Uso kwa Uso na MZEE MAGARI kwenye MJENGO wake MAREKANI, afunguka sababu ya kuondoka TANZANIA

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 74

  • @MellanieKay
    @MellanieKayАй бұрын

    Nimeipenda interview. Mtangazaji unajitahidi. Keep pushing, you are on your way. Tanzanian/American sister in Kansas.

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002Ай бұрын

    Mzee Magari bana, interview imekuwa Tamu sana

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2geАй бұрын

    Mungu akueke mzee 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383Ай бұрын

    Sasa kulikua na ulazima Gani wa hayo maigizo zaid ya kupotezeana bundle ..

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1wАй бұрын

    Jmn kaka angu mzee magari kumbe wanyumbani mashahallah Ausindile kaka magari

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701Ай бұрын

    Mtangazaj hamna kitu huyu

  • @jamesmassawe4888

    @jamesmassawe4888

    Ай бұрын

    Lakn yupo amerca

  • @ce-08
    @ce-08Ай бұрын

    Mwanzo mgumu hakuna aliezaliwa anajua mtangazaji kaza rekebisha pale unapokosea pia jfunze wengne pia km kna dj sma n.k 🤝

  • @FatumaShabani-mp9vt
    @FatumaShabani-mp9vtАй бұрын

    Wazo mlugulu mwenzangu 😮😢😊😊😊😊

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv25 күн бұрын

    Our father 😘😘😘 the voice still good ❤❤

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762Ай бұрын

    Keep pushing✌🏾

  • @user-nd5uf6lw4g
    @user-nd5uf6lw4gАй бұрын

    Heeehe jamani wananchi nyie mbona hamtangazi

  • @salehekimlola955
    @salehekimlola955Ай бұрын

    Huyo mwandishi hana sifa na vigezo vya tasnia ya habari na utangazaji. Arudi kwanza shule akajifunze

  • @kapesamjenga8971

    @kapesamjenga8971

    Ай бұрын

    Una chuki binafsi

  • @ashurajengela3926

    @ashurajengela3926

    Ай бұрын

    Chuki binafsi au anaongea ukweli ?! Ukweli usemwe ajifunze hajui kuhoji ​@@kapesamjenga8971

  • @ChoroTesla

    @ChoroTesla

    Ай бұрын

    jamaaa sio mwandashi wa habari wala mwanahabari ni host tu ila anabid ajifue sana

  • @salehekimlola955

    @salehekimlola955

    Ай бұрын

    @@kapesamjenga8971 siyo chuki uhalisia kwamba hana values za kuwa mwandishi. Rudi shule acha uswahili. Kasomee fans acha kukurupuka na form 4 yko failure

  • @SalimIbrahim-kw8ud
    @SalimIbrahim-kw8udАй бұрын

    Ila harmonize

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926Ай бұрын

    Mtangazaji hashawishi kuangalia 😢😢🙌🏻

  • @BigBrain23
    @BigBrain23Ай бұрын

    Shule kitu cha muhimu sana hata form 4 tu inatosha. Hatuna mwandishi hapa

  • @japhetlust5050

    @japhetlust5050

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @Tanzania_Ya_mama
    @Tanzania_Ya_mamaАй бұрын

    Mtangazaji hajui mpuuz huyu mbwaaaa😅

  • @tradamus4158

    @tradamus4158

    Ай бұрын

    😂😂

  • @theonestrenatus954

    @theonestrenatus954

    Ай бұрын

    Mpe muda sky atamnoa atakaa vzr,,

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699Ай бұрын

    Huyu Mtangazaji sio kwamba hapendwi coz Comment nyingi zinasema hajui kiukweli niungane nao huyu hajui chochote arudi shule Qmmk zake mtu anaenda Ulaya hajui kuhoji takataka kabsa😅

  • @zayumar2955
    @zayumar2955Ай бұрын

    Mzee Magali yupo vizuri kwenye kujielezea hata kabla ya mtangazaji hajauliza yan huyu mtangazaji hii sio nafas yake hapa alitakiwa kuwa DJ smaa au Mwenyewe sky ingekuwa 🔥🔥

  • @thompsonkiputa6842
    @thompsonkiputa6842Ай бұрын

    Mtangazaji haiwez hii kazi.

  • @yusafbayu7016

    @yusafbayu7016

    Ай бұрын

    Hebu kaombe Kaz crown Wana taka watangazaji wivu tu

  • @allywilson4155
    @allywilson4155Ай бұрын

    Amna kitu kwa myangazaji

  • @tsumiduwe1406
    @tsumiduwe140626 күн бұрын

    NI JIMBO GANNI YUPOOO

  • @Johnsonkayila
    @JohnsonkayilaАй бұрын

    Duh uwezo wa kuhoji huna

  • @enockezekiel4125
    @enockezekiel4125Ай бұрын

    Ndg mwandishi😅

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419Ай бұрын

    Today kakua

  • @AbiTech96
    @AbiTech96Ай бұрын

    Hio RIKE ndo nini?😅😅😅

  • @victormwansasu8764
    @victormwansasu8764Ай бұрын

    Hapo hamna mwandishi ,yan kunavitu mzee magari anamfundisha mwandishi

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686Ай бұрын

    Kumbe bado yupo😂

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174Ай бұрын

    Kwan huku tz alikuwa hajaoa?

  • @Gades106
    @Gades106Ай бұрын

    Hata mimi nimefikiriaga mzee magari ameshaga fariki

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb29 күн бұрын

    Kwer kuigiza Sio Kazi

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633Ай бұрын

    Mtangazaji anauliza Swali! Analijibu mwenyewe halaf anataka kuhakikisha? Nadhan anahitaji Kujifunza sana jinsi ya kuhoji

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d29 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 mtangazaji ananichekesha .....ohhh waooooh..... afu kama anaimbaaaa😂😂😂😂😂

  • @kassimkitta6118
    @kassimkitta6118Ай бұрын

    Marekani ya burundi

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc25 күн бұрын

    Nyie mnaosema hawezi nyie mnaweza siku zote mwanzo ni mgumu ata kama ukiwa na kipaji, ila kadri atakapozidi kutangaza ndivyo atakavyozidi kuwa bora na kurekebisha anapokosea, ata sky hakuibuka tu ghafla kawa mtangazaji bora naye alianza kama huyu, so msiropoke tu jaribuni kufikiria kwanza

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842Ай бұрын

    Ataa maongezi yao yanajichanganya et kule mara huku yaani ni hovyo hovyo

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652Ай бұрын

    MUTANGAZAJI WEWE HAUSTAHILI HATAKUITWA MUTANGAZAJI😮😮 YAAANI WEWENI 00

  • @tradamus4158

    @tradamus4158

    Ай бұрын

    Ukiona astahili fanya wew nenda America 🇺🇸 ukatuletee vitu unique

  • @yusafbayu7016

    @yusafbayu7016

    Ай бұрын

    Una nja ndo mana kila kitu una ona kibaya wew njo utangaze

  • @Mr-GMB

    @Mr-GMB

    Ай бұрын

    Je wewe?

  • @samuelmlapwa7858

    @samuelmlapwa7858

    Ай бұрын

    Daah sawa musikilizaji na mutizamaji

  • @annaphi2427
    @annaphi2427Ай бұрын

    Yaan uyu host sio tuu hajui na anaboa tuu lakin hta kipaji nacho hana yaan magari angempata mwenyewe sky tunge Enjoy zaid

  • @redemptaanisio2770
    @redemptaanisio2770Ай бұрын

    Mbona mtangazaji ndo anaonekana sana kuliko mzee magari

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419Ай бұрын

    Mtangazaji anahoji anajijibu

  • @martingeorgenzali5614
    @martingeorgenzali5614Ай бұрын

    MtaNgazaji AnaIzaliliSha Nsn YeTu

  • @Gades106
    @Gades106Ай бұрын

    Huyo mtangazaji mumtoeni umarekaninmumrudishe bongo mumpeleke Mtu mwenye uwezo waku oji

  • @Formula_Tz

    @Formula_Tz

    Ай бұрын

    Huyo jamaa yuk marekani kwa mishe zake za kisanaa ya maonesho hakupelekwa na sns waliend wenyew marekan kam kikundi ch Sanaa sns wao ndo walimtafut kufanya nae kaz baada ya kumuon haki fanya challenge ya lugha ya kiswahili na wazungu

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    Ай бұрын

    Jamaa yuko sawa 🥰

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbeАй бұрын

    Mzee Magari "Where is Come From"

  • @abdallahdataguy

    @abdallahdataguy

    Ай бұрын

    😊😊

  • @ashobozakabalimu9212

    @ashobozakabalimu9212

    29 күн бұрын

    Picture for mw?

  • @benitoxavery1802
    @benitoxavery1802Ай бұрын

    Mtangazaji badala aulize maswali. Anauliza kisha anajibu mwenyewe!!! Akasomee uandishi zaidi Very amateurish!

  • @Cyper255
    @Cyper255Ай бұрын

    Mtangazaji ujitafakari kwa hizi comments

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842Ай бұрын

    Hapo sio marekani mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mnatuleta nyie watoto wa mbagala wanalia kabisa

  • @mam_salum
    @mam_salumАй бұрын

    Sauti ya mzee magari utasema amekabwa na kitu kwenye koo

  • @user-gb5vz6wm2q

    @user-gb5vz6wm2q

    Ай бұрын

    Hahahhaaaa mimi naikubali sana sauti yake

  • @SilasMbaruku-no6id
    @SilasMbaruku-no6id29 күн бұрын

    Aah hyo move au

  • @zeydkombo1776
    @zeydkombo177628 күн бұрын

    So boring

  • @Deadskytz
    @DeadskytzАй бұрын

    Nyie SNS muwe serious acheni kubebana bebana media ishakuwa kubwa , Watangazaji gani hawa sasa 😂😂

  • @ngwacahnyagwaswa9979

    @ngwacahnyagwaswa9979

    29 күн бұрын

    😂

  • @RynoFiree
    @RynoFireeАй бұрын

    Mbona mtangazaji anauliza majibu Yan mpaka magar anashindwa ajibu nini

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2zАй бұрын

    Wa kwanza reo wamba rike ningi kwa mzee magari

  • @laoiyadi1176

    @laoiyadi1176

    Ай бұрын

    Jifunze matumizi ya R&L 😢

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    Ай бұрын

    Shule ni mhimu saana haswa kwa watzn😂😂😂😂😂😂 r na l vinakushinda loooo

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050Ай бұрын

    Nimejuwa mzee magafi yupo hanaish marekani basi siendelee na storry keasababu mtangazaji ajui

Келесі