UKHTY SAU | Nampenda DIDA/Napenda UBWABWA/Nampenda JUMA FAKI......

Музыка

Ni muendelezo wa kipindi chetu pendwa kiitwacho SAFARI YETU, ambapo leo katika safari yetu tumepata bahati ya kutembelewa na msomaji wa Qaswida Maarufu Tanzania anaejuilikana kwa jina la UKHTY SAU.
Hapa utajua mengi usioyajua kuhusiana na maisha ya Msanii huyo pamoja na mchakato mzima wa maisha yake kwa upande wa tasnia ya Qaswaida.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia...
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
Usisahau ku SUBSCRIBE | LIKE | KU COMMENTS , ili upate taarifa zote zinazohusiana na Tasnia ya QASDA | MAWAIDHA | NASHEED | TENZI | MATUKIO MBALI MBALI YA KIJAMII , kupitia hapa channel yako pendwa ya IBRAHIM ZANCOM.

Пікірлер: 148

  • @GoodsonZidana-qc7nu
    @GoodsonZidana-qc7nu7 ай бұрын

    Ukty Sauu thanks for nice singing please continue. I love you. God bless you.

  • @kapayakabaya3466
    @kapayakabaya34662 жыл бұрын

    Mimi namkubali sana sau na dida 😘😘😘

  • @almashaaribububu1214
    @almashaaribububu12143 жыл бұрын

    Mashallah UKHTY sau wasia wangu kwako jitahidi kuitunza tasnia ya kaswida Mana wengine wana haribu kaswida sasaivi

  • @othmanally8401
    @othmanally84013 жыл бұрын

    Mashallah ukhty sau nakukubal kinoma hodari sio mchoyo sio mjeuri hongera kwakumpa dida sifa yake mwamwie aje umfundishe kusema na kusoma kaswda yule ukhty Rau

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar54723 жыл бұрын

    Shukuran ukty sau nawapenda wote ila ukty DIDA ndo mama lao hongera zote zmfkiye DIDA wetu wa UKWELI 💯💕

  • @binnahajj496
    @binnahajj4963 жыл бұрын

    Maa shaa Allah nakkubali sana ukht Sau uko vzuri 👌

  • @allyrashid9108
    @allyrashid91083 жыл бұрын

    Mashaallah ukhty sau kwenye sifa umepipa sifa yake mashaallah hongera Allah akuendeleze kipaji chako

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын

    Mwanamke aliyeolewa au mwanamke wa kiislam haruhusiwi kutangaza mapambo yake jitahidini maukhty zangu mcheni Allah na ww kk unaomhoji mdada wa watu maswali mengine umepitiliza ktk mipaka ya mwiislam din imakataza kutangaza aibuzetu ss kwa nn ww unamhoji maswali yakutangaza aibuzake na huyo nimke wamtu msijisahau sana nduguzanguni

  • @aminattai2676
    @aminattai26763 ай бұрын

    Ma sha Allah ni mrembo sanaaa

  • @queenmamy7970
    @queenmamy79703 жыл бұрын

    Mda mchache umejibu sahihi ukhty sau hongera

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh30023 жыл бұрын

    Nakupnda bureeee ukhty sau

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi77563 жыл бұрын

    sauti mashllh siyakufoji, mashaallah. Allah. akufanyie wepes ktk maisha yako

  • @almashaaribububu1214
    @almashaaribububu12143 жыл бұрын

    Kaswida zako nzuriii sanaa unafanya kazi vizuriii jitahid biti zako ziwe izo izo usiwaige wanaopiga mabiti ya taraabu

  • @rashdarashid5811
    @rashdarashid58113 жыл бұрын

    Mashaaallah sau wake 😍😍😍😍😍😍💕💕💕💕💕

  • @princessafrash8757
    @princessafrash87573 жыл бұрын

    Ukhty dida, Ukhty say, Ukhty Azmina, Ukhty mwanancha, Ukhty Asha. Masha Allah nawapenda Sana maukhty msio na viburi Ni wapendwa kwa kila mtu Allah awape kila lenye kher kwenu

  • @fathimalathifa8926
    @fathimalathifa89263 жыл бұрын

    Mashaallah jazakallah kheir

  • @hajrakeke2029
    @hajrakeke20293 жыл бұрын

    mashaaallah kumbe ukhty sau anamtoto mashaaaallah🥰🥰

  • @ismailjuma6928
    @ismailjuma69282 жыл бұрын

    Nampenda ukht sau namenda miamia sila li kam cjaskilza qasda Zake💯💯

  • @rayakhatib4545
    @rayakhatib45453 жыл бұрын

    mashaallh ukhty sau. ..sauti original

  • @salimmasoud2221
    @salimmasoud22213 жыл бұрын

    Hongera Sana Sau na fanya kazi bila kujali maneno yasiyo na tija kwako

  • @ashurasalum758
    @ashurasalum7583 жыл бұрын

    Ukhty Sau upo vzr sna ktk kaswida zako😘 Nakupenda sna😍

  • @zubedaomar5856
    @zubedaomar58563 жыл бұрын

    Mashahallah 😘

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah48763 жыл бұрын

    Dada yupo Perfect sana yaan anajielezea vzur sana maashallah

  • @fatumapama9199
    @fatumapama91993 жыл бұрын

    Mashaallah dada

  • @ibrahimmasatu7582
    @ibrahimmasatu75823 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @mohdalawiychalapes8749
    @mohdalawiychalapes87493 жыл бұрын

    Namkubali sana

  • @bintichausa4744
    @bintichausa47443 жыл бұрын

    MashaAllah 🥰

  • @maryamsalim6285
    @maryamsalim62853 жыл бұрын

    Masha allah

  • @khairatkhamis3743
    @khairatkhamis37433 жыл бұрын

    safi ukhty sau

  • @fatmamohd7273
    @fatmamohd72733 жыл бұрын

    Mashalla Alla

  • @rabiahaji
    @rabiahaji Жыл бұрын

    Interview hainitosh,, mash Allah honger ukhty sauuu, Huna makubwa mwenyewe 😂❤️💞💖

  • @tatuali1464
    @tatuali14643 жыл бұрын

    Mashalha

  • @LatifaLatifa-qj8tz
    @LatifaLatifa-qj8tz3 жыл бұрын

    Tunakupenda saana sau wetu

  • @hamadviatu3204
    @hamadviatu32043 жыл бұрын

    Nakukubali kwa viazi vikuuu

  • @rashidally1149
    @rashidally11493 жыл бұрын

    Ukhty Rauhia alisema hakuna mtu wa kumpa tuzo Zanzibar labda dar wakti anajua kua tasnia ya kaswida ni Zanzibar ndio chimbuko

  • @suleymtumwa6374

    @suleymtumwa6374

    3 жыл бұрын

    😂 duh mgonjwa uyo itkuwa 😂

  • @user-hm7ng9nw1e

    @user-hm7ng9nw1e

    3 жыл бұрын

    Rauhia Kwani unamuana anasoma kasida yy ata atowe pongezi Zanzibar yy anaimba taarabu ety ndio mana amepeleka pongezi zake Dar kwaiyo usimshangae. 😆

  • @shanishamsi9576
    @shanishamsi95763 жыл бұрын

    Mashallah

  • @nadiasilima6185
    @nadiasilima61853 жыл бұрын

    Pend sana ukhty sau allh akuongoz inxhllh

  • @tauhidakhamis717

    @tauhidakhamis717

    3 жыл бұрын

    Kmbe unaitwa siwajibu ,kwnn unajiita sau

  • @ayushiashanty9818
    @ayushiashanty98183 жыл бұрын

    Mashaallah pendeza sana

  • @aliy3303
    @aliy33033 жыл бұрын

    Pongezi pia kwa Okhty Sau. Hakika interview yake ni wazi kua hana majivuno na ni mtu wa watu بنت الناس

  • @ummulbaniinaramadhan6872
    @ummulbaniinaramadhan68723 жыл бұрын

    Mashallah nakupend San dada

  • @user-xk5le5hw5x
    @user-xk5le5hw5x Жыл бұрын

    I❤ ukhty Sau

  • @nassrasuleiman630
    @nassrasuleiman6303 жыл бұрын

    Maa shàa Allah penda sana watu ambao hawana majigambo

  • @saidkipaji6285
    @saidkipaji62853 жыл бұрын

    Ukhty Asha uko vizury sana

  • @nasibmohamed5156
    @nasibmohamed51563 жыл бұрын

    Masha Allah ukty Mungu azidi kukupa umri wa heri katika hii dunia..

  • @ashaissa3746
    @ashaissa37463 жыл бұрын

    Jamani nampenda huyu dada achatuu Allah amfanyie wepec katika Mambo yake

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Ameen...

  • @lkshmykomar5472

    @lkshmykomar5472

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @bintabdul8481
    @bintabdul84813 жыл бұрын

    Masha Allah ukht sau hu na choy na unajua kusom kasd vzr sn hufoj saut m nawz Sem ktk wasomaj was kasd kW wnwk BC n ukht sau 2kiach ushbk wa chuki au ktokn na umaruf wa m2 BC ukht sau yuk juu sn

  • @hemedshaban2989

    @hemedshaban2989

    3 жыл бұрын

    U

  • @mwanaidikhamis8223
    @mwanaidikhamis82233 жыл бұрын

    Mashallah ukty sau

  • @rashidally1149
    @rashidally11493 жыл бұрын

    Mwenzako alisema Dida sio chochote

  • @suleymtumwa6374

    @suleymtumwa6374

    3 жыл бұрын

    Duh nani uyo alosema ivyo

  • @allyrashid9108

    @allyrashid9108

    3 жыл бұрын

    @@suleymtumwa6374 ukhty rauhia

  • @nassrasuleiman630

    @nassrasuleiman630

    3 жыл бұрын

    Ubinafsi tu umemkaa

  • @sajmaally3105
    @sajmaally31053 жыл бұрын

    Tunaomba na interview ya dida

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Sawa usijal kwa ilooo...

  • @queenmamy7970
    @queenmamy79703 жыл бұрын

    Mashallah lzma dyda apewe sifa zke endelea kufata nyayo zke utafika mbli

  • @allyrashid9108

    @allyrashid9108

    3 жыл бұрын

    Queen mumy utapata soda m By Asyara

  • @ismailjuma6928
    @ismailjuma69282 жыл бұрын

    I love you ukhy sau💖💖💖

  • @aliy3303
    @aliy33033 жыл бұрын

    Mtangazaji mufikie lengo zuri la kazi yenu inshlh na masuali yenu yaende kwenye dini sanna koz hao ni waimbaji wa Qaswida zenye mfumo wa dini

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Insha'Allah kheriii...

  • @tauhidakhamis717
    @tauhidakhamis7173 жыл бұрын

    Jmn mabanati wa aqaz nawo wahojiwe

  • @salmaidrissa8332
    @salmaidrissa83322 жыл бұрын

    Mashalla

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman54773 жыл бұрын

    ❤️❤️👍🙏

  • @mariammganga6607
    @mariammganga66073 жыл бұрын

    Mashallha ♥️🙏 I love her 👌♥️🙏🥰🥰

  • @mtumwamohamed4032

    @mtumwamohamed4032

    3 жыл бұрын

    Ukhty sau nampenda cn na kasida zke pia nizipenda cabbu ansoma vzr cn kasida zke nazipenda mno hongera ukhty Sau mungu akuengzee kpji katika Nazi yke

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    @@mtumwamohamed4032 Ameen...

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    Unanufurahisha

  • @zuwenatabu9176
    @zuwenatabu91763 жыл бұрын

    Usimsahau JUMA FAKI mbon ni Wa mwanz kwa wanaume

  • @saidjuma6212
    @saidjuma62123 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @vicentealan2684

    @vicentealan2684

    2 жыл бұрын

    i know im asking randomly but does anybody know of a tool to log back into an Instagram account? I stupidly forgot my account password. I love any assistance you can offer me

  • @maximiliancassius6300

    @maximiliancassius6300

    2 жыл бұрын

    @Vicente Alan Instablaster =)

  • @saidkipaji6285
    @saidkipaji62853 жыл бұрын

    Nipo mwanza natamani uje ukhty Asha

  • @kautharali9731
    @kautharali97313 жыл бұрын

    Mashallah ukhty Sau umeitendea haki interview big up

  • @user-xk5le5hw5x
    @user-xk5le5hw5x Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @AmadKAly-gs8or
    @AmadKAly-gs8or2 жыл бұрын

    Mahallah

  • @suleimansule5278
    @suleimansule52783 жыл бұрын

    Mashallah uko vzuri

  • @ayshamsanif578

    @ayshamsanif578

    3 жыл бұрын

    Mashalllah

  • @sheikhsaid4108
    @sheikhsaid41083 жыл бұрын

    Tuletee na ostadh SALEH waqamariya nae yuko vizuri

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Sawa usijal kwa ilooo...

  • @queenmamy7970

    @queenmamy7970

    3 жыл бұрын

    Mletw nassor el rikesh

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    @@queenmamy7970 Sawa usijal...

  • @user-hm7ng9nw1e
    @user-hm7ng9nw1e3 жыл бұрын

    Upo vizur ukhty sau hora kwa kutuelewesha kuwa ww ni mwana ndoa

  • @rajababdi9688
    @rajababdi96883 жыл бұрын

    Ibra tuzogezee ukhty stumai jamanii

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Sawa usijali

  • @pilichumu9331
    @pilichumu93313 жыл бұрын

    Miye nampenda ukht sau maana wanakuwa wanajiona sana ila huyu na dida wapo vizur ia waliyobakiy wote hawajuw

  • @othmanally8401
    @othmanally84013 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯💯💯👊🔥

  • @masoudkhamis5626
    @masoudkhamis56263 жыл бұрын

    Mmmmhhhhh

  • @rayambarouk9972
    @rayambarouk99723 жыл бұрын

    Napenda jinsi unavojib hadi raha binadam gan aliekuwa hapendi kula 😂

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah48763 жыл бұрын

    Maashallah hzii ndo interview sasa siyo yule sijui rauhia analopoka tu kama mwehuu😅😅😅😅

  • @zainabkhamis813

    @zainabkhamis813

    3 жыл бұрын

    Hmmm!

  • @sadraaly3410
    @sadraaly34103 жыл бұрын

    Eti msanii mwenzangu, kumbe ni wasanii mnajijua sio maukht

  • @BakariSilima-jy3ss
    @BakariSilima-jy3ss3 ай бұрын

    Si vyema kwa mwanaadamu au msanii kjjitukuza nafsi yake nawe kwa hilo halipo

  • @mjombaamadodo9808
    @mjombaamadodo98083 жыл бұрын

    Kaka unamaswali du!!

  • @hemednassour4763
    @hemednassour47633 жыл бұрын

    Muko vizuri sana ila mubadilishe location munapowahoji naona sana munatumia maduka ya nguo

  • @mimiadam9156
    @mimiadam91563 жыл бұрын

    Nampenda ukhty sau na madrassatul shamsiya mahonda🥰🥰

  • @nurdinsalimu9219
    @nurdinsalimu92193 жыл бұрын

    Mm nampenda sau ntak nimuoe nimempnda Sana'a mfikishie salamu

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Ukiskiliza Interview yote kasema tayar ashaolewa na ana mtoto 1...

  • @mtumwamohamed4032

    @mtumwamohamed4032

    3 жыл бұрын

    @@ibrahimzancom vp

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    @@mtumwamohamed4032 Safi

  • @nurdinsalimu9219

    @nurdinsalimu9219

    3 жыл бұрын

    Nlkua sjaskilza ytee nilimuelewaaa mpe hongeraa zakeee

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    @@nurdinsalimu9219 Sawa...

  • @timesaid5504
    @timesaid5504 Жыл бұрын

    Ukhty sau mm napenda kusoma kaswida ila sijawahi kusoma kaswida za vinanda ilachuoni nasoma hadi maulidi makubwa vp nikikufuata utanikubali nipo Pemba

  • @kautharali8134
    @kautharali81343 жыл бұрын

    Una fanya kz nzr kubw mashaallah

  • @yusufumalela7517

    @yusufumalela7517

    3 жыл бұрын

    Nakukubali mno .yaani unapokuwa stejin tu nilijua hauna majivuno nikakupenda buree wala hauna mashauz na kingine unavojiweka simple co kujipodoo mpaka kero.mama rama from mtwara

  • @hamadhaji1623
    @hamadhaji16233 жыл бұрын

    Hongera zako mtangazaji kwanza zapili zifike kwake ukht sau hongera napia tunaomba hizi interview uzifanye wew mana uko vizuri kuliko wote wa Ibrahim zanko tuleteni dyda

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Sawa usijali...

  • @yusufumalela7517

    @yusufumalela7517

    3 жыл бұрын

    Umlete bhana dyda uyo

  • @husnaabdallah9767
    @husnaabdallah97673 жыл бұрын

    Next interview plz tunaomba ukhty Dida

  • @KhadijaAli-cj7gn
    @KhadijaAli-cj7gn Жыл бұрын

    Mm nahitaj kufanya kaz na ww ukhty

  • @zuwenatabu9176
    @zuwenatabu91763 жыл бұрын

    MtanGazaj unaboa ssana maswali gani hayo hayan hatta mssimso

  • @suleymtumwa6374
    @suleymtumwa63743 жыл бұрын

    Kasda zake ukhty sau zinapatikana channel gani?

  • @mamymully4823

    @mamymully4823

    3 жыл бұрын

    Direct onet

  • @user-hm7ng9nw1e
    @user-hm7ng9nw1e3 жыл бұрын

    Tuleteeni na ukhty Dida

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Usijali kaa tyr soon

  • @user-hm7ng9nw1e

    @user-hm7ng9nw1e

    3 жыл бұрын

    Inshallah

  • @jedunajeduna1806

    @jedunajeduna1806

    2 жыл бұрын

    Tureteeni dida jamani

  • @queenmamy7970
    @queenmamy79703 жыл бұрын

    Mashallah nkupenda bure ukhty sau hauna choyo n huna hian mashallah

  • @allyrashid9108

    @allyrashid9108

    3 жыл бұрын

    Kabisa queen mumy 😍😍

  • @queenmamy7970

    @queenmamy7970

    3 жыл бұрын

    Yeah kajib kwa haki n alie n haki yke kapewa

  • @queenmamy7970

    @queenmamy7970

    3 жыл бұрын

    Skuzote lzma mtu umpe sifa yke tu htkm iweje

  • @queenmamy7970

    @queenmamy7970

    3 жыл бұрын

    @@allyrashid9108 watake wasitake dyda ndo jemedar wa mabanat

  • @allyrashid9108

    @allyrashid9108

    3 жыл бұрын

    Kabisa iko love kwa sau

  • @fatmakhamis7876
    @fatmakhamis78763 жыл бұрын

    Siku mkimuhoji Diyda tuwekeeni chart za live

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Sawa usijali

  • @haysam8910

    @haysam8910

    3 жыл бұрын

    Upon vzr

  • @zanmedia5225
    @zanmedia52253 жыл бұрын

    Mtangazaji ajikaze kidoogo ila naimani atakaa sawa huu ni mwenzo tu, na ukht Sau nae bado kidogo hajakua mwenye kujielezea vizuri

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Sawa Asante kwa ushauri...

  • @zanmedia5225

    @zanmedia5225

    3 жыл бұрын

    @@bintabdul8481 hujui unachokiongea ndo mana ila ucjali 🤙

  • @hamadhaji1623

    @hamadhaji1623

    3 жыл бұрын

    Skiliza wew ujue kama wazanzibar hawako na shobo za kamera kwaiyo kitu kigeni hicho hofu lazima mtangazaji uko sawa sana tunakuelewa

  • @khalidhassan906

    @khalidhassan906

    3 жыл бұрын

    Co ukhty sau shida muandishi mwenyewe hayupo vzr ktk kuulz maswal

  • @khalidhassan906

    @khalidhassan906

    3 жыл бұрын

    Kwel

  • @suleymtumwa6374
    @suleymtumwa63743 жыл бұрын

    Hiyo kasda ya udhalilishaji naipataje?

  • @mamymully4823

    @mamymully4823

    3 жыл бұрын

    Chanel direct onet

  • @aziziabdallah5064

    @aziziabdallah5064

    3 жыл бұрын

    Kama hajaolewa mm namtaka nije kuoa

  • @ayoubali6149
    @ayoubali61493 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Ukhty Sau hauna majigambo 👌👌, tuleteeni Aqaz wanawake

  • @ibrahimzancom

    @ibrahimzancom

    3 жыл бұрын

    Usijal watakujaa...

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    3 жыл бұрын

    @@ibrahimzancom in shaa Allah

  • @saidamiry820
    @saidamiry8202 жыл бұрын

    Mashaallah

Келесі