USIKU HUU HARMONIZE NA MKURUGENZI KADOGOSA WAKITOKA MOROGORO KWA TRENI YA UMEME WAFUNGUKA ILIVYOKUWA
Жүктеу.....
Пікірлер: 58
@afraeliazaelayo15 күн бұрын
Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.
@starjay305215 күн бұрын
magufuri kazi kaifanya noma alafu acheni kufanya kama mme saau magu ndio tanzania 🇹🇿 one kwa upande wangu
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.
@emmanuelfari8924
15 күн бұрын
💯🙌
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
Sisi timu Magu hawa tutendei haki, maneno yao ya unafiki eti awamu ya sita, kwahiyo Jembe lililo tifua udongo mpaka tunaona kustwi mmea wamesahau
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv Kwan maendeleo yalianza kw magu alijitahidi kiasi chake
@user-en1uq1eg6h
15 күн бұрын
Rest in peace Magufuli 🙏🙏🇹🇿
@AllyBabu-kr6lg15 күн бұрын
Ila harmonize😊😊😊😊😊😊😊
@ndukulusudikucho_15 күн бұрын
Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine
@GibsonNtamamilo
15 күн бұрын
Aliyethubututu hayupo hizo ruti mpya mnazowaza mtaota tu.
@sund255315 күн бұрын
Pazuri kama airport safi tunaendelea jamani watz tusipachafue sasa kwa uchafu 😅
@salimsuweid149915 күн бұрын
Congratulations
@joshuasamson961815 күн бұрын
😮😮😮 Siasa humu marufuku
@vt-kn6qf15 күн бұрын
Mbowe na tundi nawana chadema tunawaalika SGR, please you guys, we need you😅😅
@ndukulusudikucho_
15 күн бұрын
Hahahahahaha 😂😂🤣😂 hawajawahi hata kuizungumzia nahis wanasubiri ipate ajali hahahhaha
@abdallahdataguy
15 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_ 🤣🤣
@suleimanikirassahassan971115 күн бұрын
Sema reli sio leri
@michaelmisago367115 күн бұрын
Mkurugenzi wa shirika anaakili sana
@mmassyferguson495915 күн бұрын
Hongera sana uongoz wa awamu ya sita ❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
Awamu ya tano haikufanya kitu?
@mmassyferguson4959
15 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv nilikua sijazaliwa
@ColethaKomba15 күн бұрын
🔥🔥
@hadija84615 күн бұрын
YAOYAO JESHII❤
@denissanchawa768913 күн бұрын
Ni vema kupongeza Jitihada za Viongozi wote walioshiriki katika hatua mbalimbali. Na sio kupongeza kiongozi mmoja.
@shigetemteremko755112 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@AmanaAmos-hv3yz15 күн бұрын
Hizo ni akili na nguvu za magufuri,tena angekuepo ingeshaisha kitambo sana,R.I.P magufuri wetu
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
Aliyemalizia ndio anaekula sifa Kwan bill ya juhudi za wapigania Uhuru ingejengwa hiyo magu ni kama Nyerere
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
@@AmanaAmos-hv3yz kwakuwa anaviwanda
@AmanaAmos-hv3yz
15 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm asiejua maana usimwambie maana🧠,but ukiumia sema💉
@mikidadymohammedy7603
14 күн бұрын
Ni kwel ndugu yangu naungana na ww ingekuwa kitambo
@kidsontemba164115 күн бұрын
HONGERA MUHESHIMIWA KADOGOSA. UMEPAMBANA SANAA
@akidakombo25913 күн бұрын
R I p John Joseph pombe magufur milele regace umeiacha mwamba
@DioufMuze15 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
@shivobs448515 күн бұрын
Harmonize wakupongezwa ni rais marehemu sio samia
@user-nb5fk2qh9c
15 күн бұрын
Kama asingemalizia ingeisha
@shivobs4485
15 күн бұрын
@@user-nb5fk2qh9c tumpongeze kwa kusimamia
@timothypengejoshua8692
15 күн бұрын
Ukweli kabisa watanzania wote wamesahau sana kama Ile ni Mradi wa magufuli
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi
@shivobs4485
15 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm tutulie kwani tunaruka ruka sio ilani ni kodi zetu
@TresorMajibu-t7w13 күн бұрын
Ongera konde boy konde jeshi
@richkaja331715 күн бұрын
Waeleze watanzania kwa uyakinifu acha kingereza
@DioufMuze15 күн бұрын
Kazi ya magufuli hiyo
@timothypengejoshua869215 күн бұрын
Kweli alie kufa ndiye mjinga...Kazi ya magufuli mnayo malizia nasiyo ya samia rip magu
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
Wewe unazo akili nyingi lakini kuna mmoja anasema hongera serikali ya awamu ya sita kwani ya awamu ya tano haija fanya kitu ?
@allysanya8346
15 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv yulee mpumbavu tu anamsifia mvisiwani mwenzie
Пікірлер: 58
Ahsante kwa wote wanaosema ukweli kuhusu Nchi yetu na Miradi ya Maendeleo, na ni ukweli ni mipango ambayo hupangwa na kutekelezwa na Serikali,kwa vipaumbele vya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Asante Rais wetu na Wote walioko chini yako. Mungu Ibariki Tanzania.
magufuri kazi kaifanya noma alafu acheni kufanya kama mme saau magu ndio tanzania 🇹🇿 one kwa upande wangu
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
Magu . samia ni wajibu wao tusipowataj tukapowataj Hain umuhimu.Magu hajatoa mia ya mfukoni mwake Wal samia na kwann usisem hatujamtaja mkwawa acheni siasa aliyemalizia ndio atakaekul sifa magu alianzisha hakumalizia hem tulieni Kwan taifa alianz kuljeng magu nyiny hamumpend samia.
@emmanuelfari8924
15 күн бұрын
💯🙌
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
Sisi timu Magu hawa tutendei haki, maneno yao ya unafiki eti awamu ya sita, kwahiyo Jembe lililo tifua udongo mpaka tunaona kustwi mmea wamesahau
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv Kwan maendeleo yalianza kw magu alijitahidi kiasi chake
@user-en1uq1eg6h
15 күн бұрын
Rest in peace Magufuli 🙏🙏🇹🇿
Ila harmonize😊😊😊😊😊😊😊
Kauli niliyoipenda " uthubutu" kwa hakika tunaweza, bado msalato iko mbioni, dar Moro Barabara maalum za kulipia, ujenzi wa miundo mbinu Nchi nzima, pia niwapongeze wakandarasi wa huo mradi hao jamaa wasiachwe wapewe miradi mingine
@GibsonNtamamilo
15 күн бұрын
Aliyethubututu hayupo hizo ruti mpya mnazowaza mtaota tu.
Pazuri kama airport safi tunaendelea jamani watz tusipachafue sasa kwa uchafu 😅
Congratulations
😮😮😮 Siasa humu marufuku
Mbowe na tundi nawana chadema tunawaalika SGR, please you guys, we need you😅😅
@ndukulusudikucho_
15 күн бұрын
Hahahahahaha 😂😂🤣😂 hawajawahi hata kuizungumzia nahis wanasubiri ipate ajali hahahhaha
@abdallahdataguy
15 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_ 🤣🤣
Sema reli sio leri
Mkurugenzi wa shirika anaakili sana
Hongera sana uongoz wa awamu ya sita ❤
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
Awamu ya tano haikufanya kitu?
@mmassyferguson4959
15 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv nilikua sijazaliwa
🔥🔥
YAOYAO JESHII❤
Ni vema kupongeza Jitihada za Viongozi wote walioshiriki katika hatua mbalimbali. Na sio kupongeza kiongozi mmoja.
🎉🎉🎉🎉🎉
Hizo ni akili na nguvu za magufuri,tena angekuepo ingeshaisha kitambo sana,R.I.P magufuri wetu
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
Aliyemalizia ndio anaekula sifa Kwan bill ya juhudi za wapigania Uhuru ingejengwa hiyo magu ni kama Nyerere
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
@@AmanaAmos-hv3yz kwakuwa anaviwanda
@AmanaAmos-hv3yz
15 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm asiejua maana usimwambie maana🧠,but ukiumia sema💉
@mikidadymohammedy7603
14 күн бұрын
Ni kwel ndugu yangu naungana na ww ingekuwa kitambo
HONGERA MUHESHIMIWA KADOGOSA. UMEPAMBANA SANAA
R I p John Joseph pombe magufur milele regace umeiacha mwamba
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
Harmonize wakupongezwa ni rais marehemu sio samia
@user-nb5fk2qh9c
15 күн бұрын
Kama asingemalizia ingeisha
@shivobs4485
15 күн бұрын
@@user-nb5fk2qh9c tumpongeze kwa kusimamia
@timothypengejoshua8692
15 күн бұрын
Ukweli kabisa watanzania wote wamesahau sana kama Ile ni Mradi wa magufuli
@AmourAmour-ux3nm
15 күн бұрын
@@timothypengejoshua8692angesema simalizii hay huo ungekuwa ni mradi ni uthubut wa raisi samia magu ni kama Nyerere hem tulieni mrad wa magu kakwambia nani hiyo ni ilani alitakiwa lazim sio hiyar yake aliyemalizia ndio atakaekul pongezi
@shivobs4485
15 күн бұрын
@@AmourAmour-ux3nm tutulie kwani tunaruka ruka sio ilani ni kodi zetu
Ongera konde boy konde jeshi
Waeleze watanzania kwa uyakinifu acha kingereza
Kazi ya magufuli hiyo
Kweli alie kufa ndiye mjinga...Kazi ya magufuli mnayo malizia nasiyo ya samia rip magu
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
Wewe unazo akili nyingi lakini kuna mmoja anasema hongera serikali ya awamu ya sita kwani ya awamu ya tano haija fanya kitu ?
@allysanya8346
15 күн бұрын
@@DeogratiusAndrew-zi7zv yulee mpumbavu tu anamsifia mvisiwani mwenzie
@DeogratiusAndrew-zi7zv
15 күн бұрын
@@allysanya8346 aahahaha
Magufuli hoyeeee
Kirandage
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
Kazi ya magufuli hiyo
Kazi ya magufuli hiyo 3:13
Kazi ya magufuli hiyo 3:13