo ulikuwa na umemleta hawara yako ndipo dinho akakufunania ikiwa na hawara yako
Tamaa mbaya Sana recho umeumbuka Mali za dinho.
Mbona mnatufanya ivo lakini mwenderezo ipo wapi 😢😢
Reachal punguza matusi, siku yako inakuja "mama G"wa tazania ... watching from 🇰🇪 kenya ❤
Aki huyu Rachel sijui utaingia binguni kweli roho chafu mama pungiza😢😢😢
Jmn hapan sasa nikali dah 🎉❤❤❤
Tangu zamani recho hananga Roho safii🎉😅😅anayekerwa na recho kwa kicheko😮 drop your like
@user-gl3tf7zq2d
Ай бұрын
Hyu simtumzuri recho hatakama nikazi anarohombaya mchawi
Gumbo umeyakanyaga una vichaa wawili ndani 😂 dinho anapenda tambi kama mimi nimejikuta nalia aisee ndugu yako ata awe kichaa au awe vipi lazma umpende tu na kumjali
Nice
Ule wimbo wa bestinaso up sahihi wanawake wabaya
Uyu recho kiwalisia yuaonyesha ako na roho mbaya kweli
funzo kwa wanaume wanaoacha watoto wadogo na mama zao wakambo au kama hivi dinho
Namipia nimewah leo jaman nipeni mauwa yang❤❤❤❤
Mm pia niliwaza hivyo ni mtego😅😅
Yani hii mv nimeipenda sana sana mzuri
Dinyo Hadi muvi iishe ushanenepa Kwa makofi😂😂😂
@Dinhoactor
Ай бұрын
😂😂😂😂
Lete vituu dinjoo
Unacheza vizuri shida unamaliza vipande kidogo juyanini ivi
Haya repua nyumba dinyo😂😂😂😂tuone recho mwanaharamu ataiba nn na uizi wake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Dinhoactor
Ай бұрын
Nimecheka kwanguvu 😂😂😂
Daa Kila movie akiingiya Rachel ana haribu kabisa big love from 🇸🇦 to 🇰🇪
Ila harmonize😂😂😂😂🎉🎉 Ndo dihno ss😂😂😂
Mbona hamtoi mwendelezo
Hongelen good work🎉
@Dinhoactor
Ай бұрын
Thank you! Cheers!
Jaman ww dada wewee
Kumekucha na makucha yake Recho anacheka kama mwanga vile 🤣🤣🤣
Jamani dihno ataungua wee recho wewe
Mwenye anahisi dhino alifanywa dondocha ni kakake atumike kuleta mali wakue matajiri😮 😢
Recho anacheka kama huwa anakula ugoro 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂juu afungui mdomo ,staki mtu anguse my comment l come in peace ✌️ 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmh huyu recho jamani mmh
Kaziiiii ipoooooo🎬
Ndugu ushauli Tu msipende kuapia jina la mungu bure jamani recho anapenda sana kutaja jina la mungu bure
Wa kwanza jamani naomben like hata 50
muvi inasikitisha sana hii haya mambo yapo kwel
@m.mmarckus6298
Ай бұрын
Sema Recho wamwambie apunguze matusi namdomo kidogo😂
Dinho nijbu ili swali plz, ivi uyu Recho ndo maisha yake halisi y mdomo am n Kweny izi movies maan Daah uyu dad kibko😂😂😂😂 ila namkubal san❤❤
@user-tj6pl1lz5b
Ай бұрын
😅
@user-tj6pl1lz5b
Ай бұрын
😅
Rachel kwanini una tu toka kwenye comedi plus nawa fata toka drc
Hapo ninahisi wanasheria wa dinho ni bhailam akiwepo mzee simba🎉🎉🎉
Dinyo siku nyengine shika hii tapeli ya mtu ikamue sawasawa paka itii mbona mathaira wengi akili zao si kama zako ww taira gani jamani 😂😂
❤♥️♥️🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana recho upo vzr unauvaa uhalisia dada bravoo
Hongeleni sanaa kwa kazi nzur sanaa 🎉😂❤❤
Uyu mwanaume wa recho anajiita kelvin hampendi recho ni kumtumia tu ili apate mali😏😏
Dinho kazi anayo
recho jamn iyi ndiyo uwalisia wako ama niku igiza tuh kiu kweli una roho mbaya 😢
@Farida-uz3vr
Ай бұрын
Huyu recho anaoneka analaana hata nje yauwigizaji nimshenzitu Tena simpendi hatakumuona
@AsiaTariq-ec9nw
Ай бұрын
Me sipendi anavo kuwa ivo recho
@joharmussa
Ай бұрын
Hapana bhn hiyo ni character alopewa bhna mbna kuna movie aliigza akiwa km mke wa mbwela alikuw mpole😂 tu
Mimi mwemyewe natamani nijuwe maisha yake mana anatisha
@Dinhoactor
Ай бұрын
❤❤❤
Rachel baadae ya kusikia dinho ana wanasheria 3,kachanganyikiwa maana mipango yake yote imekufaaaa,akomeee gold digger
Dinyo umeitendea haki nafas yako ya uigizaji
😮😮
Recho komwe lako na roho yako hiyo mungu anakuona
Daaah pole saaaaan dinho
Kazi nzur Sana ila hapo Kuna kujifunza Mana Recho tamaa inamponza 😂