| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 2]

Rais Ruto ameahidi kufanya mabadiliko serikalini
Bajeti za ofisi za mkewe rais na wa naibu rais zaondolewa
Serikali ilitangaza hatua za kupunguza matumizi
Rais amevunja mashirika 47 yenye kazi zinazofanana
Rais aahidi kupunguza washauri wake kwa 50%
Deni la taifa lilikuwa ksh.10.398t kufikia mwezi machi
Rais ameteua jopo la kutathmini madeni ya taifa
LSK yasema ni kazi ya ofisi ya mhasibu mkuu

Пікірлер: 15

  • @lystrajoel8609
    @lystrajoel860913 күн бұрын

    Genz have made ruto yesterday not to go church 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Genz have made ruto not to go anywhere, he is ashamed all over the world, because he has nothing to address

  • @AgnesNdanu-gt1vz
    @AgnesNdanu-gt1vz10 күн бұрын

    Mko sawa😊

  • @user-bl8js8qy4p
    @user-bl8js8qy4p11 күн бұрын

    Tangu wakati WA moi nyimbo ni coraption na hatujawai ona walifungwa na coraption mungu tusaidie na uwabadilishe na uwaoshe na steel wire robot zao mungu NI wewe tu unaweza wabadilisha Amin tuna penda kenya yenu NI maombi Tu tukuwe na siku ya maombi plz tuombe inchi yetu hakuna zaidi yA mungu

  • @user-bl8js8qy4p
    @user-bl8js8qy4p11 күн бұрын

    Nadhan Sheria itengenezwe WA kati ya kura atakae toa hongo ashikwe wakenya tuache kuongea wakati wakura matokeo leo tunaona unakula 200 unalia Mika 5 chagua kiongozi sio mia200

  • @juntyd
    @juntyd10 күн бұрын

    Ideology sio accurate; revolution ndio more accurate

  • @Zainab-sw6lg
    @Zainab-sw6lg13 күн бұрын

    Maoni yangu nasema wakenya wanata kujua kuhusu mswada wamwaka jana ulifanyiwa nini na kilasehem aeleze ilitumika pesa ngapi watu wafanye maisabu

  • @user-bl8js8qy4p
    @user-bl8js8qy4p11 күн бұрын

    Kulingana na yaliyo jitokeza basi 2027 serekali itafute mbinu imagine serekali ipange hakuna pesa ya kampen eti unachangiwa kama ni raisi na unachaguliwa NI unachaguliwa na wana inchi ama wadifa yoyote mambo ya pesa ndiyo inaleta ufisai

  • @DanielAmathe-r4o
    @DanielAmathe-r4o11 күн бұрын

    Rais ajue ahadi hazionekani coz mama mboga na m2 wa boda Ako still pale.

  • @PiliPili-f1w
    @PiliPili-f1w13 күн бұрын

    Judiciary should have tight ruling over corruption No bail If guilty all his property should go back to the government

  • @user-bl8js8qy4p
    @user-bl8js8qy4p11 күн бұрын

    Mimi namshauri raisi asimame na gnz na hawo mawazo waliomsadia waelewe kimeumana wasimsaliti l raisi. Na Kama waliomsadia mpaka said wamejilipa navile waliomsadia pia wangemsaidia kupa mawaida mazuri

  • @user-bl8js8qy4p
    @user-bl8js8qy4p11 күн бұрын

    Raisi tunamwambia vijana wanateseka Kwa warabu wanakufa na wengine wamejaa jela za warabu wanakufa na wengine wamechizika amechukua atuwa gani na pia kuna wakala waizi wanalagai ma gnz niatua gani raisi amechukua

  • @LeahShikuku-n4s
    @LeahShikuku-n4s13 күн бұрын

    😊mko sawa

  • @LeahShikuku-n4s
    @LeahShikuku-n4s13 күн бұрын

    😊mko sawa

  • @LeahShikuku-n4s
    @LeahShikuku-n4s13 күн бұрын

    😊mko sawa