UNABII WA KUTISHA KATIKA TAIFA LA TANZANIA ( Nabii, Eng, Laitapwaki Mollel)
Nabii Laitapwaki Mollel aoneshwa Unabii wa Kutisha Juu ya Taifa La Tanzania.
Жүктеу.....
Пікірлер: 111
@zedhabari81403 жыл бұрын
Ee Mungu tuondolee viongozi wasiotufaa Amen
@elibarikimollel71492 жыл бұрын
Amina mtumishi, tunaomba toba na rehema kwa mafunuo haya kupitia kwenu, na kuliombea taifa Mungu aturehemu. Tunawaombea Manabii wote wa BWANA pia ili mpinga Kristo asiwainukie Halaluya
@nabiilaita
2 жыл бұрын
Amen Elibariki Mollel. Ubarikiwe Sana mpaka ushangae!
@elisantennko8222
2 жыл бұрын
Habar upo wapi?
@elizabethmgassa724311 ай бұрын
Ahsante,mtu wa Mungu,,,,Mungu turehem Tanzania
@nabiilaita
11 ай бұрын
Amen.
@sarahmdindile43013 жыл бұрын
Corona ya mwanzo tulimtegemea Mungu tuka vuka salama hii yasasa tumeitegemea sayansi yajayo yana sikitisha.
Hii ya utukufu Kweli tumemkosea sana Mungu, tuluomba juu ya corona tulifunga nakuomba hakika Mungu alionekana ktk maombi akaiponya nchi, cha ajabu atukumshkru Mungu matokeo yake mpaka wachungaji Walikuwa wakimtukuza mtu badala ya Mungu.
@simonnnko8795
3 жыл бұрын
Asante sana mtumishi was mungu
@juliuskitaluka12063 жыл бұрын
Dunia inawayawaya watu wamemwacha MUNGU wanaitegemea sayansi MUNGU hatashindana na mwanadam kamwe
@Gaynor12343 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu. Naamini kila sikio lililosikia litasikia na macho yataona. Tusubiri matokeo maana watu ni wabishi wanataka waamini mpaka wameona. Mungu akubariki sana.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe Sana
@marthagiroshi77612 жыл бұрын
Viongozi wetu wamtii Mungu
@zenassylvester1253 жыл бұрын
Tumemuacha MUNGU kweli , mama analipeleka Taifa kwa kwa sayansi ya mwanadamu , tumepotea na kupoteza dira
@priscusdaud40313 жыл бұрын
Mungu ibariki nchi yetu watu tuombe.
@alfinmbilinyi13263 жыл бұрын
Naona maasai Ni mzalendo kweli na taifa lake mpaka kaamua kufunguka na kusema ya rohoni duu Tanzania ya Nyerere inauma Sana.
@johnmkama80743 жыл бұрын
Barikiwa sana njoo ufungue kanisa hapa kwetu mengine hakuna tena yamesha onyesha werekeo tafadhali sana uje mtumishi
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen Usiogope nitakuja Mungu akinipa kibali!
@enjoiburahim59083 жыл бұрын
Mngu sema namimi baba naongopa sana asira ya mngu
@shigundacosmas52363 жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu usituache
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@rhobishaidi85082 жыл бұрын
Jamani kumbuka Ninawi mji ule wa uasi, ulipotubu Mungu alisamehe akaiponya ile nchi.
@matymatetan.73853 жыл бұрын
Amen ! Aliye na sikio asikiye sauti ya Mungu.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe Sana
@alicekhamayo19913 жыл бұрын
Hallelujah kweli kabisa ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen na wewe pia
@luckeydeus40513 жыл бұрын
Amen mtumishi
@binamutawa96373 жыл бұрын
Mungu atusamee kwer tumepotoka kwa kutukuza watu badala ya Mungu
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mpendwa
@leaymwagilu74943 жыл бұрын
Mungu tumekukusea tunaomba toba
@vivianminja5823 жыл бұрын
Kwel asee magu alikuw anaogopeka na kuheshimiwa km vile ndo mungu mungu yan akisema kitu dunian inasimam kumskilza daah utusamehr na uturehem
@eliasfesto46043 жыл бұрын
Amen
@isaackmwakalobo29193 жыл бұрын
Mungu atuepushie mbari janga hili la corona, tumtangulize mungu kwa kira jambo,
@janethmwihumbo1289
3 жыл бұрын
Muongo wa hubiri wa kiroo sana walimpenda sana hakuna rais aliye pendwa na wa tumishi wamungu Kama magu tafsiri vizuri biblia mh alimtaja saana mungu kwa Nini Corona ilishindwa mbele za mungu wake utubu wewe
@glorymarima56113 жыл бұрын
Mungu turehemu, sawasawa na fadhili zako.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@lilyrose79833 жыл бұрын
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏
@ismaelinnocent6812
3 жыл бұрын
Kweli viongozi nafasi ya Mungu kwao waliompa Mungu ndogo sana
@charleskawo55723 жыл бұрын
Ee Mungu unirehemu sawa sawa na fadhili zako unusuru taifa lako
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@chikubundara57612 жыл бұрын
Ameeen
@francislovemore38583 жыл бұрын
Eee mungu nikweli tume Fanya dhambi. Tunaomba.uwarehem viongozi wetu, nataifa lote.kumbuka rehema katikati ya gadhabu.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@charleszmgonde753 Жыл бұрын
Msiwatumainie viongozi wa dunia maana uzimawenu haumo ndaniyao
@jinomoko55103 жыл бұрын
Tunaomba Ee Mungu uturehemu
@josephsokhia3 жыл бұрын
huyu ndiyo mtumishi wa Mungu
@kyabonaruhuzi58573 жыл бұрын
Hapa ngambila barinsi baliguru kuulira, ahsante MUNGU KWA KUWA WEWE NI MUNGU NA UTABAKI KUWA MUNGU
@abubakarabuu9949 Жыл бұрын
Mambo matatu binaadamu hawezi kuyajua (1) nini kitatokea kesho? (2) ukiwa wapi utafariki? (3) mtoto wako atakuaje (mwema au kapinda)?
@josephsokhia3 жыл бұрын
amina mtumishi wa MUNGU
@edwardnamakonde73103 жыл бұрын
Kuhusu utukufu, umesema kweli Masai. Hata kama hatuamini unabii ulioto, wa viongozi kuongoza kwa vipindi vifupi. Yatosha kutambua kua utukufu ni wa MUNGU muumba mbingu na nchi pekee, na mtu yeyote autwaaye utukufu wa MUNGU ataangamia.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Utashuhudi mwenyewe kwa macho yako,kuwa Mungu si muongo!
@sweetbertrwiza59823 жыл бұрын
Kwa kweli watu wanapenda kuwapamba viongozi ili wapate vyeo
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@fruitfulmpanduji24943 жыл бұрын
Mmmh hapo kwenye Magu hata sichangii kitu.ila ninachokijua Magufuli amenifundindisha kumtegemea MUNGU, na kutoogopa kufa maana kifo kipo Tu. Ni kweli utukufu ni Kwa Mungu Pekee ,kama alivyosema Magu... Na maneno matukufu ya MUNGU..Amina ...
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Kabisa my hata mimi siungi mkono sabbu magu alikuwa kila kitu anamtajr mungu
@shaurikibwiru85883 жыл бұрын
Asante sana ila hii Miezi tutaona Mengi kweli mungu atusaidie
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@sweetluc2660
3 жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu tu
@isakambughi77673 жыл бұрын
Amina
@alphakimuyan300
3 жыл бұрын
Aliye na sikio na sikiye wameka roho ya mungu
@fredymaswimwita30913 жыл бұрын
Nabii,,hy sasa,,,,,,,,,mmmmmhhhhh
@wilisonmolel42743 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu🙏🙏
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen na wewe pia
@wilisonmolel4274
3 жыл бұрын
@@nabiilaita 🙏
@valerianakilumile85172 жыл бұрын
Mapenzi yako Mungu yatimizwe🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@wankobadan30303 жыл бұрын
Mungu iponye Tanzania
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@gracejulius233 жыл бұрын
ee Mungu wangu mimi naogopa jamani
@mussammanga7791
3 жыл бұрын
Unaogopa wkt upo katika njia ambayo sio sahihi.
@marymwikali14563 жыл бұрын
Watch and pray 🙏🙌
@mussaitara315
3 жыл бұрын
Acheni kutabiria tabiria semeni tuliombee taifa siokutoa vitisho
@emmanueljohn8970
3 жыл бұрын
@@mussaitara315 Utayaona haya soon sio Mchezo huu kwa kweli Mungu Atuokoe tu
@aroundtheworld41733 жыл бұрын
Wagalatia 3 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ² Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani? ³ Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili?
@shabanishebe78203 жыл бұрын
Tatizo unabi wa Tanzania unatokana na vyama vyao akiwa waChadema anatowa unabi wakuponda CCm akiwa wa CCm anatowa unabi wakuponda Chadema iyo ni shida mwache Mungu afanye maamuziyakemwenyewe
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Sawa Shabani umeongea ukweli!
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Huo Ndiyo shida ya Viongozi wa Tanzania!
@elaloca3429
2 жыл бұрын
Don’t argue with a fool people might not notice the different
@aminalimu51503 жыл бұрын
Mungu tusamehe
@joshuamatagane13183 жыл бұрын
Mwaka wenu huu manabii
@magrethmwakifuna9792
3 жыл бұрын
Siku na miaka ni vya Bwana.Na ma nabii hawaanzi leo siku zote Mungu atawatumia manabii kuonya watu,na watu wakidharau hakika maneno yanatoka kwenye vinywa vya manabii,yatokayo kwa Bwana yatatimia.Mwenye asikio na asikie neno ambalo Bwana awaambia mataifa
@nabiilaita
5 ай бұрын
Amen
@augustinemwase52793 жыл бұрын
Hakika mtumishi
@nassorbinfundi11963 жыл бұрын
Jamani umeacha kunywa damu Masai duh sio kufumilua kuvumilia,jaman
@healingclinic978
3 жыл бұрын
Maasai sio mbantu wala ungejua Hilo usingegangaika na matamshi yake acha kudhihaki kinywa cha mtumishi wa Mungu pokea ujumbe nao utakusaidia
@chrisshonga
3 жыл бұрын
Kikubwa na cha muhimu umeelewa
@merycharles27073 жыл бұрын
Nawafe tu maana tumechoka
@healingclinic978
3 жыл бұрын
Wafa kama.makima nyikani
@johnmalembo64643 жыл бұрын
Nabii...!? ... Mmmh.. Ni siku za Mwisho sasa... Manabii wengi wa uongo.... Mungu na ajitete Kama kweli huyu Ni nabii katumwa naye. Litimie nami niamini.... Lisitimie uongo wake her dhahili. Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Sawa Mungu ndiye aliyenena! Mimi ni chombo chake!
@angelinatryphone61523 жыл бұрын
Napingana nawewe kuhusu Baba yetu magufuli kwani ndiye rais pekee aliye simama kwa vitendo kulifundisha taifa lake kumtegemea Mungu.mengine sawa hilo2 nalipinga maana alikuwa mtu mnyenyekevu mwenye hofu ya Mungu
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Sawa!
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mpendwa
@healingclinic978
3 жыл бұрын
Haiseee magufuri hakuwa mnyenyekevu Angelina magufuri alikuwa na kiburi uthubitisho 1. Kila alichokifanya alitaka atambuliwe yeye Kama chanzo na kujiona kuwa bila yeye hakuna chochote na hata wa nyuma yake hawakuwa na uwezo Kama wake 2. Aliwahi kusema hata nikifa ntakuwa kiongozi huku ninako enda Ntaongoza malaika wadogo hiii ni kufuru haipo kwenye kuran wala biblia yake kama mkristo 3. Magufuri alitaka kutukuzwa na kusifiwa asitake hata mtu ammkosee kumbu kumbu la torati 10:17-18
@tumainigeofrey9702 Жыл бұрын
MUNGU turehemu!!
@nabiilaita
Жыл бұрын
Amen
@abelianraphili51503 жыл бұрын
Kazi ipo Bongo
@healingclinic9783 жыл бұрын
Nabiii wa Bwana nini tafsiri ya hizo namba miezi mitatu wiki tatu na mwezi mmoja
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Siyo namba ni masaa na siku. Maana yake ni kizazi cha kwanza, cha pili, cha tatu, na cha nne! Soma kitabu cha kutoka 20: 1-5
@oscarobed69303 жыл бұрын
Ukweli taifa la Tanzania halijawahi kuwa na Mungu hata limwache Mungu. Sisi taifa la Tanzania siyo km taifa la Israeli ambalo taifa zima lilikuwa na maagano na Mungu. Naamini mpk hapo unaweza kupambanua nisemayo...
@frankjohn8706
3 жыл бұрын
Kila mtu na Mungu binafsi alisema mchungaji wangu miaka ya 1990 nakitu kwamba baada ya YESU kufufuka akasema kwa wanafunzi wake aaminie na kubatizwa ataokoka, kutoka katika mataifa hivyo ili mtu awe mtoto wa Mungu shurti ampokee, sio Taifa litakalompokea litakua Taifa langu kweli tz haijawai kuwa Taifa la Mungu ,Kuna wanga waasherati,mashoga,wezi ,wasioamini, wa sanamu nakadhalika nakadhalika
@edwinigodwin2122
3 жыл бұрын
Mungu atusamee kabisa
@chrisshonga
3 жыл бұрын
Taifa la Israel ndo akina nani??
@gracekahinga90182 жыл бұрын
Amen
@mathayopapiasi88723 жыл бұрын
Nawanapenda sifa kweli nawataisha wasipojilekebisha kweli tubuni muweke mambo wazi kabla hamjalia kilio na kusaga meno,
Пікірлер: 111
Ee Mungu tuondolee viongozi wasiotufaa Amen
Amina mtumishi, tunaomba toba na rehema kwa mafunuo haya kupitia kwenu, na kuliombea taifa Mungu aturehemu. Tunawaombea Manabii wote wa BWANA pia ili mpinga Kristo asiwainukie Halaluya
@nabiilaita
2 жыл бұрын
Amen Elibariki Mollel. Ubarikiwe Sana mpaka ushangae!
@elisantennko8222
2 жыл бұрын
Habar upo wapi?
Ahsante,mtu wa Mungu,,,,Mungu turehem Tanzania
@nabiilaita
11 ай бұрын
Amen.
Corona ya mwanzo tulimtegemea Mungu tuka vuka salama hii yasasa tumeitegemea sayansi yajayo yana sikitisha.
Hakika Bwana Mungu hawezi fanya jambo pasipo wafunulia wa2mishi wake( Amosi 3:7)
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
Ujumbe tunaupata Nabii wa Mungu
Hii ya utukufu Kweli tumemkosea sana Mungu, tuluomba juu ya corona tulifunga nakuomba hakika Mungu alionekana ktk maombi akaiponya nchi, cha ajabu atukumshkru Mungu matokeo yake mpaka wachungaji Walikuwa wakimtukuza mtu badala ya Mungu.
@simonnnko8795
3 жыл бұрын
Asante sana mtumishi was mungu
Dunia inawayawaya watu wamemwacha MUNGU wanaitegemea sayansi MUNGU hatashindana na mwanadam kamwe
Amen mtumishi wa Mungu. Naamini kila sikio lililosikia litasikia na macho yataona. Tusubiri matokeo maana watu ni wabishi wanataka waamini mpaka wameona. Mungu akubariki sana.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe Sana
Viongozi wetu wamtii Mungu
Tumemuacha MUNGU kweli , mama analipeleka Taifa kwa kwa sayansi ya mwanadamu , tumepotea na kupoteza dira
Mungu ibariki nchi yetu watu tuombe.
Naona maasai Ni mzalendo kweli na taifa lake mpaka kaamua kufunguka na kusema ya rohoni duu Tanzania ya Nyerere inauma Sana.
Barikiwa sana njoo ufungue kanisa hapa kwetu mengine hakuna tena yamesha onyesha werekeo tafadhali sana uje mtumishi
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen Usiogope nitakuja Mungu akinipa kibali!
Mngu sema namimi baba naongopa sana asira ya mngu
Ee mwenyezi Mungu usituache
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
Jamani kumbuka Ninawi mji ule wa uasi, ulipotubu Mungu alisamehe akaiponya ile nchi.
Amen ! Aliye na sikio asikiye sauti ya Mungu.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe Sana
Hallelujah kweli kabisa ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen na wewe pia
Amen mtumishi
Mungu atusamee kwer tumepotoka kwa kutukuza watu badala ya Mungu
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mpendwa
Mungu tumekukusea tunaomba toba
Kwel asee magu alikuw anaogopeka na kuheshimiwa km vile ndo mungu mungu yan akisema kitu dunian inasimam kumskilza daah utusamehr na uturehem
Amen
Mungu atuepushie mbari janga hili la corona, tumtangulize mungu kwa kira jambo,
@janethmwihumbo1289
3 жыл бұрын
Muongo wa hubiri wa kiroo sana walimpenda sana hakuna rais aliye pendwa na wa tumishi wamungu Kama magu tafsiri vizuri biblia mh alimtaja saana mungu kwa Nini Corona ilishindwa mbele za mungu wake utubu wewe
Mungu turehemu, sawasawa na fadhili zako.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏
@ismaelinnocent6812
3 жыл бұрын
Kweli viongozi nafasi ya Mungu kwao waliompa Mungu ndogo sana
Ee Mungu unirehemu sawa sawa na fadhili zako unusuru taifa lako
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
Ameeen
Eee mungu nikweli tume Fanya dhambi. Tunaomba.uwarehem viongozi wetu, nataifa lote.kumbuka rehema katikati ya gadhabu.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
Msiwatumainie viongozi wa dunia maana uzimawenu haumo ndaniyao
Tunaomba Ee Mungu uturehemu
huyu ndiyo mtumishi wa Mungu
Hapa ngambila barinsi baliguru kuulira, ahsante MUNGU KWA KUWA WEWE NI MUNGU NA UTABAKI KUWA MUNGU
Mambo matatu binaadamu hawezi kuyajua (1) nini kitatokea kesho? (2) ukiwa wapi utafariki? (3) mtoto wako atakuaje (mwema au kapinda)?
amina mtumishi wa MUNGU
Kuhusu utukufu, umesema kweli Masai. Hata kama hatuamini unabii ulioto, wa viongozi kuongoza kwa vipindi vifupi. Yatosha kutambua kua utukufu ni wa MUNGU muumba mbingu na nchi pekee, na mtu yeyote autwaaye utukufu wa MUNGU ataangamia.
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Utashuhudi mwenyewe kwa macho yako,kuwa Mungu si muongo!
Kwa kweli watu wanapenda kuwapamba viongozi ili wapate vyeo
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
Mmmh hapo kwenye Magu hata sichangii kitu.ila ninachokijua Magufuli amenifundindisha kumtegemea MUNGU, na kutoogopa kufa maana kifo kipo Tu. Ni kweli utukufu ni Kwa Mungu Pekee ,kama alivyosema Magu... Na maneno matukufu ya MUNGU..Amina ...
@hadijamagufuli2661
2 жыл бұрын
Kabisa my hata mimi siungi mkono sabbu magu alikuwa kila kitu anamtajr mungu
Asante sana ila hii Miezi tutaona Mengi kweli mungu atusaidie
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
@sweetluc2660
3 жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu tu
Amina
@alphakimuyan300
3 жыл бұрын
Aliye na sikio na sikiye wameka roho ya mungu
Nabii,,hy sasa,,,,,,,,,mmmmmhhhhh
Ubarikiwe mtumishi wa mungu🙏🙏
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen na wewe pia
@wilisonmolel4274
3 жыл бұрын
@@nabiilaita 🙏
Mapenzi yako Mungu yatimizwe🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu iponye Tanzania
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
ee Mungu wangu mimi naogopa jamani
@mussammanga7791
3 жыл бұрын
Unaogopa wkt upo katika njia ambayo sio sahihi.
Watch and pray 🙏🙌
@mussaitara315
3 жыл бұрын
Acheni kutabiria tabiria semeni tuliombee taifa siokutoa vitisho
@emmanueljohn8970
3 жыл бұрын
@@mussaitara315 Utayaona haya soon sio Mchezo huu kwa kweli Mungu Atuokoe tu
Wagalatia 3 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ² Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani? ³ Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili?
Tatizo unabi wa Tanzania unatokana na vyama vyao akiwa waChadema anatowa unabi wakuponda CCm akiwa wa CCm anatowa unabi wakuponda Chadema iyo ni shida mwache Mungu afanye maamuziyakemwenyewe
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Sawa Shabani umeongea ukweli!
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Huo Ndiyo shida ya Viongozi wa Tanzania!
@elaloca3429
2 жыл бұрын
Don’t argue with a fool people might not notice the different
Mungu tusamehe
Mwaka wenu huu manabii
@magrethmwakifuna9792
3 жыл бұрын
Siku na miaka ni vya Bwana.Na ma nabii hawaanzi leo siku zote Mungu atawatumia manabii kuonya watu,na watu wakidharau hakika maneno yanatoka kwenye vinywa vya manabii,yatokayo kwa Bwana yatatimia.Mwenye asikio na asikie neno ambalo Bwana awaambia mataifa
@nabiilaita
5 ай бұрын
Amen
Hakika mtumishi
Jamani umeacha kunywa damu Masai duh sio kufumilua kuvumilia,jaman
@healingclinic978
3 жыл бұрын
Maasai sio mbantu wala ungejua Hilo usingegangaika na matamshi yake acha kudhihaki kinywa cha mtumishi wa Mungu pokea ujumbe nao utakusaidia
@chrisshonga
3 жыл бұрын
Kikubwa na cha muhimu umeelewa
Nawafe tu maana tumechoka
@healingclinic978
3 жыл бұрын
Wafa kama.makima nyikani
Nabii...!? ... Mmmh.. Ni siku za Mwisho sasa... Manabii wengi wa uongo.... Mungu na ajitete Kama kweli huyu Ni nabii katumwa naye. Litimie nami niamini.... Lisitimie uongo wake her dhahili. Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Sawa Mungu ndiye aliyenena! Mimi ni chombo chake!
Napingana nawewe kuhusu Baba yetu magufuli kwani ndiye rais pekee aliye simama kwa vitendo kulifundisha taifa lake kumtegemea Mungu.mengine sawa hilo2 nalipinga maana alikuwa mtu mnyenyekevu mwenye hofu ya Mungu
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Sawa!
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mpendwa
@healingclinic978
3 жыл бұрын
Haiseee magufuri hakuwa mnyenyekevu Angelina magufuri alikuwa na kiburi uthubitisho 1. Kila alichokifanya alitaka atambuliwe yeye Kama chanzo na kujiona kuwa bila yeye hakuna chochote na hata wa nyuma yake hawakuwa na uwezo Kama wake 2. Aliwahi kusema hata nikifa ntakuwa kiongozi huku ninako enda Ntaongoza malaika wadogo hiii ni kufuru haipo kwenye kuran wala biblia yake kama mkristo 3. Magufuri alitaka kutukuzwa na kusifiwa asitake hata mtu ammkosee kumbu kumbu la torati 10:17-18
MUNGU turehemu!!
@nabiilaita
Жыл бұрын
Amen
Kazi ipo Bongo
Nabiii wa Bwana nini tafsiri ya hizo namba miezi mitatu wiki tatu na mwezi mmoja
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Siyo namba ni masaa na siku. Maana yake ni kizazi cha kwanza, cha pili, cha tatu, na cha nne! Soma kitabu cha kutoka 20: 1-5
Ukweli taifa la Tanzania halijawahi kuwa na Mungu hata limwache Mungu. Sisi taifa la Tanzania siyo km taifa la Israeli ambalo taifa zima lilikuwa na maagano na Mungu. Naamini mpk hapo unaweza kupambanua nisemayo...
@frankjohn8706
3 жыл бұрын
Kila mtu na Mungu binafsi alisema mchungaji wangu miaka ya 1990 nakitu kwamba baada ya YESU kufufuka akasema kwa wanafunzi wake aaminie na kubatizwa ataokoka, kutoka katika mataifa hivyo ili mtu awe mtoto wa Mungu shurti ampokee, sio Taifa litakalompokea litakua Taifa langu kweli tz haijawai kuwa Taifa la Mungu ,Kuna wanga waasherati,mashoga,wezi ,wasioamini, wa sanamu nakadhalika nakadhalika
@edwinigodwin2122
3 жыл бұрын
Mungu atusamee kabisa
@chrisshonga
3 жыл бұрын
Taifa la Israel ndo akina nani??
Amen
Nawanapenda sifa kweli nawataisha wasipojilekebisha kweli tubuni muweke mambo wazi kabla hamjalia kilio na kusaga meno,
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Amen
manabii kwani bado wapo jamani mpaka leo
@nabiilaita
3 жыл бұрын
Mathayo 5:17
Amen