UKE WENZA~ SAMI HAJI DAU & MWAPOMBE

Ойын-сауық

Old is gold taarab

Пікірлер: 189

  • @karimahsalim2722
    @karimahsalim27223 жыл бұрын

    Allah tunakuomba irudishe znz ya zamani yenye kheshma,upendo,udugu na mwema

  • @salwarashid3921
    @salwarashid39213 жыл бұрын

    Nimesoma comments zote, raha sana huu mjadala juu ya huu wimbo Sweet home sweet. I love it

  • @rasykizanjbari4996
    @rasykizanjbari49964 жыл бұрын

    Yaani inasikitisha sana hii nyimbo mpka huruma nyimbo zaman tu ndo nzur zenye mashairi mazur

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal0076511 ай бұрын

    Ccm wameiua zanzibar kwa siasa chafu na za kibaguzi mpka leo 2023 kuna ubaguzi ulopindukia kila kitu kimekua kinyume nyume wazanzibar wengi wamekimbia nchi kwa mashaka ya ccm haiba ya nchi yoote imetoweka ukiwa njee unatamani kurudi zanzibar lkn ukifika roho yote inafujika

  • @saidmasoud4550
    @saidmasoud45505 жыл бұрын

    Allah azilaze roho zao pema peponi amina

  • @apocalypsematrix9252

    @apocalypsematrix9252

    Жыл бұрын

    ARE THEY ALL PASSED AWAY?

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    @@apocalypsematrix9252 yes!

  • @mkadammkadam

    @mkadammkadam

    5 ай бұрын

    No Bi Mwapombe Hiari still is alive

  • @zahramunir8596
    @zahramunir85966 жыл бұрын

    Shituko muhibu pendo linaliza pendo lenye sumu lenye ukewenza.! is true.!!

  • @hassansugha5935

    @hassansugha5935

    4 жыл бұрын

    Zahra ucwe na wasi hta huyu mwapombe mwisho alikubali

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    2 жыл бұрын

    @@hassansugha5935 lol!😀

  • @nuwaymsalim-zl8lt

    @nuwaymsalim-zl8lt

    Жыл бұрын

    Lina kheri hilo

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Жыл бұрын

    2023 /5/14 bado ipo poa sana ukewenza nishida sana mm napitia mengi kwenye huwo ukeweza Allah atufanyia wepesi

  • @josephtsumatchidzao3434
    @josephtsumatchidzao3434 Жыл бұрын

    Napenda sana wimbo huu. Natamani video yake niwaone wenyewe.

  • @sean29787
    @sean2978712 жыл бұрын

    Wakati ule wa kula wali wa mchana saa 8. nilazima tusikilize nyimbo hizi na kupata burudani njema.. wow. Love Zanzibar but Politics kill our country and now we are really back world with no archiement..

  • @karimahsalim2722

    @karimahsalim2722

    3 жыл бұрын

    Wali wa maji na mchuzi 😢

  • @husseinjussa9575
    @husseinjussa95754 жыл бұрын

    Nyimbo hii napenda kuisikiliza sana jinsi wanavyo jibizana kwa utaratibu bila hasira

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    Wa sasa hivi hapo itakuwa balaa..!😅😅😅

  • @saidmassoud1445
    @saidmassoud14453 жыл бұрын

    Hizi ndio nyimbo safi sanaaaaa

  • @zulachama1067
    @zulachama10674 жыл бұрын

    Zilipendwa na zikapendeza# uke wenza hazina patamu hapo.#254 Kenya,who is next watching now let us much together.

  • @alyaziyaalabri8
    @alyaziyaalabri82 жыл бұрын

    Jamani Bora aowe mkewenza Kwa Mimi kuliko zinaa

  • @bukuratanchande4588
    @bukuratanchande45884 жыл бұрын

    Hii haswa ndio taarabu og

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma84574 жыл бұрын

    asoupenda uke wenza ahame uislamu maana iyo nisharia ya Allah haifutuki haipingiki

  • @mushken65

    @mushken65

    4 жыл бұрын

    Umekosea.In real world this does not work today. Ukitaka kubomoa nyumba yako leta mke wapili unatniambia kama hilo lawezekana kugawanya roho yako mara mbili. Hizi tuu ni tamaa zakimwili na dhiki kwako na watoto.Hata mke wakwanza amekataa

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    @@mushken65 nadhani unaangalia upande wako tu'angalia upande wa mwenzio pia utajua, na ikiwa mke wewe mkubwa ndo shida utaniambia nisiowe? Kuongeza mke Sio tamaa tu ya mume, hata wake wanasababisha waongezewe mwenza!kama hutoshelezi nisiowe!huniridhishi na bado unipangie, ili hali pesa niyangu'hio ni roho zenu mbaya na chuki na choyo, uislam hauko hivyo

  • @hamidomar7474
    @hamidomar74743 жыл бұрын

    JAMANI MUELEWE WANAWAKE WAROHO NDIYOMAANA HAWATAKI UKEWENZA

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    2 жыл бұрын

    Hamid Omar@Mmhh! Nawee

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    Swadakta! Waroho na choyo, lkn pia hawayawezi mambo saa zote wako busy na dunia na sio mumewe

  • @361tanzania
    @361tanzania2 жыл бұрын

    Mashallah. Zanzibar kumenoga

  • @athumanimgumia7209
    @athumanimgumia72093 ай бұрын

    hizi ndizo hasa dhahabu nakumbuka mbali sana, alhamdulilah

  • @wema_hauozi
    @wema_hauozi6 жыл бұрын

    Ni sunna ya Mtume Muhammad (sawa).....hii ni haki yetu

  • @mushken65

    @mushken65

    4 жыл бұрын

    Jaribu wewe unaniambia kama yawezekana leoi hayo maneno, wake wanne

  • @abdullakhamis777

    @abdullakhamis777

    4 ай бұрын

    Na Allah katupa hiyo fursa katika kitabu kitukufu Cha Quran

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 Жыл бұрын

    1970's to 2023 still on 🔥

  • @thamranassor2862
    @thamranassor28624 жыл бұрын

    Any one in 2020 😂

  • @nassirnassor8603

    @nassirnassor8603

    4 жыл бұрын

    It's Iam in 2020

  • @2000mamos
    @2000mamos12 жыл бұрын

    ukisikia hizi na wakati wa chuoni unaona huooo, unaanza kuona muda kama unakwenda mbio.

  • @bikomboali7342

    @bikomboali7342

    4 жыл бұрын

    ulikuwa.wasoma.chuo cha.wap wakat uo

  • @nereah9972

    @nereah9972

    3 жыл бұрын

    anamaanisha madrassa

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    2 жыл бұрын

    Amour Tajo@lol!😀

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    2 жыл бұрын

    @@bikomboali7342 Ni Madrasa hiyo inakua Zanzibar wakati wa mchana pale saa nane ndio kuna kipindi kwenye radio zinatiwa hizi nyimbo wengi wetu sisi hizi nyimbo zinatukumbusha muda huo wa mchana tunakula kuharakia Madrasa na comments nyingi wanao comments wanaandika kukumbuka muda huo.😀

  • @fatmababaz6573
    @fatmababaz65739 жыл бұрын

    Jamani uke wenza raha mukielewana,mume mutamliwaza.

  • @allioally881

    @allioally881

    7 жыл бұрын

    Fatma babaz

  • @allioally881

    @allioally881

    7 жыл бұрын

    Fatma babaz kweli UPO wapi fatii

  • @abdullakhamis777

    @abdullakhamis777

    4 ай бұрын

    Hakika

  • @ameirameir4930
    @ameirameir49306 жыл бұрын

    dah mda huo saa nanae mchana kijuzuu kwapani na tausi mnene ndani ya kijuzuu tunaelekea chuoni kwa bichumu magomeni ah zile nyakati.... raha tupu watu walikua na kuhurumiana na kupendana

  • @ahmedyoung7300

    @ahmedyoung7300

    6 жыл бұрын

    Ameir Ameir ,,hahahahahha umenikumbusha mbali sana

  • @ummyleylahadya5202

    @ummyleylahadya5202

    5 жыл бұрын

    Hahahaa..hivi wale tausi wapogo tena?

  • @moussaalast4950

    @moussaalast4950

    4 жыл бұрын

    Sio saa hizi ushenzi mtupu

  • @moussaalast4950

    @moussaalast4950

    4 жыл бұрын

    Halafu tunadanganyana wakakuwa eti......:-)) :-)) :-)) :-)) :-))

  • @saheelameir4313

    @saheelameir4313

    3 жыл бұрын

    Hivi wale taus wanazaa kweli?

  • @SuperJohra
    @SuperJohra11 жыл бұрын

    @ rehema chuma asante kwa kunielewa...yaliomkuta ndio anayafahamu zaidi.@Mribrahimaa, mambo ya kupokezana kazi ni ya awali, wake wa sikuhizi hakuna moja la muhimu...kurushana roho tu.

  • @karimahsalim2722

    @karimahsalim2722

    3 жыл бұрын

    Mi ukewenzq siutaki Abadan tena kizazi hiki ni kifo

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    2 жыл бұрын

    karimah Salim@Nimecheka kwa kweli uke wenza mtihani kusema kweli.

  • @hilalhemed6376
    @hilalhemed637611 жыл бұрын

    mwenye asili haach asili yake huu ndio ukweli

  • @amournassor3804

    @amournassor3804

    6 жыл бұрын

    Rahaaaaaaaaaaa

  • @alifbe4395

    @alifbe4395

    2 жыл бұрын

    Naomba namba yako ya watsup mkuu

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    2 жыл бұрын

    Hilal Hemed@Asili ya nini? Nyimbo hizi za taarab asili or ya kuowa mke zaidi ya mmoja huo uke wenza?

  • @suleimansaid7944
    @suleimansaid79446 жыл бұрын

    ilove zanzibar yani nikiskiliza hizi nyimb moyo wagu hufarajika san

  • @nassirnassor8603
    @nassirnassor86033 жыл бұрын

    A'm listening this 2021 lovely song, lovely polygamy

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Жыл бұрын

    Maneno mazuri lugha safi na kila kitu mutua rahaaa

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 Жыл бұрын

    Natural Coast music without any impurity

  • @Better_Planet
    @Better_Planet7 жыл бұрын

    Nyimbo hii ni kuhusu kutaka siasa ya vyama vyengi, Ijapo kuwa siasa ya vyama vyengi imekubalika visiwani kwa shingo upande, mke wa kwanza amekua mgumu kumpa mke wa pili zamu.

  • @asyasalum1354

    @asyasalum1354

    7 жыл бұрын

    huo in mfano tosha kwa wanaotaka kuoa

  • @abdull98said78

    @abdull98said78

    6 жыл бұрын

    Kweli

  • @hassanshamte1988

    @hassanshamte1988

    6 жыл бұрын

    Kijana acha uwongoo tafuta kumbukumbu iyo nyimbo.imeimbwa lini?

  • @remawerashiid4333

    @remawerashiid4333

    5 жыл бұрын

    Umeonaa!!!

  • @hassanibakari8530

    @hassanibakari8530

    5 жыл бұрын

    Ukiwa na iman ya kumsitiri mwanamke mwenzako ambae anatafuta kher na dhawabu ya ndoa mkaribishe

  • @nadrasleiman2956
    @nadrasleiman29566 жыл бұрын

    I like it bibi yngu ni mke wa kwanza na jina lake ni aziza na pia ana wenzke watatu So anaposkia huu wimbo huhs kaimbiwa yy Anaupendaje???

  • @hadijasalimu5104

    @hadijasalimu5104

    5 жыл бұрын

    Nzuri

  • @seyumyussuf3475
    @seyumyussuf34756 жыл бұрын

    Ni mzuri mkikubaliana ila ni mbaya akiingia fitna

  • @preetykituma8947
    @preetykituma89477 жыл бұрын

    Ukewenza Una raha yake

  • @user-zj4zc7xj5b
    @user-zj4zc7xj5b7 ай бұрын

    Zamani kweli ndio kulikuwa na tarabu zinatowa mafuzo nyimbo

  • @khadijasaidi283
    @khadijasaidi2834 жыл бұрын

    Nakumbuka zamani nkiiskia hii njimbo

  • @alibawazir8056
    @alibawazir80565 жыл бұрын

    Ni sharia ya Allah subhanahu wataala. Wewe nani upinge?

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    Swadakta!wakifika ndani watupangia mambo,ati wao nani ukwa Allah ametujaalia na kutupa kheri kama hiyo

  • @ameirameir4930
    @ameirameir49306 жыл бұрын

    nakumbuk sana wakat ule znz ileee

  • @fatmasalim4716
    @fatmasalim47165 жыл бұрын

    Who else watch in 2019

  • @adamkaita3009
    @adamkaita30095 жыл бұрын

    dah hii nyimbo nikiisikia inaniliza kwani namkumbuka mama yangu marehemu sasa long-time lakini bado inamvuto sana hii nyimbo

  • @karimahsalim2722

    @karimahsalim2722

    3 жыл бұрын

    Pole Allah ampe kauli thabit

  • @hamidomar7474

    @hamidomar7474

    Жыл бұрын

    Nibimkwa wako co au

  • @rehemachuma7747
    @rehemachuma774711 жыл бұрын

    Mrimba wewe una hatari...ukewenza nowma.

  • @kambiboy715
    @kambiboy7154 жыл бұрын

    Mathnaa wa thulatha wa arubaaaaaa!

  • @suleimankhalid5978
    @suleimankhalid597829 күн бұрын

    Semeeeeni lkn kapanga mungu

  • @youngsaiyoh2308
    @youngsaiyoh23086 жыл бұрын

    Jaman uke wenza siutaki mie

  • @abudebinabri1287
    @abudebinabri12876 жыл бұрын

    sah omar sharrif👍👍

  • @JKIddi
    @JKIddi11 жыл бұрын

    Jaribu ndugu yangu usiogope kwa kitu ambacho hujakionja!!!

  • @farsysalim6489
    @farsysalim6489 Жыл бұрын

    Naskiliza nikiwa 2023

  • @SeekerMaulid
    @SeekerMaulid10 жыл бұрын

    it remind me old school age. ilike it soo much

  • @alijuma397

    @alijuma397

    6 жыл бұрын

    AIIYEPEWA TARABU

  • @ismailsalim8853
    @ismailsalim88534 жыл бұрын

    Nyimbo za kistaarabu hamna matusi

  • @omarkhatib4968
    @omarkhatib49684 жыл бұрын

    Mke wa awali ni wewe Azizaaaa

  • @abdallahamad8096
    @abdallahamad80968 жыл бұрын

    Three wives like heaven

  • @hamzashaban8846
    @hamzashaban88462 жыл бұрын

    Nyimbozenye maadil

  • @rehemachuma7747
    @rehemachuma774712 жыл бұрын

    Dah..ukewenza..hahaaaa,dogo langu Zaynab lyk dis much much!!

  • @abdullmassoud7838

    @abdullmassoud7838

    5 жыл бұрын

    Nitumieni whtp 0715049404

  • @SuperJohra
    @SuperJohra11 жыл бұрын

    Jamani enh uke wenza mgumu sana...God help ,me!

  • @rashidomar3735

    @rashidomar3735

    7 жыл бұрын

    Umm Hassan acheni uchoyo

  • @hassanabdalla2741

    @hassanabdalla2741

    4 жыл бұрын

    Mtangulize Mungu Umm utastarehe my sister

  • @hamiswazambi2710
    @hamiswazambi2710 Жыл бұрын

    Mmmmmh 🏃🏃🏃

  • @arabmustafa9731
    @arabmustafa97315 жыл бұрын

    Dah ukewenza raha

  • @nuwayrishalnadaby3339
    @nuwayrishalnadaby33397 жыл бұрын

    Ukewenza bora uckie hivyo hivyo

  • @nabawiyaabdimohd2329
    @nabawiyaabdimohd2329 Жыл бұрын

    napenda hiii.kitu

  • @Gangalamu
    @Gangalamu7 жыл бұрын

    Nani wake wa sasa watalikubali hili? Nyimbo Ajab mtungaji waimbaji mtiaji muziki wote wastahili Hongera....

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    3 жыл бұрын

    Vina vimepangika kisawasawa naona "za" zilivyojipanga samiu alikuwa mkali Allah amrehemu amsamehe amtie peponi Amin amin amin

  • @alyaziyaalabri8
    @alyaziyaalabri82 жыл бұрын

    Hii nyimbo nipo ndogo nakumbuka nilikua naipenda najisahau naimba

  • @ghanimaaghanimaa181
    @ghanimaaghanimaa1815 жыл бұрын

    Bay bay uke wenzaaa

  • @omarame2071

    @omarame2071

    3 жыл бұрын

    I like the song. It brings back memory of old Zanzibar. Naililia znz

  • @rashidsuleiman6681
    @rashidsuleiman66819 жыл бұрын

    Kuongeza make zaidi ya mmoja ni raha sana

  • @fatumahassan3205
    @fatumahassan32053 жыл бұрын

    Nakumbuka zama zababangu kuwa zanzibar

  • @salehmuhammad6728
    @salehmuhammad67285 жыл бұрын

    ahh!wacha wee hunachi.

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker90868 жыл бұрын

    Dada Nadhifa Hassan,Usikichukie kitabu kwa ubovu wa cover yake kisome ukifahamu halafu ndiyo utoe uamuzi wako.Niko tayari uwe wangu wa pili,Jaribu.

  • @minasaid4715

    @minasaid4715

    10 күн бұрын

    Naipenda sana inanikumbusha mbali sana hizi ndizi nyimbo wenye maadili na mafundisho

  • @mwanaishayahya8028
    @mwanaishayahya80287 жыл бұрын

    Iko poa hii jamn

  • @abdallahmohd7844
    @abdallahmohd78447 жыл бұрын

    sio mchezo walikua maneno mujarab

  • @zenaal-baalawy1953

    @zenaal-baalawy1953

    2 жыл бұрын

    Abdallah Mohd@😀 Umenikumbusha marhum babu yangu hili neno Mujarab alikua analipenda kulisema. Allah amjaalie malazi mema katika kabri lake.

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    @@zenaal-baalawy1953 amiin thuma amiin

  • @abdallahdula6573
    @abdallahdula65738 жыл бұрын

    I like this song

  • @hasinaahmad9346
    @hasinaahmad93467 жыл бұрын

    J aime

  • @MohamedOmar-fl8yh
    @MohamedOmar-fl8yh7 жыл бұрын

    I love this song it always gives me chills

  • @aliarkam9548
    @aliarkam95484 жыл бұрын

    Chakale zahabu

  • @omarshariffali1780
    @omarshariffali178011 жыл бұрын

    HAKUNA RAHA KAMA YA KUWA NA MKE MMOJA.WANAOTAKA KUONGEZA NI MARADHI YA MOYO

  • @hamudbadru6778

    @hamudbadru6778

    5 жыл бұрын

    Mmm moga tu ww alietuumba anajuwa zaidi ndo a kaanza na mathna

  • @khamisizuberi2463

    @khamisizuberi2463

    4 жыл бұрын

    Wake wawili raha sana na inapendeza wakielewana

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    Basi na umpate huyo wa kukupa hiyo raha useme Alhamdullah!

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    Huyo huyo mmoja ndo atakae kufanya wewe mume ukaingeze, wana vituko hawa saa ingine waone hivyo hivyo

  • @afsahemedi9276
    @afsahemedi92765 жыл бұрын

    Nice

  • @mudyali3679
    @mudyali36797 жыл бұрын

    hahha toka sijazaliawa nyimbo hiii

  • @jarsjam8894
    @jarsjam88946 жыл бұрын

    Sunna ni ya kuiwakilisha tu? Fungeni Sunna na mtowe sadaka na mengi tu

  • @barwancb5723
    @barwancb57237 жыл бұрын

    nice

  • @mrkaruamohamadi9516
    @mrkaruamohamadi95166 жыл бұрын

    Yakhe omar sharif ali . Umekua km c muislam nduguu!!? Utumbo gani huo wa maneno ykoo??? Au ndio kafiri unusuu!?

  • @sophiamtungwa6641
    @sophiamtungwa66413 жыл бұрын

    Safiiii

  • @hoedaxo3284
    @hoedaxo32844 жыл бұрын

    Can I have the lyrics please

  • @JKIddi
    @JKIddi11 жыл бұрын

    WASWAHILI WANASEMA "KIZURI KULA NA NDUGUYO" HIVYO UKEWENZA UNAFLEVA NZURI WACHA TUWE WENGI ILI TUWE NA COMPETITION

  • @allymzazi8509

    @allymzazi8509

    3 жыл бұрын

    jamani kigezo chema bwanamtume -.))

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    @@allymzazi8509 sallallahu Alleyhi Wassallama

  • @taoufiksarhiri4117
    @taoufiksarhiri4117 Жыл бұрын

    أغنية رائعة، كأني أنصت إلى موسيقى عربية .

  • @abdul-azizjuma2726

    @abdul-azizjuma2726

    4 ай бұрын

    الله حييك

  • @nashfasaid9639
    @nashfasaid963911 жыл бұрын

    nakufagilia @omar

  • @victormawenya6215
    @victormawenya62156 жыл бұрын

    Duuu

  • @nadhifahassan168
    @nadhifahassan16811 жыл бұрын

    Never siutaki ukewenza.heee

  • @mapachatv3412

    @mapachatv3412

    7 жыл бұрын

    Nadhifa Hassan kwaiyo unapnga amri ya Allah..?

  • @ummyleylahadya5202

    @ummyleylahadya5202

    4 жыл бұрын

    Jamani nikaribishe mm acha choyo!!

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    @@mapachatv3412 anapinga amri ya Allah !nasi hivyo tu'hajui ni sawa na kutupiga vita vya jihad uislam usiwe mkubwa, hawajui hawa

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker90864 жыл бұрын

    Me

  • @Albertin6
    @Albertin612 жыл бұрын

    well back them days :-)

  • @abasitalib4552

    @abasitalib4552

    7 жыл бұрын

    Albert Alberto ahhh kwa sasa wenza ni kutoana roho tu. Mungu walinde mama zetu.

  • @fatmarashid0005

    @fatmarashid0005

    6 жыл бұрын

    kweli ni bora ujane kama uke wenza usikiyeni tu hivyo hivyo yani nimajaga matupu

  • @sofiajuma4768

    @sofiajuma4768

    6 жыл бұрын

    huu wimbo uliibwa hata mambo ya vyama bado

  • @kbadijasalim5682

    @kbadijasalim5682

    2 жыл бұрын

    Kwangu uke wenza hilo ni muhali😂😂😂

  • @kbadijasalim5682

    @kbadijasalim5682

    2 жыл бұрын

    Kwangu uke wenza hilo ni muhali😂😂😂

  • @victormawenya6215
    @victormawenya62156 жыл бұрын

    Hiii nikali

  • @abdallahamad8096
    @abdallahamad80968 жыл бұрын

    I have three Advice me I can finish my last chance ? I need four

  • @thequraanactionplannerprog7596

    @thequraanactionplannerprog7596

    8 жыл бұрын

    Mashaa'Allah - kudos to your 3 wives. As for you, Inshaa'Allah you are equitable with all of them. Unfortunately that is one detail most brothers gloss over in their quest for the 2nd, 3rd and 4th wife.

  • @mushken65

    @mushken65

    4 жыл бұрын

    Lakini kweli unaraha wewe ndani ya maisha yako? Nashuku?

  • @salumseif8495

    @salumseif8495

    3 жыл бұрын

    kwa mujibu wa dini yako lazima ushangae

  • @saheelameir4313

    @saheelameir4313

    2 жыл бұрын

    This song inspired me to get second wife

  • @khamishemedsaid2134
    @khamishemedsaid21346 жыл бұрын

    Tunataka hizi taarabu hizi zikumbushwe yani sasa hakuna mashairi Kama haya ndiyo maana vijana wapati kujuwa nini taarabu na tumetoka wapi inafaa liwekwe tamasha malumu zilipendwa ili tuwaenzi wa vipaji vilivyo pita inafaa kama bakari abedi siti binti sadi Bibi kidude tusiwasahau ndio vijana wa Leo wajuwe wazee wao waivyokuwa miondoko yao

  • @ibrahimaboker9086
    @ibrahimaboker90864 жыл бұрын

    Nani yuko tayari awe wangu wa pili???

  • @nereah9972

    @nereah9972

    3 жыл бұрын

    Hmmm!!

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Жыл бұрын

    Wee waanza uchokozi 😄

  • @hammerQ954
    @hammerQ9547 жыл бұрын

    bro bin seif samahani nahitaji namba yako bro au mail

  • @allymohammed9887

    @allymohammed9887

    7 жыл бұрын

    +Bin Seif Samahanii mkuu nilikuwa naombaa wimbo unaosema "mwenzangu Nihurumiee sikia langu taamko naomba kibali chako nifate kuwaeleza""

  • @arafabdul6510
    @arafabdul65105 жыл бұрын

    Nilushie bin sefu wassp naipenda sana 0765680647

  • @user-zq6cs9fe8c
    @user-zq6cs9fe8c6 жыл бұрын

    jamani mm ukewenza ni nao lakini kwangu mm ni uchungu tu mke mdogo huchukuwa mpaka cm nakunitukana hii ni haki ya ukewenza

  • @bizimanaswahibu9345

    @bizimanaswahibu9345

    5 жыл бұрын

    أم حمدان اليحيائي mpaka mume anafikia kuongeza mke wa 2 basi ujue mke mkubwa una kasoro zako unashindwa kujirekebuisha msikae kulalamika bure kwanza kwa muislam mwenye uwezo ni suna

  • @ally1702

    @ally1702

    5 жыл бұрын

    Pole Sana ila kaza ndo Mambo hujui bos kafanywa Nini uko

  • @aismom9778

    @aismom9778

    5 жыл бұрын

    @@bizimanaswahibu9345 kasema nan mume akiongez mke anaupungufu unajidanganya sana hii sheria wacha ibaki sheria tu tusimalize maneno

  • @bizimanaswahibu9345

    @bizimanaswahibu9345

    5 жыл бұрын

    @@aismom9778 shari itabaki tuu hilo wala halina shaka lkn kama kwenye ndoa upendo na maelewano yapo yanini kujitia mashaka mengine hasa wanawake hawa wakileo sio kama wazee wetu walivyo kuwa na mapenzi ya dhati

  • @abdallahaliy6749

    @abdallahaliy6749

    4 жыл бұрын

    uko sawa nyimbio

  • @azharalkindi2941
    @azharalkindi29413 ай бұрын

    Very bad picturing.

  • @suleimansaid7944
    @suleimansaid79446 жыл бұрын

    ilove zanzibar yani nikiskiliza hizi nyimb moyo wagu hufarajika san

  • @halimayussuf4338
    @halimayussuf43385 жыл бұрын

    haki kabisa kuoa napenda icho kitu majukum tupunguziane

  • @salehmuhammad6728
    @salehmuhammad67285 жыл бұрын

    ahh!wacha wee hunachi.

  • @omarame2071

    @omarame2071

    3 жыл бұрын

    I like the song. It brings back old memory of znz, the beautiful island

  • @omarame2071

    @omarame2071

    3 жыл бұрын

    I like the song. It brings back old memory of znz, the beautiful island