UKHTY SAU | Nampenda DIDA/Napenda UBWABWA/Nampenda JUMA FAKI......
Музыка
Ni muendelezo wa kipindi chetu pendwa kiitwacho SAFARI YETU, ambapo leo katika safari yetu tumepata bahati ya kutembelewa na msomaji wa Qaswida Maarufu Tanzania anaejuilikana kwa jina la UKHTY SAU.
Hapa utajua mengi usioyajua kuhusiana na maisha ya Msanii huyo pamoja na mchakato mzima wa maisha yake kwa upande wa tasnia ya Qaswaida.
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia...
Whatsapp. +255772285543
Call. +255772285543
Usisahau ku SUBSCRIBE | LIKE | KU COMMENTS , ili upate taarifa zote zinazohusiana na Tasnia ya QASDA | MAWAIDHA | NASHEED | TENZI | MATUKIO MBALI MBALI YA KIJAMII , kupitia hapa channel yako pendwa ya IBRAHIM ZANCOM.
Пікірлер: 148
Ukty Sauu thanks for nice singing please continue. I love you. God bless you.
Mimi namkubali sana sau na dida 😘😘😘
Mashallah UKHTY sau wasia wangu kwako jitahidi kuitunza tasnia ya kaswida Mana wengine wana haribu kaswida sasaivi
Mashallah ukhty sau nakukubal kinoma hodari sio mchoyo sio mjeuri hongera kwakumpa dida sifa yake mwamwie aje umfundishe kusema na kusoma kaswda yule ukhty Rau
Shukuran ukty sau nawapenda wote ila ukty DIDA ndo mama lao hongera zote zmfkiye DIDA wetu wa UKWELI 💯💕
Maa shaa Allah nakkubali sana ukht Sau uko vzuri 👌
Mashaallah ukhty sau kwenye sifa umepipa sifa yake mashaallah hongera Allah akuendeleze kipaji chako
Mwanamke aliyeolewa au mwanamke wa kiislam haruhusiwi kutangaza mapambo yake jitahidini maukhty zangu mcheni Allah na ww kk unaomhoji mdada wa watu maswali mengine umepitiliza ktk mipaka ya mwiislam din imakataza kutangaza aibuzetu ss kwa nn ww unamhoji maswali yakutangaza aibuzake na huyo nimke wamtu msijisahau sana nduguzanguni
Ma sha Allah ni mrembo sanaaa
Mda mchache umejibu sahihi ukhty sau hongera
Nakupnda bureeee ukhty sau
sauti mashllh siyakufoji, mashaallah. Allah. akufanyie wepes ktk maisha yako
Kaswida zako nzuriii sanaa unafanya kazi vizuriii jitahid biti zako ziwe izo izo usiwaige wanaopiga mabiti ya taraabu
Mashaaallah sau wake 😍😍😍😍😍😍💕💕💕💕💕
Ukhty dida, Ukhty say, Ukhty Azmina, Ukhty mwanancha, Ukhty Asha. Masha Allah nawapenda Sana maukhty msio na viburi Ni wapendwa kwa kila mtu Allah awape kila lenye kher kwenu
Mashaallah jazakallah kheir
mashaaallah kumbe ukhty sau anamtoto mashaaaallah🥰🥰
Nampenda ukht sau namenda miamia sila li kam cjaskilza qasda Zake💯💯
mashaallh ukhty sau. ..sauti original
Hongera Sana Sau na fanya kazi bila kujali maneno yasiyo na tija kwako
Ukhty Sau upo vzr sna ktk kaswida zako😘 Nakupenda sna😍
Mashahallah 😘
Dada yupo Perfect sana yaan anajielezea vzur sana maashallah
Mashaallah dada
Mashaallah
Namkubali sana
MashaAllah 🥰
Masha allah
safi ukhty sau
Mashalla Alla
Interview hainitosh,, mash Allah honger ukhty sauuu, Huna makubwa mwenyewe 😂❤️💞💖
Mashalha
Tunakupenda saana sau wetu
Nakukubali kwa viazi vikuuu
Ukhty Rauhia alisema hakuna mtu wa kumpa tuzo Zanzibar labda dar wakti anajua kua tasnia ya kaswida ni Zanzibar ndio chimbuko
@suleymtumwa6374
3 жыл бұрын
😂 duh mgonjwa uyo itkuwa 😂
@user-hm7ng9nw1e
3 жыл бұрын
Rauhia Kwani unamuana anasoma kasida yy ata atowe pongezi Zanzibar yy anaimba taarabu ety ndio mana amepeleka pongezi zake Dar kwaiyo usimshangae. 😆
Mashallah
Pend sana ukhty sau allh akuongoz inxhllh
@tauhidakhamis717
3 жыл бұрын
Kmbe unaitwa siwajibu ,kwnn unajiita sau
Mashaallah pendeza sana
Pongezi pia kwa Okhty Sau. Hakika interview yake ni wazi kua hana majivuno na ni mtu wa watu بنت الناس
Mashallah nakupend San dada
I❤ ukhty Sau
Maa shàa Allah penda sana watu ambao hawana majigambo
Ukhty Asha uko vizury sana
Masha Allah ukty Mungu azidi kukupa umri wa heri katika hii dunia..
Jamani nampenda huyu dada achatuu Allah amfanyie wepec katika Mambo yake
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Ameen...
@lkshmykomar5472
3 жыл бұрын
Amina
Masha Allah ukht sau hu na choy na unajua kusom kasd vzr sn hufoj saut m nawz Sem ktk wasomaj was kasd kW wnwk BC n ukht sau 2kiach ushbk wa chuki au ktokn na umaruf wa m2 BC ukht sau yuk juu sn
@hemedshaban2989
3 жыл бұрын
U
Mashallah ukty sau
Mwenzako alisema Dida sio chochote
@suleymtumwa6374
3 жыл бұрын
Duh nani uyo alosema ivyo
@allyrashid9108
3 жыл бұрын
@@suleymtumwa6374 ukhty rauhia
@nassrasuleiman630
3 жыл бұрын
Ubinafsi tu umemkaa
Tunaomba na interview ya dida
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Sawa usijal kwa ilooo...
Mashallah lzma dyda apewe sifa zke endelea kufata nyayo zke utafika mbli
@allyrashid9108
3 жыл бұрын
Queen mumy utapata soda m By Asyara
I love you ukhy sau💖💖💖
Mtangazaji mufikie lengo zuri la kazi yenu inshlh na masuali yenu yaende kwenye dini sanna koz hao ni waimbaji wa Qaswida zenye mfumo wa dini
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Insha'Allah kheriii...
Jmn mabanati wa aqaz nawo wahojiwe
Mashalla
❤️❤️👍🙏
Mashallha ♥️🙏 I love her 👌♥️🙏🥰🥰
@mtumwamohamed4032
3 жыл бұрын
Ukhty sau nampenda cn na kasida zke pia nizipenda cabbu ansoma vzr cn kasida zke nazipenda mno hongera ukhty Sau mungu akuengzee kpji katika Nazi yke
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
@@mtumwamohamed4032 Ameen...
Unanufurahisha
Usimsahau JUMA FAKI mbon ni Wa mwanz kwa wanaume
Maashaallah
@vicentealan2684
2 жыл бұрын
i know im asking randomly but does anybody know of a tool to log back into an Instagram account? I stupidly forgot my account password. I love any assistance you can offer me
@maximiliancassius6300
2 жыл бұрын
@Vicente Alan Instablaster =)
Nipo mwanza natamani uje ukhty Asha
Mashallah ukhty Sau umeitendea haki interview big up
❤❤❤❤❤
Mahallah
Mashallah uko vzuri
@ayshamsanif578
3 жыл бұрын
Mashalllah
Tuletee na ostadh SALEH waqamariya nae yuko vizuri
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Sawa usijal kwa ilooo...
@queenmamy7970
3 жыл бұрын
Mletw nassor el rikesh
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
@@queenmamy7970 Sawa usijal...
Upo vizur ukhty sau hora kwa kutuelewesha kuwa ww ni mwana ndoa
Ibra tuzogezee ukhty stumai jamanii
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Sawa usijali
Miye nampenda ukht sau maana wanakuwa wanajiona sana ila huyu na dida wapo vizur ia waliyobakiy wote hawajuw
❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯💯💯👊🔥
Mmmmhhhhh
Napenda jinsi unavojib hadi raha binadam gan aliekuwa hapendi kula 😂
Maashallah hzii ndo interview sasa siyo yule sijui rauhia analopoka tu kama mwehuu😅😅😅😅
@zainabkhamis813
3 жыл бұрын
Hmmm!
Eti msanii mwenzangu, kumbe ni wasanii mnajijua sio maukht
Si vyema kwa mwanaadamu au msanii kjjitukuza nafsi yake nawe kwa hilo halipo
Kaka unamaswali du!!
Muko vizuri sana ila mubadilishe location munapowahoji naona sana munatumia maduka ya nguo
Nampenda ukhty sau na madrassatul shamsiya mahonda🥰🥰
Mm nampenda sau ntak nimuoe nimempnda Sana'a mfikishie salamu
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Ukiskiliza Interview yote kasema tayar ashaolewa na ana mtoto 1...
@mtumwamohamed4032
3 жыл бұрын
@@ibrahimzancom vp
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
@@mtumwamohamed4032 Safi
@nurdinsalimu9219
3 жыл бұрын
Nlkua sjaskilza ytee nilimuelewaaa mpe hongeraa zakeee
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
@@nurdinsalimu9219 Sawa...
Ukhty sau mm napenda kusoma kaswida ila sijawahi kusoma kaswida za vinanda ilachuoni nasoma hadi maulidi makubwa vp nikikufuata utanikubali nipo Pemba
Una fanya kz nzr kubw mashaallah
@yusufumalela7517
3 жыл бұрын
Nakukubali mno .yaani unapokuwa stejin tu nilijua hauna majivuno nikakupenda buree wala hauna mashauz na kingine unavojiweka simple co kujipodoo mpaka kero.mama rama from mtwara
Hongera zako mtangazaji kwanza zapili zifike kwake ukht sau hongera napia tunaomba hizi interview uzifanye wew mana uko vizuri kuliko wote wa Ibrahim zanko tuleteni dyda
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Sawa usijali...
@yusufumalela7517
3 жыл бұрын
Umlete bhana dyda uyo
Next interview plz tunaomba ukhty Dida
Mm nahitaj kufanya kaz na ww ukhty
MtanGazaj unaboa ssana maswali gani hayo hayan hatta mssimso
Kasda zake ukhty sau zinapatikana channel gani?
@mamymully4823
3 жыл бұрын
Direct onet
Tuleteeni na ukhty Dida
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Usijali kaa tyr soon
@user-hm7ng9nw1e
3 жыл бұрын
Inshallah
@jedunajeduna1806
2 жыл бұрын
Tureteeni dida jamani
Mashallah nkupenda bure ukhty sau hauna choyo n huna hian mashallah
@allyrashid9108
3 жыл бұрын
Kabisa queen mumy 😍😍
@queenmamy7970
3 жыл бұрын
Yeah kajib kwa haki n alie n haki yke kapewa
@queenmamy7970
3 жыл бұрын
Skuzote lzma mtu umpe sifa yke tu htkm iweje
@queenmamy7970
3 жыл бұрын
@@allyrashid9108 watake wasitake dyda ndo jemedar wa mabanat
@allyrashid9108
3 жыл бұрын
Kabisa iko love kwa sau
Siku mkimuhoji Diyda tuwekeeni chart za live
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Sawa usijali
@haysam8910
3 жыл бұрын
Upon vzr
Mtangazaji ajikaze kidoogo ila naimani atakaa sawa huu ni mwenzo tu, na ukht Sau nae bado kidogo hajakua mwenye kujielezea vizuri
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Sawa Asante kwa ushauri...
@zanmedia5225
3 жыл бұрын
@@bintabdul8481 hujui unachokiongea ndo mana ila ucjali 🤙
@hamadhaji1623
3 жыл бұрын
Skiliza wew ujue kama wazanzibar hawako na shobo za kamera kwaiyo kitu kigeni hicho hofu lazima mtangazaji uko sawa sana tunakuelewa
@khalidhassan906
3 жыл бұрын
Co ukhty sau shida muandishi mwenyewe hayupo vzr ktk kuulz maswal
@khalidhassan906
3 жыл бұрын
Kwel
Hiyo kasda ya udhalilishaji naipataje?
@mamymully4823
3 жыл бұрын
Chanel direct onet
@aziziabdallah5064
3 жыл бұрын
Kama hajaolewa mm namtaka nije kuoa
Mashaallah
Ukhty Sau hauna majigambo 👌👌, tuleteeni Aqaz wanawake
@ibrahimzancom
3 жыл бұрын
Usijal watakujaa...
@khadijahali4837
3 жыл бұрын
@@ibrahimzancom in shaa Allah
Mashaallah