VIDEO: BAADHI YA POLISI ZNZ WAGUNDULIWA MACHAFU, | DADA POA ZANZIBAR

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Khayrat Haroub #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 175

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70475 жыл бұрын

    Kazi nzuri. Hawa sio Madada poa. Hawa ni madada toa. Allah tusaidie tuepukane na laana hii. Ameen.

  • @khamisame4649
    @khamisame46495 жыл бұрын

    Mashaallah kazi zur mh namuomba mkuu WA mkowa wa kaskazin A nayeye afanye upeshen maan hao madad poa sio mjini tuu atashamba wapa

  • @khalfanmbarouk112
    @khalfanmbarouk1124 жыл бұрын

    Alhamdulilah tumempata makonda wa zanzibar allah amjaalie achape kazi hadi hatua ya mwisho kupigania nchi yetu love zanzibar

  • @talibabdullah3762
    @talibabdullah37625 жыл бұрын

    Mashaallah mkuu wa mkoa kwa kazi nzur. Cha kufanya ili tuwaondowe madada poa ni kuwekwa kwa sheria kali dhidi ya atakae uza mwili na atakae nunua mwili na tusiruhusu madada poa kuishi ktk mitaa yetu..

  • @ahmedramadhan8331
    @ahmedramadhan83315 жыл бұрын

    Ivo ivo anavyo fanya mh mkuu wa mkoa vizur sanaa Allah akulinde kwenye kaz yako utadumu insha Allah

  • @abdallaalihassan190
    @abdallaalihassan1905 жыл бұрын

    Hongera mkuu wetu wa mkoa. Tuondolee uchafu huu unatuletea balaa katika nchi yetu maana Allah s.w anachukia na kutuondolea neema zake, nasi tuko nyuma yako kwa kila hali tutafanya kila tuwezalo kukusaidia na kukuombea dua kwa Allah (s.w) maana kuna watu hawapendi kuona mambo haya yanaondoka

  • @aliarkam1413
    @aliarkam14135 жыл бұрын

    Hongera sana mkuu wa mkoa kazi mzur sana ,hao Police lazima waazibiwe

  • @utaani1
    @utaani15 жыл бұрын

    Kazi nzuri masha Allah. Ushauri wangu wasikodishwe nyumba warudi kwao

  • @serbash4212

    @serbash4212

    5 жыл бұрын

    Endeleya hivohivo kuwashika

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    Muheshimiwa mkuu wa mkowa hongera sana kwa kazi zako nakupa hongera

  • @nashiluhende260
    @nashiluhende2605 жыл бұрын

    Kazi nzuri. Na mashoga pia

  • @ameirameir4930
    @ameirameir49305 жыл бұрын

    Hongera sana komred Mungu akuongoze kupambana na adui muhali

  • @asiakheir6406
    @asiakheir64065 жыл бұрын

    hao polisi wafukuzwe kazi..hata vituoni ukipeleka kesi ,vituoni zinafia vituoni mimi binafsi nimefanyiwa hivo,kwakweli polisi wengine wanakatisha tamaa,mkuu wamkoa unafanyakazi nzuri ,Allah akulinde

  • @abrahamlucas6792
    @abrahamlucas67925 жыл бұрын

    Nimekipenda hili zoez

  • @hajusamhemed2949
    @hajusamhemed29495 жыл бұрын

    MashaAllah Kari mzuri sana hangers mkuu wa mkoa. N.a. shauri pia avamie na maskan za wavuta bangi na madawa ya kulevya nao wanaongoza ktk kupotea kwa amani ktk mitaa yetu

  • @mundhirmundhir3708

    @mundhirmundhir3708

    5 жыл бұрын

    Hajusam Hemed INAPENDEZA SANA NA HILO LIKAFANYIWA KAZI.

  • @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.
    @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.5 жыл бұрын

    Mkuu Wa Mkoa Mm Nasoma Makkatul mukarrama Nakuahid Kukuombea Dula Maalum Kila niwapo Kwenye Kaaba

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    5 жыл бұрын

    Na mimi naomba dua yako kwenye Kaaba pls @ Abdallah Juma

  • @fatmaomar8022
    @fatmaomar80225 жыл бұрын

    MashaaAllah, Allah yupamoja na wewe.

  • @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.
    @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.5 жыл бұрын

    ALLAH Amuhifadh mkuu wa mkoa na Amlinde kwakila shari na Amlinde kutokana na mikono ya maadui

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama1455 жыл бұрын

    Mh Ayyoub kazi nzuri.

  • @salummohd565

    @salummohd565

    5 жыл бұрын

    hongera kk

  • @abdulrahmansalim1809

    @abdulrahmansalim1809

    5 жыл бұрын

    Zanzibar imekuwa danguro

  • @abdulrahmansalim1809

    @abdulrahmansalim1809

    5 жыл бұрын

    Nadhani viongozi wamefurahi sana Zanzibar kuwa danguro. Fingera

  • @galayagalaya48
    @galayagalaya485 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa watumbue wote wala usiogope vitisho mungu yupo pamoja nawe

  • @fatmazenafzena917
    @fatmazenafzena9175 жыл бұрын

    Allah akuongoze zaidi na zaidi Muheshimiwa

  • @arafatsalehe6607
    @arafatsalehe66075 жыл бұрын

    kazi nzurivsn hongera mkuu chapa kazi mun

  • @abdulsamadabdulkheir1652
    @abdulsamadabdulkheir16525 жыл бұрын

    Yani kuwafanyiya kazi hao wanaojiuza ni kazi moja nzuri sana yani na mjini yapo inabidi ufatilizie hadi mji mkongwe

  • @aliy3303

    @aliy3303

    5 жыл бұрын

    Broo As alykum. Toa location tuandikie walipo or plz fika ofisi ya Mkuu wa mkoa umpe ukweli

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis12615 жыл бұрын

    Mungu amsimamie kazi nzuri

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57175 жыл бұрын

    Mashaallah mkuu wa mkowa unafaa uwe Raisi wetu wa znz nimeyspena maamuzi yako mazuri sana

  • @jeffkamal533

    @jeffkamal533

    5 жыл бұрын

    Police ndio wanapenda mambo hayo mpaka wanaomba mchezo bora na wao wafungwe

  • @biramsakh9212
    @biramsakh92125 жыл бұрын

    Allah akulinde mkuu wamkoa akuhifadhi YaaRabbi akepushe na matatizo na kila shari akepushe nazo amin Allah akufanyie wepes ktk kazi zako amin

  • @jimjam4162
    @jimjam41625 жыл бұрын

    MASHA ALLAH kazi nzuri Sana utapata ujira mzuri apa duniyani na kesho Siku ya malipo amin amin

  • @muddjigal4096
    @muddjigal40965 жыл бұрын

    vyema hawo POLICE wachukuliwe hatuwa kwa kula Rushwa(corruption)

  • @salehmustafa5538
    @salehmustafa55385 жыл бұрын

    Mm nampongeza sana mkuu wa mkoa mwenyezi Mungu amdumishe na amlinde kila baya

  • @OmarSaid-st8es
    @OmarSaid-st8es10 ай бұрын

    Hongera All ha akupe maisha mema

  • @fakihassan1369
    @fakihassan13695 жыл бұрын

    hongera kaka

  • @newttechog75
    @newttechog755 жыл бұрын

    Anachokifanya mkuu wa mkoa ni sahihi sana anastahili pongezi za hali ya juu laiti tungelikua na viongozi kama hawa katika nchi yet katika kila nyanja basi tungelikua tupo katika hali sawia ya utii wa sheria bila shurtisho napenda uwajibikaji wako mungu akujaalie kila la kheri mkuu wangu wa mkoa mjini magharib aamin

  • @rashidalsalmani2343
    @rashidalsalmani23435 жыл бұрын

    Mungu asaidie katika maswala mazima ya kuimarisha mji wetu wa Zanzibar mkimaliza yote mtupe ajira ili tujiepushe na mambo yasiyofaa katika jamii

  • @mrokana6493
    @mrokana64932 жыл бұрын

    Hongera mtangazaj kwamatumizi sahihi ya lugha adhim ya kiswahili neno kukodisha mwili ndio neno sahihi sio kuuza mwili .

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn94535 жыл бұрын

    Huyu ni Kiongozi, kwa maadili yote. Mwenyezi Mungu muimarishe

  • @khamismtumwa4177
    @khamismtumwa41775 жыл бұрын

    Yupo vizuri 2 Mr Mkuu wa mkoa namuunga mkono

  • @al.alawymohamed6112

    @al.alawymohamed6112

    5 жыл бұрын

    Lkn hao ni wagen si wazaliwa wa znz sasa na wa znz legeeni nchi wenyewe bahar tupu.mcheni mungu.mtume asema asieweza kuoa afunge

  • @hamoudsaid635
    @hamoudsaid6355 жыл бұрын

    Kazi nzuri kaka lakini fanya kuwarudisha ma kwao na iwe mwanzo na mwisho kukanyaga kisiwa Cha Zanzbar Mana wanaleta ukimwi na aibu kubwa kwenye nchi yetu

  • @shamalitv7091
    @shamalitv70915 жыл бұрын

    Mheshimuwa Ayoub ww ni the feature president mungu akuzidishie

  • @memesnamatukiomuhimu8453
    @memesnamatukiomuhimu84535 жыл бұрын

    let's movie continue ✌✌✌

  • @fatmaalzaroni811
    @fatmaalzaroni8115 жыл бұрын

    Hongera mkuu wa mkoa

  • @fatmaalzaroni811

    @fatmaalzaroni811

    5 жыл бұрын

    Hongera sana unahitaji upewe tumzo

  • @asfarsham9556
    @asfarsham95565 жыл бұрын

    We baba nakupenda bureeeeeè.

  • @salmaalkyumi2270
    @salmaalkyumi22705 жыл бұрын

    Good job🎈

  • @ssur5797
    @ssur57975 жыл бұрын

    Wwe kaka umesoma na kisomo chako kina fanya kazi vizuri sna safi sana mmi nimependa mpka basi Hao maskri nawao huwa wananunua nyama wasenge watorosha hao makahaba duuh fanya kazi baba

  • @chrismahawi9861
    @chrismahawi98615 жыл бұрын

    Kazi nzuri ila kuna laana ya liwati inayotafuna visiwa hivi tangu asili, je mbona hamuigusi?

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc5 жыл бұрын

    I like this guy, Ayub Mohammed.

  • @josej9888
    @josej98885 жыл бұрын

    Bora muwarudishe makwao, lakini hii yamkuwa mnawakamata kila siku, hakuna chochote kitakachobadilika.

  • @ziadazidi2658
    @ziadazidi26585 жыл бұрын

    Hapana mzee polisi zanzibar wanakuzarau sana,angalia kesi za boda boda hawa polisi ndio wanakwamisha zoezi hilo.

  • @MohdMohd-nf1wz
    @MohdMohd-nf1wz5 жыл бұрын

    Hiyo ni haki Banaaa wanatoka bara wanakuja kujiuza huko wawekwe majela kabisa serikali isionee huruma ila pombe nayo Ifanyiwe jazi pia maana inaingizwa kiiila kukicha

  • @issaibrahim8676
    @issaibrahim86765 жыл бұрын

    Mashallah RC madhubuti kabisa ALLAH Akuifadhi muheshimiwa.

  • @kassimomar5542
    @kassimomar55425 жыл бұрын

    Kazi mzur mkuu WA mkowa mjini magharibi

  • @bestegame340
    @bestegame3405 жыл бұрын

    Maoni yangu watafute waume waolewe watapata stara kuliko upuuzi huo

  • @ukhtyrahma.3922
    @ukhtyrahma.39225 жыл бұрын

    MaashaAllah kaz nzur

  • @zayyatiyussuf9566

    @zayyatiyussuf9566

    5 жыл бұрын

    Kweli bakora za Allah zikishushwa hazina mzenjibar wala mbara hapo kila mmoja zinampata mkosefu na aliokuwa si mkosefu adhabu ya Allah haichagui ukabila

  • @ukhtyrahma.3922

    @ukhtyrahma.3922

    5 жыл бұрын

    zayyati yusufu swadakt umeongea nen leo shukran kwa ukumbush.

  • @khamisijuma4842
    @khamisijuma48425 жыл бұрын

    lakini dadapoa hawaondoki maana baaa bado zafanya kazi

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    hongera na wabara wanaouza uchi warejeshwe kwao wakauze uchi kwao. huwezi kuja kuishi znz kwa biashara ya uchi. lazima znz iwe na utawala bora na sheria bora uchafu urudi kwao bara

  • @drimazonechoice9822

    @drimazonechoice9822

    5 жыл бұрын

    Abdul Omari wao wanauza je wanao nunua pia ni wabara?

  • @user-pn9ii9iz8f

    @user-pn9ii9iz8f

    5 жыл бұрын

    belgiem football kids wauzaji wanatoka Bara wanunuzi wanatoka wp?

  • @firstname600
    @firstname6005 жыл бұрын

    Mkuu wa mkoa endelea baba usivunjike moyo, mm mwenyewe nishakupenda kwa kazi yako Nzuri hongera kwako.

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed71185 жыл бұрын

    Miti imekuwa mipevu na umerefuka sana mizizi yake imejikita mpaka katika rocks, piga kazi bro

  • @adamabdallah2245
    @adamabdallah22455 жыл бұрын

    Mm kwako mkuu WA mkoa mm nakukubali, mn hata hao masheha ukifata Barua ya kuombea kz BC km Huna elf 10000 huipat

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor53495 жыл бұрын

    Hawa wanaharibu mpaka watoto wadogo wa kiume, wanaiba pesa kwa wazee wao wanakwenda kununua

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    5 жыл бұрын

    FCP Productions hahahah wanakwenda kununua nini ?

  • @rashidseif6103

    @rashidseif6103

    4 жыл бұрын

    Kununua K, poa.

  • @salemkambuteh1409
    @salemkambuteh14095 жыл бұрын

    sio kutumia kauli tu juu ya hawa police wahalifu. tunataka kuona hukumu kali kwa hao wanaojiita TRA

  • @machelengamachelengafatuma6862
    @machelengamachelengafatuma68625 жыл бұрын

    Polic haoo ndio wateja hasa

  • @michakazojet1146
    @michakazojet11465 жыл бұрын

    safi sana mkuu wa mkoa

  • @AliOmar-sg3pr
    @AliOmar-sg3pr5 жыл бұрын

    Inauma mana mji mkongwe kuna vijana wadogo tu wamesha haribika tena kuna maskani malum huko mjii mkongwe imewekwa na watu hao .Tena kinacho niuma mm mtoto mdogo ila kuna wakina dada wanamuharibu serekali chukuweni hatua kali za kisheria

  • @mwadinimakame333
    @mwadinimakame3335 жыл бұрын

    Duu mtihani huuu Mungu nisadiee baazi

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko43835 жыл бұрын

    Hao mapolisi washtakiwe washenzi muheshimiwa piga kazi Allah atakusaidia inshaallah

  • @zubedasaid5962
    @zubedasaid59625 жыл бұрын

    Kikubwa ni kutoa Serikali kupitia wizara ya vijaa kuwapa elimu na kuwasaaidia katika kujiajiri na kuwapatia mitaji ya mkopo nafuu

  • @mohdali7612
    @mohdali76125 жыл бұрын

    upo sawa mh mkuu iucachee na nyumba zao zitaifishwe zote

  • @saidkhalfan3785
    @saidkhalfan37855 жыл бұрын

    Hapo mm ndio napenda, napenda , huku kwetu kuna masheha wanataka kutumbuliwa majipu

  • @ziyadaziyada4226
    @ziyadaziyada42265 жыл бұрын

    Hiyo ndio kazi za jeshi letu la polisi hata ukienda na kesi basi watachukuwa rushwa wewe mlalamikaji huwa huna chako lazima msasa upite kwa jeshi la polisi

  • @kibabumzungu298
    @kibabumzungu2985 жыл бұрын

    Sasa na hawa watalii wanao harbu mila zetu nao washulikiwe maana ishakua kero wanatuchafulia fukwe zetu kwa kisingizio cha utalii lkn uongo wanakuja kuzn tu tena mbele za watu hawana ata haya ya kutembea uchi

  • @utaani1
    @utaani15 жыл бұрын

    Inauma ila pia inachekesha ati wamekimbizwa kwa 20000 hiyo kali ndio maana polisi wana njaa kupita kiasi mpaka wanawakimbiza wahalifu kwa 20000 tu

  • @abuibra
    @abuibra5 жыл бұрын

    HAKUNA ZAIDI ILA KUSAFISHA HUO UCHAFU NA WANAO HUSIKA IKIWA POLICE AU MASHEHA NA WENYENYUMBA PIA WACHUKULIWE HATUA KALI ZAKUWEZA KUFUPISHA VITENDO VYA KISHENZI NA PIA KUWA MFANO KWA WENYE FIKIRA ZA KISHENZI.

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji5 жыл бұрын

    Hao polisi wenyewe fix tupu na wanajulikani.

  • @abuujereyjnassor2662
    @abuujereyjnassor26625 жыл бұрын

    mkuu wa mkoa akaze buti na wanao patikana wafikishe mahakamanii

  • @fizohafidh8290
    @fizohafidh82905 жыл бұрын

    Right

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77545 жыл бұрын

    Sasa Hao Sio Polic Ikiwa Awakutii Mkuu Wa Mkoa Ikiwa Wewe Unafuata Sheria Hao Polic Feki Fukuza Maneno Ya Nini Sasa Mkuu Zanzibari Mnatia Aibu Sana

  • @aysharashidi9987
    @aysharashidi99875 жыл бұрын

    mbona baadhi ya hawo watu ndio wakwa kwenda kwa madada poa wanakura rushwa wakiona leo wanataka kwenda kuvamia wanatowa tarifa hao T R A

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43825 жыл бұрын

    WAPIGWE MAWE HADHARANI IKISHA WAREJESHWE MAKWAO . PIA IWE KIJA ZANZIBAR KWA PASS PORT.

  • @asayubeejr1199

    @asayubeejr1199

    5 жыл бұрын

    Walaa usisemeee hatuna udugu huoooo wataingia kwa passport inshaaallah hakuna mwanzo usokuwa na mwisho yatakwishaa tuh

  • @abdulrahmansalim1809

    @abdulrahmansalim1809

    5 жыл бұрын

    Waachishwe kazi mara moja.

  • @dotomohd9156

    @dotomohd9156

    5 жыл бұрын

    Mbona wengi niwaxaliwa wa hapa ukimuona ana baiubu wala humjui km unabisha nenda bwawani kaone nusu unaotaka warudishwe makwao nusu wahapahapa

  • @salummohamed3199

    @salummohamed3199

    5 жыл бұрын

    Je na nyie kwenda bara kwa pasport

  • @natafutamatatizo4382

    @natafutamatatizo4382

    5 жыл бұрын

    @@salummohamed3199 WAZANZIBARI HAWANA MATATIZO NA KWENDA KOKOTE NA PASSPORT. WANAKUBALIKA KILA WANAPOKWEMDA KWA USTAARABU WAO.

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino34615 жыл бұрын

    Nao hao Askari wanakula hivyo Vitu.

  • @loyaltey6407
    @loyaltey64075 жыл бұрын

    Warudisho kwao sasa umuhimu wa pastors umefuka sawa wazanzibar

  • @marezbytreaty43
    @marezbytreaty435 жыл бұрын

    Na kwahani wapooo madadapoaaa

  • @hassanmahmoue3034
    @hassanmahmoue30343 жыл бұрын

    Huwezi kuwawajibisha POLISI wee ayoub

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung24105 жыл бұрын

    Duh hatar sana

  • @2pacshakur912
    @2pacshakur9125 жыл бұрын

    Heheh hii kazi si ndogo mkuu

  • @yassserseleman1490

    @yassserseleman1490

    5 жыл бұрын

    Samir Juma mmmmmh

  • @mariamfaki1166

    @mariamfaki1166

    5 жыл бұрын

    Na wanaofata hao mashoga pia wakamatwe akina kiringo

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib9405 жыл бұрын

    Ss wakisha kukamatwa si warudishwe makwao au utaratibu unakuwaje apo.

  • @rashidseif6103
    @rashidseif61034 жыл бұрын

    Ndio maana askar hufa wakiwa maskini Sana kutokana na kula kwao rushwa, Allah aninusuru kua Police mm na kizazi changu.

  • @salminiyussuf989
    @salminiyussuf9895 жыл бұрын

    Polisi mishahara haiwatosherezi, tatizo njaa. Wewe unashiba wakati wenzio wana njaa!!! Walipeni vzr muone kama hao hawatawajibika.

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne44715 жыл бұрын

    Polis wanakuzarau wajue kuwa hiyo ni serikari yamapinduzi

  • @fatmazenafzena917
    @fatmazenafzena9175 жыл бұрын

    Wapewe mashamba walime

  • @phchouse
    @phchouse5 жыл бұрын

    Dawa Sio kuwakamata. Kazi hakuna na umasikini umeongezeka. Hivyo viwili vinaweza kuondoa ukahaba. Sio police

  • @lawmaina78
    @lawmaina785 жыл бұрын

    Baadhi ya mapolisi ni wateja wao.

  • @utaani1
    @utaani15 жыл бұрын

    Nadhani wazanzibar wenzangu sote tupo pamoja na mkuu wa mkoa kwa hili 100%100

  • @sadakhamis1261

    @sadakhamis1261

    5 жыл бұрын

    Tu nakuunga mkono mkuu wa mkoa... Mungu akusimamie

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77545 жыл бұрын

    Ndugu Uku Bara Manzese Elfu Mbili .K.Sasa Ukimwi Utaisha Kweli Tena Wadada Warembo Kweli Kweli Elfu Mbili Pale Kisonono HIV Kaswende Gono Yuti Hai Kichocho Fangasi Na Magonjwa Ya Zinaa Ndio Jikoni Watu Tujue Kila Mtu Ufa Na Kila Kifo Kinasababu Na Sababu Nayo Inaweza Ikaundwa Nawewe Mfano Wewe Umeoa Na Mmepima Na Mkeo Mko Salama Cha Ajabu Wewe Unamuacha Mkeo Nyumbani Unaenda Kwenye Madanguro Kusaka Ukimwi Na Ukiupata Ukikuua Ivi Wewe Unastaili Kweli Kupata Pepo Kwa Mungu Apo Umejitakia Kwasababu Ndani Yuko Mke Kule Ulikoenda Yule Ni Changudoa Hata Ajulikani Kwa Mungu Kwaivo Wewe Utakua Umeenda Kusaka Kifo Kwa Nguvu Na Kwakua Umekisaka Kwa Nguvu Mungu Atokupa Pepo Ikiwa Umelazimisha Kupata Ugonjwa Huo

  • @humoudrashid9307
    @humoudrashid93075 жыл бұрын

    HUYU MKUU WA MKOA ANASTAHILI KUWA RAISI WA ZANZIBAR HAPO MBELENI TUNAKOENDA ...ANAFANYA KAZ NZUR

  • @albait5227
    @albait52275 жыл бұрын

    faida ya muungano

  • @ishaq9925
    @ishaq99255 жыл бұрын

    wanachukuwa mzingo wanaenda kura acha wajiseviee kaka

  • @abdulrasulnasra
    @abdulrasulnasra5 жыл бұрын

    fungua na bar zote bas bila ivo ni kazi bure kwasababu bar na kumbi za starehe ndo zinazochochoea mambo haya sio madanguro tu. kwa maoni yangu

  • @machanohaji9841
    @machanohaji98413 ай бұрын

    Mimi nauliza je nyinyi watu waserekal munafanya sahihi vile mukipita na kugawa kondom nihaki

  • @mwanatz5980
    @mwanatz59805 жыл бұрын

    Ndio police wengine wao ndio wanaanzilishi wamambo machofu,macheha waondoe wapeni vijana wafanye kazi.

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin93575 жыл бұрын

    muheshimiwa allah akulipe kwa kufanya hilo zoezi ,lkn mpole sana ,hao askari ni maadui zako fukuxia mbali kabisa ,kama mzee magufuli hakuna kuleana .

  • @oopsm3574
    @oopsm35745 жыл бұрын

    Mmeyataka wenyewe sasa zogo la nini?

  • @hassanmahmoue3034
    @hassanmahmoue30343 жыл бұрын

    Acha kutishia POLISI nyau police ni wajanja mno katika majeshi