VITA KUU KATI YA UONGO NA UKWELI. JODEVI PASCHAL CASSIAN VYA PAMBA MOTO
#0788871769 #0766998994 #call0688199370 #
Жүктеу.....
Пікірлер: 68
@saidibaraka931 Жыл бұрын
Mtumishi wa mungu tupo pamoja sana tu mpaka mwisho mahubiri yako yana nifariji sana tu maana unasema ukweli kabisa tu
@moseskayanda2739 Жыл бұрын
Brother, you have spoken the truth of God's word. Just keep going and don't be afraid. God will protect you. The Bible says your enemies will come before you in one way, but they will leave you in seven ways.
@salimajosephine1673 Жыл бұрын
Hawaya kufanya kitu yesu akulinde
@julianawanjala6495 Жыл бұрын
Amen ubarikiwe Sanaa mtumishi wa Mungu
@djbless6201 Жыл бұрын
Deep Truth, ubarikiwe Evangelist Paschal Cassian
@sharnelluvinzu5090 Жыл бұрын
Amen mtumishi , tangu nimjue huyu nabii mkuu, nilijua Sio mtumishi wa Mungu wa mbinguni na Wala SI mtu halisi , yeye na Zumaridi ni mapepo kwa mwili wa mwanadamu ,( demon reincarnate) watakupea zawadi ama msaada ukisha pokea msaada kutoka kwao lazima Kuna mapepo yatakufuata
@sofiaayeba6919 Жыл бұрын
Amen tume barikiwa ❤❤
@estonmnthali3719 Жыл бұрын
Amina kweri kabisa powerful preaching
@failaprince9250 Жыл бұрын
Kweli âme onyesha ninabihi wauhongo ubarikiwe sana m tumishi kazana naukweli
@estonmnthali3719 Жыл бұрын
Yeremia 17:5 5Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu anayewatumaini wanadamu, Anayetegemea nguvu za wanadamu, Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.
@esthermoraa9701 Жыл бұрын
Sema wazima ndugu tufungue penye giza
@jameskenzedex Жыл бұрын
Malaika WA mbinguni Wako pamoja na wewe Mtuishi endelea kuhubiri neno
@maenduthuleo45038 ай бұрын
Hongera sana mtumushi unatu fumbuamacho na kubaliana namaneno yako watu kulr wanafuatatuu msaada lakin sio kwa mafundi sho
@simonmollel2727 Жыл бұрын
Mungu akupiganie sana Mtumishi. Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa. Yamkini wote watakaokusanyana juu lakini si katika shauri la Bwana wataanguka
@chritinaphilip7439 Жыл бұрын
Amina sana Bwana akubarik😊
@emilyrissling9703 Жыл бұрын
Ni mungu pekee anayestahili kuabuduwa,na kupigiwa magoti, sio mwanadamu, inatisha sana kuona watu wakipiga magoti kwa mwana damu
@mollyawuor6192 Жыл бұрын
Mungu aliye Hai atusaidie kujua ukweli
@imakubari-ko8du Жыл бұрын
Kanisani Kwa nabi akuna roho wa mungu kbisa
@happey2878 Жыл бұрын
Amina sana
@janetchinga695 Жыл бұрын
Asante mungu kwakukupa nguvu zakuongea ukweli ❤
@user-fe9mh3hs4n Жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@apollokidakule-vg3lz Жыл бұрын
Mtumishi msamehe nabii mkuu bado hajaijua kweli hajamkili yesu maana yake hajaokoka
@yohanamgogo-4616 Жыл бұрын
Nakupenda sana Mungu akupe nguvu,na uzidi kuwa na wivu wa kristo ubarikiwe,be blessed
@saidibaraka931 Жыл бұрын
Ubarikiwe pia mtumishi wa mungu from 🇨🇩
@failaprince9250 Жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana aliye katana neno euro la MUNGU utakaa wapi mille?
@jeremiatitus4414 Жыл бұрын
Nakuelewa Sana mtumishi, YESU KRISTO akutie nguvu na kukutunza🙏
@rmaryp6269 Жыл бұрын
Amen amen
@yohanamgogo-4616 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana ,ongea ukweli, nawa kabisaa
@yasintaraphael8334 Жыл бұрын
Amina
@justerkamala3933 Жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa mtumishi,Mungu akupiganie
@thomasnyarusanda2608 Жыл бұрын
Vita Kuu ni Kati ya nuru na giza ,Kati ya wema na uovu NA si Kati ya Cassian na Geodave..( mwanadamu na mwanadamu)
@henrysizya239 Жыл бұрын
Ubariwe mtumishi.
@aquinomsigwa6998 Жыл бұрын
Mpuuzi mmoja
@lillianmunyaka2417 Жыл бұрын
Ubalikiwe sanaa
@LusajoMwajeka-tf1nj Жыл бұрын
Waambie hao manabii wa uongo wapiga hela hao mbona wanawasaidia watu wenye uwezo wanaacha kuwasaidia masikini waongo hao jaman
@maryfranknamkumba9182 Жыл бұрын
Leo ndiyo naelewa. Nilikuwa najiuliza huyu mbaba Mbona hasomagi biblia jamani. Hana hata aibu. Yaani hayuko kabisa rohoni. Mathew 24 linamhusu
@chany9950 Жыл бұрын
Asante papa 🙏🏾
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Huyu baba anawatoa watu wasiamini neno bibilia sasa yeye anaubiri ukristo gani, nakumbuka nilivyosikiliza Hii clip nilisikia harissa mnooo
@tamoneeliya5033 Жыл бұрын
Amen
@IsaiahMuswahili Жыл бұрын
john1:14 nalo neno lilifanyika mwili.............
@mollyawuor6192 Жыл бұрын
Biblia limebeba maneno ya uzima nadhani kenye Iko ni viongozi wenye wanaongoza kutafsiri Biblia Dunia,Kuna maneno zingine waliondoa
@fauziajoseph643 Жыл бұрын
Amen in jesus christ.
@manenoeliassimkoko4607
Жыл бұрын
Amina mtumishi SEMA kweli Ili tupone
@hurumalunda2490 Жыл бұрын
🙏🙏
@isacksimonmahungilo Жыл бұрын
Tatzo watu n wavivu kuomba tunapenda kuombewa hata wakipakwa mafuta ya bebcare fresh
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
Omg!
@nsumbumakala6905 Жыл бұрын
Huyu pasian mahubili yake ni kumhubili Nabii geordev hauna mahubili yaMungu wewe sasa unambingu zako, unashida naye utahangaika sana mpumbavu,
Wewe Cassian ulikuwa bongo seshi juzi tu nikakupigia nakula kwa bidii hadi ukapita kumbe shetani kabisa lichawi likubwa unamtukana Nabii mkuu MTU aliye teuliwa naMungu leo wewe unajidal kuwa wewe ndo unahaki mbele za Mungu kwenda zako Acha kujifanya kama ndo una mbingu zakuwapeleka watu kwenda zako umeshindwa kuhubili neno unabaki kuwasema watumishi wewe unaukweli gani? Mpumbavu kabisa kichaa kabisa peleeka
@emmanuelkube449
Жыл бұрын
Kwan we nae umepew gari, naona unatetea mashetan hao, acha atimize wito wake tatizo nyinyi njaa zenu zitawapeleka moton mtafuten Mung wa kwel co wa kugawa hela mazabahun
@1stnews283 Жыл бұрын
Nabii ajaongea baya amesema kwa facts....kulingana na wakati, utawala na geography za wakati huo
@apollokidakule-vg3lz
Жыл бұрын
Hujaelewa vizuri msikilize vizuri uelewe
@williammasesya2363
Жыл бұрын
Nyakati za mwisho shetani anafanya kazi Kwa uwazi ili mtu achague njia ya kweli au ya uongo ili haki ya Mungu ijulikane atakapohukumu Kwa haki mtu asije skalaumu Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo endelea kusema kweli Amina Mtumishi wa Bwana Yesu Christo
@1stnews283
Жыл бұрын
@@apollokidakule-vg3lz Nimsikilize nini ....ivi ushaona waislamu wanalumbana kama sisi wakristo, kila siku mada zake hizi hizi anatafuta kik ...kuweni wajanja kama mataifa
@apollokidakule-vg3lz
Жыл бұрын
Hawezi kupinga biblia akasema yeye ndio nabii amesimama msingi upi akajikuta nabii mkuu wakati amepinga neno
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@1stnews283😂😂😂jaman wewe Bwana akusaidie
@ShedrackLema-te2mu Жыл бұрын
Ukweli maubiri yako yanafundisha ukweli mungu amekujenga juuyamwamba autatikisika wajie maaduy zako watashindana nawwe lakini awatakushinda
@danielwekesa577 Жыл бұрын
Amina
@noelmtumishi78955 ай бұрын
Amina
@lovenessvedastus8477 Жыл бұрын
Amina
@berhamyegela1787
Жыл бұрын
Ubarikiwe mt usiogope.onya .karipia.kemea
@selestinamranda3512
Жыл бұрын
BARIKIWA MTUMISHI WA JEHOVA,HII NDIO INJILI YA KWELI ,UNALISHA WATU MAZIWA YASIYOGHOSHIWA,YESU FUNGUA WATU WAKO
Пікірлер: 68
Mtumishi wa mungu tupo pamoja sana tu mpaka mwisho mahubiri yako yana nifariji sana tu maana unasema ukweli kabisa tu
Brother, you have spoken the truth of God's word. Just keep going and don't be afraid. God will protect you. The Bible says your enemies will come before you in one way, but they will leave you in seven ways.
Hawaya kufanya kitu yesu akulinde
Amen ubarikiwe Sanaa mtumishi wa Mungu
Deep Truth, ubarikiwe Evangelist Paschal Cassian
Amen mtumishi , tangu nimjue huyu nabii mkuu, nilijua Sio mtumishi wa Mungu wa mbinguni na Wala SI mtu halisi , yeye na Zumaridi ni mapepo kwa mwili wa mwanadamu ,( demon reincarnate) watakupea zawadi ama msaada ukisha pokea msaada kutoka kwao lazima Kuna mapepo yatakufuata
Amen tume barikiwa ❤❤
Amina kweri kabisa powerful preaching
Kweli âme onyesha ninabihi wauhongo ubarikiwe sana m tumishi kazana naukweli
Yeremia 17:5 5Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu anayewatumaini wanadamu, Anayetegemea nguvu za wanadamu, Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.
Sema wazima ndugu tufungue penye giza
Malaika WA mbinguni Wako pamoja na wewe Mtuishi endelea kuhubiri neno
Hongera sana mtumushi unatu fumbuamacho na kubaliana namaneno yako watu kulr wanafuatatuu msaada lakin sio kwa mafundi sho
Mungu akupiganie sana Mtumishi. Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa. Yamkini wote watakaokusanyana juu lakini si katika shauri la Bwana wataanguka
Amina sana Bwana akubarik😊
Ni mungu pekee anayestahili kuabuduwa,na kupigiwa magoti, sio mwanadamu, inatisha sana kuona watu wakipiga magoti kwa mwana damu
Mungu aliye Hai atusaidie kujua ukweli
Kanisani Kwa nabi akuna roho wa mungu kbisa
Amina sana
Asante mungu kwakukupa nguvu zakuongea ukweli ❤
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Mtumishi msamehe nabii mkuu bado hajaijua kweli hajamkili yesu maana yake hajaokoka
Nakupenda sana Mungu akupe nguvu,na uzidi kuwa na wivu wa kristo ubarikiwe,be blessed
Ubarikiwe pia mtumishi wa mungu from 🇨🇩
Amina ubarikiwe sana aliye katana neno euro la MUNGU utakaa wapi mille?
Nakuelewa Sana mtumishi, YESU KRISTO akutie nguvu na kukutunza🙏
Amen amen
Ubarikiwe sana ,ongea ukweli, nawa kabisaa
Amina
Ubarikiwe sanaa mtumishi,Mungu akupiganie
Vita Kuu ni Kati ya nuru na giza ,Kati ya wema na uovu NA si Kati ya Cassian na Geodave..( mwanadamu na mwanadamu)
Ubariwe mtumishi.
Mpuuzi mmoja
Ubalikiwe sanaa
Waambie hao manabii wa uongo wapiga hela hao mbona wanawasaidia watu wenye uwezo wanaacha kuwasaidia masikini waongo hao jaman
Leo ndiyo naelewa. Nilikuwa najiuliza huyu mbaba Mbona hasomagi biblia jamani. Hana hata aibu. Yaani hayuko kabisa rohoni. Mathew 24 linamhusu
Asante papa 🙏🏾
Huyu baba anawatoa watu wasiamini neno bibilia sasa yeye anaubiri ukristo gani, nakumbuka nilivyosikiliza Hii clip nilisikia harissa mnooo
Amen
john1:14 nalo neno lilifanyika mwili.............
Biblia limebeba maneno ya uzima nadhani kenye Iko ni viongozi wenye wanaongoza kutafsiri Biblia Dunia,Kuna maneno zingine waliondoa
Amen in jesus christ.
@manenoeliassimkoko4607
Жыл бұрын
Amina mtumishi SEMA kweli Ili tupone
🙏🙏
Tatzo watu n wavivu kuomba tunapenda kuombewa hata wakipakwa mafuta ya bebcare fresh
Omg!
Huyu pasian mahubili yake ni kumhubili Nabii geordev hauna mahubili yaMungu wewe sasa unambingu zako, unashida naye utahangaika sana mpumbavu,
Nataman sikumoja uje kanisan kwetu tutafurai kuku pata mgen kamawewe
Watu wamefungwaa na mwiri wa kondoo
Yesutu njonjia ya kweki na uzima
Huyu nabii anawaleta wengi kuzimu akuna mtu anaetembeza pesa ovyo
Umekosa maneno yakuwshubilia waumini wako ili iweje unatafuta nini kwa nabii, peleka umbea wako wewe ndo utaenda jehanam maanaumebakikuwasema watumishi mpumbavu,wewe,
Wewe Cassian ulikuwa bongo seshi juzi tu nikakupigia nakula kwa bidii hadi ukapita kumbe shetani kabisa lichawi likubwa unamtukana Nabii mkuu MTU aliye teuliwa naMungu leo wewe unajidal kuwa wewe ndo unahaki mbele za Mungu kwenda zako Acha kujifanya kama ndo una mbingu zakuwapeleka watu kwenda zako umeshindwa kuhubili neno unabaki kuwasema watumishi wewe unaukweli gani? Mpumbavu kabisa kichaa kabisa peleeka
@emmanuelkube449
Жыл бұрын
Kwan we nae umepew gari, naona unatetea mashetan hao, acha atimize wito wake tatizo nyinyi njaa zenu zitawapeleka moton mtafuten Mung wa kwel co wa kugawa hela mazabahun
Nabii ajaongea baya amesema kwa facts....kulingana na wakati, utawala na geography za wakati huo
@apollokidakule-vg3lz
Жыл бұрын
Hujaelewa vizuri msikilize vizuri uelewe
@williammasesya2363
Жыл бұрын
Nyakati za mwisho shetani anafanya kazi Kwa uwazi ili mtu achague njia ya kweli au ya uongo ili haki ya Mungu ijulikane atakapohukumu Kwa haki mtu asije skalaumu Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo endelea kusema kweli Amina Mtumishi wa Bwana Yesu Christo
@1stnews283
Жыл бұрын
@@apollokidakule-vg3lz Nimsikilize nini ....ivi ushaona waislamu wanalumbana kama sisi wakristo, kila siku mada zake hizi hizi anatafuta kik ...kuweni wajanja kama mataifa
@apollokidakule-vg3lz
Жыл бұрын
Hawezi kupinga biblia akasema yeye ndio nabii amesimama msingi upi akajikuta nabii mkuu wakati amepinga neno
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@1stnews283😂😂😂jaman wewe Bwana akusaidie
Ukweli maubiri yako yanafundisha ukweli mungu amekujenga juuyamwamba autatikisika wajie maaduy zako watashindana nawwe lakini awatakushinda
Amina
Amina
Amina
@berhamyegela1787
Жыл бұрын
Ubarikiwe mt usiogope.onya .karipia.kemea
@selestinamranda3512
Жыл бұрын
BARIKIWA MTUMISHI WA JEHOVA,HII NDIO INJILI YA KWELI ,UNALISHA WATU MAZIWA YASIYOGHOSHIWA,YESU FUNGUA WATU WAKO