USTADH SAID KINYOGOLI:YESU HAKUFA MSALABANI || ALIE FANYA DHAMBI NDIO ATAKUFA || UONGO WA AIBU.

#Kinyogoli #Debate #Ukonga

Пікірлер: 13

  • @cabylake2320
    @cabylake232010 ай бұрын

    Mashaallah mungu awazindishie umri mrefu masheikh wetu

  • @amanijuma4322
    @amanijuma43222 жыл бұрын

    Masha Allah. Allah akuzidishie elimu akupe umri mrefu ulo mwema na mwisho mwema sheikh wetu

  • @bakarimuhibu602
    @bakarimuhibu602 Жыл бұрын

    Said juma kinyogori umeupiga mwingi Hadi umemwagika 💌🙏 Mashallah

  • @wilsonlameck4046
    @wilsonlameck4046 Жыл бұрын

    Hiyo imeisha vipi? Neno la Mungu linasema" Mwayachunguza Maandiko, kwasababu mnadhani kwamba ninyi mnauzima Wa milele ndani yake ; na hayo ndiyo yanayo nishuhudia. Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na UZIMA."(Yn.5:39).

  • @alexkataya5248
    @alexkataya52483 жыл бұрын

    Nawashauri waislamu hawa wangejitahidi kuhubiri dini yao kwa waamini wao kuliko kupambana na dini nyingine kuhamasisha imani yao kwa watu ili kuonyesha kuwa dini yao ni ya hakika.

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    Жыл бұрын

    Hawa Waislam wamealikwa na Wasabato kanisani kosa liko wapi? Sisi Wasabato tunapenda majadiliano nao ili waujue ukweli na sisi tujifunze ni Comparative religion

  • @NahyaShaban-ve4qe

    @NahyaShaban-ve4qe

    8 ай бұрын

    toa hoja kaka cy unavosema hvy

  • @wilsonlameck4046
    @wilsonlameck4046 Жыл бұрын

    Lakini, kuna mahali waislamu mnasema "Ni bahati mbaya Adamu hakuweza kumsilimisha shetani isipokuwa ni Mtume Mohammedi ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani. Je, laana shetani anaendelea nayo, ilhali amesilimu?

  • @husseinkiruta1712

    @husseinkiruta1712

    5 ай бұрын

    Mungu anasema sikuumbeni majini na watu Ila kuniabudu tu

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph14223 жыл бұрын

    Nimegundua waisram. Hamwijui. Biblia. Mna. Roho. Ya. Kupotosha. Ulimwengu. Yesu alikufa. Akafufuka. Hatakujaibadilike.

  • @amanijuma4322

    @amanijuma4322

    2 жыл бұрын

    Toa ushahidi katika bibilia wapi alikupa akafufuka

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph14223 жыл бұрын

    Amewakalia. Waisram. Naamefanikiwa. Kuwapotosha hebu. Waisram. Waangalie. Sura. Ya uisram. Ni kipimo tosha. Cha kujua. Ni Roho gani. Inatenda. Kazi. Elim.ya uganga. Uchawi. Majini. Ni. Mungu. Yupi anatembea. Kwenye. Usram ?

  • @wilsonlameck4046
    @wilsonlameck4046 Жыл бұрын

    Wewe, Saidi unakiri kuwa kila nafsi itaonja mauti ,je, kuna wakati wowote ulikaa na kukubaliana na Mungu kuhusu wewe kufa? Pamoja na kukiri kuwa kila nafsi ifikwa na umauti ,ukiumwa,hautashangilia na kufurahi badala yake utakwenda hospitali kupata matibabu ili usife, na kama haitoshi utamwomba Mungu akuponye!

Келесі