UKITAKA MJAMZITO AJIFUNGUE HARAKA SOMA SURA HII UKITAKA MALI SOMA SURA HII

Пікірлер: 59

  • @zainabhaji2988
    @zainabhaji29888 ай бұрын

    Shukran Shekhe umenifungua kwenye vifungo vingi baada ya kufuatilia chanel yako na kufanyia kazi mafundisho yako Alhamdulillah sasa najiona mtu katika watu maana ilifika hatua hata ndugu walinichoka kwa shida zangu ila nimejifunza kumlilia Allah na wala hajachalewa kunionyesha zipi pumba umpi mchele 🙏

  • @khadijahnjeri9834

    @khadijahnjeri9834

    8 ай бұрын

    . ,

  • @firstlady9848
    @firstlady98488 ай бұрын

    Mimi pia ni shuhuda nilifanya kama ulivyo sema silipata sijui nikuelezee vipi Dadangu alipata kazi kupitia Qur'an yani ni miujiza nilitoka nikapatana na mtu si mjui akaniambia ana visa nilipata kazi ya dadangu bila kulipa visa wala ticket ya ndege na alipata pahali pazuri yani mingheir laa yahtasib riziki ❤❤❤ Allahumma swalli alaa Muhammad waala Ali Muhammad waala Ali Muhammad ❤❤❤

  • @shenunakasimuS-gz8ku
    @shenunakasimuS-gz8ku7 ай бұрын

    Nakuombea Maisha marefu yasiyo na maradhi Ili wapate elimu watu wengi wengi na wengine inshallah

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor59698 ай бұрын

    Shekh Shukran sana kwa mawaidha Allah akuweke shekhe wetu huwa staki umakize napenda sana kukuskiliza moyo unatulia wallahi ila kuna siku tuelezee adhabu za kabri kwa ihsani yako tuzidi kuelewa na sie wanawake tutapewa waume wazuri tukiwa waja wema Shukran sana from uk 🇬🇧

  • @MohammedAllysaid-kn3jh

    @MohammedAllysaid-kn3jh

    8 ай бұрын

    A/alaykum Warhma Tullah Wabarakat

  • @mwanaiditwaha-jf6lg
    @mwanaiditwaha-jf6lg4 ай бұрын

    Allah akulipe kheir duanian na kesho akhera tumenufaika Sana Kwa elimu yako

  • @bobomuamarg3856
    @bobomuamarg38568 ай бұрын

    JAZAAKALLAHU KHAYRI SHEIKH WANGU. Allah Akulipe Pepo ya juu. Amin

  • @mayasaali1250
    @mayasaali12508 ай бұрын

    Mashaallah kheir kubwa Allah azidi kukufanyia wepesi kwenye majambo yako

  • @firstlady9848
    @firstlady98488 ай бұрын

    Sheikh shukraan nimepata funzo Sheikh kuna jina mimi nikipoteza kitu chochote husoma yaa jamiu, yaa haq hata siku moja Boss wangu alipoteza simu nikamwambia asome jina hilo yaa jamiu aliipata simi yake alifurahi sana ❤

  • @ashashaban6484
    @ashashaban64848 ай бұрын

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed77498 ай бұрын

    Shukran shekh Allah akulipe kher

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana33536 ай бұрын

    Aliislam Dini alhmndulilah

  • @nassormohd3206
    @nassormohd32067 ай бұрын

    Shukran Sheikh Mungu akuhifadhi, tunaomba dua ya kumfanya mwenye deni aweze kukulipa.

  • @chuliztexsasmedia124
    @chuliztexsasmedia1248 ай бұрын

    Allah akulipe naakuhifadhi pamoja na familia Yako uzidi kutufundisha shekh wetu

  • @user-fz2br1vy2l
    @user-fz2br1vy2l6 ай бұрын

    MashaaAllah

  • @NininahazweDondivin
    @NininahazweDondivin6 ай бұрын

    Nashkur kwa mafundisho malim

  • @user-eq8dd6sl7u
    @user-eq8dd6sl7u7 ай бұрын

    Mashaallah shekhe allah.akujaalie kheri nyingi ili utufundishe na ss inshallah ❤

  • @babybarekebavuge5630
    @babybarekebavuge56308 ай бұрын

    Allah akuifadhi sheikh, nakufwata nikiwa 🇧🇮 Shukran saana

  • @rehemashaaban1416
    @rehemashaaban14168 ай бұрын

    Mungu akubarik shekhe wetu akupe maisha marefu

  • @Habibu_manda
    @Habibu_manda8 ай бұрын

    Me nlimuon mtume kwa kutumia surat kauthal ila sura yake ckuiona vzr nikazan kua cjajitayarisha vzur shukran @othman michael nimefaham kua huwez kumuona sura

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    8 ай бұрын

    Mie nimemuona na anatabasam

  • @Naw89
    @Naw898 ай бұрын

    ما شاء الله تبارك الرحمن

  • @SharifaMchia-gs2mq
    @SharifaMchia-gs2mq8 ай бұрын

    Naitaji sura ya kupata ujauzito Kwa huwezo wa allah

  • @ladyr.r9964

    @ladyr.r9964

    8 ай бұрын

    😢😢😢😢pia mimi jamani nahitaji Dua hyoo ya ujauzito

  • @ladyr.r9964
    @ladyr.r99648 ай бұрын

    😢😢😢shekhe naomba dua ya ujauzito miaka sita sijashika 😢

  • @AbdulWahab-rm9ei
    @AbdulWahab-rm9ei8 ай бұрын

    Mashallah Allah

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura72688 ай бұрын

    Allah Akbar, Allah Akbar Allah akulipe na akuhifadh sheikh wetu

  • @user-gt1vl5pq5p
    @user-gt1vl5pq5p7 ай бұрын

    Shkrani shekh ❤

  • @mifunga3414
    @mifunga34148 ай бұрын

    Allahuakbar

  • @sulekhan7119
    @sulekhan71198 ай бұрын

    MashaAllah

  • @Kipingurahima-qj4yf
    @Kipingurahima-qj4yf8 ай бұрын

    Nikweli kabisa nilishafanyq hivyo na ndio alamu yangu inshallah

  • @user-ws7fb8ph9q
    @user-ws7fb8ph9q7 ай бұрын

    Mashaallah

  • @khadigajessica991
    @khadigajessica9918 ай бұрын

    Usichoke sheikh wetu kutufundisha Qur'an

  • @rahmasabuni3425
    @rahmasabuni34258 ай бұрын

    ❤❤

  • @user-je1bb5sd3h
    @user-je1bb5sd3h7 ай бұрын

    Azaliyt unaysoma yote shkhe

  • @yahyahilalali5299
    @yahyahilalali52993 ай бұрын

    Je shekhe iyo suratudhariyati km huna MTU wa kukusomea unaweza kujisomea mwenyewe?

  • @hadijagere
    @hadijagere8 ай бұрын

    Shekhe mbona mi nimesha muona marambili namuona mpaka sura anatabasam mwanana shekh nibalaa nilishinda nacheka wikinzima kila nikikumbuka lile tabasam 😊

  • @hadijagere

    @hadijagere

    8 ай бұрын

    Nilisoma kitabu kidogo kimeandikwa suratul kifaya kuna sehemu amesema muandishi ukisoma utamuona mtume nikasema nataka nimuone nikasoma hiyo shekh mtume nimzuri alikuwa namaswahaba wote ally,bilali haondio nili hisi niwenyewe wengine sikujuwa alafu wote wakawa wananiangalia baada ya mtume kukata maongezi akaniangalia huku akitabasam wote wakaniangalia😂😂katika ndoto nilizowahi kuota hiyo siwezi kuisahau mpakaleo naona kama nimeiota jana ilikuwa 2016

  • @user-hv5dt1qm1c
    @user-hv5dt1qm1c8 ай бұрын

    AsalamAlykum shek wetu nimekufatila kwa mda nashukkuru kwa darasa zako ila naomba. Kama kuna Aya za kumsomea mwanamume mzinifu akanaswa😮😮😮

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @saumumbukuzi7830
    @saumumbukuzi78308 ай бұрын

    Kwahiyo unatakiwa usome mpaka hapo tuu

  • @user-bs3yc5wn5c
    @user-bs3yc5wn5c8 ай бұрын

    Naomba unisaidie mtu akiwa mbali na hajui kuisoma Asri nitatumia njia gani kumsomea apate kitu chale nifanyeje ili nimsomee apate kitu chake?

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura72688 ай бұрын

    Sheikh tupe hiyo surat ya kupendwa jamanii

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    8 ай бұрын

    Kabisaaaaa

  • @shenunakasimuS-gz8ku
    @shenunakasimuS-gz8ku7 ай бұрын

    Mubin ndio nini nielekeze shekh au ni kila mwisho wa aya ndio mubini ama?

  • @sulekhan7119
    @sulekhan71198 ай бұрын

    Shekhe nishawahi ota kheri nzuri nawewe

  • @othmanmichaelonline2866

    @othmanmichaelonline2866

    8 ай бұрын

    Nini uliota ndugu

  • @sulekhan7119

    @sulekhan7119

    8 ай бұрын

    @@othmanmichaelonline2866 Niliota unanisomea duwa kwenye usingizi

  • @mrsahmadhajraah1550

    @mrsahmadhajraah1550

    7 ай бұрын

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh mi pia niliot ananisomea Dua na niliot nimejifungua kwake

  • @ashurakabura7268
    @ashurakabura72688 ай бұрын

    Nasoma kweny sala ao nasoma tuu

  • @firstlady9848
    @firstlady98488 ай бұрын

    Sheikh watoboa Siri zangu😅😅 mimi kila kitu changu ni Qur'an nikitaka nisionekane natumia Qur'an nikitaka pesa quran nikitaka kushinda Qur'an mimi hutumia Qur'an kila kona 😅😅😂😂😂

  • @SharifaMchia-gs2mq

    @SharifaMchia-gs2mq

    8 ай бұрын

    Naitaji Dua ya kupata ujauzito Kwa huwezo wa Allah

  • @nassormohd3206

    @nassormohd3206

    7 ай бұрын

    Naomba dua kumfanya mwenye deni akulipe

  • @aamarsuleymain2932

    @aamarsuleymain2932

    6 ай бұрын

    Na mie pia kuna nawadai wamenidhulum nahitaji dua nilipwe pesa zangu​@@nassormohd3206

  • @mariamueidhlaaj3674
    @mariamueidhlaaj36748 ай бұрын

    Shekhe nikitaka kuongea na wewe nakupataje ???

  • @othmanmichaelonline2866

    @othmanmichaelonline2866

    8 ай бұрын

    Pg+255784122858

  • @ladyr.r9964

    @ladyr.r9964

    8 ай бұрын

    ​@@othmanmichaelonline2866sheikh naomba Dua ya ujauzito 😢😢😢miaka sita sijashika mimba😢😢😢

Келесі