VIDEO INAYOMUONYESHA SHEIKH RUSAGANYA AKIWA PALESTINE SIKUCHACHE KABLA YA MACHAFUKO KUANZA.

• VIDEO INAYOMUONYESHA S... #KHIDMATV #sheikhhashimrusaganya #palestine #gaza #israel

Пікірлер: 52

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp93819 ай бұрын

    Maashaallah Allah akuhifadhi shekhe wetu nakulinde namabaya

  • @SociedadeSust1234

    @SociedadeSust1234

    9 ай бұрын

    Allahuma Amiin

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla78249 ай бұрын

    Masha Allah sheikh Allah akuifadh

  • @user-oi1rj5tq3r
    @user-oi1rj5tq3r4 ай бұрын

    Mwenyez mungu akujaalie kher Leo na kesho akhera

  • @nkwabiheneriko5089
    @nkwabiheneriko50899 ай бұрын

    ALLAH akupe maisha marefu shekhe

  • @ashaali3332
    @ashaali33329 ай бұрын

    mashaaAllah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72589 ай бұрын

    Maashaallah tabarakallah

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim9 ай бұрын

    Allah akuhifadhi sheik Rusaganya Hashim

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu30659 ай бұрын

    Masha Allh ❤

  • @jokhaali5893
    @jokhaali58939 ай бұрын

    ماشاءالله تبارك الرحمن

  • @abdallahmaulid3053
    @abdallahmaulid30538 ай бұрын

    MASHAALLAH

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor59699 ай бұрын

    Mie nampenda huyu shekhe namfatilia sana nampenda kwa ajili ya Allah yupo mkweli sana napenda sana mawaidha yake anakupa hapo hapo kanyooka natamani siku moja nifatane nae nikasome mengi hodari anajuwa mambo mengi wallahi hodari mashaa allah anaongea ukweli wallahi mungu ane afya njema na unti twaeel azidi kutunyoosha amin yarabil alamin🤲🤲🤲 from 🇬🇧 uk jamani namkubali napenda mpeni salam zangu tunampenda huku kwa ajili ta Allah

  • @nicholasrubambula90
    @nicholasrubambula908 ай бұрын

    Hongera shekhe ubarikiwe

  • @user-no3jj1ph8p
    @user-no3jj1ph8p7 ай бұрын

    Ninyi mnaokoment upuuz, achen kucheza na ALLAH

  • @user-sg1ip7mk9y
    @user-sg1ip7mk9y9 ай бұрын

    Mashaallar

  • @user-bz1qy3dw2s
    @user-bz1qy3dw2s9 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu amvuwe hili na jengine

  • @mwanahussein5935
    @mwanahussein59359 ай бұрын

    Mmmm kusema kweli MI ata cjamuelewa wallah

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama9 ай бұрын

    Hongereni kwa majini kuujenga msikiti

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    9 ай бұрын

    Ni king Solomon aliyejenga kwa kutumia majini, hilo jengo limekuwa linagombaniwa na mayahudi, waislam na hata wakristo na ndipo alipolelewa bikra Maria na mzee wake Zakaria. Soma biblia ujue sio kupinga pinga hovyo.

  • @florangido202

    @florangido202

    9 ай бұрын

    Hahaha Jamani, Kweli hiyo Kiboko😮😮😮

  • @AlexMkwama

    @AlexMkwama

    9 ай бұрын

    Maria na Zakaria Tena mbona unachanganya!? Ninachojua maria kwa yusuph au Joseph na Elizabeth kwa zekaria. Pia uelewe kuwa hapo palikuwa na hekalu ambalo sulemani alijenga sio majini, ila shekh hapo kasema majini yalishiriki kwasababu maji na uislamu ni ndugu. Mi sijakosea ndugu .

  • @khadijayusuf7968

    @khadijayusuf7968

    9 ай бұрын

    ​@@AlexMkwamawew ni kafir tuu huelewi hata unacho kiongea

  • @AlexMkwama

    @AlexMkwama

    9 ай бұрын

    @@khadijayusuf7968 Nini maana ya kafiri??? Kaa kwenye hoja punguza hasira! Au we mpagani Nini! Maana ungekuwa muislam kweli usingekuja pupa hivyo. Ukweli uislamu na majini ni ndugu kama unakataa Hilo ,nakupa Aya kutoka kwenye Quran

  • @agripahvaisa2138
    @agripahvaisa21388 ай бұрын

    Tumeishiwa yaani nauzachipsi hadi saanane usiku katika wateja10 wakiume sabamashoga alafu tuseme tunaamani sema2 hatuna kitu

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith14989 ай бұрын

    Alex kumbe umesikia majini kujenga msikiti, utaficha mambo kwa muda lakini ipo siku utatoboa Siri

  • @rehemandaka7467

    @rehemandaka7467

    9 ай бұрын

    Ila mda mwengine mnahitaj elimu na so kuropoka tu

  • @jasmineluande1694
    @jasmineluande16949 ай бұрын

    Waislam wana vituko wanapenda ugomvi,wanaanzishaga ugomvi wanaua halafu wanalaumu ,hawajawahi kubali makosa yao

  • @akidahamad142

    @akidahamad142

    9 ай бұрын

    Fala ww libya ilivamiwa na nani kama c nyinyi makafri mshenz ww mkapa aliua zanbar ni nani c mkirsto

  • @bigruwas81
    @bigruwas814 ай бұрын

    Hii sio masjid Aqsa yenye dome ya rangi ya dhahabu juu

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11719 ай бұрын

    LAKINI SIJAPEBNDA ULOVYOVAA UNGEVAA KANZU NA KOFIA MORE SMART KAMA WENGINE WAMEVAA SMART? JAMANI UMENIANGUSHA MIMI MWANAFUNZI WAKO MKUBWA SAANA NA MSIKILIZAJI WAKO NUMBER 1

  • @rehemandaka7467

    @rehemandaka7467

    9 ай бұрын

    Nadhan humjui vizur shekh rusagnya huwa anapenda kuwa ivo San kulikon kanzu

  • @fathimamct232
    @fathimamct2329 ай бұрын

    Unasema kweli Shekhe wangu tuwaangalie Yemen misri na nchi nyingi za wenzetu wanavyo mangamanga katika nchi za watu Kwa suala la ukimbizi Sasa tujiulize kwa nn mtu Anaitwa mkimbizi?? Ina maana Alipotoka Hakuna Amani na wamesgindwa kuilinda Amani waliopewa na ALLAH Subhana Huwa taala.

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith14989 ай бұрын

    Mi sijaekewa rasululah aliepaa ni nani mnaendeleza uongo

  • @alihaidary4143
    @alihaidary41439 ай бұрын

    Mbona mnatumia nguvu sana kusu ili

  • @johnmizunguofficial
    @johnmizunguofficial8 ай бұрын

    Kumbe misikiti yenu ilijengwa na majini

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    8 ай бұрын

    Hekalu la nabii Suleiman. Hekalu aliloingia YESU.... Ni hekalu lililojengwa na majini, nabii Suleiman aliwaamulisha kwa uweza wa mwenyezi Mungu.....

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf9 ай бұрын

    Hee kumbe msikiti inajengwa namajini mnamazito waislamu

  • @NassoroHassani-ni1ln

    @NassoroHassani-ni1ln

    9 ай бұрын

    Hakuna ulicho kielewa anasema nabii Suleiman alikuwa amekaa sehem akiwaamlisha majini wajenge msikitini (hekaru la Sulemani) miaka ya nyuma kabra ya Yesu

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte4299 ай бұрын

    Nikiongozi yupi huyo aliokududiwa na mtume swalawwahu alaihi wa Salam. Nihawa wakidemocrasia? Unapiga sa uso au unafusha matope juu.?

  • @barkemohamed4198
    @barkemohamed41989 ай бұрын

    Wapigwa ndio maana walipiza

  • @VunjaBoy
    @VunjaBoy8 ай бұрын

    Nyinyi munaokometi usenge katombwe ni

  • @user-vu9gs7cq1c

    @user-vu9gs7cq1c

    8 ай бұрын

    Mwenyezi mungu hafurahishwi na matusi

  • @abisairobert4864
    @abisairobert48649 ай бұрын

    Na mbingu hutaiona lakini Inakubidi uokoke YESU ANAKUPENDA. NB: ZINGATIE UENDE MBINGUNI.

  • @alwatanalgilgilan-y3078

    @alwatanalgilgilan-y3078

    9 ай бұрын

    Na wewe usilimu ili uense peponi

  • @user-dy2qn2xc3x
    @user-dy2qn2xc3x9 ай бұрын

    Kama ni mtetezi ungebaki😂

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    9 ай бұрын

    Wevipi sasa angejuaje kama itatokea vita na yy anarudi sikuya5 ndiyo yanatukea hayo. Ww lntakillah

  • @user-bg5sg6kh9q

    @user-bg5sg6kh9q

    9 ай бұрын

    Ww mjinga nenda ww basi ww mjinga

  • @user-bg5sg6kh9q

    @user-bg5sg6kh9q

    9 ай бұрын

    Ww mjinga nenda ww basi ww mjinga huelewi wala hufahamu kwenda zako

  • @PatriceKimario-zt5tx

    @PatriceKimario-zt5tx

    9 ай бұрын

    Mashaallah wanakuchukia watajinyonga wanakuonea wivu unajua kuseemaukweli Allah akujalie maisha malefu

  • @saidaabdalla2854

    @saidaabdalla2854

    9 ай бұрын

    Ma Sha Allwah, Allwahumma Barik

Келесі