Viongozi wa ODM waunga mkono kauli ya Raila ya kuwataka wakenya kukumbatia mazungumzo

Baadhi ya viongozi wa chama cha ODM kutoka Nyanza wameunga mkono kauli ya kinara wa Azimio Raila Odinga kuwataka wananchi wakumbatie mazungumzo ya kitaifa yanayolenga kushirikisha watu 150 kutoka sekta mbalimbali wakiwemo vijana. viongozi hao wanasema kuw amasuala ambayo vijana wanapigania yatatuliwe ni yale yale ambayo viongozi wa kisiasa na hasa wa upinzani wamekuwa wakiyapigania.

Пікірлер: 46

  • @Toni-gh5dx
    @Toni-gh5dx26 күн бұрын

    Raila is looking after himself with his dialogues...

  • @mrpain158
    @mrpain15826 күн бұрын

    Raila is there for his personal interest apewe zake aende si tumbaki tukiumia but hii ni ile Kenya ukiongea unanyamazishwa....

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa1326 күн бұрын

    ❤🇰🇪❤ Gen Z...🎉🤜👍

  • @Canduts2020
    @Canduts202025 күн бұрын

    All this political class have been in power for over 30 years and things have gotten worse! We need fresh-faced leaders maybe they will change this country for the better

  • @Toni-gh5dx
    @Toni-gh5dx26 күн бұрын

    Raila's dialogues ndio zimetueka kwa hii shimo. Akae kando

  • @hezronkwaso1927

    @hezronkwaso1927

    26 күн бұрын

    Yeye ndio aloweka ruto kua president 😂😂 ni sisi wenyewe na kazi Iko kwetu

  • @jesloi.a8391
    @jesloi.a839126 күн бұрын

    1:59 There is always a time to hand over the mantle; let Raila do the right thing, handover to his mantee if he us any. We need justice, unity and love in this country not ODM blind support to what their leader wants ...who benefits out of all his dialogues, his immediate family members and close allies😊

  • @keboikipchumba
    @keboikipchumba19 күн бұрын

    Power of the prayers God to glorified every time. God will not allow the devil to play with his children in Kenya. God never leaves is children. God love is unmeasurable. God never listens to those want bad things to happen to our country but listen those are praying for the good of country.

  • @isaacogutu7837
    @isaacogutu783726 күн бұрын

    Ushenzi sana.

  • @jabezjedidiah1429
    @jabezjedidiah142926 күн бұрын

    We the youths, majority in population we Reject Dialogues. We stand firm for Justice and Accountability and Services Delivery. You will not silence us through fake dialogues . Its new dawn for Kenya.

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov
    @ViceAdmiralVasilyArkhipov26 күн бұрын

    watashtuka 2027 Kalonzo atengezee chama yake Na Riggy G they talk more sense

  • @khammadjeffa515

    @khammadjeffa515

    26 күн бұрын

    Sense gani kwa water 🍉

  • @ViceAdmiralVasilyArkhipov

    @ViceAdmiralVasilyArkhipov

    26 күн бұрын

    @@khammadjeffa515 gen Z just want Ruto gone they don't want dialogue that is what Kalonzo said

  • @khammadjeffa515

    @khammadjeffa515

    26 күн бұрын

    @@ViceAdmiralVasilyArkhipov RUTO hakuna mahali anaenda before 2027, ambia water 🍉ache kujipea headache

  • @josephmugo9112
    @josephmugo911226 күн бұрын

    Have done one step , waiting more and truth within given time ,kiunjuri mp laikipia finish your promise we lv you

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu240825 күн бұрын

    Raila ndiye huwa anazuia changes sasa muachieni kizazi kipya kileta mfumo mpya wa uongozi nyinyi odm mnataka kuturudisha kwa game yenyu ya kuinjoy wafrika

  • @kevinlukunga8029

    @kevinlukunga8029

    19 күн бұрын

    Kizazi kipya kinaharibu zaidi

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa51526 күн бұрын

    Orengo unaota mtu wangu.

  • @Antoterror001
    @Antoterror00126 күн бұрын

    Pia hawa ni wezi.

  • @thomasEdward-uy8jk
    @thomasEdward-uy8jk16 күн бұрын

    BUT NOT JOINING UDA. AND KK

  • @nicholuskituku2903
    @nicholuskituku290317 күн бұрын

    What are we dialoguing about? Position's? You watu from Kisumu you mean Raila' is ever right? Continue serving your Master!!!!! We are not boarding 😭

  • @user-jj4lb1zi9x
    @user-jj4lb1zi9x19 күн бұрын

    Raila is a patriot and democrat....a believer in the rule of law and freedom fighter

  • @alekieKevinKevinalekie
    @alekieKevinKevinalekie26 күн бұрын

    toka ndani

  • @254wakilongo
    @254wakilongo26 күн бұрын

    ODM taking advantage ya gen z

  • @254wakilongo
    @254wakilongo26 күн бұрын

    Ruto sai Ni amekuwa dem atakatiwa

  • @boazogima
    @boazogima26 күн бұрын

    He is trying to know the leader of gen z among the 150people he invited, zakayo know you,wajinga waliisha

  • @rafaking2087
    @rafaking208718 күн бұрын

    Hii ujinga mumeanza tunawangalia sana dialogue when we have lost lives in the hundreds

  • @davidmuiga4248
    @davidmuiga424826 күн бұрын

    Cs have been fired without Raila efforts or dialogue wasitupange sisi ndio tunapanga

  • @DaulaRooney
    @DaulaRooney26 күн бұрын

    Hao upinzani ndo conmen number one. Those governors who have talked what av they done to their counties Ruto don't be lied to finish corruption and our country will be great.

  • @abassabass529
    @abassabass52917 күн бұрын

    nyinyi wenye mnaongea negative apa coment section ndio goons mnataka country ikue mbaya ,,,tupatane street

  • @edu-pw7hu
    @edu-pw7hu26 күн бұрын

    This fools are representing who.... This all must be voted out... and recalled urgently including the once wise Jimmy orengo

  • @duhhuskie2698
    @duhhuskie269826 күн бұрын

    Talk to who??

  • @kaytwok2345
    @kaytwok234526 күн бұрын

    Kumbe hawa awana habari kwa hata raila atumtambua sasa

  • @MakenaOdongo
    @MakenaOdongo26 күн бұрын

    Baas sahi wako wawili .. they can now talk to each other

  • @Elibuk
    @Elibuk26 күн бұрын

    Dialogues deaths corruption and looting needs to end time for action is now

  • @SwalehSaleh
    @SwalehSaleh26 күн бұрын

    Nusu mkatee hahahha,ni mazungumzo

  • @Mombasa-gz7rd
    @Mombasa-gz7rd24 күн бұрын

    Hatutaki dialogue

  • @FauziaJoseph
    @FauziaJoseph16 күн бұрын

    Raila anataka mukate nuzu, amerundisha watu wa nyanza nyuma ,siku ile RAILA atakufa Kenya itakuwa vizuri yeye ndio kiini cha shida kila wakati akishidwa.

  • @damaricekimonge7303
    @damaricekimonge730319 күн бұрын

    God is not in this

  • @mohammedali1645
    @mohammedali164526 күн бұрын

    Rubbish

  • @oncharieric9437
    @oncharieric943726 күн бұрын

    You talk alot here because you don't understand the genesis of Genz,it was formed by opposition.

  • @badarahmed1861
    @badarahmed186117 күн бұрын

    Raila is a traitor

  • @Susanne-njoroge
    @Susanne-njoroge26 күн бұрын

    Yes Dialog is the best 🙏 Vinjana wapate kazi 🙏 Waache kuhangaika 🙏 Na raisi wetu Williams Samui Ruto a heshimiwe 🙏✋✌️👏

  • @CliffOgada
    @CliffOgada26 күн бұрын

    Ndio mpewe nusu mkate..

Келесі