Ukifanya Haya Kila Asubuhi Utafanikiwa/ Umuhimu Wa Kuamka Alfajiri / Sheikh Walid Alhad / Darsa 2021
Ойын-сауық
Ukifanya Haya Kila Asubuhi Utafanikiwa/ Umuhimu Wa Kuamka Alfajiri / Sheikh Walid Alhad / Darsa 2021
Mashaa Allah sheikh Walid Alhad Omar akielezea kwa uzur na ubora wa hali ya juu kabisa juu ya umuhimu wa kuamka Alfajiri na ukifanya haya kila asubuhi utafanikiwa tizama video mpaka mwisho usisahau kushare
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / darsatv
► LIKE DARSA TV on Facebook: / darsatv
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Пікірлер: 197
Sheikh Walid hatuna cha Kukulipa ila Allah atakulipa meme Dunian na Akhera In shaa Allah
Mashaa Allah shehe nashukuru leo umeniongezea jambo ambalo nilikuwa silijui ni hizo adhikar alhamdulillah Allah akuzidishie elim tupate kujifunza
Jazaka allahu kheir allah awafungulie milango ya pepo wazazi wako nawe pia
MashaAllah shukran Sheikh Allah akuhifadh kwa kutuelemisha
Maa shaa Allah Sheikh Allah akuhifadhi inshaAllah
allah akupe umri mrefu shekh walid
Darasa zuri shekh kwa kweli unaelimisha inshallah m/mungu akudumishe ktk hilo na akupe umri mrefu
@mariamkhamisi9357
Жыл бұрын
A, alaykumu shehe walidi napataje namba yako kunakitu nataka unifanyie
MASHALLAH shukuran shake kwa mafunzo bora AHLLAHAMDULILAH AHLLAH akupe uhai mrefu INSHAAHLLAH uzidi kutupa mafunzo INSHAAHLLAH
Yaa hayu ya qayuum la ilaha ila anta ....
Shukran sheikh inshaAllah tutajihid Allah atazd kutufanyia wepes biidhnillah
Barak'Allahu fiiQ wa Jazzaka Allahu kheir
Sheikh asiye na malumbano na wenzie yeye ni kufundisha tu Allah amuhifadhi
@DarsaTV.
Жыл бұрын
Amin
sahihi akhui kipenzi changu sheikh wangu allah akulipe kwa kila jema
Allah akujaze kher sheikh! Shukran kwa elmu
Maa shaa Allah...mungu akulipe kheir na ziada zake.
Ma Shaa Allah,Shukran Sheikh walid;Jazzakallahu khayra... Hivi hao watu wanao Dislike Mawaidha muhimu kama hayo sijuinyinyi hata niwatafsiri vipi ? Ni chuki ama ushaitwani?..Mwenyezi Mungu aziongoe nyoyo zao hawajui wayafanyayo.
@DarsaTV.
3 жыл бұрын
yani mtihani sana ila ni kuomba mungu sana
@wardabaruani2828
2 жыл бұрын
Ameen
@othmanally1230
2 жыл бұрын
chuki na kibri tu
@hajigahimbare579
Жыл бұрын
Sio kila Mtu Ni Kipofu wa Macho, wengine ni Vipofu wa akili. ALLAH AWAONGOZE
@hakasikazi9053
Жыл бұрын
Makafiri hao
Mashallah kikubw kufanyia kazi
Barakallahu fiikum wajazaakumullahu khairan.
Shukrani sheikh tunaomba darsa hii izidi kuendelea kwani tunafaidika n mengi
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Mashall mashall mashall ukovizuri sheikh
Mashaallah nishainasa apo Yahayyu yaqayuum
Allah akulinde sana sana nasi Burundi tunakufatiya sana shekh akupe afya duniyani na akhera Inshallah
Allah ibarek sheikh walid
Jazaka allahu kheir sheikh ahsant ❤❤❤
Jazaakallahu khayri sheikh wetu.
allah akujalie inshaallah walagh nimejifunza kwako kitu kikubwa sana naona matokeo allah akulipe ishaalah
Shukran jazakallahu khayr..shaykh wetu kipenzi ...
Masha allaah ujumbe mnzuri shukurani maalim Allaah akuifathi Isha allaah ❤️
MashaAllah Allah akubariki
MashaaAllah MashaaAllah xhekh wetu Allah akupe umri wenye baraka na uendelee kutuelimixha
الله سوف تضاعف لكم من إعطائنا صابون الروح
Mashaallah Allah Ahsante
Ma Shaa Allah...Mafunzo mzri..tumeilmika... Alhaamdulillah
Shukran ostadhi kwa maeaidha madhubuti
Asalam alaikum mashaalah Allah akufanyie wepesi
Jazakkallahul-kheir
MASHAALLAH...shukran
@mwashambamakame4435
3 жыл бұрын
Maashallah, jazaakallah lkheir
Shukran sana sheikh Allah akulipe kheir fi duniya Wal akhera
Allah akupee Afya na akufanyie wepesi wa mambo yako. Shukuran jazillah.
@habibuabdallah795
Жыл бұрын
Y
Mashallah nimejifunza shekhe Allah akulipe heri
Ahsante sana shehe wetu tutajitahidi mawaidha yko tutayafanyia kazi
Jazakallah khayr! Allah akulipe kheri duniani na akhera. Naomba kuuliza swali; hizo surah tatu na maanisha Yasin, Idha Waqaatil waqiah na surah al Mulk naweza soma kabla ya swala ya Afajr? Labda saa kumi hivi. Kwa sie tunao enda kazini mapema baada ya swalat fajr. Shukran
MashaaAllah shukran
MAASHALLAH ALLAH BLESS U INSHAALLAH.
Maashalah mwenyezi mungu akulinde Sheikhe na fitna za shetwani
Masha Allah kwa mafundisho mema. Allah SW akulipe Pepo Yafiridausi
Maashaallah mungu akujalie afya njema Shekhe wetu uzidi kutukumbusha
Allah atuwezeshe yarabi tufanikiwe kwa Neema hiii yarabi🤲🙏
Mashallah!! Alhamdulilah kwa ufundisho! Allah atakupa jazaa yako
Mashallah tabaraka Rahmani
Asalaaam Alaikum warahmatulah naipenda mafunzo yako na hii programme naomba Allah akuzidishie ili tuifaham dini yetu
Shukran jazaakallahu khayra
Shuklan sana sheikh
Mashaallah shukran sheikh
Jazakaallah kheir
Shukran sana shekhe wangu
Ya hayyu ya kayum laila haila anta ×40
@gracymkumba700
2 жыл бұрын
ndugu yangu sio haila (ila anta) toa iyo.ha
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@gracymkumba700 safi grace
Mashallah
Jazaka lwah kheri
Masha Allah God bless you shekh inshallah
Masha Allah
Asante sana kwa ukumbusho Mungu akulipe heri
Najifunza kila siku, alhamdhulilah.
Mashallah 🤲 Allah humabarik
MashaAllah Allah barik
Shukran sheikh kwa ukumbusho Allah akubariki na akuhifadhi
Naomba kuuliza darsa za sheikh zile za kuuliza maswali zinakuwaga lini
Baraka llahu fiqi
@jarajara7859
Жыл бұрын
Maashallah tabaraka Allah
MashaAllah ❤️❤️❤️😍😍😍
Bark'Allahu fikum sheikh
Tunashukuru sana kwamawaidha mazuri yanatulainisha nafsi
Shukuran mashallah nimejifunza
MashaAllah.
حياك الله يا مصوب قلوبنا الشيخ بن شيخ
@MwajabuHussein
Жыл бұрын
Mashaallh
Mashaallah jazakallahu khair
Swallalah Allayhi Wasalam Jazzakumllah Khery
Jazzakallah khaillah shehe
Sheikh Walid usituache na DARSA ZAKO zinatupa manufaa sana
Sawa sheikhe waridi
Mashaallah🤲
ALLAH AKUPE.MAISHA MAREFU SHEHE TUTUMIYE.NAMBA.YAKO YASIM ILI.TUPATE KUFAHAM.MENGI.ZAIDI
Mashaallah Mungu akuhifadhi shekhe walid mawedha yako mazuri nafuwatiliya sana..kutoka Kenya khadija said Nahdi mld
@jarajara7859
Жыл бұрын
Assalamu alykum warhma tuaallah wabrkatuh shukran shekhe mngu akupe wepesi
Allah Akuhifadhi
Shukurani shehe,
maashaallah maashaallah
Jizaalk allh kheyr
Shukrani
Allah akufanyie wepesi
Ya hayu yakayum la ilah ilaanta
Masha Allah mawaith nzuru
Shukran shekh
Jazaaka Allaah
YA ITS TRUE,SALAT B4 WRK,OR ANYTHING TOO!YANI NI HAKI NAKUOENDA MJA WETU ILI ATUJAKUE NEEMA YAJE YA KILA JAMBO AU KITU HATA IWE MKRISTO HUWA HIVYO KWA HIVYO KWAKE HAMNA MPAKA WA DINI AU SHEE SIYO KANISA AU DINI KUWA ETI HUMSAFI LA!NI MATENDO NA PUA HUSIANO WWAKO NA MOLA !
Masha allah
Masha Allah maalim wng
Mashallah barakallah
MashAllah
Asante mungu
Mashaallah