UMUHIMU WA DUA | SIRI NA MAAJABU YA BISMILLAHHI RAHMANI RRAHIIM
ASSALAAM ALAYKUM,BILA SHAKA WOTE WAZIMA INSHAALLWAHH KWA MAHITAJI YA DUA MBALI MBALI WASILIANA NA MTOA MADA SHEIKH RAJAB SALIM ALQUSHAIRIYYU
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@gulynzowa7026 Жыл бұрын
Ahsante sana Sheikh Rajabu kwa kufungua channel hii…kwa kweli mimi ni shuhuda mzuri wa Bismilahi Rahman Rahim…nilipatwa na mtihani mzito na niliisoma adhkar hii mara 786 kwenye maji na nilikunywa yale maji kwa siku tatu ….Wallah mtihani ule uliniondoka…Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema tuzidi kupata mafunzo mengi toka kwako In Sha’a Allah.
@rajabsalimalqushairiyyu7023
Жыл бұрын
shukran sana DADA yangu,kwa kujifanyia kazi darsa na mungu ameniandikishia Na hayo ndio malengo unachohitaji darsa tujifunze na kujifanyia kazi inshaaalwa MUNGU Afanyiwe wepesi kila msemaji wa dua hiii ya BISMILLLAHH RRAHMAAN RRAHIIIM
@halidijuma1884 Жыл бұрын
Asante sana SHEIKH WETU nakuomba usiache hii hali ya kutupatia Elim hii muhim kwenye maisha nakuomba sana , USITUACHE HIVI HIVI KAKA, BILA KUTUPATIA DUWA MBALI MBLI,,, Vipi kuhusu utaratibu wa Suratul Alam nashirah?
@jitihadaonlinetv739 Жыл бұрын
Mashaa allah
@ibrahimahpandu Жыл бұрын
Masha Allah.! Alhamdulillah.! Asante Sana sana, Sheikh.!!
@hidayashaban582 Жыл бұрын
Mashaa Allah
@oman6124 Жыл бұрын
بارك الله فيك
@mwajumarajabu6929 Жыл бұрын
Mashaallah
@fatumatandika6220 Жыл бұрын
Jazakallah kheir
@shifaatulqurantv9408 Жыл бұрын
JazzakAllah
@mwajumarajabu6929
Жыл бұрын
Mashaallah
@rashidmiraji1468 Жыл бұрын
Nakuelewa sana
@rajabsalimalqushairiyyu7023
Жыл бұрын
NIWASHUKURU NYOTE AMBAO NIMEKUA NANYI KATIKA HIZI DARSA MUNGU ATUFUNGULIE SOTE AMIIIN AMIIN AMIIIN
@foodcook3626 Жыл бұрын
Mbona unaikwepa katika suratul fatiha ?!hali ya kuwa msahafu inaonesha ni ayya ya kwanza ya suratul fatiha
@fuellessgenerator9426 Жыл бұрын
Shekhe mie niko na shida sana nimesoma sana lakini matokeo hamnà
Пікірлер: 20
Ahsante sana Sheikh Rajabu kwa kufungua channel hii…kwa kweli mimi ni shuhuda mzuri wa Bismilahi Rahman Rahim…nilipatwa na mtihani mzito na niliisoma adhkar hii mara 786 kwenye maji na nilikunywa yale maji kwa siku tatu ….Wallah mtihani ule uliniondoka…Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema tuzidi kupata mafunzo mengi toka kwako In Sha’a Allah.
@rajabsalimalqushairiyyu7023
Жыл бұрын
shukran sana DADA yangu,kwa kujifanyia kazi darsa na mungu ameniandikishia Na hayo ndio malengo unachohitaji darsa tujifunze na kujifanyia kazi inshaaalwa MUNGU Afanyiwe wepesi kila msemaji wa dua hiii ya BISMILLLAHH RRAHMAAN RRAHIIIM
Asante sana SHEIKH WETU nakuomba usiache hii hali ya kutupatia Elim hii muhim kwenye maisha nakuomba sana , USITUACHE HIVI HIVI KAKA, BILA KUTUPATIA DUWA MBALI MBLI,,, Vipi kuhusu utaratibu wa Suratul Alam nashirah?
Mashaa allah
Masha Allah.! Alhamdulillah.! Asante Sana sana, Sheikh.!!
Mashaa Allah
بارك الله فيك
Mashaallah
Jazakallah kheir
JazzakAllah
@mwajumarajabu6929
Жыл бұрын
Mashaallah
Nakuelewa sana
@rajabsalimalqushairiyyu7023
Жыл бұрын
NIWASHUKURU NYOTE AMBAO NIMEKUA NANYI KATIKA HIZI DARSA MUNGU ATUFUNGULIE SOTE AMIIIN AMIIN AMIIIN
Mbona unaikwepa katika suratul fatiha ?!hali ya kuwa msahafu inaonesha ni ayya ya kwanza ya suratul fatiha
Shekhe mie niko na shida sana nimesoma sana lakini matokeo hamnà
@madmax6757
Жыл бұрын
Jichunguze tabia zako huenda hupati matokeo mazuri
@hawaamohammed6687
Жыл бұрын
Endelea kuisoma kwayakini namienendo Yako .Napia usiache kuwa nasubra Allah atakujibu
@salumjuma9072
Жыл бұрын
TAFUTA MTU AMBAE HANA MAKOSA MAKUBWA YA ZINAA ULEVI LIWAT NA KADHALIKA WEWE INAONEKANA HUKO SAWA HUWEZI KUWA MCHAFU HALAFU UKAOMBA
@Shafaakallwahhu
Жыл бұрын
Tuwasiliane kwa +255713 437430
@shabaniMsonde
11 ай бұрын
m/mungu ndie ajuae kwanini dua yake haikujibiwa, ila usikate tamaa ndugu