VIDEO: TAZAMA JAMII INAYOISHI KWA MATUNDA NA NYAMA,UTACHEKA MAJINA YAO

Пікірлер: 453

  • @keiyalaitayo7903
    @keiyalaitayo7903 Жыл бұрын

    Ana miaka tatu gonga like tuendelee kwenda na nchi yetu ngumu

  • @maryamsaleh8438
    @maryamsaleh8438 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣shikamoo nchi yangu Tanzania nakupendajee!

  • @elizabethjakobo279

    @elizabethjakobo279

    Жыл бұрын

    😂😂😂🇹🇿

  • @trendvibeke
    @trendvibeke Жыл бұрын

    This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤

  • @mkongomanidrc849
    @mkongomanidrc849 Жыл бұрын

    Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam

  • @mohamedramadhani2868

    @mohamedramadhani2868

    Жыл бұрын

    Dunia ina maajab

  • @saljam82
    @saljam82 Жыл бұрын

    Influence is power... Msanii gani unaempenda au kumsikiliza.? Madogo wa kihadzabe wanajibu Diamond.

  • @jumakibe5032

    @jumakibe5032

    Жыл бұрын

    Hatar mzee

  • @nishaabdula5015

    @nishaabdula5015

    Жыл бұрын

    Nishida mondi adi. Mpolini. Ankulikan. Kweli simba

  • @mtabiriwanyotashekhadinans7494
    @mtabiriwanyotashekhadinans7494 Жыл бұрын

    Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Жыл бұрын

    Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.

  • @saidimbinga6543

    @saidimbinga6543

    Жыл бұрын

    Ahahahahahahaha

  • @SheikhNassorMuhammad

    @SheikhNassorMuhammad

    Жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆😆

  • @lucymoris1707

    @lucymoris1707

    Жыл бұрын

    Hahahahahh

  • @hawaoo3130

    @hawaoo3130

    Жыл бұрын

    🤣🤣😂😂😂

  • @Johny255Official
    @Johny255Official Жыл бұрын

    Love this from kenya

  • @aishawhite1107
    @aishawhite1107 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe

  • @neemaruhembe6360

    @neemaruhembe6360

    Жыл бұрын

    Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Жыл бұрын

    Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂

  • @kachubemaulid717
    @kachubemaulid717 Жыл бұрын

    Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Жыл бұрын

    Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣

  • @mariamomar1735

    @mariamomar1735

    Жыл бұрын

    Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 Жыл бұрын

    Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.

  • @palokuthereza2555

    @palokuthereza2555

    Жыл бұрын

    Mtuache wachagga

  • @ahz6907

    @ahz6907

    Жыл бұрын

    Wachaga zero kabisa na wezi haoooo

  • @palokuthereza2555

    @palokuthereza2555

    Жыл бұрын

    @@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani

  • @emmanuelzani2889

    @emmanuelzani2889

    Жыл бұрын

    @@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.

  • @pus.4506

    @pus.4506

    Жыл бұрын

    Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Жыл бұрын

    Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍

  • @kreamagdfsa1697

    @kreamagdfsa1697

    Жыл бұрын

    😀😀😀

  • @mwaneyseifseif3059

    @mwaneyseifseif3059

    Жыл бұрын

    Dudu kwaya

  • @maigecharles301
    @maigecharles301 Жыл бұрын

    Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣

  • @hadeeegahalmawali504
    @hadeeegahalmawali504 Жыл бұрын

    Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌

  • @Willem_Mah
    @Willem_Mah Жыл бұрын

    Mandishi be like; jina lako nani? Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika. Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅 Mwandishi; de ka brrizz!!! 😁😆😆😆

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Жыл бұрын

    Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    Жыл бұрын

    Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Жыл бұрын

    Makarani wa sensa kazi mnayo!!

  • @ignaszyinzile5094
    @ignaszyinzile5094 Жыл бұрын

    Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna

  • @faustinewilliam4908
    @faustinewilliam4908 Жыл бұрын

    Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥

  • @mwaneyseifseif3059

    @mwaneyseifseif3059

    Жыл бұрын

    Watajidownlod

  • @leahally4618
    @leahally4618 Жыл бұрын

    Chibuu km chibuuu 💪💪💪

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын

    Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын

    Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini

  • @georgemassebu2083

    @georgemassebu2083

    Жыл бұрын

    Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    Жыл бұрын

    @@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.

  • @manyaraboy

    @manyaraboy

    Жыл бұрын

    MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu

  • @highzacknnko9685

    @highzacknnko9685

    Жыл бұрын

    @@manyaraboy nakubali

  • @peninamsuko4858
    @peninamsuko4858 Жыл бұрын

    Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli

  • @rich.kizza10
    @rich.kizza10 Жыл бұрын

    Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥

  • @charlesmangwe7510

    @charlesmangwe7510

    Жыл бұрын

    Hakika Kaka

  • @ruu6592
    @ruu6592 Жыл бұрын

    Mungu isaidie Africa

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 Жыл бұрын

    Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Жыл бұрын

    hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 Жыл бұрын

    Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 Жыл бұрын

    Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁

  • @professorbenjamin1027
    @professorbenjamin1027 Жыл бұрын

    Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂

  • @mwaneyseifseif3059

    @mwaneyseifseif3059

    Жыл бұрын

    Ako kakuku ni kakwako kaka wew😂😂😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Жыл бұрын

    Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣

  • @gakatheboy4494

    @gakatheboy4494

    Жыл бұрын

    Mamb mtoto mzur

  • @ommythetruth5449
    @ommythetruth5449 Жыл бұрын

    MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani2983 Жыл бұрын

    Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @makereziron2918

    @makereziron2918

    Жыл бұрын

    Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....

  • @saidymatejoe2212
    @saidymatejoe2212 Жыл бұрын

    😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo

  • @mkobaofficial8037
    @mkobaofficial8037 Жыл бұрын

    Diamond Platinum

  • @Masai_kifimbo
    @Masai_kifimbo Жыл бұрын

    💚 TANZANIA

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 Жыл бұрын

    Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    Жыл бұрын

    Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.

  • @kasukukasuku3896

    @kasukukasuku3896

    Жыл бұрын

    Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri

  • @mariammkwabi7101

    @mariammkwabi7101

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @hijazhija316

    @hijazhija316

    Жыл бұрын

    Oya kausha

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    Жыл бұрын

    Hahaaaa umetishaaq

  • @tumaliciou8889
    @tumaliciou8889 Жыл бұрын

    Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂

  • @kelvinjustin8168

    @kelvinjustin8168

    Жыл бұрын

    Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia

  • @mmn7480

    @mmn7480

    Жыл бұрын

    @@kelvinjustin8168 dododonkoteaj

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Жыл бұрын

    Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi

  • @teychriss3248

    @teychriss3248

    Жыл бұрын

    Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu

  • @eliassteven5575
    @eliassteven5575 Жыл бұрын

    Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥

  • @tedyokachu5013
    @tedyokachu5013 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆

  • @benjamininyambaso5041

    @benjamininyambaso5041

    Жыл бұрын

    Mpaka ulimi unalia dodod

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter40178 ай бұрын

    Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Жыл бұрын

    😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣

  • @majaliwajohn481
    @majaliwajohn481 Жыл бұрын

    Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 Жыл бұрын

    Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?

  • @chanjamtagwa8565
    @chanjamtagwa8565 Жыл бұрын

    Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa

  • @anordjoseph6644
    @anordjoseph664411 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe

  • @AbuubakarJuma-se9cp
    @AbuubakarJuma-se9cp8 ай бұрын

    Dah ndoa

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Жыл бұрын

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo

  • @tumainimtingitingi4883

    @tumainimtingitingi4883

    Жыл бұрын

    Mwenyewe nimechoka iyo lugha

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Жыл бұрын

    Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu

  • @mohamedabdullahi8874
    @mohamedabdullahi8874 Жыл бұрын

    They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication

  • @pilabiliani9394
    @pilabiliani9394 Жыл бұрын

    Mama Samia angalia Raia wako hukuu😭

  • @davidcurtis175

    @davidcurtis175

    Жыл бұрын

    Hata mimi na kwavile wanajua naana pia ya majina yao, sio mswahili mweusi tii utasikia anaitwa Krishna jina la kihindi au mtu anaitwa anorld kisa baba alikuwa anapenda kuangalia movie acha niishie hapa

  • @bujimucharles153
    @bujimucharles153 Жыл бұрын

    Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu

  • @barakamwita1506
    @barakamwita1506 Жыл бұрын

    Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 Жыл бұрын

    Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.

  • @kreamagdfsa1697

    @kreamagdfsa1697

    Жыл бұрын

    Allahu Akbar Allah tabaraq rahman

  • @zainakibiki3489
    @zainakibiki3489 Жыл бұрын

    Atarii sana kitoweo nyani!!!!

  • @aboubaqarally9834
    @aboubaqarally9834 Жыл бұрын

    Hilo jina sasa mamae😁😁😁

  • @mwanziadavid5570
    @mwanziadavid5570 Жыл бұрын

    Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣

  • @nkelamei2870

    @nkelamei2870

    Жыл бұрын

    😂😂😂kidogo nicheke

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    @@nkelamei2870 😂😂

  • @kreamagdfsa1697

    @kreamagdfsa1697

    Жыл бұрын

    Duh.......

  • @mariambwambo9885
    @mariambwambo9885 Жыл бұрын

    Jamn...nimewapenda🙈

  • @rashidmhenga285
    @rashidmhenga285 Жыл бұрын

    Hiii ni TANZANIA

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Жыл бұрын

    Subuhanallah..!!

  • @ananiamaduke2655
    @ananiamaduke2655 Жыл бұрын

    Wapo nchi gan

  • @anuarinyangasa9414
    @anuarinyangasa9414 Жыл бұрын

    Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani

  • @athumanisalimu7771
    @athumanisalimu7771 Жыл бұрын

    Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 Жыл бұрын

    sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zaituniselemani3247

    @zaituniselemani3247

    Жыл бұрын

    Hahaaaa yaani ni shida sijui ataandikaje do! Tanzania kubwa

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Жыл бұрын

    Diamond platnumz

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Жыл бұрын

    Anajua kiswahili dogo

  • @erastomkulu6829
    @erastomkulu6829 Жыл бұрын

    Kwahyo wapo inch gan xx

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm Жыл бұрын

    Hayo majina hatari Sana ,,, lakini nimewapenda

  • @chawawaally2020

    @chawawaally2020

    Жыл бұрын

    Unaoji watoto

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 Жыл бұрын

    Duduke ndo mayele wa apo kati😁

  • @mcback4384
    @mcback4384 Жыл бұрын

    Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 Жыл бұрын

    nilitamani kuiyona ndefu hii

  • @wajawemaonlineTv
    @wajawemaonlineTv Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/dY6Mwa2vpNq7csY.html MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI

  • @mohamedimalesa2995
    @mohamedimalesa2995 Жыл бұрын

    Dudukwe noma sana

  • @eriminewilsonpjo9540
    @eriminewilsonpjo9540 Жыл бұрын

    Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Жыл бұрын

    Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.

  • @husseinguyo4929
    @husseinguyo4929 Жыл бұрын

    Nyie Tanzania muapenda kutaja mambo ya usanii tuu

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi4382 Жыл бұрын

    Namie Naitwa Didakus okwae nyakworon tic

  • @benjaminjulius8021
    @benjaminjulius8021 Жыл бұрын

    Dudukweee that is my name.

  • @zulfahamissi9266
    @zulfahamissi9266 Жыл бұрын

    Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 Жыл бұрын

    Jamii hii Ina kitu Cha kujinfunza kwasababu iko tofauti sana

  • @kilimohub580
    @kilimohub580 Жыл бұрын

    Wonderful names , dont make fun of them just bcoz una jina la kikoloni

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 Жыл бұрын

    Kazi kwenu makarani kwa majina hayoo😂😂😂😂 lazima mtudanganye..

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @mariammkwabi7101

    @mariammkwabi7101

    Жыл бұрын

    Haki😂😂😂

  • @fatmaabdallah3144
    @fatmaabdallah3144 Жыл бұрын

    Hahahaa nasikia dododod t

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan Жыл бұрын

    Huyo miaka tatu atuache kidogo😂😂

  • @zakariazakaria3853
    @zakariazakaria3853 Жыл бұрын

    Dume 3 za Nyani

  • @kendrickzeyn9928
    @kendrickzeyn9928 Жыл бұрын

    Hili jina la kaka wa pili apo dah linachekesha sanaaaaaaa Olekakuduoasikuika 😂😂😂😂

  • @shamsamuhammad3677

    @shamsamuhammad3677

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣💃limeniacha hoi hata meme

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 Жыл бұрын

    Wapatiwe nyama sawai ila sasa kazi ipo kwenye uandishi wa majina yao🤣🤣🤣

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂ni balaaa

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 Жыл бұрын

    Make kwanza cheke dudukwe🤣🤣

  • @allyiddi9682
    @allyiddi9682 Жыл бұрын

    Duuuu Dada ukovizuri Unaonekana bongeya fundi

  • @peterdotto4055
    @peterdotto40559 ай бұрын

    Majina hayo yanaandikika vipi asee, raisi watakuwa hawamjui wanamjua diamond tuu

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Жыл бұрын

    Duh😀😃😄😁😆😅🤣😂 hayo majina

  • @mwajumahamisi2006
    @mwajumahamisi2006 Жыл бұрын

    Sasa hapo hilo jina unaliandikaje sasa 🤣🤣🤣 maana mmh kaz

  • @issaladi1928
    @issaladi192811 ай бұрын

    Dudu khweeee😂😂

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 Жыл бұрын

    hawa jamaa wanaweza kuwa wapiga mabiti ya mdomo wazuri sana wakatumika kwenye sanaa

  • @farhatomar78

    @farhatomar78

    Жыл бұрын

    Hahaha

  • @shabanitetema3020
    @shabanitetema3020 Жыл бұрын

    Duh!¡! Atari sana dudu kweeee

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын

    Ni kama asili yao South Africa?!

Келесі