UTACHEKA: MAMA YAKE NA FID Q AMCHAGULIA NGOMA YAKUANZA NAYO KWENYE FIESTA MWANZA.
Chawa wa Baba Mussa Hussein atua Nyumbani kwao Fid Q apokelewa na familia.
.
.
Katika pitapita za Mtaa kwa Mtaa za @MwanaDSM toka Rock City Mwanza, Amefanikiwa kufika nyumbani kwao Fid Q na kupokelewa na familia ikiongozwa na mama yake mzazi, Miongoni mwa vitu alivyoahidi mwaka huu ni kuongozana na @ThrealfidQ kwenye #TigoFiesta2019 pale CCM Kirumba Stadium.
Пікірлер: 16
Mama uko vzr jmn naomba like km tano ivi😔
respect kwa mama wote God bless momma
Mama fid q yupo vizuri
🔥🔥
Kma umegundua fid kafanana na mama yake like twende Sawa! Halafu mama mjanja anajua Ngoma Kali ni ipi Raha sanaaa
Fid q anaongea kama mama ake kumbe
Daah love sana mama hakuna kufanya kitu na mzazi akawa anakuombea heri
Tigo and Clouds naombeni tisheti tu!! Nipo Kenyatta road na naionaga gari yenu pale JB hotel!! 🙏🙏🙏
Wow! Mama huyoo!! 🌹🌹❤️❤️❤️
Mama Young killer vs Mama Did Q , Wanachana Balaaa
Mama inaonyesha anapenda mangoma ya #FidQ hayo mapya yaliyochangamka
Musa nakupendaga bure
Hakuna km mama hawezi kukuacha lazima akushike mkono
Wewe mussa nguo gani iyo ulovaa
Fiesta
😂😂😂😂😂😂Ety geto