VIDEO: WIMBO wa ZUCHU
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#SUKARI #ZUCHU
Пікірлер: 100
MM NILIDHAN JAMAA NI WA NIGERIA KUMBE MWENZETU ASE BIG UP SANA BRO
Uyu mwamba namuona mbali sana bonge la produce
Nakubali nakubali nakubali rick Yeni sasahv uwe unaenda na producer ikibd
Sio siri nimekupenda mwanangu. Uko vizuri ktk kuejieleza. Yaani nimekuelewa huwez kukubali. Mungu akutie nguvu uwe mtu muhimu ktk soko la muziki
Before I knew you were Nigerian producer Eyooo Tron ....Big up kaka nakutabiria makubwa sana zaidi ya.......🤣🤣🤣🤣🤣
Daaah very inspiring .....kupitia hii story daaah najifunza Mambo mengii Sana...
eiyoo trone mwiba wa badae uoo 🔥🔥🔥
Uko vzr san
This is the producer to watch out for...anamuja!!!
Napenda sana lile guitar lililopigwa mwanzoni kabisa wakati nyimbo inaanza
Mwanang big up San me mwenyew natamani San izi mishe sem uku nilipo gospel nd zinapigwa san kuliko bongo flevr one day ntakua jam wew mwanang🙏
@Plaety_Jay
3 жыл бұрын
Oya mm mwenyewe napigaga sa beat
Na uzuriwako uyooo endeleya ivo... Ku mpa producer mwengine akuchunguliye!!!
Mwendo wa dogo nimeukubari ungeichangamsha beat zaid
Huyo Yankee yupo vizuri sana
Yaaah 🙌💪💥💥💥💥
Talented boy
Dah kazi nzur mie pia napenda sana hii kaz
Vzr
Jamaa anaweza sana, aendelee kukaza 💯💯
Huyu jamaa pozi zake na kuongea kama mondi
Tron .....you hot brooo
Nice job
Troli kazi nzuri sana big up bro much love kutoka Kenya
@MrsoftAfrica
3 жыл бұрын
Troli tena au tron
Kazi safi Sana 🔥🔥
Eyooo Tron, una uwezo mkubwa sanaa. Nakuona mbali sanaa.
Kali sana 🔥🔥🔥🔥
Nipo kaka yako hapa napenda kazi yako, umetulia wala huna papara tangu ulipokua studio kwangu hongera sana nafurahi kuona unasonga mbele.
@directorerikey3291
3 жыл бұрын
Margol
@tollesmbekwe1742
3 жыл бұрын
@@directorerikey3291 yap
Hiyo interview mmeongea na uongozi husika au...
@masundelwa
3 жыл бұрын
Unachomoa betrii wewe🤣🤣 😎🚬
Yani hyu ndo laizer 😂😂😂hata siamini. Much love from Ghana
@manenoprosper3843
5 ай бұрын
Troni
Oi n moto sana huyu n producer kwel kpaj
Ehehh pia mi nahitaji anifanyie mziki
This Swahili Actually sounds like Hausa
Hiyo ni fl ngapi?
Inspirational speech
good work
🔥🔥🔥
Nakubali
Fundiiiiiii
Oi laizer n nomaa sanaaa
Kumbe kick alitia lizer...ndio maana beat ikafanana na the one..nlikuwa nadhani ni trone
Biti ya kwangwaru imehusika
@jamesrobert8890
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hiyo beat ya zuchu ndo ile ile beat ya kwangwaru ya harmonize na diamond na hata ile nyimbo ya The one ya diamond na yenyewe ile beat ni ya kwangwaru pia .
@toxicity.001
3 жыл бұрын
Original ni tempo ya dufla kutoka kenya
@sundaymkirima4896
3 жыл бұрын
@@jamesrobert8890 KICKS NA SNARES zimeenda direct ktk The One ya Diamond... nI KICKS NA SNARE TU
@sundaymkirima4896
3 жыл бұрын
ILA imependeza sana wazo zuri creativity ktk producing and mixing inatakiwa sanaaa aisee
@ommytalent5948
3 жыл бұрын
@@sundaymkirima4896 amini mzee
Hereni Kama Kawa sikioni
Unaonekana wewe ni baba mmoja na mbosso
Thanks god for everything
Troni ni lazima wote mvae hereni.?
Producer we mkali sana
Naipenda
tutakupataje mkuu
zuku gosple beat [s.d.a] - KZread
Great
Mambo ni moto
Nice song
Wewe dg una tutupa wanao wa sumbawanga kumbuka hom uliko zaliwa
@J4UPro
3 жыл бұрын
Kwani kafanyaje?
@updatestv4423
3 жыл бұрын
So utamloga
@ProducerRama
9 ай бұрын
Kipindi anahaso hafai sasa mwanenu duu bongo bahati mbaya
Pamban mwqmba uko vzur
Good
kwanini ushike mouse utetemeke, sababu unamrecord diamond, kua professional kwenye kazi yako, jiamini, amini unachofanya, maproducer wa bongo tujue muziki, tujifunze muziki, kuna namna talent pekee bila ethics na standard ni tatizo
Part ya lizer hatari
Kutoa mzic ni sh ngapi
🥳🥳
One day
Iamtrone@
Jina lake alikuwa anaitwa pashow sasa ni trone
@Amobizzy_OG
3 жыл бұрын
Cha ajabu nn!
@ProducerRama
9 ай бұрын
Umeulizwa
B
Usinisahau kk
@juniormagesa404
3 жыл бұрын
Acha ubwenge
@maulidimbau1910
3 жыл бұрын
dogo anaitikeli sana namkubari
ggggggg
Halafu mi naona pakacha ya dogo ilikua tamu tamu kuliko ya laiza bwana. Ya laiza dzain km inakelele. Halafu wimbo wenyewe ni km unamahadhi ya ragga. Ile aliyoweka laiza ilikuwa km kakihindi flan hiv au ka mwambao hivi
@ymusic803
3 жыл бұрын
Nami nimeliona hiloo
@barakamgongolwa5137
3 жыл бұрын
mshaanza majungu
@ymusic803
3 жыл бұрын
Kukubali alichofanya dogo siyo kwamba tunamkataa mkubwa
Mwendo wako haupo poa banaa kubali tu wewe hauja fikia hata nusu ya laizer
@philimonfikiri8543
3 жыл бұрын
acha roho mbaya ww.
@MarcoPolo-ol2lz
3 жыл бұрын
Hayo yametoka wapi? Mbona hawajagombana
@mfaumakilindo4761
3 жыл бұрын
Mnafiki wewe apa hatukosoi kidharau
@sylvmgallah4828
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@colletaemanuel4941
3 жыл бұрын
ata mbuyu ulianza kma mchicha
Great