Vita vya Ukraine na Urusi: Hizi ndizo sababu kuu kwanini nchi za Afrika zimeamua kukaa kimya
March 24, uvamizi wa Urusi nchini Ukraine umetimiza mwezi mmoja. Kwanini nchi za Afrika zimekaa kimya? Jimmy Chansa na Dj Sma kwa mara nyingine tena kwenye #TheOutsiders wanachambua kwa kina
Пікірлер: 195
Sky Huyu DjSma, ana material ambayo, ukiwa na Akili ya Kipopo, Unapotea Njia.. DjSma 🙌🙌🙌🙌 Mungu Akuweke Sanaaaaaa
@lodilofa116
11 ай бұрын
LL
Huyu mr kipara leo anaogea madiniatupu. 👍
Dah! jamaa yupo vizuri sana hukiwa ndani ya africa uwezi kumuelewa vizuri huyu jama UPALA nini anasema.🔥🔥🔥💪🏾
DjSma Nimekubali Sanaaaaa 🙌🙌🙌🙌 Umeupiga mwingi.. Huyu Mmarekani atuache..
Congrats Sky, na naomba hii kitu iendeleee, DjSma much respect ✊ vitu unaongea na feelings inaonesha unajua unachosema na I fact ni ukweli 100%.
Djsma unatoa vitu Vya adimu sana,mweny kichwa cha panzi kama mshikaji awezi kukuelewa. Djsma ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
My brother sky I like that guy he wearing black T-shirt talk nice perfect truth for everything
@isikesamike
2 жыл бұрын
Niliposoma comment yako nikajua umemwonea maana ni mtu ninaye mwamini sana. Kweli leo amechochora sana. Huyu jamaa mwenye nyeupe amemwondoa kabisa kwenye track.
Sky congratulations am in Kenya and am good fan of your show..We need black t-shirt again and again.Fantastic.
DJ uko vzur ni fact tupu unaeleza marekan na wenzie ni wachafuz toka enz na enz mwisho unafikia
We jamaa wa T-shirt nyeupe unazingua bwana,
Djsma anaongea facts sana lakin uwe umesoma ndio utaelewa
Dj anaupiga mwingi he’s very smart 👌🏼 jimmy unapanic unabishana kimaskani
@twalibuabdallah6243
Жыл бұрын
Jimmy anazingua
Sky we are missing those guys again..make a plan and call them again.
huyu djsma anajua sanaaa
Nazani zingekuepo djsma wawili hapo ingekuwa very approaches debate
Huyu jamaa mwenye shat nyeupe sio kwamba hana akili hapana anayo ila tatizo kabeba ujinga zaid kuliko uhalisia wenyewe 😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa mwenyewe t-shirt nyeupe sijamuelewa kabisa
@jacksonletema6071
2 жыл бұрын
Kaka hata mm ananichanganya hajui chochote anaongea ujinga tu anakoroga mada ataupeo wake na ubongo wake mdogo sana anachanganya ana hamisha mada tu
black shirt anaongea point xana
@Tanae3209
2 жыл бұрын
Ausio
This is too fantastic
Kutoka Burundi Nakubali Mnavyochambuwa Kweli Kabisa
Me naangalia sky anavyokuwa hajui pa kuingilia 😅😅😅😅🙋🏾♂️
Jimmy kunamengi hujui kaka huna facts jifunze kwa DJSma @sky
Africa ipo vizuri inaangalia nani mbabe atakaye shida vita ndyo tuanafanya naye kazi magharibi tumewachoka na sera zao
54:50 and on, nimekuelewa sana kaka. barikiwa.
DJ Sma wamoto sana
Jimmy nimekubali comeback yako aisee ⚡ 🔥....
Leo SKY umepuyanga kwenye hu mjadala umeshindaje kuwa handle wachangiaji na huyu jamaa mwenye t-shirt nyeupe ana interrupt sana
@maidimples8236
2 жыл бұрын
Its fact but i belive sky he's too smart but case was too complicated
Safi sana ASMA jamaa anajua sana kuchambua mwenendo wa siasa za dunia kwa sasa 🤝🏾
Wanaogopa, hawana ubavu wa kusema, km wangelikua na uwezo basi wangelimtetea Gadafi lkn waliufyata na wanaendelea kuufyata.
Huyu jamaa ambae kavaa surual nyekundu,anavuruga point ya interview.
Unaelezea vizuri tatizo kingereza na kiswahili tuchagulie lugha moja kiswahilli tuu au kingereza usichanganye lugha
Guys you are very smart..i like you
nawakubali asante kwa part 2
Mwenye nyeupe kapuyanga tu ata sijamuelewa anatetea ujinga tu inaonekana ata school alifeli 😊
@nkwabicharles8752
2 жыл бұрын
jamaa ni daktari wa binadam ko hakufel kama unavyofikilia
Kwanini upande mmoja tu wakifanya Hawa Sawa na wengine sio Sawa
Huyu DJ sma ni moto wa kuotea mbali anaichambua historian anavyoijua yuko vizuri Jimmy unajiribu kutulisha matango pori lakini waafrika Siku izii ni waelewa na tunafatilia time will tell..we're waiting, and we're well aware maybe our chances on the way. .game will change anytime
Sky ni Kaka yangu kabisa na interact nae kwenye group ki masiahara sikua najua ana madini hivi mazito 😢 I love u brother
Sky Hao jamaa ni Noma wanajua,Nimejifunza mengi sana kupitia wao.love from Finland 🇫🇮🇫🇮🤝🙏
Mnaharibu kuiga sana kingereza
#Djsmaa umeupiga mwing sana Boyfriend 😍
Kutoka Kenya Mimi naitwa Dima Gayoye.uchambuzi wenu ni mzuri na unamafunzo ya kihistoria ya kimataifa.hongera sana
T. Shirt nyeupe jifunze sana bado unauzarendo na marekani kama unataka haki pande zonte mbili. Na kama una self hate hapo tutakuelewa.. Wengi wetu wote tulikuwa upande wa marekani..baadae ukifatilia unajua jambo marekani siku zote mdwanzi.. T. Shirt nyeupe bado yupo gizani..
Huyo boya anajua hata maana ya fifa kweli. Au hajui hata Uefa ni kitu gani.
Djsmaa i. Love this man
Dj sma 100% mwana mwngne 0%
Nadhani Djsma ni zaidi ya mchambuzi asee.Nondo alizo nazo ni .
Uyu Jimmy kdogo hayupo sawa
Kipara smaa ni nomaa
Smartness 💦
Kaka ulieva white t-shirt Western na genge lao kwanza wizi halafu ni wadini halafu waongo pia double standard kiujumla ni watu waovu
Dj sma 🔥
dj sma 🎉🎉🎉
✌️✌️✌️mwenye shat nyeusi nimekuelewa kuliko kawaida endelea kuwafungua watu hata maandiko yanasema mungu atawaleta watu wa kuwaeleza ukweli thabit na bado watapingwa ✌️✌️✌️uko sawa sana kiufahamu na akili 🤝🤝🤝🤝🤝mwenyezi mungu akuweke hai siku nyingi zaid
Huyo jamaa mwingine hajui kitu na kigugumizi chake
kipindi kizuri sana next session tunaomba tuchangie mada iwe live session
SumaA una tisha sana mwanangu wee ni Bonge Ramcha mbuzii nakubari
Black t-shirt umeupiga mwingi sana
Sky sky sky, leo umeniangusha bro. Huyo jamaa mwenye white na red amekutoa kwenye track. DJ Sma is very smart. Why ionekane Ukraine wanaonewa sana wakati Waafrica wenzetu wanaendelea kuuna na wala hakuna anayepaza sauti? Ukraine ndo kuna watoto na akina mama ila Libya, Syria, Afghanistan, Nigeria, Ethiopia, RDC, Somalia hakuna watoto na akina mama? Wewe mwenye nyeupe ni kibaraka wa mabeberu tu. Na elimu ulonayo hata haijakukomboa bado.
Woooh. Ndugu wakigombana shika jembe kalime vile wakipatana ludi shamba kavune. Ilove Russia 🪆🇷🇺 urrrraaaaaaaaa. Ilove 🇺🇦ilove🌍ilove 🇹🇿🙏
Dj suma anaongea ukweli kabisa
af uyu mwenzie ajui istoria
Sky mdogo wangu nakukubali sana
Skai vp hal?❤tumemissi iyikitu🇧🇮💐🌹
Huyu jamaa ajui kusimulia vizuri anachanganya marekani naita urusi na India anaita china 😂😂😂😂😂😂
napenda sana bck yuk sawa na red yuk right bt mbish
Djsmaa awekewe sanamu lake kwa kweli,, jamaa yuko vzr sana kiuchambuzi... Uyu mwenye t-shirt nyeupe Ni mchambua mchele tu
Djsma soo bright kwakweli
Wote wapo vizuri sana wageni
jamaa mwenye kigugumizi anazingua
dj sima yuko vizuli sana
Vita ya wenyewe kwa wenyewe africa imeanzishwa na magharjbi ya ulaya na america ndio maana hawana haja ya kutusaidia kumaliza vita
Them for them africans we have to stay away it's not our business they dont care about us two black handsome brother love you guys
Wabongo bhn iv mnaongea kwa watanzani walio soma au mbn kingeleza kingi Kuna watu hawajui icho na wanatamani kusikiliza nakuelew lakin kingeleza kingi nn hiii bro🇹🇿🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳💪🏿Swahili 💪🏿
Ongea tu kiswahili ni luga tamu sana acheni kujifanya wazungu 😂 na luga yenyewe auifahamu.
😂😂😂dogo anazingua sana
Am sorry to say this, ila Jimmy your points don’t make sense.
Madini
Nyie niwashenzi watumwa wa Lugha msijifanye mnajua saana kingereza Kama mjadara wenu niwakiswahili ongeeni Kiswahili kama nikingereza ongeeni Kiingereza. Kiswahili kinamaneno yakutosha msijifanye mnajua saana . Huo niutumwa!!!
Marekani ndo shinikizo la ukrain
Dj sam ako na ubongo ulokomaa hyo mwengine bdo mtoto atabisha bure na kutupotezea malengo aregee chuo akapanue ubongo wake
Mie nielelewa kw nini African hatupate msaada nikwba hamn saaaaman kwoo wazugu wanasamini mali za African na sio people kwhiyo sioni haja ya kuimizu eti African wasime kitu kw urussi waaje kabisa watiwe atabu na urussi nasie African tusoge pele maraisi wa African abao hawajielew jeshi piduweni only paka wakimaliza vta wakute 🌍africa imepiga hatuwa
Mbona muna maliza coversation with argument not debate.
libya ilipovamiwa viongozi wa africa pia walikaa kimya.na nyie watangazaji wa kiafrica kuna vita DRC, africa kati hamuongelei. why now?
Jamaa mwenye upara anajua anajua anajua tenaaaaa...kwa watz hatuwez jua ila mwenye upara anaongea facttttt na ndio ukweli ulivooooo
Haruna ISSA,ngoja kwanza nikasomee kiingereza nitakuja kuwasikiliza.
Haruna ISSA,mambo yakipamba moto,afrika italazishwa kuunga mkono Ukraine kwa vikwazo.
We jimmy nenda kaishi ukrain masna huelewi kafe kulekule.
Braza mtafutie Dj mtu mwenye ufahamu wa mambo sio mwenye hisia kali.Huyo jamaa hana anachojua zaidi ya kuwa na hisia kali hana point zenye nguvu
Yes double standard
✌️👏🏽👏🏽👏🏽🔊🔊👌
Kwanza wa africa wangekuwa nahakili wasinge usogeleya hatakidogo mzozohuho . Wanashindwa kujikomboa wenyewe kwanini wajihingize mbalikotehuko wanafahida ganina mzozohuho .
Jimmy hakuna kitu
Skywoka mm niko pamoja na wachambuzi wote hapo...lakini namuunga zaidi mkono djsmaa!!!! Ciz nmekuwa mfatiliaj wa mambo yq nyakati za mwisho...so namuelewa kwa kina sana na natamani kukutana nae ili tubadilishane mawazo....
uyu mwenye nguo nyeusi anaongea fact alafu mwenye nyeupe anabisha ujinga hawezi kimshinda kwa hoja (dj sma black tishet) wala ngeli hamshindi kenge mwenye nyeupe
@thisboyisgreat
2 жыл бұрын
Nakuoata ila ASHA matusi
@jacksonletema6071
2 жыл бұрын
Mwenye tshert nyeupe namuona kama mbwa haelewi kabisa anavuruga tu
Awa jamaa wana fix😅😅
Haruna ISSA,kwanini msaada ipewe serikali badala ya wakimbizi mh!Kuna walakin
Haruna ISSA,kwa mtazamo wenu nani hasa atakaye shinda?NATO au urus.
Ndio mana mm nasema ivi awa watu wote nikitu kimoja wanacho kifanya wanapunguza watu wote wamoja
Djsma anavitu sana huyo jamaa anatupotezea floo hajui huyo tumsikilize tu sma
Huyu jamaa mwenye nyeupe tishirt mbishi tu