VIDEO:Hili hapa balaa la RAYVANNY nchini Albania mbele ya maelfu ya mashabiki,aweka historia,tazama.
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#rayvanny
Пікірлер: 43
To be honest Rayvanny ni mkubwa kulimliko Harmonize kimataifa
@nittyswagger9091
26 күн бұрын
Sio harmonize tu kwa bongo hakuna anae mfikia
Gonga like 🎉 kama unamkubali Rayvab boy
Chui ❤❤❤ 🎉🎉 Nampa mauwa yake ❤
Chuiii ni umoja tu 💥🔥🔥
Chui anafat njia za braz mind🙏
Vanny Boy Noumaaa saana
Nice
Chuiiii 🐯🦅 wetu ❤️❤️❤️🇧🇮
Le premier dépuis le Congo RDC précisément à Kinshasa courage Rayvanny
🧭🤳 Global way chui 🐯 from Msumbiji Mozambiki 🇲🇿 PEMBA CariaCo
𝙷𝚘𝚗𝚐𝚎𝚛𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚕𝚊𝚔𝚒𝚗𝚒 𝚞𝚖𝚊𝚝𝚒 𝚑𝚊𝚞𝚔𝚞𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚙𝚎𝚔𝚎𝚎 𝚘𝚔𝚊𝚢.
Chui 🐅🇹🇿💪🏿💥💥💪🏿💥💪🏿🐅💥💪🏿🐅💥
Chuii ❤❤🎉🎉 nampa mauwa yake❤
Tunasubir Ureno kwa wakubwa wa dunia🔥🔥🔥🔥🔥
Chuiiii 🐅🐅🐅🐅 nikitaka kuoch live nifanye aje mnisaidie
Ametishaaa😊
❤❤❤❤
Rayvanny ❤❤
❤❤❤🎉
Wa dunia
Atali sana
@BuzaTV-sn2ft
26 күн бұрын
Chui 🐅🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪🏿💥💪🐅🇹🇿
i dedicate my flowers direct to my home boy RAYMOND MWAKYUSA 😂😂😂 that's how he presents our nation. #Mziki unaongea
Chui angekuwa mgabon wangem appreciate nakudai ni mkubwa kuliko mondi,,wabongo bhana😆😆
Chui ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
,,,🎉🎉🎉
Chuiiiiii imeweza
Chuii ni moja 2💪🏽 nikupe maua yako dogo🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Rayvanny ndo Msanii wa pili Tanzania
@AlexJacobo-vc2kt
26 күн бұрын
Nakuunga mkon
@hudhaimarajab9103
24 күн бұрын
Wa kwanza nani wakat huyu Ndo anaetuwakilisha tz ana tunzo uyo unaesema namba moja hana show zake uyo namba moja wako hajawahi kupiga hatuongelei utajir apa
@hudhaimarajab9103
24 күн бұрын
Wa kwanza nani wakat huyu Ndo anaetuwakilisha tz ana tunzo uyo unaesema namba moja hana show zake uyo namba moja wako hajawahi kupiga hatuongelei utajir apa
One day
KUNAZID KUCHANGAMKA
Chui atali bwana
bonge sasa anatafuta Kiki ya kuja nayo ili tusiongelee chui 😂😂
daaaaah kumbe kawa mkubwa hivi..?
Chuiiiiii
Nimwe tunzo kubwa tz maua yako chui kaziiongee
Et diamond nimukubwa haaaaa atok kule on watot Jin's wanakupita
@user-jh9yv1zp1l
26 күн бұрын
Ww naw matok kweli ,ss mond umlingnishe na watoto au hujui kam nashow ureno ?
@albertkadyanji9722
26 күн бұрын
Choko wewe tulia Mondi atabaki kuwa Mondi