UKHTY SAU - YALOJIFICHA (Official Qaswida Video Lyrics) ♥️👍1080p60
Ойын-сауық
Welcome To The Official KZread Channel For Ukhty Sau
📩 Do you need to make your celebration fun? this is the right time for you.
☎ Call / WhatsApp +255 779 354 988
📍Don't forget to - LIKE 👍 | SHARE 🤗 | COMMENT 💁 | SUBSCRIBE 🤓
Karibu Katika Chaneli Rasmi ya KZread Kwa Ukhty Sau
📩 Je, unahitaji kufanya sherehe yako iwe ya kufurahisha? huu ni wakati muafaka kwako.
☎ Piga / WhatsApp +255 779 354 988
📍Usisahau ku- LIKE 👍 | SHIRIKI 🤗 | MAONI 💁 | SUBSCRIBE 🤓
N:B
FOR COPYRIGHT NOTICE CLAIMS
Please if you have any issue with the content used in my channel or you find something that belongs to you, before you claim it to KZread Kindly send me a direct message through qaswidazetu082@gmail.com or telephone +255 773 451 090 and I will delete them right away. Thanks for your understanding.
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 © 2023 𝑫𝒊𝒓𝒆𝒄𝒕𝒐𝒓 𝑶𝒏𝒆.𝒕 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
Пікірлер: 69
Ukhti Sau Nakupenda kwa akili ya Allah
Mashallah Allah ❤
Mashaallah
Kazi nzur ww uliyo fanikisha
Ahsante ukhti sau kwa ujumbe wa kutukumbusha
Maashallah MASHAALLH hongera sana sana hii yangu MİE
mashaAllah umenigusa sana ukhti sau
MashaAllah❤
Hata mimi imenigusa sana kasida
Malip ni hap hap duniani , kil ck nasem ukhty sau lazm atatutolea qaswida yeny ujumb, maashallah
mashallah qaswida nzri sana
Mashaalah hapo hapo Dada usibadilike kwenda kwenye nyimbo
Mashallah kipnz ❤❤
Mashallah ukhty hii kaswida nzuri sana 😊
Mashaallah mashaallah mashaallah yaani hii kasda imenigusa moyo wangu hongera Ukhti sau nakuhitaji kwenye harusi ya mwanangu naitaka hii kasda
Nakupe ukhty sau hunambaya ila nakunasihi usiimbe nyimbo qaswida zipotele nakuamini Sana hunabaya
Hongera sana ukhti sau kasida imegusa mioyo ya watu allah akulinde na chuki na hasadi za wale wasio penda maendeleo ya wenzao na waimba taarabu
Kaza kamba ukhty hapo umeupiga mwingi sana hongera kwa kazi nzuri ambazo ndo tunazo zimiss
Mashallah❤❤❤❤
gwijiiiiiiiiiii hongera sn kw qasida nzur video imetulia verry verry
Dah 😢hii kasweda imenigusa wallah Allah atusaidie jmn
Hongera sanaa ukhty wangu hii umeua kweli Mungu akuzidishie kipaji zaid
Mashaallah ukhty kazi zako ni nzuri sana mashaallah jitahd uendelee kuchunga maadili ya dini tumia fani kama njia ya kufikisha neno la Allah sio burudani . Namuomba Allah akupe siha wewe na wenzio wote inshaallah
Mashaallah hiyo ndio kaswida
sau nakukubali sana kazimzuri jitahidi kuleta kile shenye ujube mzuri ustazi nasemahapa mashaawha❤❤❤
Ewe mola wetu tusaidie🤲 ujumbe muruwa Allah azidi kukubariki ewe waridi la visiwani
Nakubaliiiii my weyetena ❤ hunambamba ❤
@ummyummy2307
11 ай бұрын
Mashaa Allah,,,,Allah Amuepushe Na Macho Ya Husda, Muishi Miaka Mingi❤❤❤❤
@khamisali9907
11 ай бұрын
Ammina
Hongera ukt sau nakupenda ❤❤❤ hunambaya
❤❤❤
Mashallah
MashaAllah MashaAllah kaswida nzr❤❤❤ ukweli kabisa
Hongera sau ujumbe umefika na upo vzur hii inapendeza kwakwel
@hawawilliam1318
11 ай бұрын
Mashalaah qaswida inaujumbe mzuri sana Allah akulipe kheri ukht Sau ❤️
Mabruuki ya ukhut sau
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
shkrn
Shukriya da swau
mashAllah mashAllah tumekumis uku Kenya utakuja lini❤
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
asnt.. nitfk tu inshllh
MashaAllah Tabarakallah wallah hongera sana ukhty Sau yan maneno yenye msingi mzr wakuzijenga familia zetu Allah akubariki Ameen
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
asnt
Mashallah ukht wngu ❤
Mashaallah allah akujaalie kaz njema akuzidishee ujuz ktk kipaji chako hiii ndo kasida mpenz
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
asnt
Maashaallah huna mbaya mpenz
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
asnt
MHHHH SINA SHAKA KBSA NA UKHTY SAU hp naon km haifiki tarehe
❤🇹🇿🇴🇲
Hatimae imetua niliisubiri kwa hamu mzigo umejaa hauna khitilafu
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
hekoooo mama lao!!
💖Mashaallah 💖
Hii ndo qaswida,,, fanya hv daily chunga usije ukaingia kwenye taarabu mashabik zako tunataka qasida
@siwajibuhassan2924
11 ай бұрын
Kabisa umeongea kitu tulokua tunawategemea kwa kasida sasa niwaimba taarab tungo zimewaishia
@RamadanPaul
11 ай бұрын
@@siwajibuhassan2924.. kwer kabisa
@deoperacc
Күн бұрын
@RamadanPaul Acha ujuaji, ulitaka aimbe vipi? Ninyi ndo mnakatisha watu tamaa hata muziki hamuujui. Mnakuwa watu wa kukosoa kosoa tu. Cha ajabu hujamtolea hata sent 5 kwenda studio. Haya hebu tuelezee, kaswida ikoje na taarabu ikoje?
Qaswida mzur sana mashalla la director ont bwana hujaitendea haki skiript huja ziweka kwanini emu onesha msimamo wako kama director bwana nisome kama director kd only
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
nmekuelew ila ni mbinu tu kwakutoeka vitendo ucjl
Qasda ni nyimbo zilizonasibishwa na dini , Qur - an imekataza mziki na mnanda , hivyo chochote kinachoingia Mziki na Mnanda basi ni kharamu. KIFO KIPO , SIKU YA HUKUMU IPO , DADA ACHA MZIKI , usipende sifa za kijinga ❌
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
ASNT ila vile vile nakunasihi sn nawew kutofatilia masuala yaliokatazwa na dini, kwani hadi umefika ku comment bs nimfatiliaji mzur ila tu hii qasida yng hukuipenda cndio???
@UkhtySauShamsiaMahonda
11 ай бұрын
nimpe dalili na sio utashi kuwa hii imekatazwa au ni haramu.. AYA au Hadithi sahihi
@habiptyomar1532
11 ай бұрын
ukht sau mtu akitaka kukodi muongozo tafadhali
@siwajibuhassan2924
11 ай бұрын
@@habiptyomar1532 namba zipo apo zimeandikwa izo zilizoishia 88
@RamadanPaul
11 ай бұрын
@@UkhtySauShamsiaMahonda achana na maneno ya watu, ukijali utakata tamaa, kama kwake ni halaf bas kwetu ss ni halali, maana tangu mpaka sasa umri miaka 28 ndo nasikia kwake kuwa qaswida ni halam. Waimbaj weng wamepotea kwa sababu ya maneno ya watu. UKHTY SAU, we fan's Love's you more. Usichoke INSHALLAH
Mashaallah