VIDEO: ALIKIBA AZINDUA RADIO "CROWN FM" MBELE YA KIKWETE, KWA FURAHA ASHINDWA KUVUMILIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 93
@bbclondonulimwenguwasoka61264 ай бұрын
Hongera king Kiba my favorite musician in Tanzania, God bless U brother
@goodmark13364 ай бұрын
Hongera alikiba❤❤🙌🙌mana tumechoka kusikiza radio ya masimango radio ambayo kila siku inajadili maisha yao na bihashara zao ivo tunaomba iki kituo cha radio yako King kiwe bora zaid na zaid kwa watanzania wote
@bigjizee4130
4 ай бұрын
Kwani umelazimishwa kusikiliza hiyo, Radio si zipo nyingi hamisha kituo
@goodmark1336
4 ай бұрын
@@bigjizee4130 kwan na wewe umelazimishwa kunijibu hamisha majibu yako
@lovenessmaulid4372
4 ай бұрын
We we matako atujalazimishwa Kwan we mbn unalalamika umeme ukikatika cufungue umeme wako kenge ww radio ya wasaf ni yawasenge
@bigjizee4130
4 ай бұрын
@@lovenessmaulid4372 Hujielewi wewe acha hasira tafuta pesa
@magomakabanja4804 ай бұрын
Masha'allah Hongera Sana Kaka Mkubwa Aliki Kiba
@Khmy544 ай бұрын
CROWN FM( 92•1)📻🔥IMEKUJA WAKATI SAHIHI😋❤
@yaseer2554 ай бұрын
Kiukweli Alikiba una pepo yako bro wale wengine kila siku n kujipa maujiko wenyewe kama Tanzania nzima wenyewe ndio wasanii tu kidogo dimo kikubwa macho ya nyau Sisi #Crownmedia ndio nyumbani #HAPANINYUMBANI Thanks for all kingkiba
@user-fc9bd3fd1g4 ай бұрын
Alikiba wangu hongera🎉🎉
@ashamhina32334 ай бұрын
Mashallah mashallah! Mashallah! Allah akuongoze zaid king wetu, naakujalie afya njema kila uchao, hakika umethubutu bro, king kiba ni 🔥
@godwinmsuya60804 ай бұрын
Go Go Go Go Go Go x100, Alikiba, sasa tunasubiri TVs station..
@Bad_Og264 ай бұрын
Alikiba noma .. apo umetuongezea furaha mashabiki wako
@michaelaloyce20724 ай бұрын
Angeita kiba FM ingesound good Zaid. Anyway hongera King kiba
@jaliagerald41264 ай бұрын
Mashallah mungu akuongoze mapresenter tupo tunakuja
@monicaalute31434 ай бұрын
Crown FM I like it king u disserve &u made my day❤❤❤❤
@ReginaErnest-cf6ji4 ай бұрын
Vijana WA kigoma mmebarikiwa Sana vipaji hongereni mno❤❤❤❤
@MariamPazi4 ай бұрын
Mashaallah allah azid kukupa zaid na zaid
@salomefelix20524 ай бұрын
Hongera mhenga mwenzangu.🎉🎉🎉
@user-pz7gd6lo7z4 ай бұрын
Hongera king 👑
@abdulrazaqkatoma56484 ай бұрын
Asante sana bro
@mandyuwimana77354 ай бұрын
Hongera tena honorera saaaana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@najmqhamisi56374 ай бұрын
Mashallaha mungu hakulinde namahadui
@elizabethmwarjaset24684 ай бұрын
Mashaalah tabakalaah
@ruvabaraka33024 ай бұрын
Imekaa vizuri kaka nakubari
@user-eu3xx5kn1w4 ай бұрын
❤️❤️king kiba
@YHJumna4 ай бұрын
Congratulations
@user-pt9gh2lw2p4 ай бұрын
Hongera sn king kiba
@vedastusnestory60604 ай бұрын
Bravo Alikiba
@massoudmagina96994 ай бұрын
hongera sana mdogo wangu tunaitaji mafanikio
@user-sp1tc8wu3i4 ай бұрын
Yaheli Mwanasimba Mwezetu
@user-lp5kd5cu8n4 ай бұрын
Congratulations 🎊 👏 💐 🥳 This is great achievement God bless you.
@DionizyIssa4 ай бұрын
Nilitamani siku moja iwe Kama hv Asante mungu
@Kinara3474 ай бұрын
Hongera King kibaaa
@bonfacebonafide0124 ай бұрын
Insha Allah ❤ Mungu hakuzidishie baraka Mfalme ❤
@sixbertaMakoko-rn8cx4 ай бұрын
Nyiee 🔥🔥🔥🔥
@ExseviaSamwel4 ай бұрын
Kimya kimya bila skendo au propaganda umetishaaaaaaah brother❤❤ safi sanaah🎉🎉 niko pande bunju naangalia uzinduzi wa 👑 fm
@melanialeonard4031
4 ай бұрын
Bila makiki ya kijinga wala matusi
@IsraelyIsraely4 ай бұрын
Ongera Alikiba kwa atua ulifkia mungu azidi kuku baliki
@elvisoscar99124 ай бұрын
Nakuja kuomba kazi Apo 92.1
@user-gn6ve4td9g4 ай бұрын
Hongeraaaaaaa sana
@beatricejoseph23474 ай бұрын
Hongera Kiba kwa hatua hii kubwa.
@Kimweri_tz4 ай бұрын
Maashallah
@AnnoyedBilliards-ou8jh4 ай бұрын
Good bls you
@user-ri9kz2ej5j4 ай бұрын
Nice Nice Allkiba
@kennedymatiko68304 ай бұрын
hongera sana #kingkiba
@Latyyjuma2304 ай бұрын
❤❤❤❤❤ Hongera kaka Tupo pamoja.
@yaseer255
4 ай бұрын
#Hapa__ni__nyumbani Ahsante kings music ahsante king kiba wasikufananishe na wangonjwa wa akili ❤❤❤❤❤❤
@Latyyjuma230
4 ай бұрын
@@yaseer255 😂😂😂😂 Eti wagonjwa wa akili
@djdossngwasumavibes79654 ай бұрын
Big up 🎉
@user-by7ie6yy5n4 ай бұрын
Aise bro nipe shavu tufanye kazi nipo Kilimanjaro mosh
@user-mu3cb8iy2h4 ай бұрын
Hogera sana mwanangu
@MurefuZabron4 ай бұрын
King Kiba unyama
@HalimaJuma-de5gc4 ай бұрын
Mashallah
@maidimples82364 ай бұрын
Allahumma barik
@fetychina39694 ай бұрын
Radio yangu pendwa kuanzia leo
@user-tk2jm4kh3q4 ай бұрын
Mashaallh 🙏
@user-kd7mw6be5q4 ай бұрын
Kuna vigogo wameweka mizgo hapo
@user-bx3kl4hn6j4 ай бұрын
Haya Mambo utakuta yy kiba ni km nembo ila nyuma ya pazia unaweza Kuta uyo mstaafu ndie yake
@mrsinia30644 ай бұрын
Safi sana king walikuw wanakubania nyimbo zako wapuuz wale 😂😂
@user-yu9qn4oi3g4 ай бұрын
❤❤❤❤
@abdulhamis98254 ай бұрын
Tasnia Ya Habar Inazd Kukua Vijana Endeleeni Kusomea Hyo Fani
@bongofreva4 ай бұрын
Mbona haipatikani sasa
@sheruajafari16764 ай бұрын
Mashaallah
@user-wo5qd9by4w4 ай бұрын
VP Haman kwa anaye jua inaanza kuckika mda gan
@ivantompoo34204 ай бұрын
Crown fm
@AnnoyedBilliards-ou8jh4 ай бұрын
🎉🎉
@gracemkami13434 ай бұрын
Hiyo ya mzee wa msoga
@frenkmajele2010Ай бұрын
Waoooooo
@user-yr3yi2yr6i4 ай бұрын
Juzi Alikiba alkua na kusaga itakua ni yake kusaga
@jacintamukami6776
4 ай бұрын
Nonsense
@najar825
4 ай бұрын
😂😂umeambiwa mwaka mmja na nusu umepita tokea hiyo radio iwe kamili kila kitu
@HajiJuma-xw7vh3 ай бұрын
Safiiiiiiii
@Sidrasidra6364 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@gracemkami13434 ай бұрын
Mavuno ya msoga
@habililailo2714 ай бұрын
Pongez kwako
@user-sq1bc8jj2c4 ай бұрын
❤❤❤
@edwinemrod39334 ай бұрын
Y'all mnamponda Diamond but just a reminder he did this way back 😂
@afyayetu92654 ай бұрын
UNAWEZA KUTA NI YA KIKWETE
@SAYFANMUSSA2 ай бұрын
Apo ikisha toka na midia mm nitakuwa wakwanza kuwasili
@ramadhankavisille74824 ай бұрын
Kwahiyo wote wameamua kupita njia za Almas
@oxtinho159
4 ай бұрын
Ya Kusagaa
@salomefelix20524 ай бұрын
Jitahidi kufuata maudhui,,, na mpangilio wavipindi mbona tupo hapo tutaifungulia hii mpaka jikoni.binafsi nimefarijika.
@user-ex4rh8eu8y4 ай бұрын
Acha wasafi tuwachie utopolo sisi tupo uku sasa ongera 👑
@sabeenamshana10434 ай бұрын
Feels clown 🤡🤡🤡 radio to me
@gospelvibestv39144 ай бұрын
ni yake kwelii?maana mo fire sijui iliishia wapi
@SilaMinanda
4 ай бұрын
Ata wasafi media sio ya Diamond watu wameweka pesa mzee, linatumika jina tu ni kawaida
@highthemetv7857
4 ай бұрын
@@SilaMinandana mimba ww ... diamond ana hisa wasafi
@JELSONMAUKI
4 ай бұрын
@@highthemetv7857 Tufanye diamond wasafi haaijui kabisa
@user-hm3qm2nf1v
4 ай бұрын
Usikute na mwenyewe yupo apo apo akijidai mgeni mualikwa kumbe
@SilaMinanda
4 ай бұрын
@@highthemetv7857 kuwa na hisa sehemu fulani haimaanishi kwamba ww ni mmiliki, ata Alikiba kama Crown Fm sio yake anaweza kuwa na hisa pia. Zingatia kwamba ata ww unaweza ukawa na hisa pale wasafi kama una mkwanja wa kutosha
@fetychina39694 ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi jitahi uendane na soko kaka yetu mpendwa
@ReginaErnest-cf6ji4 ай бұрын
Mungu awasaidie mkumbuk n mkoa wenu chapo Una wachawi Sana n ushirikian mmefanikiwa kumbuken wekezen
Пікірлер: 93
Hongera king Kiba my favorite musician in Tanzania, God bless U brother
Hongera alikiba❤❤🙌🙌mana tumechoka kusikiza radio ya masimango radio ambayo kila siku inajadili maisha yao na bihashara zao ivo tunaomba iki kituo cha radio yako King kiwe bora zaid na zaid kwa watanzania wote
@bigjizee4130
4 ай бұрын
Kwani umelazimishwa kusikiliza hiyo, Radio si zipo nyingi hamisha kituo
@goodmark1336
4 ай бұрын
@@bigjizee4130 kwan na wewe umelazimishwa kunijibu hamisha majibu yako
@lovenessmaulid4372
4 ай бұрын
We we matako atujalazimishwa Kwan we mbn unalalamika umeme ukikatika cufungue umeme wako kenge ww radio ya wasaf ni yawasenge
@bigjizee4130
4 ай бұрын
@@lovenessmaulid4372 Hujielewi wewe acha hasira tafuta pesa
Masha'allah Hongera Sana Kaka Mkubwa Aliki Kiba
CROWN FM( 92•1)📻🔥IMEKUJA WAKATI SAHIHI😋❤
Kiukweli Alikiba una pepo yako bro wale wengine kila siku n kujipa maujiko wenyewe kama Tanzania nzima wenyewe ndio wasanii tu kidogo dimo kikubwa macho ya nyau Sisi #Crownmedia ndio nyumbani #HAPANINYUMBANI Thanks for all kingkiba
Alikiba wangu hongera🎉🎉
Mashallah mashallah! Mashallah! Allah akuongoze zaid king wetu, naakujalie afya njema kila uchao, hakika umethubutu bro, king kiba ni 🔥
Go Go Go Go Go Go x100, Alikiba, sasa tunasubiri TVs station..
Alikiba noma .. apo umetuongezea furaha mashabiki wako
Angeita kiba FM ingesound good Zaid. Anyway hongera King kiba
Mashallah mungu akuongoze mapresenter tupo tunakuja
Crown FM I like it king u disserve &u made my day❤❤❤❤
Vijana WA kigoma mmebarikiwa Sana vipaji hongereni mno❤❤❤❤
Mashaallah allah azid kukupa zaid na zaid
Hongera mhenga mwenzangu.🎉🎉🎉
Hongera king 👑
Asante sana bro
Hongera tena honorera saaaana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallaha mungu hakulinde namahadui
Mashaalah tabakalaah
Imekaa vizuri kaka nakubari
❤️❤️king kiba
Congratulations
Hongera sn king kiba
Bravo Alikiba
hongera sana mdogo wangu tunaitaji mafanikio
Yaheli Mwanasimba Mwezetu
Congratulations 🎊 👏 💐 🥳 This is great achievement God bless you.
Nilitamani siku moja iwe Kama hv Asante mungu
Hongera King kibaaa
Insha Allah ❤ Mungu hakuzidishie baraka Mfalme ❤
Nyiee 🔥🔥🔥🔥
Kimya kimya bila skendo au propaganda umetishaaaaaaah brother❤❤ safi sanaah🎉🎉 niko pande bunju naangalia uzinduzi wa 👑 fm
@melanialeonard4031
4 ай бұрын
Bila makiki ya kijinga wala matusi
Ongera Alikiba kwa atua ulifkia mungu azidi kuku baliki
Nakuja kuomba kazi Apo 92.1
Hongeraaaaaaa sana
Hongera Kiba kwa hatua hii kubwa.
Maashallah
Good bls you
Nice Nice Allkiba
hongera sana #kingkiba
❤❤❤❤❤ Hongera kaka Tupo pamoja.
@yaseer255
4 ай бұрын
#Hapa__ni__nyumbani Ahsante kings music ahsante king kiba wasikufananishe na wangonjwa wa akili ❤❤❤❤❤❤
@Latyyjuma230
4 ай бұрын
@@yaseer255 😂😂😂😂 Eti wagonjwa wa akili
Big up 🎉
Aise bro nipe shavu tufanye kazi nipo Kilimanjaro mosh
Hogera sana mwanangu
King Kiba unyama
Mashallah
Allahumma barik
Radio yangu pendwa kuanzia leo
Mashaallh 🙏
Kuna vigogo wameweka mizgo hapo
Haya Mambo utakuta yy kiba ni km nembo ila nyuma ya pazia unaweza Kuta uyo mstaafu ndie yake
Safi sana king walikuw wanakubania nyimbo zako wapuuz wale 😂😂
❤❤❤❤
Tasnia Ya Habar Inazd Kukua Vijana Endeleeni Kusomea Hyo Fani
Mbona haipatikani sasa
Mashaallah
VP Haman kwa anaye jua inaanza kuckika mda gan
Crown fm
🎉🎉
Hiyo ya mzee wa msoga
Waoooooo
Juzi Alikiba alkua na kusaga itakua ni yake kusaga
@jacintamukami6776
4 ай бұрын
Nonsense
@najar825
4 ай бұрын
😂😂umeambiwa mwaka mmja na nusu umepita tokea hiyo radio iwe kamili kila kitu
Safiiiiiiii
❤❤❤🎉🎉🎉
Mavuno ya msoga
Pongez kwako
❤❤❤
Y'all mnamponda Diamond but just a reminder he did this way back 😂
UNAWEZA KUTA NI YA KIKWETE
Apo ikisha toka na midia mm nitakuwa wakwanza kuwasili
Kwahiyo wote wameamua kupita njia za Almas
@oxtinho159
4 ай бұрын
Ya Kusagaa
Jitahidi kufuata maudhui,,, na mpangilio wavipindi mbona tupo hapo tutaifungulia hii mpaka jikoni.binafsi nimefarijika.
Acha wasafi tuwachie utopolo sisi tupo uku sasa ongera 👑
Feels clown 🤡🤡🤡 radio to me
ni yake kwelii?maana mo fire sijui iliishia wapi
@SilaMinanda
4 ай бұрын
Ata wasafi media sio ya Diamond watu wameweka pesa mzee, linatumika jina tu ni kawaida
@highthemetv7857
4 ай бұрын
@@SilaMinandana mimba ww ... diamond ana hisa wasafi
@JELSONMAUKI
4 ай бұрын
@@highthemetv7857 Tufanye diamond wasafi haaijui kabisa
@user-hm3qm2nf1v
4 ай бұрын
Usikute na mwenyewe yupo apo apo akijidai mgeni mualikwa kumbe
@SilaMinanda
4 ай бұрын
@@highthemetv7857 kuwa na hisa sehemu fulani haimaanishi kwamba ww ni mmiliki, ata Alikiba kama Crown Fm sio yake anaweza kuwa na hisa pia. Zingatia kwamba ata ww unaweza ukawa na hisa pale wasafi kama una mkwanja wa kutosha
Mungu akufanyie wepesi jitahi uendane na soko kaka yetu mpendwa
Mungu awasaidie mkumbuk n mkoa wenu chapo Una wachawi Sana n ushirikian mmefanikiwa kumbuken wekezen