Dalili Za Mwanaume Anaekupenda Kwa Dhati

Тәжірибелік нұсқаулар және стиль

Ndani ya video hii unakwenda kujifunza dalili kuu za mwanaume anakupenda kwa dhati. Tazama hadi mwisho uweze kujifunza mambo yote muhimu
..........................................................
-----------------------------------------------------------------------------------
MAFUNZO YA KUTENGENEZA BIDHAA ZA ASILI withkoji.com/@zebest/ur4y
withkoji.com/@zebest/ur4y
-----------------------------------------------------------------------------------
Contact Us : +255676298270
-------------------------------------------------------------------------------
E-mail : info@toptenherbs.co.tz
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram / toptenherbs
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / toptentanzania
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.toptenherbs.co.tz
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 414

  • @suzypaschal-xo9ts
    @suzypaschal-xo9tsАй бұрын

    Jmni kumbe mzazi mwenzangu alikua ananipenda mmi ndio nilikua na midomo midomo sana mpka nikaona tuachane kumbe yule mwanaume ndio alinipenda jmni😭😭 vigezo vyote anazo duuuuh

  • @user-wc9ow5yc4s
    @user-wc9ow5yc4s7 ай бұрын

    Dah nzuri sana najivunia kumpata mwanaume mwenye vigezo hivyo love so much Wilson wangu❤❤❤❤❤

  • @marynjiiri4329
    @marynjiiri43298 ай бұрын

    Mimi hupatana tu na magaidi mpaka nka give up😢😢 nimeamua single by choice😢

  • @ASFAISSA-pm8ck

    @ASFAISSA-pm8ck

    Ай бұрын

    Mambo vo

  • @user-yl2ej4ex6l
    @user-yl2ej4ex6l5 ай бұрын

    Nimeamini baby daddy ananipenda sana may God 🙏 protect him always thank you lord 🙏 for bringing this man to my life

  • @aishakassim75
    @aishakassim759 ай бұрын

    Kumbe sipendwi😂😂

  • @jamilashabani8580

    @jamilashabani8580

    4 ай бұрын

    kumbe tupo Wengi

  • @WitnesWit
    @WitnesWit2 ай бұрын

    Jaman kumbenimepata nakupend aly wang❤❤❤

  • @JaliaIrambona
    @JaliaIrambonaАй бұрын

    Habari yako

  • @onderinyaboke
    @onderinyaboke10 ай бұрын

    Asante sana ni ukweri kabisa hiyo kitu inakushumbua kabisa maisha ukiolewa na yule zio wako.

  • @user-uf2md1po7q
    @user-uf2md1po7q11 ай бұрын

    Asante sana jamani mpenzi wangu akuivo iyo yote umesema walai Jamani 😅😊😊😊

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv6 ай бұрын

    Hapo kaka umesema ukweli nao n wengi hao wenye hizo sifza wanaume wenye hizo mashallah Mungu akuzidishie Kwa maono

  • @JayJay-px6lq
    @JayJay-px6lq6 ай бұрын

    Yani kuna wanaume alafu kuna mwanaume wng mimi jmn duniya nzima ijuwe mume Wang ananipend sana 😭😭😭

  • @adelinamdyanga1079

    @adelinamdyanga1079

    13 күн бұрын

    Jamni mbon kilio ten😢

  • @ImeldaJonnas
    @ImeldaJonnas28 күн бұрын

    Jaman Asante mungu kwakunipa mwanaume mwenye vigezo vyote

  • @user-ru3pv4jp3f
    @user-ru3pv4jp3f4 ай бұрын

    Asate sn kwaushauri wako kaka 🎉🎉🎉

  • @secymndeme-wb4mu
    @secymndeme-wb4mu11 ай бұрын

    Nimepitia comment karibia zote😇 asee hongereni mnapendwa sana,, alafu kuna Mimi sasa😂😂😂😂

  • @alindasimeo5063

    @alindasimeo5063

    11 ай бұрын

    😅😅😅

  • @rosemilingi7860

    @rosemilingi7860

    11 ай бұрын

    Co Kuna wewe Kuna akina sisi

  • @secymndeme-wb4mu

    @secymndeme-wb4mu

    11 ай бұрын

    @@rosemilingi7860 kabisa yan naona kabisa hatuwezi kaa kwa group moja😂

  • @twahiadaudi4051

    @twahiadaudi4051

    10 ай бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @user-hb1kt5vs3s

    @user-hb1kt5vs3s

    9 ай бұрын

    Kuna kina siiisi simu mara Moja kwa wiki 😢😢😢😢😢😢

  • @christinangombe
    @christinangombe11 ай бұрын

    asante doctor kwa mafundisho mazuri,Mungu aendelee kukutia nguvu na kukupigania🙏🙏🙏

  • @JackMartin-002
    @JackMartin-0025 ай бұрын

    Asante sana katika hizo sifa zote bado amna ata moja Kwa mtu wangu

  • @SADALeonard-vd6dn
    @SADALeonard-vd6dn27 күн бұрын

    Thanks God kumbe nipo maali sahii ❤❤🙏

  • @ZipporahZippy-ng9rr
    @ZipporahZippy-ng9rr11 ай бұрын

    Weee aki umenichanua bro nilikua na Nia ya kumwacha wa kwangu juu ya kuniogopea wee kumbe upendo❤️❤️❤️❤️

  • @saidbaraka8996

    @saidbaraka8996

    10 ай бұрын

    Mmmmh dokta asante

  • @zawadihozza3500
    @zawadihozza350011 ай бұрын

    Khee kumbe leo ndo nimegundua nammependa Mume wangu jmn yote anayafanya aweee nilikuwa naona hanipend kumbe ndo penyew Asante doctor

  • @juliandolo8686
    @juliandolo868610 ай бұрын

    😢kuna wengine hata ujuy ni upande gani yupo jaman katika sifa hizo anazo lakin mwambie sasa fanya kumwomba kitu tuu 🤔 atakuambia nadaiwa ,hoo,sina pesa sa iv unashindwa kujua sasa anakupenda na siku moja awezi sema chukuwa ,,,, mapenzi yana mambo magumu sana ✍️

  • @maryamsaid1307

    @maryamsaid1307

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @memorataedson7895

    @memorataedson7895

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @neykidoti102

    @neykidoti102

    8 ай бұрын

    Daah huyo wangu kabisa kama unamjua 😂😂😂😂😂

  • @jawaheer1030

    @jawaheer1030

    7 ай бұрын

    Mapenzi hayatabiriki kabisa

  • @user-qg9hw1xi1d

    @user-qg9hw1xi1d

    7 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salehemohamedi6560
    @salehemohamedi65608 ай бұрын

    Ukosahihi Sana Kaka mungu akubariki

  • @user-bs2kt7pb7c
    @user-bs2kt7pb7c10 ай бұрын

    Asante docter kwa kutuimaeisha wanawake ❤❤❤❤

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d7 ай бұрын

    Hii Elimu imechelewa kuja tunamshukuru Mungu kwa ajili yako 🎉🎉🎉🎉

  • @user-fr5sh6sh5y
    @user-fr5sh6sh5y11 ай бұрын

    Asante kwa mafundisho yako dock❤

  • @AdolpheZakaria
    @AdolpheZakaria5 ай бұрын

    Nakupenda sana mpenzi wangu ila na huzunika kwa nini haukuja mapema kwenye maisha yangu

  • @RegulaPeter-jm7iq
    @RegulaPeter-jm7iq11 ай бұрын

    Asante mungu 🙏 kubarki utufundishe zaidi

  • @lettingchepkemboi854
    @lettingchepkemboi8546 ай бұрын

    Plz daktari I'm watching u frm gulf naomba tafadhali kwa jina la Yesu kristo nieleze dawa ya heartburn nmetezeka kwa miaka mingi na naamini mungu atakutenda mema

  • @AbdullahOmar-be4wy

    @AbdullahOmar-be4wy

    15 күн бұрын

    Ndio ugonjwa gani

  • @RUKIAGASPER
    @RUKIAGASPERАй бұрын

    I love my man he is here jamn

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57634 ай бұрын

    Ahsante mngu akubariki

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise529610 ай бұрын

    May Almighty God bless you

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania725811 ай бұрын

    Maashaallah

  • @agrippinammola4423
    @agrippinammola44238 ай бұрын

    Asante kwa kutuelimisha lakini wangu hapatikani popote yupo tu.😢

  • @fayjeff3651
    @fayjeff365110 ай бұрын

    Umenisaidia sana thanks so much from 🇰🇪

  • @user-rq2ev4qr6b
    @user-rq2ev4qr6b10 ай бұрын

    Shukran sana kwa mafudhisho yako doctor

  • @user-qv6gi7uj8r
    @user-qv6gi7uj8r9 ай бұрын

    Asante sana kwa mafundisho yako ni ya maana kbs. Mbarikiwe

  • @iboytiger7097
    @iboytiger709710 ай бұрын

    Asante kaka Kwa mafunzo mungu azidi kukupa nguvu ya kutufundisha zaidi

  • @AcnathyMboya
    @AcnathyMboya8 ай бұрын

    Uwiii❤ hata Mimi niko huko jaman kumbe napendwae 😇

  • @user-vz7tj5gx6c

    @user-vz7tj5gx6c

    8 ай бұрын

    😮kwel😅😅

  • @bahatiMwaka
    @bahatiMwaka11 ай бұрын

    Asante sana dotr.

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w11 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mfumdisho yako ni ya kweli kabisa

  • @RukiyaButoyi-sk5nm
    @RukiyaButoyi-sk5nm10 ай бұрын

    Kweli Kaka unafundisha vizuri kabisa Mungu akubariki

  • @letisiakunambi5542
    @letisiakunambi55428 ай бұрын

    Ahsante Sana Mungu akubariki nimerielewa Somo🙏

  • @fatinamdoe1894
    @fatinamdoe189410 ай бұрын

    Asante doctor kwa mafundisho mazur

  • @user-mv4zf3uk2k
    @user-mv4zf3uk2k8 ай бұрын

    Jaman nilimpoteza ambae no sahihi kwangu nikaangukia pengine

  • @user-gx4jf8gi9h
    @user-gx4jf8gi9h11 ай бұрын

    Asante doctor

  • @ErikaBonifance
    @ErikaBonifance8 ай бұрын

    ❤❤ Asantee! Sana doctor uishi milele.%100

  • @user-ei6th2rh6y
    @user-ei6th2rh6y10 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu🙏🙏🙏

  • @IvonneAlice
    @IvonneAlice10 ай бұрын

    Asante sana kaka mungubakubariki popote pale uko Asante sana

  • @evangelinemunene
    @evangelinemunene11 ай бұрын

    Asante daktari na hiyo ni kweli shukrani

  • @user-kh5ok7zp3f
    @user-kh5ok7zp3f7 ай бұрын

    Aq so true..mume wangu ananpenda sana jaman❤❤❤

  • @FatumaBaruti-qw6jm
    @FatumaBaruti-qw6jm2 күн бұрын

    Mungu wangu kumbe mume wangu ananipenda nitazidi kumpenda mie.

  • @CatherineNzeki
    @CatherineNzeki26 күн бұрын

    Sifa zote hizl mume wangu yuko nazo

  • @user-yx3fv6rf6c
    @user-yx3fv6rf6c7 ай бұрын

    Aseee xhukran saanaa doctor hyo nko nmeipendaa aseee ❤❤❤

  • @maryamnasir5911
    @maryamnasir591110 ай бұрын

    Asante Mungu kwa mafundisho haya nimejua niko pahali sahihi

  • @suzanne9517
    @suzanne95177 ай бұрын

    Asante docter kwa ushuri mzuri

  • @JacquelineMuhayimana
    @JacquelineMuhayimana10 ай бұрын

    Asante sana mwanaume wangu yuko na sifa zote ulizosema

  • @SubiraLibaba-xe1hx

    @SubiraLibaba-xe1hx

    8 ай бұрын

    Mimi pia

  • @PASTEURGENEROSEKABAKA

    @PASTEURGENEROSEKABAKA

    7 ай бұрын

    😅😅❤

  • @fatumazakalia-yx4kg
    @fatumazakalia-yx4kg9 ай бұрын

    Asantu sana Doctor nimekuelewa na Asante mungu kwa kuniletea

  • @Belyse-gs4wd
    @Belyse-gs4wd11 ай бұрын

    Shukran mafundish mazur San🙏 🥰🥰🥰🔥🔥🔥👌

  • @bibip9181
    @bibip91818 ай бұрын

    Doctor true but,nimependa elimu nzuri ❤❤

  • @VeronicaMumbi-yd9sx
    @VeronicaMumbi-yd9sx11 ай бұрын

    Asante sana doctor nmepata fuzo kutoka kwako nakusikiza nkiwa mjini Nairobi kenya

  • @CelestinKubaho-wo8ft
    @CelestinKubaho-wo8ft10 ай бұрын

    Thenk you so much my brother

  • @user-be6pw6lt1t
    @user-be6pw6lt1t8 ай бұрын

    Asante sanaaa kwa mafundisho mazur...

  • @Glorytv5111
    @Glorytv511111 ай бұрын

    Asante sana Dakota ❤unatufunza

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is9 ай бұрын

    Wow safi sana broo kwa maelezo yako mazuri❤❤❤

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim210711 ай бұрын

    Shukran sanaaa 😊

  • @alicemakala-fi8xd
    @alicemakala-fi8xd11 ай бұрын

    Ahsante Sana docktar

  • @ShamsaAbasi
    @ShamsaAbasi4 ай бұрын

    Asante so tar

  • @jacklinemwamsojo2955
    @jacklinemwamsojo29558 ай бұрын

    Asantee Sana Kaka imenifungua macho❤

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian83010 ай бұрын

    Wooow thanks brother ❤❤

  • @annalyimo8462
    @annalyimo846211 ай бұрын

    Asante kwa mafundisho

  • @user-mj3nr2vv7t
    @user-mj3nr2vv7t6 ай бұрын

    Nashukuru Mungu me nmempata mwanaume mwenye hzo vgzo mungu amubark xana mme wang kipenz🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja97136 ай бұрын

    Asantee dctr somo zuri

  • @LizyJoseph-uc6gv
    @LizyJoseph-uc6gv11 ай бұрын

    😢 very nice

  • @cyrilchamungwana6718
    @cyrilchamungwana67187 ай бұрын

    Asante Sana kaka angu kumbe napenda mie nashukuru mungu

  • @EdwardJosephJohn-or5bv
    @EdwardJosephJohn-or5bv9 ай бұрын

    Your very very said love you

  • @neemakatana-ek8ff
    @neemakatana-ek8ff10 ай бұрын

    ❤❤❤❤ mafundisho mazuri sana mungu azidi kukupa kibali cha mafunzo zaidi

  • @user-ns7lx1rc9z
    @user-ns7lx1rc9z10 ай бұрын

    Thanks 🙏 that true

  • @salomemakuluga9650
    @salomemakuluga965010 ай бұрын

    Mungu akubariki sana

  • @WitnessNsomi
    @WitnessNsomi9 ай бұрын

    Safi sana nmejifuza poiti hapo🙏🏻

  • @YehuKashindi-we4us
    @YehuKashindi-we4us9 ай бұрын

    Good teacher

  • @user-ud9jb2po6p
    @user-ud9jb2po6p5 ай бұрын

    May God protect you my love P Sifa zote unazo. True love nk...❤❤

  • @user-wp4qk2zq6y
    @user-wp4qk2zq6y4 ай бұрын

    Asante sana jaman nimegundua napendwa sana❤😊

  • @tabaithd8629
    @tabaithd86298 ай бұрын

    Asante Sana ubarikiwe

  • @simonmisri7824
    @simonmisri782411 ай бұрын

    Ahsante daktari wa mapenzi

  • @raheemhamisi5370
    @raheemhamisi537010 ай бұрын

    Weeee tangaza biashara yako Broooo mwanaume hatabiriki km unavosema wew hahahaaha.

  • @jacklineindoshi1810
    @jacklineindoshi181011 ай бұрын

    Shukrani dakitari napenda darasa lako

  • @sonniebanks6022
    @sonniebanks60227 ай бұрын

    Asante doc

  • @user-td6pl9ii2c
    @user-td6pl9ii2c10 ай бұрын

    hujaacha kitu kaka ahsante kwa kuelewa kweli napendwa

  • @sadabulanga6413
    @sadabulanga641311 ай бұрын

    Mimi nilikuwa najua sipenwi mana mmmhhh jamani sio kwausiliazi uwoo

  • @asiaabbakari
    @asiaabbakari7 ай бұрын

    Ubarikiwe mungu akupe umr mref ❤❤❤❤

  • @jawaheer1030
    @jawaheer10307 ай бұрын

    Mume Wangu Mimi ananipenda kwa dhati na ananidekeza adi raha pia nnapo mkosea ananipnyesha kuwa Mke Wangu ulivyo fanya sjapenda Na pia hunielekeza njia sahihi Namuamini sana ananipenda, Tabia ya mtu inanguvu huwezi ujua moyo wa mtu kupitia matendo yake, Tumuombe tu Mungu atuepushie wale wanafki ktk mapenzi

  • @user-qg9hw1xi1d

    @user-qg9hw1xi1d

    7 ай бұрын

    Duuuuuh nimependa hiyo na nimetamani

  • @user-pk7rx7gp4t
    @user-pk7rx7gp4t9 ай бұрын

    Ahsante barikiwa

  • @user-mt2pn4ds9k
    @user-mt2pn4ds9k9 ай бұрын

    Thanks nimeelewa apo😊

  • @user-gy2ry7jl2b
    @user-gy2ry7jl2b7 ай бұрын

    Wao my lovely J❤❤❤❤ u my champion

  • @user-uy4tp8ro5y
    @user-uy4tp8ro5y7 ай бұрын

    asant sana somo zur mungu akubaliki

  • @user-yv7qp3tq8e
    @user-yv7qp3tq8e11 ай бұрын

    Asante Kwa maelezo

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi640011 ай бұрын

    Shukran san jmn

  • @LatifaMohamedy-mn2qf
    @LatifaMohamedy-mn2qf9 ай бұрын

    Mungu akubarik azid kukup nguv na kibali utup mafunz zaid

  • @safiaali1129
    @safiaali112911 ай бұрын

    Ahsanteeeee.

  • @rehemangome2667
    @rehemangome26679 ай бұрын

    Asante nimeelewa sasa

  • @khalidmawele2687
    @khalidmawele268710 ай бұрын

    Daktari mi niseme tunashkuru sana kwa msaada wa mawazo yako chanya juu ya usahihi wa mapenzi ya kweli ila ni jambo gumu sana kwa wanawake kulifahamu hilo kwa sababu wana ufahamu mdogo sana juu ya utazamaji mambo ambayo yapo chanya.. akili za wanawake wengi sana hasa huku Africa zinafahamu zaidi ushawishi ndo upendo na ule uhalisia si upendo kitu ambacho kinaendelea kuwaumiza wanawake wengi kila kukicha.. ni tatizo tu la kutojitambua.. hivyo we endelea tu na harakati za kufikisha lakini ni ngumu sana kutatua hili tatizo... Akili zao zinafurahia zaidi uwongo kuliko ukweli wa mambo hivyo ndivyo walivyo wanawake wetu huku Africa...na huamini hilo doctor basi endelea kufanya utafiti bila shaka utaligundua hilo.. shukran

  • @DevothaFelician-jw5fb

    @DevothaFelician-jw5fb

    9 ай бұрын

    😳😳😳😳😳

Келесі