Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
Ndani ya video hii unakwenda kujifunza dalili kuu za mwanaume anakupenda kwa dhati. Tazama hadi mwisho uweze kujifunza mambo yote muhimu
..........................................................
-----------------------------------------------------------------------------------
MAFUNZO YA KUTENGENEZA BIDHAA ZA ASILI withkoji.com/@zebest/ur4y
withkoji.com/@zebest/ur4y
-----------------------------------------------------------------------------------
Contact Us : +255676298270
-------------------------------------------------------------------------------
E-mail : info@toptenherbs.co.tz
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram / toptenherbs
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / toptentanzania
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.toptenherbs.co.tz
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 414
Jmni kumbe mzazi mwenzangu alikua ananipenda mmi ndio nilikua na midomo midomo sana mpka nikaona tuachane kumbe yule mwanaume ndio alinipenda jmni😭😭 vigezo vyote anazo duuuuh
Dah nzuri sana najivunia kumpata mwanaume mwenye vigezo hivyo love so much Wilson wangu❤❤❤❤❤
Mimi hupatana tu na magaidi mpaka nka give up😢😢 nimeamua single by choice😢
@ASFAISSA-pm8ck
Ай бұрын
Mambo vo
Nimeamini baby daddy ananipenda sana may God 🙏 protect him always thank you lord 🙏 for bringing this man to my life
Kumbe sipendwi😂😂
@jamilashabani8580
4 ай бұрын
kumbe tupo Wengi
Jaman kumbenimepata nakupend aly wang❤❤❤
Habari yako
Asante sana ni ukweri kabisa hiyo kitu inakushumbua kabisa maisha ukiolewa na yule zio wako.
Asante sana jamani mpenzi wangu akuivo iyo yote umesema walai Jamani 😅😊😊😊
Hapo kaka umesema ukweli nao n wengi hao wenye hizo sifza wanaume wenye hizo mashallah Mungu akuzidishie Kwa maono
Yani kuna wanaume alafu kuna mwanaume wng mimi jmn duniya nzima ijuwe mume Wang ananipend sana 😭😭😭
@adelinamdyanga1079
13 күн бұрын
Jamni mbon kilio ten😢
Jaman Asante mungu kwakunipa mwanaume mwenye vigezo vyote
Asate sn kwaushauri wako kaka 🎉🎉🎉
Nimepitia comment karibia zote😇 asee hongereni mnapendwa sana,, alafu kuna Mimi sasa😂😂😂😂
@alindasimeo5063
11 ай бұрын
😅😅😅
@rosemilingi7860
11 ай бұрын
Co Kuna wewe Kuna akina sisi
@secymndeme-wb4mu
11 ай бұрын
@@rosemilingi7860 kabisa yan naona kabisa hatuwezi kaa kwa group moja😂
@twahiadaudi4051
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@user-hb1kt5vs3s
9 ай бұрын
Kuna kina siiisi simu mara Moja kwa wiki 😢😢😢😢😢😢
asante doctor kwa mafundisho mazuri,Mungu aendelee kukutia nguvu na kukupigania🙏🙏🙏
Asante sana katika hizo sifa zote bado amna ata moja Kwa mtu wangu
Thanks God kumbe nipo maali sahii ❤❤🙏
Weee aki umenichanua bro nilikua na Nia ya kumwacha wa kwangu juu ya kuniogopea wee kumbe upendo❤️❤️❤️❤️
@saidbaraka8996
10 ай бұрын
Mmmmh dokta asante
Khee kumbe leo ndo nimegundua nammependa Mume wangu jmn yote anayafanya aweee nilikuwa naona hanipend kumbe ndo penyew Asante doctor
😢kuna wengine hata ujuy ni upande gani yupo jaman katika sifa hizo anazo lakin mwambie sasa fanya kumwomba kitu tuu 🤔 atakuambia nadaiwa ,hoo,sina pesa sa iv unashindwa kujua sasa anakupenda na siku moja awezi sema chukuwa ,,,, mapenzi yana mambo magumu sana ✍️
@maryamsaid1307
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@memorataedson7895
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@neykidoti102
8 ай бұрын
Daah huyo wangu kabisa kama unamjua 😂😂😂😂😂
@jawaheer1030
7 ай бұрын
Mapenzi hayatabiriki kabisa
@user-qg9hw1xi1d
7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukosahihi Sana Kaka mungu akubariki
Asante docter kwa kutuimaeisha wanawake ❤❤❤❤
Hii Elimu imechelewa kuja tunamshukuru Mungu kwa ajili yako 🎉🎉🎉🎉
Asante kwa mafundisho yako dock❤
Nakupenda sana mpenzi wangu ila na huzunika kwa nini haukuja mapema kwenye maisha yangu
Asante mungu 🙏 kubarki utufundishe zaidi
Plz daktari I'm watching u frm gulf naomba tafadhali kwa jina la Yesu kristo nieleze dawa ya heartburn nmetezeka kwa miaka mingi na naamini mungu atakutenda mema
@AbdullahOmar-be4wy
15 күн бұрын
Ndio ugonjwa gani
I love my man he is here jamn
Ahsante mngu akubariki
May Almighty God bless you
Maashaallah
Asante kwa kutuelimisha lakini wangu hapatikani popote yupo tu.😢
Umenisaidia sana thanks so much from 🇰🇪
Shukran sana kwa mafudhisho yako doctor
Asante sana kwa mafundisho yako ni ya maana kbs. Mbarikiwe
Asante kaka Kwa mafunzo mungu azidi kukupa nguvu ya kutufundisha zaidi
Uwiii❤ hata Mimi niko huko jaman kumbe napendwae 😇
@user-vz7tj5gx6c
8 ай бұрын
😮kwel😅😅
Asante sana dotr.
Mungu akubariki sana mfumdisho yako ni ya kweli kabisa
Kweli Kaka unafundisha vizuri kabisa Mungu akubariki
Ahsante Sana Mungu akubariki nimerielewa Somo🙏
Asante doctor kwa mafundisho mazur
Jaman nilimpoteza ambae no sahihi kwangu nikaangukia pengine
Asante doctor
❤❤ Asantee! Sana doctor uishi milele.%100
Mungu akutie nguvu🙏🙏🙏
Asante sana kaka mungubakubariki popote pale uko Asante sana
Asante daktari na hiyo ni kweli shukrani
Aq so true..mume wangu ananpenda sana jaman❤❤❤
Mungu wangu kumbe mume wangu ananipenda nitazidi kumpenda mie.
Sifa zote hizl mume wangu yuko nazo
Aseee xhukran saanaa doctor hyo nko nmeipendaa aseee ❤❤❤
Asante Mungu kwa mafundisho haya nimejua niko pahali sahihi
Asante docter kwa ushuri mzuri
Asante sana mwanaume wangu yuko na sifa zote ulizosema
@SubiraLibaba-xe1hx
8 ай бұрын
Mimi pia
@PASTEURGENEROSEKABAKA
7 ай бұрын
😅😅❤
Asantu sana Doctor nimekuelewa na Asante mungu kwa kuniletea
Shukran mafundish mazur San🙏 🥰🥰🥰🔥🔥🔥👌
Doctor true but,nimependa elimu nzuri ❤❤
Asante sana doctor nmepata fuzo kutoka kwako nakusikiza nkiwa mjini Nairobi kenya
Thenk you so much my brother
Asante sanaaa kwa mafundisho mazur...
Asante sana Dakota ❤unatufunza
Wow safi sana broo kwa maelezo yako mazuri❤❤❤
Shukran sanaaa 😊
Ahsante Sana docktar
Asante so tar
Asantee Sana Kaka imenifungua macho❤
Wooow thanks brother ❤❤
Asante kwa mafundisho
Nashukuru Mungu me nmempata mwanaume mwenye hzo vgzo mungu amubark xana mme wang kipenz🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asantee dctr somo zuri
😢 very nice
Asante Sana kaka angu kumbe napenda mie nashukuru mungu
Your very very said love you
❤❤❤❤ mafundisho mazuri sana mungu azidi kukupa kibali cha mafunzo zaidi
Thanks 🙏 that true
Mungu akubariki sana
Safi sana nmejifuza poiti hapo🙏🏻
Good teacher
May God protect you my love P Sifa zote unazo. True love nk...❤❤
Asante sana jaman nimegundua napendwa sana❤😊
Asante Sana ubarikiwe
Ahsante daktari wa mapenzi
Weeee tangaza biashara yako Broooo mwanaume hatabiriki km unavosema wew hahahaaha.
Shukrani dakitari napenda darasa lako
Asante doc
hujaacha kitu kaka ahsante kwa kuelewa kweli napendwa
Mimi nilikuwa najua sipenwi mana mmmhhh jamani sio kwausiliazi uwoo
Ubarikiwe mungu akupe umr mref ❤❤❤❤
Mume Wangu Mimi ananipenda kwa dhati na ananidekeza adi raha pia nnapo mkosea ananipnyesha kuwa Mke Wangu ulivyo fanya sjapenda Na pia hunielekeza njia sahihi Namuamini sana ananipenda, Tabia ya mtu inanguvu huwezi ujua moyo wa mtu kupitia matendo yake, Tumuombe tu Mungu atuepushie wale wanafki ktk mapenzi
@user-qg9hw1xi1d
7 ай бұрын
Duuuuuh nimependa hiyo na nimetamani
Ahsante barikiwa
Thanks nimeelewa apo😊
Wao my lovely J❤❤❤❤ u my champion
asant sana somo zur mungu akubaliki
Asante Kwa maelezo
Shukran san jmn
Mungu akubarik azid kukup nguv na kibali utup mafunz zaid
Ahsanteeeee.
Asante nimeelewa sasa
Daktari mi niseme tunashkuru sana kwa msaada wa mawazo yako chanya juu ya usahihi wa mapenzi ya kweli ila ni jambo gumu sana kwa wanawake kulifahamu hilo kwa sababu wana ufahamu mdogo sana juu ya utazamaji mambo ambayo yapo chanya.. akili za wanawake wengi sana hasa huku Africa zinafahamu zaidi ushawishi ndo upendo na ule uhalisia si upendo kitu ambacho kinaendelea kuwaumiza wanawake wengi kila kukicha.. ni tatizo tu la kutojitambua.. hivyo we endelea tu na harakati za kufikisha lakini ni ngumu sana kutatua hili tatizo... Akili zao zinafurahia zaidi uwongo kuliko ukweli wa mambo hivyo ndivyo walivyo wanawake wetu huku Africa...na huamini hilo doctor basi endelea kufanya utafiti bila shaka utaligundua hilo.. shukran
@DevothaFelician-jw5fb
9 ай бұрын
😳😳😳😳😳