VITA KUU KATI YA UONGO NA UKWELI. JODEVI PASCHAL CASSIAN VYA PAMBA MOTO

#0788871769 #0766998994 #call0688199370 #

Пікірлер: 68

  • @saidibaraka931
    @saidibaraka931 Жыл бұрын

    Mtumishi wa mungu tupo pamoja sana tu mpaka mwisho mahubiri yako yana nifariji sana tu maana unasema ukweli kabisa tu

  • @moseskayanda2739
    @moseskayanda2739 Жыл бұрын

    Brother, you have spoken the truth of God's word. Just keep going and don't be afraid. God will protect you. The Bible says your enemies will come before you in one way, but they will leave you in seven ways.

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 Жыл бұрын

    Hawaya kufanya kitu yesu akulinde

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 Жыл бұрын

    Amen ubarikiwe Sanaa mtumishi wa Mungu

  • @djbless6201
    @djbless6201 Жыл бұрын

    Deep Truth, ubarikiwe Evangelist Paschal Cassian

  • @sharnelluvinzu5090
    @sharnelluvinzu5090 Жыл бұрын

    Amen mtumishi , tangu nimjue huyu nabii mkuu, nilijua Sio mtumishi wa Mungu wa mbinguni na Wala SI mtu halisi , yeye na Zumaridi ni mapepo kwa mwili wa mwanadamu ,( demon reincarnate) watakupea zawadi ama msaada ukisha pokea msaada kutoka kwao lazima Kuna mapepo yatakufuata

  • @sofiaayeba6919
    @sofiaayeba6919 Жыл бұрын

    Amen tume barikiwa ❤❤

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Жыл бұрын

    Amina kweri kabisa powerful preaching

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Жыл бұрын

    Kweli âme onyesha ninabihi wauhongo ubarikiwe sana m tumishi kazana naukweli

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Жыл бұрын

    Yeremia 17:5 5Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu anayewatumaini wanadamu, Anayetegemea nguvu za wanadamu, Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.

  • @esthermoraa9701
    @esthermoraa9701 Жыл бұрын

    Sema wazima ndugu tufungue penye giza

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex Жыл бұрын

    Malaika WA mbinguni Wako pamoja na wewe Mtuishi endelea kuhubiri neno

  • @maenduthuleo4503
    @maenduthuleo45038 ай бұрын

    Hongera sana mtumushi unatu fumbuamacho na kubaliana namaneno yako watu kulr wanafuatatuu msaada lakin sio kwa mafundi sho

  • @simonmollel2727
    @simonmollel2727 Жыл бұрын

    Mungu akupiganie sana Mtumishi. Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa. Yamkini wote watakaokusanyana juu lakini si katika shauri la Bwana wataanguka

  • @chritinaphilip7439
    @chritinaphilip7439 Жыл бұрын

    Amina sana Bwana akubarik😊

  • @emilyrissling9703
    @emilyrissling9703 Жыл бұрын

    Ni mungu pekee anayestahili kuabuduwa,na kupigiwa magoti, sio mwanadamu, inatisha sana kuona watu wakipiga magoti kwa mwana damu

  • @mollyawuor6192
    @mollyawuor6192 Жыл бұрын

    Mungu aliye Hai atusaidie kujua ukweli

  • @imakubari-ko8du
    @imakubari-ko8du Жыл бұрын

    Kanisani Kwa nabi akuna roho wa mungu kbisa

  • @happey2878
    @happey2878 Жыл бұрын

    Amina sana

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Жыл бұрын

    Asante mungu kwakukupa nguvu zakuongea ukweli ❤

  • @user-fe9mh3hs4n
    @user-fe9mh3hs4n Жыл бұрын

    Amina ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @apollokidakule-vg3lz
    @apollokidakule-vg3lz Жыл бұрын

    Mtumishi msamehe nabii mkuu bado hajaijua kweli hajamkili yesu maana yake hajaokoka

  • @yohanamgogo-4616
    @yohanamgogo-4616 Жыл бұрын

    Nakupenda sana Mungu akupe nguvu,na uzidi kuwa na wivu wa kristo ubarikiwe,be blessed

  • @saidibaraka931
    @saidibaraka931 Жыл бұрын

    Ubarikiwe pia mtumishi wa mungu from 🇨🇩

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Жыл бұрын

    Amina ubarikiwe sana aliye katana neno euro la MUNGU utakaa wapi mille?

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Жыл бұрын

    Nakuelewa Sana mtumishi, YESU KRISTO akutie nguvu na kukutunza🙏

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 Жыл бұрын

    Amen amen

  • @yohanamgogo-4616
    @yohanamgogo-4616 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana ,ongea ukweli, nawa kabisaa

  • @yasintaraphael8334
    @yasintaraphael8334 Жыл бұрын

    Amina

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sanaa mtumishi,Mungu akupiganie

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 Жыл бұрын

    Vita Kuu ni Kati ya nuru na giza ,Kati ya wema na uovu NA si Kati ya Cassian na Geodave..( mwanadamu na mwanadamu)

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 Жыл бұрын

    Ubariwe mtumishi.

  • @aquinomsigwa6998
    @aquinomsigwa6998 Жыл бұрын

    Mpuuzi mmoja

  • @lillianmunyaka2417
    @lillianmunyaka2417 Жыл бұрын

    Ubalikiwe sanaa

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj Жыл бұрын

    Waambie hao manabii wa uongo wapiga hela hao mbona wanawasaidia watu wenye uwezo wanaacha kuwasaidia masikini waongo hao jaman

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 Жыл бұрын

    Leo ndiyo naelewa. Nilikuwa najiuliza huyu mbaba Mbona hasomagi biblia jamani. Hana hata aibu. Yaani hayuko kabisa rohoni. Mathew 24 linamhusu

  • @chany9950
    @chany9950 Жыл бұрын

    Asante papa 🙏🏾

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Жыл бұрын

    Huyu baba anawatoa watu wasiamini neno bibilia sasa yeye anaubiri ukristo gani, nakumbuka nilivyosikiliza Hii clip nilisikia harissa mnooo

  • @tamoneeliya5033
    @tamoneeliya5033 Жыл бұрын

    Amen

  • @IsaiahMuswahili
    @IsaiahMuswahili Жыл бұрын

    john1:14 nalo neno lilifanyika mwili.............

  • @mollyawuor6192
    @mollyawuor6192 Жыл бұрын

    Biblia limebeba maneno ya uzima nadhani kenye Iko ni viongozi wenye wanaongoza kutafsiri Biblia Dunia,Kuna maneno zingine waliondoa

  • @fauziajoseph643
    @fauziajoseph643 Жыл бұрын

    Amen in jesus christ.

  • @manenoeliassimkoko4607

    @manenoeliassimkoko4607

    Жыл бұрын

    Amina mtumishi SEMA kweli Ili tupone

  • @hurumalunda2490
    @hurumalunda2490 Жыл бұрын

    🙏🙏

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo Жыл бұрын

    Tatzo watu n wavivu kuomba tunapenda kuombewa hata wakipakwa mafuta ya bebcare fresh

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Жыл бұрын

    Omg!

  • @nsumbumakala6905
    @nsumbumakala6905 Жыл бұрын

    Huyu pasian mahubili yake ni kumhubili Nabii geordev hauna mahubili yaMungu wewe sasa unambingu zako, unashida naye utahangaika sana mpumbavu,

  • @maenduthuleo4503
    @maenduthuleo45038 ай бұрын

    Nataman sikumoja uje kanisan kwetu tutafurai kuku pata mgen kamawewe

  • @imakubari-ko8du
    @imakubari-ko8du Жыл бұрын

    Watu wamefungwaa na mwiri wa kondoo

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 Жыл бұрын

    Yesutu njonjia ya kweki na uzima

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Жыл бұрын

    Huyu nabii anawaleta wengi kuzimu akuna mtu anaetembeza pesa ovyo

  • @nsumbumakala6905
    @nsumbumakala6905 Жыл бұрын

    Umekosa maneno yakuwshubilia waumini wako ili iweje unatafuta nini kwa nabii, peleka umbea wako wewe ndo utaenda jehanam maanaumebakikuwasema watumishi mpumbavu,wewe,

  • @nsumbumakala6905
    @nsumbumakala6905 Жыл бұрын

    Wewe Cassian ulikuwa bongo seshi juzi tu nikakupigia nakula kwa bidii hadi ukapita kumbe shetani kabisa lichawi likubwa unamtukana Nabii mkuu MTU aliye teuliwa naMungu leo wewe unajidal kuwa wewe ndo unahaki mbele za Mungu kwenda zako Acha kujifanya kama ndo una mbingu zakuwapeleka watu kwenda zako umeshindwa kuhubili neno unabaki kuwasema watumishi wewe unaukweli gani? Mpumbavu kabisa kichaa kabisa peleeka

  • @emmanuelkube449

    @emmanuelkube449

    Жыл бұрын

    Kwan we nae umepew gari, naona unatetea mashetan hao, acha atimize wito wake tatizo nyinyi njaa zenu zitawapeleka moton mtafuten Mung wa kwel co wa kugawa hela mazabahun

  • @1stnews283
    @1stnews283 Жыл бұрын

    Nabii ajaongea baya amesema kwa facts....kulingana na wakati, utawala na geography za wakati huo

  • @apollokidakule-vg3lz

    @apollokidakule-vg3lz

    Жыл бұрын

    Hujaelewa vizuri msikilize vizuri uelewe

  • @williammasesya2363

    @williammasesya2363

    Жыл бұрын

    Nyakati za mwisho shetani anafanya kazi Kwa uwazi ili mtu achague njia ya kweli au ya uongo ili haki ya Mungu ijulikane atakapohukumu Kwa haki mtu asije skalaumu Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo endelea kusema kweli Amina Mtumishi wa Bwana Yesu Christo

  • @1stnews283

    @1stnews283

    Жыл бұрын

    @@apollokidakule-vg3lz Nimsikilize nini ....ivi ushaona waislamu wanalumbana kama sisi wakristo, kila siku mada zake hizi hizi anatafuta kik ...kuweni wajanja kama mataifa

  • @apollokidakule-vg3lz

    @apollokidakule-vg3lz

    Жыл бұрын

    Hawezi kupinga biblia akasema yeye ndio nabii amesimama msingi upi akajikuta nabii mkuu wakati amepinga neno

  • @chritinaphilip7439

    @chritinaphilip7439

    Жыл бұрын

    ​@@1stnews283😂😂😂jaman wewe Bwana akusaidie

  • @ShedrackLema-te2mu
    @ShedrackLema-te2mu Жыл бұрын

    Ukweli maubiri yako yanafundisha ukweli mungu amekujenga juuyamwamba autatikisika wajie maaduy zako watashindana nawwe lakini awatakushinda

  • @danielwekesa577
    @danielwekesa577 Жыл бұрын

    Amina

  • @noelmtumishi7895
    @noelmtumishi78955 ай бұрын

    Amina

  • @lovenessvedastus8477
    @lovenessvedastus8477 Жыл бұрын

    Amina

  • @berhamyegela1787

    @berhamyegela1787

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe mt usiogope.onya .karipia.kemea

  • @selestinamranda3512

    @selestinamranda3512

    Жыл бұрын

    BARIKIWA MTUMISHI WA JEHOVA,HII NDIO INJILI YA KWELI ,UNALISHA WATU MAZIWA YASIYOGHOSHIWA,YESU FUNGUA WATU WAKO

Келесі