VIDEO: BAADHI YA POLISI ZNZ WAGUNDULIWA MACHAFU, | DADA POA ZANZIBAR
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Khayrat Haroub #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 175
Kazi nzuri. Hawa sio Madada poa. Hawa ni madada toa. Allah tusaidie tuepukane na laana hii. Ameen.
Mashaallah kazi zur mh namuomba mkuu WA mkowa wa kaskazin A nayeye afanye upeshen maan hao madad poa sio mjini tuu atashamba wapa
Alhamdulilah tumempata makonda wa zanzibar allah amjaalie achape kazi hadi hatua ya mwisho kupigania nchi yetu love zanzibar
Mashaallah mkuu wa mkoa kwa kazi nzur. Cha kufanya ili tuwaondowe madada poa ni kuwekwa kwa sheria kali dhidi ya atakae uza mwili na atakae nunua mwili na tusiruhusu madada poa kuishi ktk mitaa yetu..
Ivo ivo anavyo fanya mh mkuu wa mkoa vizur sanaa Allah akulinde kwenye kaz yako utadumu insha Allah
Hongera mkuu wetu wa mkoa. Tuondolee uchafu huu unatuletea balaa katika nchi yetu maana Allah s.w anachukia na kutuondolea neema zake, nasi tuko nyuma yako kwa kila hali tutafanya kila tuwezalo kukusaidia na kukuombea dua kwa Allah (s.w) maana kuna watu hawapendi kuona mambo haya yanaondoka
Hongera sana mkuu wa mkoa kazi mzur sana ,hao Police lazima waazibiwe
Kazi nzuri masha Allah. Ushauri wangu wasikodishwe nyumba warudi kwao
@serbash4212
5 жыл бұрын
Endeleya hivohivo kuwashika
Muheshimiwa mkuu wa mkowa hongera sana kwa kazi zako nakupa hongera
Kazi nzuri. Na mashoga pia
Hongera sana komred Mungu akuongoze kupambana na adui muhali
hao polisi wafukuzwe kazi..hata vituoni ukipeleka kesi ,vituoni zinafia vituoni mimi binafsi nimefanyiwa hivo,kwakweli polisi wengine wanakatisha tamaa,mkuu wamkoa unafanyakazi nzuri ,Allah akulinde
Nimekipenda hili zoez
MashaAllah Kari mzuri sana hangers mkuu wa mkoa. N.a. shauri pia avamie na maskan za wavuta bangi na madawa ya kulevya nao wanaongoza ktk kupotea kwa amani ktk mitaa yetu
@mundhirmundhir3708
5 жыл бұрын
Hajusam Hemed INAPENDEZA SANA NA HILO LIKAFANYIWA KAZI.
Mkuu Wa Mkoa Mm Nasoma Makkatul mukarrama Nakuahid Kukuombea Dula Maalum Kila niwapo Kwenye Kaaba
@zenaal-baalawy1953
5 жыл бұрын
Na mimi naomba dua yako kwenye Kaaba pls @ Abdallah Juma
MashaaAllah, Allah yupamoja na wewe.
ALLAH Amuhifadh mkuu wa mkoa na Amlinde kwakila shari na Amlinde kutokana na mikono ya maadui
Mh Ayyoub kazi nzuri.
@salummohd565
5 жыл бұрын
hongera kk
@abdulrahmansalim1809
5 жыл бұрын
Zanzibar imekuwa danguro
@abdulrahmansalim1809
5 жыл бұрын
Nadhani viongozi wamefurahi sana Zanzibar kuwa danguro. Fingera
Mkuu wa mkoa watumbue wote wala usiogope vitisho mungu yupo pamoja nawe
Allah akuongoze zaidi na zaidi Muheshimiwa
kazi nzurivsn hongera mkuu chapa kazi mun
Yani kuwafanyiya kazi hao wanaojiuza ni kazi moja nzuri sana yani na mjini yapo inabidi ufatilizie hadi mji mkongwe
@aliy3303
5 жыл бұрын
Broo As alykum. Toa location tuandikie walipo or plz fika ofisi ya Mkuu wa mkoa umpe ukweli
Mungu amsimamie kazi nzuri
Mashaallah mkuu wa mkowa unafaa uwe Raisi wetu wa znz nimeyspena maamuzi yako mazuri sana
@jeffkamal533
5 жыл бұрын
Police ndio wanapenda mambo hayo mpaka wanaomba mchezo bora na wao wafungwe
Allah akulinde mkuu wamkoa akuhifadhi YaaRabbi akepushe na matatizo na kila shari akepushe nazo amin Allah akufanyie wepes ktk kazi zako amin
MASHA ALLAH kazi nzuri Sana utapata ujira mzuri apa duniyani na kesho Siku ya malipo amin amin
vyema hawo POLICE wachukuliwe hatuwa kwa kula Rushwa(corruption)
Mm nampongeza sana mkuu wa mkoa mwenyezi Mungu amdumishe na amlinde kila baya
Hongera All ha akupe maisha mema
hongera kaka
Anachokifanya mkuu wa mkoa ni sahihi sana anastahili pongezi za hali ya juu laiti tungelikua na viongozi kama hawa katika nchi yet katika kila nyanja basi tungelikua tupo katika hali sawia ya utii wa sheria bila shurtisho napenda uwajibikaji wako mungu akujaalie kila la kheri mkuu wangu wa mkoa mjini magharib aamin
Mungu asaidie katika maswala mazima ya kuimarisha mji wetu wa Zanzibar mkimaliza yote mtupe ajira ili tujiepushe na mambo yasiyofaa katika jamii
Hongera mtangazaj kwamatumizi sahihi ya lugha adhim ya kiswahili neno kukodisha mwili ndio neno sahihi sio kuuza mwili .
Huyu ni Kiongozi, kwa maadili yote. Mwenyezi Mungu muimarishe
Yupo vizuri 2 Mr Mkuu wa mkoa namuunga mkono
@al.alawymohamed6112
5 жыл бұрын
Lkn hao ni wagen si wazaliwa wa znz sasa na wa znz legeeni nchi wenyewe bahar tupu.mcheni mungu.mtume asema asieweza kuoa afunge
Kazi nzuri kaka lakini fanya kuwarudisha ma kwao na iwe mwanzo na mwisho kukanyaga kisiwa Cha Zanzbar Mana wanaleta ukimwi na aibu kubwa kwenye nchi yetu
Mheshimuwa Ayoub ww ni the feature president mungu akuzidishie
let's movie continue ✌✌✌
Hongera mkuu wa mkoa
@fatmaalzaroni811
5 жыл бұрын
Hongera sana unahitaji upewe tumzo
We baba nakupenda bureeeeeè.
Good job🎈
Wwe kaka umesoma na kisomo chako kina fanya kazi vizuri sna safi sana mmi nimependa mpka basi Hao maskri nawao huwa wananunua nyama wasenge watorosha hao makahaba duuh fanya kazi baba
Kazi nzuri ila kuna laana ya liwati inayotafuna visiwa hivi tangu asili, je mbona hamuigusi?
I like this guy, Ayub Mohammed.
Bora muwarudishe makwao, lakini hii yamkuwa mnawakamata kila siku, hakuna chochote kitakachobadilika.
Hapana mzee polisi zanzibar wanakuzarau sana,angalia kesi za boda boda hawa polisi ndio wanakwamisha zoezi hilo.
Hiyo ni haki Banaaa wanatoka bara wanakuja kujiuza huko wawekwe majela kabisa serikali isionee huruma ila pombe nayo Ifanyiwe jazi pia maana inaingizwa kiiila kukicha
Mashallah RC madhubuti kabisa ALLAH Akuifadhi muheshimiwa.
Kazi mzur mkuu WA mkowa mjini magharibi
Maoni yangu watafute waume waolewe watapata stara kuliko upuuzi huo
MaashaAllah kaz nzur
@zayyatiyussuf9566
5 жыл бұрын
Kweli bakora za Allah zikishushwa hazina mzenjibar wala mbara hapo kila mmoja zinampata mkosefu na aliokuwa si mkosefu adhabu ya Allah haichagui ukabila
@ukhtyrahma.3922
5 жыл бұрын
zayyati yusufu swadakt umeongea nen leo shukran kwa ukumbush.
lakini dadapoa hawaondoki maana baaa bado zafanya kazi
hongera na wabara wanaouza uchi warejeshwe kwao wakauze uchi kwao. huwezi kuja kuishi znz kwa biashara ya uchi. lazima znz iwe na utawala bora na sheria bora uchafu urudi kwao bara
@drimazonechoice9822
5 жыл бұрын
Abdul Omari wao wanauza je wanao nunua pia ni wabara?
@user-pn9ii9iz8f
5 жыл бұрын
belgiem football kids wauzaji wanatoka Bara wanunuzi wanatoka wp?
Mkuu wa mkoa endelea baba usivunjike moyo, mm mwenyewe nishakupenda kwa kazi yako Nzuri hongera kwako.
Miti imekuwa mipevu na umerefuka sana mizizi yake imejikita mpaka katika rocks, piga kazi bro
Mm kwako mkuu WA mkoa mm nakukubali, mn hata hao masheha ukifata Barua ya kuombea kz BC km Huna elf 10000 huipat
Hawa wanaharibu mpaka watoto wadogo wa kiume, wanaiba pesa kwa wazee wao wanakwenda kununua
@hisanmwakijungu10
5 жыл бұрын
FCP Productions hahahah wanakwenda kununua nini ?
@rashidseif6103
4 жыл бұрын
Kununua K, poa.
sio kutumia kauli tu juu ya hawa police wahalifu. tunataka kuona hukumu kali kwa hao wanaojiita TRA
Polic haoo ndio wateja hasa
safi sana mkuu wa mkoa
Inauma mana mji mkongwe kuna vijana wadogo tu wamesha haribika tena kuna maskani malum huko mjii mkongwe imewekwa na watu hao .Tena kinacho niuma mm mtoto mdogo ila kuna wakina dada wanamuharibu serekali chukuweni hatua kali za kisheria
Duu mtihani huuu Mungu nisadiee baazi
Hao mapolisi washtakiwe washenzi muheshimiwa piga kazi Allah atakusaidia inshaallah
Kikubwa ni kutoa Serikali kupitia wizara ya vijaa kuwapa elimu na kuwasaaidia katika kujiajiri na kuwapatia mitaji ya mkopo nafuu
upo sawa mh mkuu iucachee na nyumba zao zitaifishwe zote
Hapo mm ndio napenda, napenda , huku kwetu kuna masheha wanataka kutumbuliwa majipu
Hiyo ndio kazi za jeshi letu la polisi hata ukienda na kesi basi watachukuwa rushwa wewe mlalamikaji huwa huna chako lazima msasa upite kwa jeshi la polisi
Sasa na hawa watalii wanao harbu mila zetu nao washulikiwe maana ishakua kero wanatuchafulia fukwe zetu kwa kisingizio cha utalii lkn uongo wanakuja kuzn tu tena mbele za watu hawana ata haya ya kutembea uchi
Inauma ila pia inachekesha ati wamekimbizwa kwa 20000 hiyo kali ndio maana polisi wana njaa kupita kiasi mpaka wanawakimbiza wahalifu kwa 20000 tu
HAKUNA ZAIDI ILA KUSAFISHA HUO UCHAFU NA WANAO HUSIKA IKIWA POLICE AU MASHEHA NA WENYENYUMBA PIA WACHUKULIWE HATUA KALI ZAKUWEZA KUFUPISHA VITENDO VYA KISHENZI NA PIA KUWA MFANO KWA WENYE FIKIRA ZA KISHENZI.
Hao polisi wenyewe fix tupu na wanajulikani.
mkuu wa mkoa akaze buti na wanao patikana wafikishe mahakamanii
Right
Sasa Hao Sio Polic Ikiwa Awakutii Mkuu Wa Mkoa Ikiwa Wewe Unafuata Sheria Hao Polic Feki Fukuza Maneno Ya Nini Sasa Mkuu Zanzibari Mnatia Aibu Sana
mbona baadhi ya hawo watu ndio wakwa kwenda kwa madada poa wanakura rushwa wakiona leo wanataka kwenda kuvamia wanatowa tarifa hao T R A
WAPIGWE MAWE HADHARANI IKISHA WAREJESHWE MAKWAO . PIA IWE KIJA ZANZIBAR KWA PASS PORT.
@asayubeejr1199
5 жыл бұрын
Walaa usisemeee hatuna udugu huoooo wataingia kwa passport inshaaallah hakuna mwanzo usokuwa na mwisho yatakwishaa tuh
@abdulrahmansalim1809
5 жыл бұрын
Waachishwe kazi mara moja.
@dotomohd9156
5 жыл бұрын
Mbona wengi niwaxaliwa wa hapa ukimuona ana baiubu wala humjui km unabisha nenda bwawani kaone nusu unaotaka warudishwe makwao nusu wahapahapa
@salummohamed3199
5 жыл бұрын
Je na nyie kwenda bara kwa pasport
@natafutamatatizo4382
5 жыл бұрын
@@salummohamed3199 WAZANZIBARI HAWANA MATATIZO NA KWENDA KOKOTE NA PASSPORT. WANAKUBALIKA KILA WANAPOKWEMDA KWA USTAARABU WAO.
Nao hao Askari wanakula hivyo Vitu.
Warudisho kwao sasa umuhimu wa pastors umefuka sawa wazanzibar
Na kwahani wapooo madadapoaaa
Huwezi kuwawajibisha POLISI wee ayoub
Duh hatar sana
Heheh hii kazi si ndogo mkuu
@yassserseleman1490
5 жыл бұрын
Samir Juma mmmmmh
@mariamfaki1166
5 жыл бұрын
Na wanaofata hao mashoga pia wakamatwe akina kiringo
Ss wakisha kukamatwa si warudishwe makwao au utaratibu unakuwaje apo.
Ndio maana askar hufa wakiwa maskini Sana kutokana na kula kwao rushwa, Allah aninusuru kua Police mm na kizazi changu.
Polisi mishahara haiwatosherezi, tatizo njaa. Wewe unashiba wakati wenzio wana njaa!!! Walipeni vzr muone kama hao hawatawajibika.
Polis wanakuzarau wajue kuwa hiyo ni serikari yamapinduzi
Wapewe mashamba walime
Dawa Sio kuwakamata. Kazi hakuna na umasikini umeongezeka. Hivyo viwili vinaweza kuondoa ukahaba. Sio police
Baadhi ya mapolisi ni wateja wao.
Nadhani wazanzibar wenzangu sote tupo pamoja na mkuu wa mkoa kwa hili 100%100
@sadakhamis1261
5 жыл бұрын
Tu nakuunga mkono mkuu wa mkoa... Mungu akusimamie
Ndugu Uku Bara Manzese Elfu Mbili .K.Sasa Ukimwi Utaisha Kweli Tena Wadada Warembo Kweli Kweli Elfu Mbili Pale Kisonono HIV Kaswende Gono Yuti Hai Kichocho Fangasi Na Magonjwa Ya Zinaa Ndio Jikoni Watu Tujue Kila Mtu Ufa Na Kila Kifo Kinasababu Na Sababu Nayo Inaweza Ikaundwa Nawewe Mfano Wewe Umeoa Na Mmepima Na Mkeo Mko Salama Cha Ajabu Wewe Unamuacha Mkeo Nyumbani Unaenda Kwenye Madanguro Kusaka Ukimwi Na Ukiupata Ukikuua Ivi Wewe Unastaili Kweli Kupata Pepo Kwa Mungu Apo Umejitakia Kwasababu Ndani Yuko Mke Kule Ulikoenda Yule Ni Changudoa Hata Ajulikani Kwa Mungu Kwaivo Wewe Utakua Umeenda Kusaka Kifo Kwa Nguvu Na Kwakua Umekisaka Kwa Nguvu Mungu Atokupa Pepo Ikiwa Umelazimisha Kupata Ugonjwa Huo
HUYU MKUU WA MKOA ANASTAHILI KUWA RAISI WA ZANZIBAR HAPO MBELENI TUNAKOENDA ...ANAFANYA KAZ NZUR
faida ya muungano
wanachukuwa mzingo wanaenda kura acha wajiseviee kaka
fungua na bar zote bas bila ivo ni kazi bure kwasababu bar na kumbi za starehe ndo zinazochochoea mambo haya sio madanguro tu. kwa maoni yangu
Mimi nauliza je nyinyi watu waserekal munafanya sahihi vile mukipita na kugawa kondom nihaki
Ndio police wengine wao ndio wanaanzilishi wamambo machofu,macheha waondoe wapeni vijana wafanye kazi.
muheshimiwa allah akulipe kwa kufanya hilo zoezi ,lkn mpole sana ,hao askari ni maadui zako fukuxia mbali kabisa ,kama mzee magufuli hakuna kuleana .
Mmeyataka wenyewe sasa zogo la nini?
Acha kutishia POLISI nyau police ni wajanja mno katika majeshi