UST SAID OMARY ASHIRAZY KIBOKO YA BACHU MIAKA 9 NYUMA || MTUME NI BINADAM SI KAMA BINADAM MUHADHARA

Ойын-сауық

Пікірлер: 172

  • @ayoubmsabila104
    @ayoubmsabila1049 ай бұрын

    Allah akupe afya na umri mrefu inshallah shk Saidi elimu yako ya dini imenitisha sana,unaichambua Qur'an na Hadithi kama ulizaliwa navyo.kweli elimu ni bahari,aidha hata shk bachu Allah ampe afya na elimu.❤ You all kwa ajili ya Dini.

  • @rahmahsaidomar9111

    @rahmahsaidomar9111

    9 ай бұрын

    Kama waona ana Elmu basi naskitija kwa umma huu. Vile atuchangania tafsir na kutafsir sivyo. Allah atupe elmu ya bayana. Kama hukueza bainisha haya Allah atuongoze sote.

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy56819 ай бұрын

    Mungu akupe elimu zaidi unahekma nyingi sana weww

  • @user-yy4mt8ep1m
    @user-yy4mt8ep1m9 ай бұрын

    Asie elewa hapo basi tena huyo tumuombee dua Innalillah wa inna ilaih raajiuun. Sheikh Said Hongera sana

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl9 ай бұрын

    Shukran Sana ALLAH akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa shukran sana

  • @hafswanaaman2911
    @hafswanaaman29119 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah mungu akuhifadhi na kila Shari akupe umri twawili akupe mema duniyani na akheri ❤

  • @hafswanaaman2911
    @hafswanaaman29119 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah mungu akujaaliye Noor Duniyani na Akheri❤

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td9 ай бұрын

    Mashallah. sheikh Said

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa58609 ай бұрын

    Mashallahu kijana umetulia na Allah akuzidishie.Bhachu alijua na ndio mana kiti alikiona Moto waLlahi Faswaha kabisa Allah awajaze Kheyr walimu wake pamoja na Waxazi wako Shukran sana

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed48089 ай бұрын

    Mashaallah mashaallah

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga91349 ай бұрын

    Waislamu wa sasa wavivu kusoma wanapenda kuwa washabiki TU someni waislamu kijana HUYU yupo sawa someni mtamuelewa acheni uvivu

  • @ZuberKiroboto-ce4zt
    @ZuberKiroboto-ce4zt9 ай бұрын

    Mashaalah shekh said asiekulewa Allah ampe uwelewa manake juzi kwenye munakash mawahabi walisema umeifadhishwa apo miaka Tisa nyuma kijana chabachu atukijui leo chababaisha watu mitandaon Amakwell vizuka awesh

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv9 ай бұрын

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚💚

  • @kiumbenatural-ii5jb
    @kiumbenatural-ii5jb9 ай бұрын

    Iyo elmu kwahapa tz niliisikia kigoma hayo maji mazito raha wallah Jalla jalalu wahabii wamekwama

  • @user-sm1ux6nj7b
    @user-sm1ux6nj7b9 ай бұрын

    Maashaallah

  • @MizaniOnlinetv
    @MizaniOnlinetv9 ай бұрын

    Ma Shaa Allahu Tabaarakallah.

  • @amudybae4939
    @amudybae49399 ай бұрын

    Baraka Allahu fiyk Washukran

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz9 ай бұрын

    Mashaallah sheikh said Allah akujalie mwisho mwema.....,bachu achana na said huyo ni simba humuwezi kubali acha kiereere na madharau usidharau kondoo kwa manyoya yake

  • @AbdallahShariif
    @AbdallahShariif9 ай бұрын

    Allah akuzidishie ramya wetu kazi kubwa waifanya wallahy

  • @ramiyawetutv

    @ramiyawetutv

    9 ай бұрын

    Amiiin soooteee

  • @rajabmembe6695
    @rajabmembe66959 ай бұрын

    SubhanaAllah, hii ni hatari sana

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p9 ай бұрын

    MashaLLAH❤

  • @ashamngindo8023
    @ashamngindo80239 ай бұрын

    Shekh said mungu akuhifadh yaan anaongea kwa upole na unyenyekevu

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw9 ай бұрын

    Simba ni simbaaa tu ❤❤❤❤❤

  • @user-cp5fh3tc1j
    @user-cp5fh3tc1j9 ай бұрын

    Sio lazma wote muelewe, inatosha tukimuelewa wachache bakini na chuki zenu kwa mtume wetu

  • @kiumbenatural-ii5jb
    @kiumbenatural-ii5jb9 ай бұрын

    Wallah raha ukisikiliza wasomi hutamani hata kula

  • @rahmahsaidomar9111
    @rahmahsaidomar91119 ай бұрын

    Hapo pia asema mtume kamuona Allah. SubhanaAllah. Haya sijapata kuyajua. Elimu munazo ila mwapotosha watu. Mkisema Mtume ananufaisha na kudhuru tena wasema tupupitie kwake tukaombe katika kaburi lake AstaghfiruAllah. Yanini kuomba kaburini ilhali Allah yupo hai na hafi. Atatujibu Rasul kashakufa au Allah aliokohai. Hapo sasa ndio mwantukuza kama manaswara wanavyomtukuza Isa ibn maryam. Tahadharini kupotosha watu na haki mwaijua ndank ya mioyo yenu. Siku ya qiyama mutamjibu nini Allah wakati mlijua ukweli na mukapotosha watu. Ukikubali maulid hayako hujapata kasoro. Bado utakua tu Said ila utakua mwenye hekma na mwenye kukubali haqqi.

  • @hafswaabdulrahman198
    @hafswaabdulrahman1989 ай бұрын

    ❤MashaAllah

  • @AlhajiShabani-rq9vm
    @AlhajiShabani-rq9vm9 ай бұрын

    Ikiwa lugha hamjui mnakosolewa nakujaza sekna vip mtajua Baraza nnje

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy56819 ай бұрын

    Kama ni miaka 9 nyuma bas alisha bobea katika elimu sku nyingi

  • @SheriffAhadlly
    @SheriffAhadlly9 ай бұрын

    Mashallah utapata noor ya mtume

  • @mohdyfundi4667
    @mohdyfundi46679 ай бұрын

    Haya we baki na hilo kaa litakupeleka peponi,ikiwa swahaba wa mtume alimpenda mtume mpaka usiku anamka kwa kumhudumia lakini alipo uliza ili awe nae peponi mtume alimuambia ?وقد رواه ابن جرير ، عن ابن حميد ، عن جرير ، عن عطاء ، عن الشعبي ، مرسلا . وثبت في صحيح مسلم من حديث هقل بن زياد ، عن الأوزاعي ، عن يحيى بن أبي كثير عن أبي سلمة بن عبد الرحمن ، عن ربيعة بن كعب الأسلمي أنه قال : كنت أبيت عند النبي صلى الله عليه وسلم فأتيته بوضوئه وحاجته ، فقال لي : " سل " . فقلت : يا رسول الله ، أسألك مرافقتك في الجنة . فقال : " أو غير ذلك ؟ " قلت : هو ذاك . قال : " فأعني على نفسك بكثرة السجود " .

  • @user-py4tk4zc9v
    @user-py4tk4zc9v9 ай бұрын

    Shida ya mawahabi hawataki kukubali kua hawajui lugha

  • @kiumbenatural-ii5jb
    @kiumbenatural-ii5jb9 ай бұрын

    Yule mwehu amjui mtume mtume amekwenda miraji kwa usiku mmoja kwa mapenzi ya mungu mambo mazito yalikua itakua wanyama kujua mimba ya mtume? Wewe bachu unaongoza wehu

  • @MohammadJumah-qk2xc

    @MohammadJumah-qk2xc

    9 ай бұрын

    Imethibiti hiyo ktk quruan suuratu israail kusafiriswa ktk suuratu israail , kwa hiyo shekhe wetu tupe dalil ya wanyama samaki walitambua kwa kuingia mimba kiongiz wetu kwani bila hivyo sis huku wafuas wako hatujakaa sawa ktk hoja hii

  • @user-cp5fh3tc1j
    @user-cp5fh3tc1j9 ай бұрын

    Kufeni kwa chuki zenu, wallah mtume akitajwa kama hivi raha sana, wanao umia wafe tu kwa chuki zao au waende wakatushtaki wanapo taka

  • @nassormickdadynaammasheikh9541
    @nassormickdadynaammasheikh95419 ай бұрын

    Subhaanallah nataman nije huko mombasa mabrui ila inshaallah Allah atanileta

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe44429 ай бұрын

    Nyota njema huonekana asubuhi Allah atuwekee

  • @saadihamadi99
    @saadihamadi999 ай бұрын

    Innaalillahi wainnaa ilayhiraajiun acheni ushabiki,,,sheikh mzima unamwita mwehu subhanallah hata km mna mitazamo tofauti lakn haikupasi kumuita mwehu

  • @kiumbenatural-ii5jb

    @kiumbenatural-ii5jb

    9 ай бұрын

    Inawezekana akawa mtt wa kharam

  • @user-sm1ux6nj7b

    @user-sm1ux6nj7b

    9 ай бұрын

    ​@@kiumbenatural-ii5jbkm ww?

  • @kiumbenatural-ii5jb

    @kiumbenatural-ii5jb

    9 ай бұрын

    @@user-sm1ux6nj7b nyie ndo mnamuona shekh yani dunia imeisha hata wehu ss watakua mashekh

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@kiumbenatural-ii5jb KAMA BACHU ALIVYO JIKOLEA AKARUDI NYUMBANI KUMUULIZA WALII PAKA AENDELEE KUMFUNZA DINI 🤣🤣🤣. MAWAHABI WALII WENU PAKA MASHALLAH 😂😂😂

  • @kiumbenatural-ii5jb

    @kiumbenatural-ii5jb

    9 ай бұрын

    @@hilalkhalfan1452 yule bachu hana akili kabisa yeye kawa nana eti amuulize paka alafu paka amjibu?

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q9 ай бұрын

    Subhanallah astghafirullah aladhim

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga91349 ай бұрын

    Maadui wa DINI wakishafaulu kumuondolea heshima mtume SAW watawaondolea masheikh kisha wanamalizia muislamu kwa muislamu na lengo lao litakuwa limetimia na kazi yao inafanywa kwa umakini na ELIMU na kuna waislamu pengine wanajua au hawajui kuwa wanatumika

  • @user-qq3yo2ms2k
    @user-qq3yo2ms2k9 ай бұрын

    Kila wanaosimama awa watu wa twarika hawazivunji hoja alizotoa bachu wao ni kuzunguka na Kiarabu wakati wao ni wabantu si mashekhe wao wala wanafunzi ni weupe katika elimu ya kisheriaaa

  • @khalifaahmed5232

    @khalifaahmed5232

    9 ай бұрын

    Ingia kwa al-isan TV andika hoja yyte Kisha mbele weka sheikh aboud skiliza tuu kwa makini dalili kanukuu kwa wanavyuoni Gani Kisha Wape hukmu wanavyuoni walosema ayo ikiwa nawao ni washirikina haya pia nisawa Allah atahukumu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@khalifaahmed5232 HAPANA UMEKOSEA, HUYU MUWAHABI AKAMUULIZE WALII 🐆 ALIOMSOMESHA SHEKH WAO MAWAHABI (BACHU) BAADA YA KUJIKOJOLEA NA KUKIMBIA MJADALA MAMBRUI 🤣🤣🤣. HAWA MAWAHABI WALII PAKA SKUIZI NDIO WANAO MUULIZA, SASA MTU WA NINI TENA 😂

  • @hamadomarmwalau1841
    @hamadomarmwalau18419 ай бұрын

    Mfudishe huyo Bachu hata pia kumchangia pia tutato in sha ALLAH

  • @user-qq3yo2ms2k
    @user-qq3yo2ms2k9 ай бұрын

    Bachu hakukosea alipatia isipokuwa ni zile fujo zao ila ukifatilia unakuta alivyosema ni sawa ((illa tahaqaqa swidqahuu kapatia, sasa cjui uyu said kashinda kwa lipi wakati hoja hajazijibuu kuweni waelewa na muitake haqq

  • @shabansaid2323

    @shabansaid2323

    9 ай бұрын

    Hoja ipi ijajibiwa ndugu

  • @kiumbenatural-ii5jb

    @kiumbenatural-ii5jb

    9 ай бұрын

    Baachu muhuni hana elmu nawe pia majahil

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Kasome hamna tofauti na makafari kusema yesu ni mungu looooo

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    9 ай бұрын

    Wewe ni mbukuwani kweli man husikie kweli hufaee

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    HAPANA HAJASEMA YESU MUNGU, KAMA HUAMINI WEYE MUWAHABI BASI KAUMUULIZE WALII 🐆 ALIOMFUNZA SHEKH WENU MAWAHABI (BACHU) BAADA YA KUJIKOJOLEA NA KUKIMBIA MJADALA MAMBRUI 🤣🤣🤣

  • @user-qq3yo2ms2k
    @user-qq3yo2ms2k9 ай бұрын

    Ata watengeneze video yoyote hawawezi kuthibitisha kama maulidi yanafaa mana kuna sheria katika ibada ikiangaliwa haijafunzwa na Mtume wala maswahaba apo ndo wanachoka na kubakia kuwazuga wafuasi wao

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    AKIWEZA WALII 🐆 TU ALIOMSOMESHA BACHU IMETOSHA🤣🤣🤣

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi55989 ай бұрын

    Hii ilikua mwaka gani mbona hapa sheikh said alikua mdogo sana ama ni video tu

  • @AlhajiShabani-rq9vm
    @AlhajiShabani-rq9vm9 ай бұрын

    Wahabi kasomeni kwanza hamna elimu kazi kujaza sekne2

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan14529 ай бұрын

    Kishasoma anachokisema, tofauti na Bachu anatoa fatuwa ambayo hajaisoma wala haijui

  • @akambi482

    @akambi482

    9 ай бұрын

    Ndo maana wajinga wasiosoma ndo wanamuelewa

  • @user-hx2yq6xy2u

    @user-hx2yq6xy2u

    9 ай бұрын

    Upumbavu mtupu kasoma wapi huyu

  • @iddimohamed254

    @iddimohamed254

    9 ай бұрын

    Yani mpaka umtaje bachu ndio usikie raha ukweli ushajulikana mtakoma....

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@user-hx2yq6xy2u kasoma alipomtoa Bachu mikojo dwiiiiiiiiii😂😂😂

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@iddimohamed254 mpaka kusalimu amri na kukimbia, ujue haqqi ipo wazi.

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly79009 ай бұрын

    Sheh said wewe wa moto kiasi bachu aende mbio hakuwezi hata uamshwe usingizini

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly79009 ай бұрын

    Walii wa bachu paka ndio alienda kumuuliza kama wanyama na miti ilizungumza ama hawakuzungumza

  • @rahmahsaidomar9111
    @rahmahsaidomar91119 ай бұрын

    Astaghfiru Allah. Hata sura tul baqara waangusha tafsir vibaya. Wewe Allah akuongoze kweli. Mtume sio kama sisi laakin usimpe sifa ukamweka karibu na Allah. Rasul ni kipenzi wa Allah lakini unavyooneshe utukufu sivyo.

  • @hawasheha8520
    @hawasheha85209 ай бұрын

    tufundishe kuhusu maulid ni sahihi bachu ndo ashashindwa tuko na ww kesho akhera tutakuandama tutolee ushahidi ndan ya qurani na sunn

  • @user-yc4vd9vy8p
    @user-yc4vd9vy8p4 ай бұрын

    Ungejibu swali nyinyi chezeni mauno basi na mlooo😂😂

  • @BosibleOmy
    @BosibleOmy9 ай бұрын

    thibitisha wanyama walitamka kweli mimba ya mtume akazunguka masaa matatu hamna jibu. kisha munamsifu ama kweli washakunywa sumu ya bidha ngumu kupona

  • @fakihassani3

    @fakihassani3

    9 ай бұрын

    Ww upo kwenye wanyamasenge

  • @fakihassani3

    @fakihassani3

    9 ай бұрын

    Hem kasome ujue puuzi we

  • @fakihassani3

    @fakihassani3

    9 ай бұрын

    Unajitia ubishi kujielezea hujui kwa kiarabu hem tafuta elimu kwanza usiwe mpumbavu

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi35699 ай бұрын

    Ww mtoto. Acha kutumiwa. Vibaya

  • @jimjam-xg7rv

    @jimjam-xg7rv

    9 ай бұрын

    Kasime dini uwepukane na ujinga ulo nao

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc9 ай бұрын

    Abtadiu l-imlaaa bismidhaati l-aaliyya twaitikia swalla llaahu alayhi wasallam tafsiri yake hapa anaekusudiwa hapa ni allaah au mtume?

  • @user-yy4mt8ep1m

    @user-yy4mt8ep1m

    9 ай бұрын

    Naanza kumuelezea mtume na familia yke kwajina la mwenyezimungu... hiyo ndo maana yke sheikh

  • @MohammadJumah-qk2xc

    @MohammadJumah-qk2xc

    9 ай бұрын

    @@user-yy4mt8ep1m kwa nin tusisem subhaana llaah

  • @nurualwy3041
    @nurualwy30419 ай бұрын

    Abdallah Faris,Babake Bacu ,Rogo ,Samir,Bahero waliyakuta na wameyawacha na kila anaepinga watayawacha kama hao.

  • @neemamohamed5926

    @neemamohamed5926

    9 ай бұрын

    Mtume Muhammad na Mitume na manabii waliomtangulia waliwakuta majafiri na wanafiki na wamewaacha

  • @neemamohamed5926

    @neemamohamed5926

    9 ай бұрын

    Waliwakuta mafiri na wanafiki na wamewaacha

  • @mwijakaswaleh2662
    @mwijakaswaleh26629 ай бұрын

    Kumtaja mtume ,kumwelelezea historia yake siyo tatizo,tatizo dufu,matwari,kucheza hakuna tofauti na ngoma

  • @yussufhajj4129

    @yussufhajj4129

    9 ай бұрын

    Uko na dalili ama kama bachu balbala

  • @user-sm1ux6nj7b

    @user-sm1ux6nj7b

    9 ай бұрын

    Dufu na kucheza alishafanyiwa Mtume(saw) alipoingia Madina, km unasubiri bachu akuambie, HAKUAMBII NG'O, Nenda kasome acha ku coment ujinga wako

  • @user-qi3su8zh6m
    @user-qi3su8zh6m9 ай бұрын

    ❤❤❤ﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷲﷴ

  • @abuunaraimansalumal-shaib9260
    @abuunaraimansalumal-shaib92609 ай бұрын

    Wewe saidi mpotoshaji Wacha kuwapotoa wasiojua

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Mtume binadamu kama si binadamu 😂😂😂😂😂😂😂😂 yaani wewe ndio ziro tikitimaji kabisa kasome wacha kudanganya watu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    Nataka nikuulize, sifa ya binaadamu anafika u wingu wa saba?, sifa ya binaadamu kidole chake kinatoka maziwa?, sifa ya binaadamu unaongea na Mungu unamsikia sauti?, sifa ya binaadamu unatia mate sehemu uliotafunwa na nyoka kisha sumu inatoka?.......... MTUME SAW NI BINAADAMU KAMA MIMI NA WEWE NA SIO BINAADAMU KAMA MIMI NA WEYE KATIKA UWEZO WAKE ALIOPEWA NA ALLAH SW. HIO LUGHA YA KUFUPI, MAWAHABI ACHANI UZEZETA TENAAA, BACHU KISHATOLEWA MIKOJO MAMBRUI, BADO HAMFAHAMU TU KUWA DINI NI ELMU PANA SIO KILA MTU AFAA KULINGANIA.

  • @aninanichasi422

    @aninanichasi422

    8 ай бұрын

    wewe kuwa naheshma huyu kijana nimwanachuon

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z9 ай бұрын

    We ongea sana ila maulidi haifai

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    KAMUULIZENI WALII 🐆 ALIOMSOMESHA SHEKH WENU MAWAHABI (BACHU) BAADA YA KUJIKOJOLEA NA KUKIMBIA MJADALA MAMBRUI 🤣🤣🤣.

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly79009 ай бұрын

    Ajabu ya bachu yeye anajipandisha daraja anajiita first eleven halafu mtume anamshusha anasema ni mtu wa kawaida ivi nyinyi mawahabi mnatumia akili zenu kweli

  • @user-ry4kh6fg9j

    @user-ry4kh6fg9j

    8 ай бұрын

    NDUGU yangu kua MAKINI NA PUMZI, IVI ULIWAH KUMSIKIA BACHU AKISEMA YUKO SAWA NA MTUME AU NI USHABIK TU ILA ELEWA II SIO TU NI SMS ILA UTAIKUTIA KTK KITAB CHAKO.

  • @aninanichasi422
    @aninanichasi4228 ай бұрын

    shekh umekuwa wamoto ww nimashine

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc9 ай бұрын

    Quruan hutafsiriwa na quruan kwanza tupe dalil

  • @fakihassani3

    @fakihassani3

    9 ай бұрын

    Nenda ukasome acha ujinga kudai dalili kwenye utb

  • @MohammadJumah-qk2xc

    @MohammadJumah-qk2xc

    9 ай бұрын

    @@fakihassani3dalili inadaiwa popote pale hali yakua jambo la dini , haijalishi you tube kwa sbb hii swadatun jaariya ndoo maana watambuz wanatumia mitandao kuufahamisha umma , wew kama hujui jibu kama wanavyotakiwa kujibu ahlu sunna wljamaaa

  • @salimaslalaamalekumwardah1318
    @salimaslalaamalekumwardah13189 ай бұрын

    Hiyo SI km hutiba ya madrasa ya kitoto

  • @fakihassani3

    @fakihassani3

    9 ай бұрын

    Mjinga t weye unaepuuza maneno ya Allah utajikuta unatoka ktk uislam kwa usenge wko

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam93129 ай бұрын

    Mjibu bachu usiruke huku na huku .

  • @musaaboud2712

    @musaaboud2712

    9 ай бұрын

    Aseme sijuwi ajibiwe

  • @hafsamohamed8342
    @hafsamohamed83429 ай бұрын

    Mtume ni mwanaadam ww acha zako

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    Kwani uliambiwa ni mungu?

  • @jimjam-xg7rv

    @jimjam-xg7rv

    9 ай бұрын

    Ama kweli ufahamu wako ni mdogo kwanza kasome ujijuwe ww ninani ila auwezi mfahamu mtume (S.A.W) bila ya elimu

  • @kiumbenatural-ii5jb
    @kiumbenatural-ii5jb9 ай бұрын

    Wewe hujui kama yule bachu ni mwehu? Tena inawezekana akawa si mtto wa halali ni miongoni mwa wana kharam

  • @khalidtechnology367

    @khalidtechnology367

    9 ай бұрын

    Kumbuka kila unachosemwa kinaandikwa na utaenda kuulizwa na mungu huu ni ukumbusho wangu

  • @mwijakaswaleh2662

    @mwijakaswaleh2662

    9 ай бұрын

    Muogope Mungu ,wataka kuzua pia hapa

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@mwijakaswaleh2662 🐆WALII PAKA ALIOMSOMESHA BACHU MUULIZENI

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z9 ай бұрын

    Muongo bwana aya haijakusudia hivyo

  • @ibrahimsaad617

    @ibrahimsaad617

    9 ай бұрын

    Wwe mkweli njoo kwenye munaqasha

  • @Muswlih
    @Muswlih9 ай бұрын

    Hamna kitu

  • @kiumbenatural-ii5jb

    @kiumbenatural-ii5jb

    9 ай бұрын

    Nyie majahili

  • @abubakarymaulidy5681

    @abubakarymaulidy5681

    9 ай бұрын

    Unamimba wewe mbn unatapika hapa acha hasadi na elimu za mungu

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Wacheni shirki mwanadamu tena kama si mwanadamu😅😅😅😅😅😅

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    9 ай бұрын

    Yani bunda ni punda tunpa paka hapa hujafahamu?

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Shirki tupuuuuuu

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Wacha kudanganya watu weweeee

  • @binbarwan7401

    @binbarwan7401

    9 ай бұрын

    Huelewi kitu ndo maana unaongea pumba kaa kwa kutulia

  • @fakihassani3

    @fakihassani3

    9 ай бұрын

    Uongo wp hapa ww acha ujinga huna ujualo usidharau hujui km muna aya humu?

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Ogopa mungu wewe porojooo

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    9 ай бұрын

    Soma weee bungu wani

  • @abubakarymaulidy5681

    @abubakarymaulidy5681

    9 ай бұрын

    Amuogpe mungu kwnye lipi mbn watapika hapa una mimba au yani mtu aeleza utukufu wa mtume unasema amuogope mungu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    🐆WALII PAKA MUULIZE

  • @hijahamadi5793
    @hijahamadi57939 ай бұрын

    Afafanua quran kwa fikra zake kwa kutegemea elimu ya lugha tu, hii ni hatari.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    Mie nataka Hao ndege kwenye prophyle, na utoke kwenye uwahabia

  • @hijahamadi5793

    @hijahamadi5793

    9 ай бұрын

    @@hilalkhalfan1452 Kwani kila ambaye hamsifii Ustadh said ni wahabi

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@hijahamadi5793 KILA ANAEPONDA TWARIKA (SUFI) NI WAHABIYA. HAKUNA MTU ANAEMPONDA SHEKH ABDULKADIR JAILANI KS AKAWA BADO NI MUISLAMU. NA SHEKH ABDULKADIR JAILANI KS NI SUFI.

  • @hijahamadi5793

    @hijahamadi5793

    9 ай бұрын

    ​​@@hilalkhalfan1452sie Twazungumzia Ustadh said wewe wazungumzia Mwanachuoni Abdul qaadir , mbona unachanganya mambo sheikh wangu. Na hapo sijaponda mtu kuweni waadilifu, na mufahamu vizuri mtu anapotoa comenti, sio sahihi kuhukumi kuwa mtu ni wahabi eti tu kwa sababu comenti yake haimsifii mzungumzaji

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    @@hijahamadi5793 tatizo lenu, kuna watu wakisema kichwani mwao mwawaamini na wengine msio wataka hamuwaamini kwasababu ya mlivyozoea kufunzwa. Haimaanishi ndio lazima wewe uwe sahihi. Kama sio muwahabi usichague Mwalimu kisha utapima baada ya kusoma

  • @AishaHamisi-tl9ek
    @AishaHamisi-tl9ek9 ай бұрын

    Jibu kwanza wanyama waliongea kiarabu baada ya mimba ya mtume jibu kwanza acha umbea

  • @adamnguvu1020

    @adamnguvu1020

    9 ай бұрын

    Niulize mzee wako kwanza

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    KWANI SHEKH WENU MAWAHABI (BACHU) ALIPOJIKOJOLEA NA KUKIMBIA MAMBRUI SI ALIRUDI ZANZIBAR KWAAJILI YA KUMUULIZA WALII 🐆 ILI AMPE MAJIBU? 🤣🤣🤣. BASI CHUKUENI ELIMU KWA WALII PAKA KAMA ALIKUWEPO DARSA ZA ABUU HURAIRA AU WALII PAKA WA BACHU ALIKUWA ANATOROKA DARSA SIJAJUA HAPO 😂. BACHU NDIO ANAJUA ZAIDI WANYAMA WALIONGEA AU LAA KUTOKA KWA WALII 🐆🐅, NYAU. 🤣🤣🤣.

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Kiyama hakita simama mpaka tufuate mila za makafiri

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    NA WALII 🐆🐅NYAU.

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Zungumzia maulidi yafaa au hayafai mbona husemi kufaidisha watu kuhusu maulidi kazi kurudia rudia wafurahishe tu watu utakufa peke yako

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    9 ай бұрын

    WALII 🐆 KAMUULIZENI ALIOMFUNZA BACHU BAADA YA UKIMBIA MJADALA NA KUJIKOJOLEA.

  • @mohdhilaly7900

    @mohdhilaly7900

    9 ай бұрын

    Aliokuwa nao hapo wote wanayajua maulidi nyinyi mulikimbia na mwalimu wenu bachu endeleeni kukimbia hivyo hivyo na maulidi yanaebdelea kuvuma

  • @tifu678
    @tifu6789 ай бұрын

    Ndugu zangu fanyeni tahadhari na kibri na musikiwate kiwavike mato mpaka muwe hamuoni tena chochote ila sifa zenu wenyewe. Haitoshi kuwa mushambandika bingwa wenu ushindi, kumvisha majoho, kumbeba juujuu katika zefe? Sasa imefika kutafuta video za miaka tisa ilopita na kusema ni koboko ya mpinzani wake? Hii ni taratibu kweli ambayo mashekhe wetu wa dini twataka watuonyeshe? Badili ya kutafuta yalopita miaka mingi si afadhali mutengeze tuu video mpya fupi kueleza dalili za uhalali wa mawlid? Ukifanya hivyo utanufaisha waislamu wa pande zote mbili za tariqa na wanaopinga mawlid. Hili jambo ni kubwa kushinda Said na Bachu. Kumbukeni hilo nyote wawili kila mukipanda mimbar na kujipiga vifua kama Gorilla. Inshaallah mwenye enzi mngu atuongoze sote kwa ndia ya sawa. Ameen.

  • @AbdallahShamte-mp1iu

    @AbdallahShamte-mp1iu

    9 ай бұрын

    Sasa mbona hujawaambia wale walioanza kutuma video za miaka ya 1980 maika 40 iliyopita za Sheikh Abdallah Swaleh Farsy

  • @kiumbenatural-ii5jb

    @kiumbenatural-ii5jb

    9 ай бұрын

    Unatakiwa kujua elmu ya huyo bachu alipo paramia mika tisa alikua hivyo je leo? Watu wamesoma pia wapo wengi ila hawajaamua kusema

  • @abdulhamidbakar2461

    @abdulhamidbakar2461

    9 ай бұрын

    ​@@AbdallahShamte-mp1iuswadakta kabsa sasa cjui Nan mwenye kiburi Ima yule alotuma miaka 9 ilopta au yule anotuma miaka 40 ilo pita naafikrie kabla kusema

  • @fauznuhu9981

    @fauznuhu9981

    9 ай бұрын

    Nikuta mbukisha

  • @MizaniOnlinetv

    @MizaniOnlinetv

    9 ай бұрын

    Kwani nyie mlio nyuma ya bachu muyafanyayo hamuyaoni? Mmemvika bachu ubingwa na kumsifu hata pale aliposema kaongea na paka kumuuliza habari ya mazazi ya mtume paka akashangaa

  • @fay9687
    @fay96879 ай бұрын

    Porojoooooo

  • @kiumbenatural-ii5jb

    @kiumbenatural-ii5jb

    9 ай бұрын

    Wewe jahil hamna elmu

  • @ibrahimsaad617

    @ibrahimsaad617

    9 ай бұрын

    Kasome Acha kibir USTA saidi ana elimu ❤ Nakupenda Kwa ajili ya Allah

  • @ashamngindo8023
    @ashamngindo80239 ай бұрын

    Shekh said mungu akuhifadh yaan anaongea kwa upole na unyenyekevu

  • @ashamngindo8023
    @ashamngindo80239 ай бұрын

    Shekh said mungu akuhifadh yaan anaongea kwa upole na unyenyekevu

Келесі