VITA KALI YA MANENO STEVE MWEUSI NI MCHAWI SHAFII BRAND ADAI MSEMO WA KULA TU KUOGA AAAH

Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that

Пікірлер: 81

  • @user-mg8jn4pc6n
    @user-mg8jn4pc6n20 сағат бұрын

    Steve simuogop ndionini. We shafii unatafta kiki ujulikane

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm7 күн бұрын

    Kuiba misemo ya watu tu kutunga wako Aaaaah 😅😅😅

  • @User7700
    @User77003 күн бұрын

    Msemo ni wa SHAFI BLAND jamaniiiiiiii uyo steve mzee ni mwizi tuu eleweni ilooo😢

  • @User7700
    @User77003 күн бұрын

    Kugombania msemo tuu kuunda mwingine aaaah😅

  • @user-dy9tg3bp4w
    @user-dy9tg3bp4w7 күн бұрын

    Tukiagalia comedian mwenye misemo mikali ambayo ipo mjini adi sasa ni ndaro tu 🔥🔥

  • @Khamisame-k4l
    @Khamisame-k4lКүн бұрын

    Hili shafii kama jing dume steven humuwez wewe💪💪

  • @user-kq1gn8zi8x
    @user-kq1gn8zi8x8 күн бұрын

    Wabongo tufanye kaz tuaacheni marumbano

  • @OlgaChirezi-qt1pg
    @OlgaChirezi-qt1pg4 күн бұрын

    Achana na mweusi wew that guy is a memory

  • @mwamba27tv
    @mwamba27tv8 күн бұрын

    Msemo sio kupendwa shida aliyepresent ndo tunamkubaliii

  • @KANUMBAMASINDE
    @KANUMBAMASINDE7 күн бұрын

    ACHA IZO WEWE TAFTA NJIA NYINGINE YA KUTOKEA STIVE ANA AIDIA NYINGI SANA AWEZ KUKUIBIA WEWE AIDIA

  • @MdUsman-nz6sd

    @MdUsman-nz6sd

    Күн бұрын

    Ebwana kwanza shafii hafanani na huo msemo kabisa

  • @AlexanderMairo
    @AlexanderMairo13 сағат бұрын

    Dahaaa shafii nilikuwa nakuamini Ila umezgua Sana dahaaa ujafanya pw Kaka unamchafua stive mbn Hana baya

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina7 күн бұрын

    Shafii Brand wewe bado mtoto kwa Steven mweusi tulia

  • @ErickWambura-dv1if
    @ErickWambura-dv1if23 сағат бұрын

    Acha usenge wewe shafii kumamae tafuta hela Acha kumchungamia mfalme wako stiv ndo baba enu ko mnabidi mumueshim huyo ni baba ako najua unatafuta Kiki mbwa ww stiv mweusi is our hero and we ❤❤ him..

  • @newprecious5487
    @newprecious54878 күн бұрын

    Yaan wewe Mara Nimemwambia Steve mwezi wa kwanza wakat Anatoka Kushoot Mara nimepot mwezi wa nne Mara nimemuachia now wasema Uwez kubali Kesho mwaenda mahamaniiii acheni Kiki mashavuuuu

  • @IdarousPossy

    @IdarousPossy

    2 күн бұрын

    Hiv umesoma kwel wee?mbona hujui kuandika kabisa yan kabisa hujui kuandika ulichokiongea hata akielewek

  • @Perfect-migomigo

    @Perfect-migomigo

    Күн бұрын

    Yeah Kweli kbs hajuwi kuandika😂😂​@@IdarousPossy

  • @IdarousPossy

    @IdarousPossy

    Күн бұрын

    @@Perfect-migomigo hahahahh

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986Күн бұрын

    Kwahiyo watu wote wa buza ni hamnazo maana unavosema buzaa inaonekana wanaoish watu wasojielewa pls tuachie buza yetu

  • @mwamba27tv
    @mwamba27tv8 күн бұрын

    Kwenye crip ganii ulianza bhana achaa uongoo wewe fanya kazii ufanikiwe steve kakuzidi vingapi bhana

  • @PulseBeat-jd9lq

    @PulseBeat-jd9lq

    8 күн бұрын

    shafii mjinga

  • @PauloLusasi
    @PauloLusasi3 күн бұрын

    Mbona unamsema mwezio ww kama hujafanikowa kubali😅🎉😂😂❤❤

  • @user-vv2jy6gx6n
    @user-vv2jy6gx6nКүн бұрын

    Mwaka 1989 mama aliwahi kunambia nacheza tu kuogaa aaahh,wewe shafii ulikuepo mwaka huo au ujinga unakusumbua kwo umeiba msemo wa mama

  • @AociMvukie-bn1uh
    @AociMvukie-bn1uh7 күн бұрын

    kuiba misemo ya watu pumbavu

  • @user-ii4ek1in9q
    @user-ii4ek1in9q4 күн бұрын

    Uyooo jamaa ni chizi analilia misemo kwaiyo mungu yye ndio amempa maneno uyooo safiii ni chokoooo

  • @KANUMBAMASINDE
    @KANUMBAMASINDE7 күн бұрын

    SASA KAMA JANWALI MBONA ATUKUUSIKIA KWAKO TUMEUSIKIA KWA STIVE AYA SAWA NI WAKO LAKIN USICHOKIJUA AIDIA UA ZINATOKANA NA WATU NDIO LAKIN JE STIVE ASINGE UFANYA UO MSEMO KUJULIJKANA TUNGEUJUA DOGO ACHA UJINGA KWANZA STIVE KAKUSAIDIA SIJUA BILA STIVE SAIVE UNGETUA UNATUMIA KIKI GANI MSHUKURU

  • @MapishiKujifunza
    @MapishiKujifunzaКүн бұрын

    Stev aliishiwa kwel alikuwa ata achekeshi sana kipindi hich

  • @MayilaHaruna
    @MayilaHaruna8 сағат бұрын

    Kusemasematuu kuoga aaah! We shafi pimbi stive ni mkali na ww pambana kivyako

  • @user-zk1sc8fi5p
    @user-zk1sc8fi5p9 сағат бұрын

    Wewe shafi ujinga 2 kuimba aaaaaaaah 😂😂😂😂eti asifike mshamba nn Wewe mwehu umeshindwa kubali broo 😂😂😂lkin pole 😅😅

  • @totobest6913
    @totobest69132 күн бұрын

    Wewe jinga umshinde stivu

  • @JamlickKiogora
    @JamlickKiogora6 күн бұрын

    Huyu jamaa akona shinda, Steve Mweusi ni baba yao aseme ni pesa tuh anataka,ata ikiwa msemo ni wake ndio nini ? Tulia wewe ni mtoto mdogo sana

  • @saumunassor1507
    @saumunassor1507Күн бұрын

    Wacha shobo,, au mikazo ziro humpati steve hata ufanyeje umbea tu kufanya yako aaaaah!😂😂😂😂

  • @rithajerome1070
    @rithajerome10703 күн бұрын

    Ww humuwez Steve Kwa lolote mwenzio amejipata wivu tu kuoga aaaah

  • @ELKANAMUSTO
    @ELKANAMUSTO2 күн бұрын

    Wivu aaah

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo7 күн бұрын

    Acha ujinga wew

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9fКүн бұрын

    Ana wivu huyu jamaa

  • @fatumahaji4998
    @fatumahaji499819 сағат бұрын

    Uo msemo niwakwangu mim shafii iyo misemo imeongelewa toka miaka iliopta😅

  • @KANUMBAMASINDE
    @KANUMBAMASINDE7 күн бұрын

    SAWA TUFANYE NI WAKO KO WE UNATAKAJE SASA

  • @EdiAboolo
    @EdiAboolo6 күн бұрын

    SHAFII WEWE NIWA KIKE KILA SIKU UNAJISEMESHA KWENYE TV

  • @IbrahimAli-nr3qz
    @IbrahimAli-nr3qz7 күн бұрын

    Msemo wa stivu bhana wako aaah

  • @nyereremkama3845
    @nyereremkama38457 күн бұрын

    Acha zako wewe Steve mweusi humuwezi

  • @silassebastian229
    @silassebastian229Күн бұрын

    Shafii mjinga ww usiwatishe wasanii wetu mbwa wewe

  • @coolbwoy7183
    @coolbwoy7183Күн бұрын

    Hamna kitu humu

  • @LudovickSilas
    @LudovickSilas2 күн бұрын

    Ww ndio kichaaa mashamba ww

  • @Marombe32
    @Marombe326 күн бұрын

    Mbona Tanzania 🇹🇿 muna nishangaza,, kisa musemwa thu ?? Mbona sisi 🇨🇩 🇨🇩 Congo DRC tuna ibiayana misemwa tu mingi lakini hatu post ??

  • @TemboTembo-l4g
    @TemboTembo-l4g13 сағат бұрын

    ww hebu ongea ukwel bx acha kudanganya

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm7 күн бұрын

    Achaa unafki bro.

  • @KANUMBAMASINDE
    @KANUMBAMASINDE7 күн бұрын

    KWELI WATU WAKIKUAMIN WATAOTEA ASE

  • @DEEMANDIZZOH10
    @DEEMANDIZZOH107 күн бұрын

    huyu jamaa ashaanza kuchanganyikiwa sio bure yan anavyoongea utasema mtu

  • @nmasare9364
    @nmasare93647 күн бұрын

    Haya tufanye huo msemo ni wako alaf ndo unamzidi Steve nini

  • @fbensony

    @fbensony

    Күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @roberttarimo4956
    @roberttarimo49568 күн бұрын

    Acha maneno fanyakazi, umiza kichwa achajungu njoo na msemo mwingine sasa kama hujanahatisha

  • @MdUsman-nz6sd
    @MdUsman-nz6sdКүн бұрын

    Stivu nisikilize dogo hajui ngumi huyo na ndio maana pale uwanjan alirusha ngumi kwa vile kaona watetezi wapo mbona hajaja77 mchumba tu huyo mweusi endeleza fani achana na mweupe uyo

  • @user-wu4eq1tv4h
    @user-wu4eq1tv4h2 күн бұрын

    Mbna ww ndo kama mzee

  • @FilbertHabashi-zn1qu
    @FilbertHabashi-zn1qu8 күн бұрын

    Kwa hyo una maanisha tunaokaa buza tuna shida gan,,,, msenge kweli wwe...

  • @MaryWayuuwa
    @MaryWayuuwa23 сағат бұрын

    😂😂😂😂mmi niko hapo kwa wembamba wa kurongwa 😂😂wenye matatizo sio sisi wakenya wachokozi kweli ssa Daro nae ukonde wake umekua wa kurongwa surely 😂😂😂😂😂😂

  • @sultanjames9395
    @sultanjames93957 күн бұрын

    We hujielewei, kwa hiyo wa buza ndio hawajielewi.

  • @jimmycool1495
    @jimmycool14957 сағат бұрын

    unaweza ukawa unaongea ukweli lakini umechelewa wacha tu

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs9 сағат бұрын

    😅😅😅😅

  • @totobest6913
    @totobest69132 күн бұрын

    Muongo mkubwa

  • @MdUsman-nz6sd
    @MdUsman-nz6sdКүн бұрын

    Wewe mwili tu huo ngumi huwezi wewe mbona hujaenda 77

  • @ElizabethShandrack
    @ElizabethShandrack2 сағат бұрын

    Wew muone minywele ulikua wap kutoa wimbo wako

  • @totobest6913
    @totobest69132 күн бұрын

    Muongo wataka kutaka kiki huna lolote

  • @FelixVirtumino-yf6xu
    @FelixVirtumino-yf6xu7 күн бұрын

    😅😂😂🤫🤫🤫

  • @user-wu4eq1tv4h
    @user-wu4eq1tv4h2 күн бұрын

    Upumbavu tu

  • @NaimaHamad-dv1ji
    @NaimaHamad-dv1ji7 күн бұрын

    Ebu wacha ujinga ww huna lolote kujigamba tu😏😏😏😏

  • @ChiliHelman-yv4re
    @ChiliHelman-yv4reКүн бұрын

    Msijui kwaujinga wenu kunakitu mnaongeza wenye akili wanatoka wejinga wenzenu ndomtakuwa nawo

  • @Farisrashidi
    @Farisrashidi5 күн бұрын

    Uyo muong bwan steve ndo wake ww hujuw bwan

  • @festusbokoro1615
    @festusbokoro16157 күн бұрын

    Wwe ni mbwa tu Kuna clip za Steve za kwaka Jana na aliongea huo msemo wwe uko na laana

  • @festusbokoro1615
    @festusbokoro16157 күн бұрын

    Wakuandame wwe Kwa lipi mbwa wwe

  • @HilarioCosta-up6kc
    @HilarioCosta-up6kc3 күн бұрын

    Umeiba wewe kaka

  • @mansoorburuhan6791
    @mansoorburuhan67912 күн бұрын

    shafii acha mambo ya ajabu Akina diamond wamecopy mambo mangapi na wakasemwa ...? mara ndaro karogwa mara nn pelekeshaga uko mshenzi, uko unanin cha ajabu sasa...... tafuta content na sio kuwasema wenzio utaaibika..... mbwa wew😅😅

  • @jafarinauma6798
    @jafarinauma6798Күн бұрын

    Kuwa na akili wewe bwege usitengeneze bifu na watu wote wa Buza huna akili kabisa jitahidi kujua jinsi ya kuongea katika media

  • @bitangaabwe3441
    @bitangaabwe34416 күн бұрын

    Mdomo wewe huna lolote

  • @user-so9uu4gk6w
    @user-so9uu4gk6w2 күн бұрын

    Wabongo Muna penda Kiki video p**** Guy wabongo NI wajinga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-wl8fg8ne1f
    @user-wl8fg8ne1f7 күн бұрын

    Acha ushamba msemo wa Steve mweusi

  • @User7700
    @User77003 күн бұрын

    Msemo ni wa SHAFI BLAND jamaniiiiiiii uyo steve mzee ni mwizi tuu eleweni ilooo😢

  • @mansoorburuhan6791

    @mansoorburuhan6791

    2 күн бұрын

    kakuibia nn?

  • @User7700

    @User7700

    2 күн бұрын

    @@mansoorburuhan6791 maisha

  • @User7700

    @User7700

    7 сағат бұрын

    @@mansoorburuhan6791 maisha