Vita vya Ukraine na Urusi: Hizi ndizo sababu kuu kwanini nchi za Afrika zimeamua kukaa kimya

March 24, uvamizi wa Urusi nchini Ukraine umetimiza mwezi mmoja. Kwanini nchi za Afrika zimekaa kimya? Jimmy Chansa na Dj Sma kwa mara nyingine tena kwenye #TheOutsiders wanachambua kwa kina

Пікірлер: 195

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63432 жыл бұрын

    Sky Huyu DjSma, ana material ambayo, ukiwa na Akili ya Kipopo, Unapotea Njia.. DjSma 🙌🙌🙌🙌 Mungu Akuweke Sanaaaaaa

  • @lodilofa116

    @lodilofa116

    11 ай бұрын

    LL

  • @kisalaTV
    @kisalaTV2 жыл бұрын

    Huyu mr kipara leo anaogea madiniatupu. 👍

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino49582 жыл бұрын

    Dah! jamaa yupo vizuri sana hukiwa ndani ya africa uwezi kumuelewa vizuri huyu jama UPALA nini anasema.🔥🔥🔥💪🏾

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63432 жыл бұрын

    DjSma Nimekubali Sanaaaaa 🙌🙌🙌🙌 Umeupiga mwingi.. Huyu Mmarekani atuache..

  • @DenisDeusDexter
    @DenisDeusDexter2 жыл бұрын

    Congrats Sky, na naomba hii kitu iendeleee, DjSma much respect ✊ vitu unaongea na feelings inaonesha unajua unachosema na I fact ni ukweli 100%.

  • @rodriodhiambo9431
    @rodriodhiambo94312 жыл бұрын

    Djsma unatoa vitu Vya adimu sana,mweny kichwa cha panzi kama mshikaji awezi kukuelewa. Djsma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @minayeeric3882
    @minayeeric38822 жыл бұрын

    My brother sky I like that guy he wearing black T-shirt talk nice perfect truth for everything

  • @isikesamike

    @isikesamike

    2 жыл бұрын

    Niliposoma comment yako nikajua umemwonea maana ni mtu ninaye mwamini sana. Kweli leo amechochora sana. Huyu jamaa mwenye nyeupe amemwondoa kabisa kwenye track.

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau33972 жыл бұрын

    Sky congratulations am in Kenya and am good fan of your show..We need black t-shirt again and again.Fantastic.

  • @jacobmazengo6302
    @jacobmazengo63022 жыл бұрын

    DJ uko vzur ni fact tupu unaeleza marekan na wenzie ni wachafuz toka enz na enz mwisho unafikia

  • @paschalmilindi275
    @paschalmilindi2752 жыл бұрын

    We jamaa wa T-shirt nyeupe unazingua bwana,

  • @saidjumasaid3924
    @saidjumasaid39242 жыл бұрын

    Djsma anaongea facts sana lakin uwe umesoma ndio utaelewa

  • @tildahongkong6086
    @tildahongkong60862 жыл бұрын

    Dj anaupiga mwingi he’s very smart 👌🏼 jimmy unapanic unabishana kimaskani

  • @twalibuabdallah6243

    @twalibuabdallah6243

    Жыл бұрын

    Jimmy anazingua

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau33972 жыл бұрын

    Sky we are missing those guys again..make a plan and call them again.

  • @princearies3984
    @princearies3984 Жыл бұрын

    huyu djsma anajua sanaaa

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi41222 жыл бұрын

    Nazani zingekuepo djsma wawili hapo ingekuwa very approaches debate

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata23122 жыл бұрын

    Huyu jamaa mwenye shat nyeupe sio kwamba hana akili hapana anayo ila tatizo kabeba ujinga zaid kuliko uhalisia wenyewe 😂😂😂😂😂😂

  • @chrispinemichael2334
    @chrispinemichael23342 жыл бұрын

    Huyu jamaa mwenyewe t-shirt nyeupe sijamuelewa kabisa

  • @jacksonletema6071

    @jacksonletema6071

    2 жыл бұрын

    Kaka hata mm ananichanganya hajui chochote anaongea ujinga tu anakoroga mada ataupeo wake na ubongo wake mdogo sana anachanganya ana hamisha mada tu

  • @sadikathumani1003
    @sadikathumani10032 жыл бұрын

    black shirt anaongea point xana

  • @Tanae3209

    @Tanae3209

    2 жыл бұрын

    Ausio

  • @maidimples8236
    @maidimples82362 жыл бұрын

    This is too fantastic

  • @koudrashabani1912
    @koudrashabani191211 ай бұрын

    Kutoka Burundi Nakubali Mnavyochambuwa Kweli Kabisa

  • @simulizi2632
    @simulizi26322 жыл бұрын

    Me naangalia sky anavyokuwa hajui pa kuingilia 😅😅😅😅🙋🏾‍♂️

  • @barnabasmafuru6735
    @barnabasmafuru67354 ай бұрын

    Jimmy kunamengi hujui kaka huna facts jifunze kwa DJSma @sky

  • @user-xc6ls9xn8h
    @user-xc6ls9xn8h2 ай бұрын

    Africa ipo vizuri inaangalia nani mbabe atakaye shida vita ndyo tuanafanya naye kazi magharibi tumewachoka na sera zao

  • @elyudsaleh6044
    @elyudsaleh60442 жыл бұрын

    54:50 and on, nimekuelewa sana kaka. barikiwa.

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel51722 жыл бұрын

    DJ Sma wamoto sana

  • @watchme5678
    @watchme56782 жыл бұрын

    Jimmy nimekubali comeback yako aisee ⚡ 🔥....

  • @chrispinemichael2334
    @chrispinemichael23342 жыл бұрын

    Leo SKY umepuyanga kwenye hu mjadala umeshindaje kuwa handle wachangiaji na huyu jamaa mwenye t-shirt nyeupe ana interrupt sana

  • @maidimples8236

    @maidimples8236

    2 жыл бұрын

    Its fact but i belive sky he's too smart but case was too complicated

  • @shazyahya4121
    @shazyahya41212 жыл бұрын

    Safi sana ASMA jamaa anajua sana kuchambua mwenendo wa siasa za dunia kwa sasa 🤝🏾

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t29 күн бұрын

    Wanaogopa, hawana ubavu wa kusema, km wangelikua na uwezo basi wangelimtetea Gadafi lkn waliufyata na wanaendelea kuufyata.

  • @kdloon2030
    @kdloon20302 жыл бұрын

    Huyu jamaa ambae kavaa surual nyekundu,anavuruga point ya interview.

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g6 ай бұрын

    Unaelezea vizuri tatizo kingereza na kiswahili tuchagulie lugha moja kiswahilli tuu au kingereza usichanganye lugha

  • @mamanshimba1
    @mamanshimba12 жыл бұрын

    Guys you are very smart..i like you

  • @mlimbila9942
    @mlimbila99422 жыл бұрын

    nawakubali asante kwa part 2

  • @kudratsaburi7386
    @kudratsaburi73862 жыл бұрын

    Mwenye nyeupe kapuyanga tu ata sijamuelewa anatetea ujinga tu inaonekana ata school alifeli 😊

  • @nkwabicharles8752

    @nkwabicharles8752

    2 жыл бұрын

    jamaa ni daktari wa binadam ko hakufel kama unavyofikilia

  • @saidinyoni2463
    @saidinyoni2463 Жыл бұрын

    Kwanini upande mmoja tu wakifanya Hawa Sawa na wengine sio Sawa

  • @ghostgenerationtv766
    @ghostgenerationtv7662 жыл бұрын

    Huyu DJ sma ni moto wa kuotea mbali anaichambua historian anavyoijua yuko vizuri Jimmy unajiribu kutulisha matango pori lakini waafrika Siku izii ni waelewa na tunafatilia time will tell..we're waiting, and we're well aware maybe our chances on the way. .game will change anytime

  • @ahmedmiraji877
    @ahmedmiraji877 Жыл бұрын

    Sky ni Kaka yangu kabisa na interact nae kwenye group ki masiahara sikua najua ana madini hivi mazito 😢 I love u brother

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.652 жыл бұрын

    Sky Hao jamaa ni Noma wanajua,Nimejifunza mengi sana kupitia wao.love from Finland 🇫🇮🇫🇮🤝🙏

  • @IsmailKatanga
    @IsmailKatanga2 ай бұрын

    Mnaharibu kuiga sana kingereza

  • @ridhiwanfatma6312
    @ridhiwanfatma63122 жыл бұрын

    #Djsmaa umeupiga mwing sana Boyfriend 😍

  • @dimagayoye4084
    @dimagayoye40842 жыл бұрын

    Kutoka Kenya Mimi naitwa Dima Gayoye.uchambuzi wenu ni mzuri na unamafunzo ya kihistoria ya kimataifa.hongera sana

  • @tripletriple3112
    @tripletriple31122 жыл бұрын

    T. Shirt nyeupe jifunze sana bado unauzarendo na marekani kama unataka haki pande zonte mbili. Na kama una self hate hapo tutakuelewa.. Wengi wetu wote tulikuwa upande wa marekani..baadae ukifatilia unajua jambo marekani siku zote mdwanzi.. T. Shirt nyeupe bado yupo gizani..

  • @allyhilal2747
    @allyhilal27472 жыл бұрын

    Huyo boya anajua hata maana ya fifa kweli. Au hajui hata Uefa ni kitu gani.

  • @timizanafrikamedia5464
    @timizanafrikamedia54642 жыл бұрын

    Djsmaa i. Love this man

  • @kambugarakim4840
    @kambugarakim48402 жыл бұрын

    Dj sma 100% mwana mwngne 0%

  • @wbmclassic1651
    @wbmclassic16512 жыл бұрын

    Nadhani Djsma ni zaidi ya mchambuzi asee.Nondo alizo nazo ni .

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Жыл бұрын

    Uyu Jimmy kdogo hayupo sawa

  • @foibtv3044
    @foibtv30442 жыл бұрын

    Kipara smaa ni nomaa

  • @MK-bk9ww
    @MK-bk9ww2 жыл бұрын

    Smartness 💦

  • @kinega1029
    @kinega10292 жыл бұрын

    Kaka ulieva white t-shirt Western na genge lao kwanza wizi halafu ni wadini halafu waongo pia double standard kiujumla ni watu waovu

  • @funvidtz5989
    @funvidtz598911 ай бұрын

    Dj sma 🔥

  • @user-ur9vq1su4u
    @user-ur9vq1su4u6 ай бұрын

    dj sma 🎉🎉🎉

  • @hassanlamata2312
    @hassanlamata23122 жыл бұрын

    ✌️✌️✌️mwenye shat nyeusi nimekuelewa kuliko kawaida endelea kuwafungua watu hata maandiko yanasema mungu atawaleta watu wa kuwaeleza ukweli thabit na bado watapingwa ✌️✌️✌️uko sawa sana kiufahamu na akili 🤝🤝🤝🤝🤝mwenyezi mungu akuweke hai siku nyingi zaid

  • @sadikimwakisambwe9318
    @sadikimwakisambwe9318 Жыл бұрын

    Huyo jamaa mwingine hajui kitu na kigugumizi chake

  • @luckyshangali6075
    @luckyshangali60752 жыл бұрын

    kipindi kizuri sana next session tunaomba tuchangie mada iwe live session

  • @salubrown4013
    @salubrown4013 Жыл бұрын

    SumaA una tisha sana mwanangu wee ni Bonge Ramcha mbuzii nakubari

  • @fredricklumbala5299
    @fredricklumbala52992 жыл бұрын

    Black t-shirt umeupiga mwingi sana

  • @isikesamike
    @isikesamike2 жыл бұрын

    Sky sky sky, leo umeniangusha bro. Huyo jamaa mwenye white na red amekutoa kwenye track. DJ Sma is very smart. Why ionekane Ukraine wanaonewa sana wakati Waafrica wenzetu wanaendelea kuuna na wala hakuna anayepaza sauti? Ukraine ndo kuna watoto na akina mama ila Libya, Syria, Afghanistan, Nigeria, Ethiopia, RDC, Somalia hakuna watoto na akina mama? Wewe mwenye nyeupe ni kibaraka wa mabeberu tu. Na elimu ulonayo hata haijakukomboa bado.

  • @jacksonjacksonjacksonjacks9879
    @jacksonjacksonjacksonjacks98792 жыл бұрын

    Woooh. Ndugu wakigombana shika jembe kalime vile wakipatana ludi shamba kavune. Ilove Russia 🪆🇷🇺 urrrraaaaaaaaa. Ilove 🇺🇦ilove🌍ilove 🇹🇿🙏

  • @ntahondereyeahamadi5516
    @ntahondereyeahamadi55162 жыл бұрын

    Dj suma anaongea ukweli kabisa

  • @princearies3984
    @princearies3984 Жыл бұрын

    af uyu mwenzie ajui istoria

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Жыл бұрын

    Sky mdogo wangu nakukubali sana

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td10 ай бұрын

    Skai vp hal?❤tumemissi iyikitu🇧🇮💐🌹

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Жыл бұрын

    Huyu jamaa ajui kusimulia vizuri anachanganya marekani naita urusi na India anaita china 😂😂😂😂😂😂

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Жыл бұрын

    napenda sana bck yuk sawa na red yuk right bt mbish

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko92762 жыл бұрын

    Djsmaa awekewe sanamu lake kwa kweli,, jamaa yuko vzr sana kiuchambuzi... Uyu mwenye t-shirt nyeupe Ni mchambua mchele tu

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi41222 жыл бұрын

    Djsma soo bright kwakweli

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha36982 жыл бұрын

    Wote wapo vizuri sana wageni

  • @animalchannel296
    @animalchannel2965 ай бұрын

    jamaa mwenye kigugumizi anazingua

  • @user-ef1ht2iv7c
    @user-ef1ht2iv7c7 ай бұрын

    dj sima yuko vizuli sana

  • @SalimoMaulide
    @SalimoMaulide Жыл бұрын

    Vita ya wenyewe kwa wenyewe africa imeanzishwa na magharjbi ya ulaya na america ndio maana hawana haja ya kutusaidia kumaliza vita

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene230312 жыл бұрын

    Them for them africans we have to stay away it's not our business they dont care about us two black handsome brother love you guys

  • @ahazimarley2141
    @ahazimarley21412 жыл бұрын

    Wabongo bhn iv mnaongea kwa watanzani walio soma au mbn kingeleza kingi Kuna watu hawajui icho na wanatamani kusikiliza nakuelew lakin kingeleza kingi nn hiii bro🇹🇿🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳💪🏿Swahili 💪🏿

  • @user-vl5jj3oq3d
    @user-vl5jj3oq3d6 ай бұрын

    Ongea tu kiswahili ni luga tamu sana acheni kujifanya wazungu 😂 na luga yenyewe auifahamu.

  • @blodinfx4670
    @blodinfx4670 Жыл бұрын

    😂😂😂dogo anazingua sana

  • @DenisDeusDexter
    @DenisDeusDexter2 жыл бұрын

    Am sorry to say this, ila Jimmy your points don’t make sense.

  • @meddyknd7574
    @meddyknd75742 жыл бұрын

    Madini

  • @kyangwesignermohamed7867
    @kyangwesignermohamed7867 Жыл бұрын

    Nyie niwashenzi watumwa wa Lugha msijifanye mnajua saana kingereza Kama mjadara wenu niwakiswahili ongeeni Kiswahili kama nikingereza ongeeni Kiingereza. Kiswahili kinamaneno yakutosha msijifanye mnajua saana . Huo niutumwa!!!

  • @MashakaEdward-ne1ih
    @MashakaEdward-ne1ih3 күн бұрын

    Marekani ndo shinikizo la ukrain

  • @skillerzow1618
    @skillerzow16184 ай бұрын

    Dj sam ako na ubongo ulokomaa hyo mwengine bdo mtoto atabisha bure na kutupotezea malengo aregee chuo akapanue ubongo wake

  • @surusuru1994
    @surusuru199411 ай бұрын

    Mie nielelewa kw nini African hatupate msaada nikwba hamn saaaaman kwoo wazugu wanasamini mali za African na sio people kwhiyo sioni haja ya kuimizu eti African wasime kitu kw urussi waaje kabisa watiwe atabu na urussi nasie African tusoge pele maraisi wa African abao hawajielew jeshi piduweni only paka wakimaliza vta wakute 🌍africa imepiga hatuwa

  • @tupasesamuel2109
    @tupasesamuel21092 жыл бұрын

    Mbona muna maliza coversation with argument not debate.

  • @ahz6907
    @ahz69072 жыл бұрын

    libya ilipovamiwa viongozi wa africa pia walikaa kimya.na nyie watangazaji wa kiafrica kuna vita DRC, africa kati hamuongelei. why now?

  • @aishanassor8041
    @aishanassor80412 жыл бұрын

    Jamaa mwenye upara anajua anajua anajua tenaaaaa...kwa watz hatuwez jua ila mwenye upara anaongea facttttt na ndio ukweli ulivooooo

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Жыл бұрын

    Haruna ISSA,ngoja kwanza nikasomee kiingereza nitakuja kuwasikiliza.

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Жыл бұрын

    Haruna ISSA,mambo yakipamba moto,afrika italazishwa kuunga mkono Ukraine kwa vikwazo.

  • @luckyhardson18
    @luckyhardson18 Жыл бұрын

    We jimmy nenda kaishi ukrain masna huelewi kafe kulekule.

  • @JustineJohn-vh6tb
    @JustineJohn-vh6tb Жыл бұрын

    Braza mtafutie Dj mtu mwenye ufahamu wa mambo sio mwenye hisia kali.Huyo jamaa hana anachojua zaidi ya kuwa na hisia kali hana point zenye nguvu

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf20572 жыл бұрын

    Yes double standard

  • @dj26number2
    @dj26number22 жыл бұрын

    ✌️👏🏽👏🏽👏🏽🔊🔊👌

  • @penieltshipaz8474
    @penieltshipaz8474 Жыл бұрын

    Kwanza wa africa wangekuwa nahakili wasinge usogeleya hatakidogo mzozohuho . Wanashindwa kujikomboa wenyewe kwanini wajihingize mbalikotehuko wanafahida ganina mzozohuho .

  • @mmg4230
    @mmg4230 Жыл бұрын

    Jimmy hakuna kitu

  • @deusdedithkasusu7622
    @deusdedithkasusu76222 жыл бұрын

    Skywoka mm niko pamoja na wachambuzi wote hapo...lakini namuunga zaidi mkono djsmaa!!!! Ciz nmekuwa mfatiliaj wa mambo yq nyakati za mwisho...so namuelewa kwa kina sana na natamani kukutana nae ili tubadilishane mawazo....

  • @mlimbila9942
    @mlimbila99422 жыл бұрын

    uyu mwenye nguo nyeusi anaongea fact alafu mwenye nyeupe anabisha ujinga hawezi kimshinda kwa hoja (dj sma black tishet) wala ngeli hamshindi kenge mwenye nyeupe

  • @thisboyisgreat

    @thisboyisgreat

    2 жыл бұрын

    Nakuoata ila ASHA matusi

  • @jacksonletema6071

    @jacksonletema6071

    2 жыл бұрын

    Mwenye tshert nyeupe namuona kama mbwa haelewi kabisa anavuruga tu

  • @aballahjoseph2234
    @aballahjoseph22342 ай бұрын

    Awa jamaa wana fix😅😅

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Жыл бұрын

    Haruna ISSA,kwanini msaada ipewe serikali badala ya wakimbizi mh!Kuna walakin

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy Жыл бұрын

    Haruna ISSA,kwa mtazamo wenu nani hasa atakaye shinda?NATO au urus.

  • @ruu6592
    @ruu65922 жыл бұрын

    Ndio mana mm nasema ivi awa watu wote nikitu kimoja wanacho kifanya wanapunguza watu wote wamoja

  • @deomajuva2432
    @deomajuva24327 ай бұрын

    Djsma anavitu sana huyo jamaa anatupotezea floo hajui huyo tumsikilize tu sma

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba93872 жыл бұрын

    Huyu jamaa mwenye nyeupe tishirt mbishi tu

Келесі